Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Muziki wa Akapela "Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu" (Video Rasmi ya Muziki)

Hayuko katika upeo wa mbali, wala hajajificha juu mawinguni. Yuko kando yako, akiwa na mamlaka juu ya kila kitu chako, Yeye ni kila kitu ulicho nacho, na Yeye ni kitu pekee ulicho nacho.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo ukatili. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo ukatili. Onyesha machapisho yote

Jumapili, 26 Agosti 2018

Filamu za Kikristo "Chama Hakijamaliza Kuzungumza" | Concrete Proof of the CCP Persecuting Christians


Filamu za Kikristo "Chama Hakijamaliza Kuzungumza" | Concrete Proof of the CCP Persecuting Christians

Li Ming’ai ni Mkristo nchini China Bara. Yeye ni mwanamke mwadilifu ambaye anawaheshimu wakweze, humsaidia mumewe na kumuelimisha mtoto wake, na ana familia ya furaha na patanifu. Katika China, ambako ukanaji Mungu unatawala, hata hivyo, serikali ya Kikomunisti ya China daima huwakamata na kuwatesa ovyo ovyo watu wanaomwamini Mungu. Katika mwaka wa 2006, Li Ming'ai alikamatwa na kutozwa faini kwa sababu ya imani yake kwa Mungu. Baada ya Li Ming'ai kurudi nyumbani, polisi wa Kikomunisti wa China daima walimtisha na kumwogofya yeye na familia yake, na walijaribu kumzuia Li Ming'ai kuendeleza imani yake kwa Mungu. Siku moja, Li Ming'ai alipokuwa mbali na nyumbani akifanya mkutano, aliripotiwa na mtoa habari. Polisi walikwenda nyumbani kwa Li Ming'ai wakijaribu kumkamata. Alilazimika kuondoka nyumbani, na tangu wakati huo kwendelea, maisha ya Li Ming'ai ya kujificha kutoka mahali pamoja hadi pengine na kukimbia kutoka nyumbani yalianza. Polisi wa Kikomunisti wa China bado hawakuachana naye, daima wakiichunga nyumbani yake, na kusubiri fursa ya kumkamata. Jioni moja, Li Min’gai ananyemelea nyumbani kwa familia yake, lakini karibu mara moja polisi wanaharakisha kumkamata. Kwa bahati nzuri mtu fulani anamwonya, na Li Ming'ai anaepuka maafa.

Miaka mitatu baadaye, wakati Li Ming'ai anaendeleza imani yake na kufanya kazi yake mbali na nyumbani, anafuatwa na kukamatwa na polisi wa Kikomunisti wa China. Polisi wa Kikomunisti wa China wanatekeleza mateso na maudhi ya kikatili kwa Li Ming'ai , na kutumia upendo wa familia kujaribu kumshawishi. Wanatumia vitisho kama vile kumnyima mtoto wake haki ya kuhudhuria shule, na kuzuia upatikanaji wa kazi baadaye katika serikali ili mtoto aweze kujaribu kumlazimisha kuiacha imani yake kwa Mungu, kuwasaliti viongozi katika kanisa, na kutangaza fedha za kanisa. Wakati huu, Li Mingai anamwomba Mungu na kuweka imani yake kwa Mungu. Katika neno la Mungu anapata nuru na mwongozo. Anavumilia mateso na maudhi na polisi wa Kikomunisti wa China, anazitambua mbinu za Shetani, na kuamua kutomsaliti Mungu. Anakuwa shahidi kwa udhabiti kwa Mungu. Masaili ya Polisi wa Kikomunisti wa China hayazai matunda, na wao wanakasirika kwa aibu. Wanamwongoza Li Mingai akiwa amevaa nguo za mfungwa kwa nyumba yake ya kijijini, wakimtembeza ili wote wamuone. Wanafanya hivi ili kumdhalilisha, na kisha kujaribu kuwafanya jamaa zake wamshawishi kumsaliti Mungu, na kulisaliti kanisa. Li Ming’ai anaghadhibishwa sana na jinsi Wakomunisti wa China wanavyoona kuwa matatizo ya familia yake ni kwa sababu ya imani yake kwa Mungu. Akiwa amejaa hasira ya kudhulumiwa, Li Ming'ai kwa ghadhabu anafichua ukweli wa uovu wa jinsi serikali ya Kikomunisti ya China huwakamata na kuwatesa Wakristo. Anasema kuwa mwangamizi halisi wa familia za Wakristo ni serikali ya Kikomunisti ya China, ambayo ndiyo mhalifu mkuu wa jinai ambaye huwaletea watu kila aina za majanga. Kwa hiyo anawapa ushinde kikamilifu na kwa aibu Wakomunisti wa China.

