Jumatatu, 24 Juni 2019
Neno la Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VII Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote (I)” Sehemu ya Tatu
Neno la Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VII Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote (I)” Sehemu ya Tatu
Mwenyezi Mungu anasema, “Mungu aliumba vitu vyote kuhusiana, kupatana na kutegemeana. Alitumia njia hii na kanuni hizi kudumisha kuendelea kuishi na uwepo wa vitu vyote na kwa njia hii binadamu ameishi kwa utulivu na...
Jumapili, 23 Juni 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 43
Maneno ya Mungu | Sura ya 43
Je, Sijawakumbusha? Msiwe wenye hofu; ninyi hamjanisikiliza tu, watu wasio na fikira ninyi! Je, mtaweza kuuelewa moyo Wangu lini? Kila siku kuna nuru mpya, kila siku kuna mwanga mpya. Ni mara ngapi mmeuelewa kwa ajili yenu wenyewe? Je, Sijawaambia Mwenyewe? Bado ninyi ni wa kukaa tu kama wadudu ambao watasonga tu wanaposukumwa,...
Jumamosi, 22 Juni 2019
Sauti ya Mungu | Sura ya 42
By wangbaoxinJuni 22, 2019kanisa, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho- Mtakatifu, Upendo-wa-Mungu, VitabuNo comments

Sauti ya Mungu | Sura ya 42
Jinsi gani matendo ya Mwenyezi Mungu yalivyo makuu! Jinsi ilivyo ya ajabu! Jinsi ilivyo ya kushangaza! Tarumbeta saba zinatoa sauti, ngurumo saba zinatolewa, bakuli saba zinamwangwa—hii itadhihirika wazi mara moja na hakuwezi kuwa na shaka. Upendo wa Mungu huja juu yetu kila siku na ni Mwenyezi Mungu pekee Anayeweza...
Ijumaa, 21 Juni 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 41
Maneno ya Mungu | Sura ya 41
Kuhusu shida zinazoibuka kanisani, usiwe na mashaka mengi. Kanisa linapojengwa haiwezekani kuepuka makosa, lakini usiwe na wasiwasi unapokabiliwa na shida hizo; kuwa mtulivu na makini. Sijawaambia hivyo? Omba Kwangu mara nyingi, na Nitakuonyesha kwa wazi nia Zangu. Kanisa ni moyo Wangu na ni lengo Langu la msingi,...
Alhamisi, 20 Juni 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 40
By wangbaoxinJuni 20, 2019hukumu, kanisa, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukweli, VitabuNo comments

Maneno ya Mungu | Sura ya 40
Kwa nini ninyi ni wa mwendo wa polepole? Kwa nini hamsikii? Makumbusho kadhaa hayajawazindua; hili linanihuzunisha. Kwa kweli Sipendi kuwaona wanangu namna hii. Moyo Wangu unawezaje kustahimili hili? Ah! Lazima Niwafundishe kwa mkono Wangu mwenyewe. Mwendo Wangu unaendelea kuwa wa kasi. Wanangu! Inukeni haraka...
Jumatano, 19 Juni 2019
Sauti ya Mungu | Sura ya 39
By wangbaoxinJuni 19, 2019Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, sauti-ya-Mungu, Ukweli, VitabuNo comments

Sauti ya Mungu | Sura ya 39
Fungua macho yako na uangalie na unaweza kuona nguvu Zangu kuu kila mahali! Unaweza kuwa na uhakika na Mimi kila mahali. Ulimwengu na anga unaeneza nguvu Zangu kuu. Maneno ambayo Nimenena yametimia katika ongezeko la joto la hali ya hewa, mabadiliko ya hali ya hewa, vioja vya watu, ulemavu wa elimumwendo...
Jumanne, 18 Juni 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 38
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguJuni 18, 2019baraka, Kazi-ya-Mungu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ufalme, VitabuNo comments

Maneno ya Mungu | Sura ya 38
Si kwamba imani yako ni nzuri au safi, lakini badala yake, kazi Yangu ni ya ajabu! Kila kitu ni kwa sababu ya rehema Zangu! Hupaswi kuwa na tabia potovu ya ubinafsi au kiburi hata kidogo, vinginevyo kazi Yangu kwako haitaendelea. Lazima uelewe wazi kwamba iwapo watu wanaanguka au kusimama imara si kwa sababu yao,...
Jumatatu, 17 Juni 2019
Neno la Mungu | “Kujua Hatua Tatu za Kazi ya Mungu Ndiyo Njia ya Kumjua Mungu” Sehemu ya Pili
Neno la Mungu | “Kujua Hatua Tatu za Kazi ya Mungu Ndiyo Njia ya Kumjua Mungu” Sehemu ya Pili
Mwenyezi Mungu anasema, “Hatua tatu za kazi ndizo kiini cha usimamizi mzima wa Mungu, na ndani yazo zimeelezwa tabia ya Mungu na kile Alicho. Wale wasiojua kuhusu hatua tatu za kazi ya Mungu hawana uwezo wa kutambua jinsi Mungu anavyoonyesha tabia...
Jumapili, 16 Juni 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 36
By wangbaoxinJuni 16, 2019hukumu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ufalme, utukufu, VitabuNo comments

Maneno ya Mungu | Sura ya 36
Mwenyezi Mungu wa kweli, Mfalme katika kiti cha enzi, hutawala ulimwengu mzima, Anakabiliana na mataifa yote na watu wote, kila kitu chini ya mbingu hung’aa kwa utukufu wa Mungu. Viumbe vyote hai katika miisho ya ulimwengu vitaona. Milima, mito, maziwa, ardhi, bahari na viumbe vyote viishivyo, katika nuru ya uso...
Jumamosi, 15 Juni 2019
Sauti ya Mungu | Sura ya 35
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguJuni 15, 2019hukumu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, sauti-ya-Mungu, Ukweli, VitabuNo comments

Sauti ya Mungu | Sura ya 35
Ngurumo saba zinatoka kwenye kiti cha enzi, zinautikisa ulimwengu, zinageuza mbingu na ardhi, na zinavuma angani! Sauti hiyo inapenya sana kiasi kwamba watu hawawezi kuepuka wala kujificha. Nuru ya ghafla ya umeme na sauti ya radi zinatumwa mbele, zikiiangusha chini mbingu na ardhi papo hapo, na watu wamekaribia kufa....
Ijumaa, 14 Juni 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 34
By wangbaoxinJuni 14, 2019kanisa, Matamshi-ya-Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, ushuhuda, VitabuNo comments

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 34
Mwenyezi Mungu ni mwenye nguvu zote , mwenye kutimiliza yote na Mungu wa kweli kabisa! Habebi tu nyota saba, ana Roho saba, ana macho saba, anafungua mihuri saba na kufungua hati ya kukunja yenye maandishi, lakini zaidi ya hayo Yeye anaendesha mapigo saba na vikasa saba na kufungua radi...
Alhamisi, 13 Juni 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 33
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguJuni 13, 2019kazi-ya-Roho-Mtakatifu, Kristo, Matamshi-ya-Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 33
Ufalme Wangu unawahitaji wale ambao ni waaminifu, wasio wanafiki, na wasio wadanganyifu. Je, si watu wenye moyo safi na waaminifu duniani hawapendwi na watu? Mimi ni kinyume kabisa cha jinsi ilivyo. Inakubalika kwa watu waaminifu kuja Kwangu; Nafurahia mtu wa aina hii, pia Ninamhitaji mtu wa aina hii....