Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo. Onyesha machapisho yote

Jumamosi, 22 Desemba 2018

15. Si Rahisi Kwako kwa Hakika Kujijua Mwenyewe

15. Si Rahisi Kwako kwa Hakika Kujijua Mwenyewe Zhang Rui Mji wa Hangzhou, Mkoa wa Zhejiang Nilikuwa mtu mdanganyifu. Katika neno la Mungu tunaweza kuona kwamba watu wadanganyifu hawataokolewa na Mungu; ni watu wanyofu tu watakaopata sifa Zake. Kwa hiyo, nilitaka kuwa mtu mnyofu, kwa utambuzi kufanya mazoezi ya kuzungumza kwa usahihi,...

Jumatatu, 13 Agosti 2018

Unapaswa Kudumisha Ibada Yako Kwa Mungu

Unapaswa Kudumisha Ibada Yako Kwa Mungu Roho Mtakatifu Anafanya kazi vipi katika kanisa sasa? Je, una ufahamu wa hilo? Ni matatizo gani makubwa zaidi yanayowakumba ndugu na dada? Wamepungukiwa na nini zaidi? Kwa sasa, kuna watu ambao wako hasi katikati ya majaribio,...

Jumatano, 20 Juni 2018

Umeme wa Mashariki | 73. Kwa Nini Nimetembea Njia ya Mafarisayo?

Umeme wa Mashariki | 73. Kwa Nini Nimetembea Njia ya Mafarisayo?                                            Suxing Mkoa wa Shanxi Mimi ni mtu mwenye kiburi...

Jumanne, 19 Juni 2018

Umeme wa Mashariki | 7. Katikati ya Maafa Niliiona Tabia ya Haki ya Mungu

Umeme wa Mashariki | 7. Katikati ya Maafa Niliiona Tabia ya Haki ya Mungu                                                        ...

Alhamisi, 7 Juni 2018

Chanzo cha Mafanikio ya Umeme wa Mashariki

Chanzo cha Mafanikio ya Umeme wa Mashariki Kila wakati Umeme wa Mashariki linapotajwa, ndugu wengi katika Bwana huhisi mafadhaiko: Ni kwa nini jumuiya ya kidini kwa ujumla huzidi kuhuzunika na kupotoka, wakati kila dhehebu linazidi kuwa na hadhari na kushikilia ukale...

Jumatano, 6 Juni 2018

Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Umeme wa Mashariki Hutoka wapi? Wafuasi wengi wa Bwana Yesu Kristo husikia kuhusu Umeme wa Mashariki kutoka kwa wachungaji wao, wazee wa kanisa, au wahubiri, lakini kwa hakika hakuna mtu anayejua Umeme wa Mashariki ulitoka wapi. Linapokuja suala la...

Jumapili, 3 Juni 2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | 3. Ujana Uliotumiwa Bila Majuto

Kanisa la Mwenyezi Mungu | 3. Ujana Uliotumiwa Bila Majuto                                           Xiaowen, Chongqing "Upendo ni hisia safi, safi bila ya...

Jumamosi, 2 Juni 2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | "Kuona Ni Kuamini" Haipaswi Kuaminiwa

Kanisa la Mwenyezi Mungu | "Kuona Ni Kuamini" Haipaswi Kuaminiwa                           Mji wa Zhengzhou, Mkoa wa Henan Awali, nilipokuwa nikisikia watu wakitoa maoni juu ya...

Ijumaa, 1 Juni 2018

10. Usitafute Mbinu Mpya Unapomtumikia Mungu

10. Usitafute Mbinu Mpya Unapomtumikia Mungu Heyi   Mji wa Zhuanghe, Mkoa wa Liaoning Nilikuwa nimepandishwa cheo tu kuchukua jukumu la kiongozi wa kanisa. Lakini baada ya kipindi cha kazi ngumu, sio tu kuwa kazi ya kiinjili ilikuwa bila uhai kiasi, lakini...

Alhamisi, 31 Mei 2018

32. Kila Neno la Mungu ni Maonyesho ya Tabia Yake

32. Kila Neno la Mungu ni Maonyesho ya Tabia Yake Wakati wowote nilipoona maneno haya yaliyosemwa na Mungu, nilihisi kuwa na wasiwasi: “Kila sentensi Niliyoizungumza inaendeleza tabia ya Mungu. Mngefanya vizuri zaidi...

Jumatano, 30 Mei 2018

Umeme wa Mashariki | Kuna Furaha Kubwa Katika Uaminifu

Umeme wa Mashariki | Kuna Furaha Kubwa Katika Uaminifu Gan'en    Mji wa Hefei, Mkoa wa Anhui Katika maisha yangu, siku zote nimeongozwa na msemo, "Mtu hapaswi kuwa na moyo wa kuwadhuru wengine, lakini lazima awe macho ili asidhuriwe" katika uingiliano wa kijamii....