    Tufuate : Kanisa la Mwenyezi Mungu, Neno la Mwenyezi mungu

Ijumaa, 10 Agosti 2018

Nyendo za Mateso ya Kidini Nchini China| "Ni Nani Aliyemlazimisha Kuyatamatisha Maisha Yake"


Nyendo za Mateso ya Kidini Nchini China| "Ni Nani Aliyemlazimisha Kuyatamatisha Maisha Yake"

Tangu kilipokuja mamlakani katika China Bara mnamo mwaka wa 1949, Chama Cha Kikomunisti cha China kimekuwa hakikomi katika mateso yake kwa imani ya kidini. Kwa wayowayo kimewashika na kuwaua Wakristo, kuwafukuza na kuwadhulumu wamishonari wanaofanya kazi nchini China, wakachukua ngawira na kuchoma nakala nyingi za Biblia, wakafunga kabisa na kubomoa majengo ya kanisa, na bila mafanikio wakajaribu kukomesha makanisa yote ya nyumbani. Filamu hii inasimulia hadithi ya Gao Yufeng, Mkristo katika China Bara, ambaye alikamatwa na polisi wa CCP na kupewa mateso ya kikatili ya aina zote ambayo hatimaye yalimfanya kujiua katika kambi ya kazi kwa kumwamini Mungu na kutimiza wajibu wake. Filamu hii inaonyesha udhalimu mbaya sana na mateso ya kikatili yaliyowafika Wakristo waliozuiliwa baada ya kukamatwa chini ya utawala muovu wa CCP, ikionyesha asili ya pepo ya chuki ya CCP kwa Mungu na kuuawa kwa Wakristo.

Jumapili, 1 Julai 2018

Swahili Christian Movie | Nyendo za Mateso ya Kidini | "Kukaribia Hatari na Kurudi"


Swahili Christian Movie | Nyendo za Mateso ya Kidini | "Kukaribia Hatari na Kurudi"

    Tangu kilipokuja mamlakani katika China Bara mnamo mwaka wa 1949, Chama Cha Kikomunisti cha China kimekuwa hakikomi katika mateso yake kwa imani ya kidini. Kwa wayowayo kimewashika na kuwaua Wakristo, kuwafukuza na kuwadhulumu wamishonari wanaofanya kazi nchini China, wakachukua ngawira na kuchoma nakala nyingi za Biblia, wakafunga kabisa na kubomoa majengo ya kanisa, na bila mafanikio wakajaribu kukomesha makanisa yote ya nyumbani.

Mateso-ya-Kidini, ukatili, imani-ya-kidini,

     Filamu hii ni masimulizi ya uzoefu wa kweli wa mateso katika mikono ya Chama Cha Kikomunisti cha China yaliyopitiwa na Chen Wenzhong, Mkristo wa Kichina. Chen Wenzhong alikuwa na mafanikio katika kazi yake na alikuwa na familia nzuri na yenye furaha, lakini kwa sababu alimwamini Mungu na kutekeleza wajibu wake, akawa mtu aliyetakiwa na CCP. Alilazimika kuondoka nyumbani na alikuwa mkimbizi kwa zaidi ya miaka kumi. Ili kupata habari za mahali alikokuwa, polisi wa CCP daima waliifuatia, kuitishia, na kuiogofya familia yake, na hata hawangemhurumia mwanawe mdogo wa kiume, Xiaoyu. Hatimaye, walimlazimisha Xiaoyu kutenda kitendo ambacho hangekiepuka …

Yaliyopendekezwa: Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki Mwenyezi Mungu