Jumatatu, 18 Juni 2018
Kanisa la Mwenyezi Mungu | 6. Moto Ulioshtua Taifa katika Wilaya ya Ji, Mji wa Tianjin
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJuni 18, 2018siku-za-mwisho, Umeme-wa-Mashariki, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, Vitabu, wokovu-wa-MunguNo comments
Chen Yao, Tianjin
Jengo la Laide lilikuwa mojawapo ya vituo vikubwa zaidi vya ununuzi katika wilaya ya Ji. Juni 30, mwaka wa 2012 ilikuwa ni Jumamosi, na Laide lilikuwa na ukuzaji wa bidhaa, hivyo kulikuwa na idadi kubwa ya wateja. Wakati fulani baada ya saa tisa alasiri hiyo, jengo likashika moto ghafla. Mkuu wa jengo,akiogopa kuwa wateja katika machafuko haya wangechukua vitu au kutolipa, alifunga na kuweka vizuizi kwa lango kuu kwenye ghorofa ya kwanza, na kuwafukuza wateja hadi ghorofa ya pili na ya tatu. Kitu ambacho hakikutarajiwa ni kwamba moto ulikuwa mkali zaidi na zaidi, hatimaye ukifika kiwango cha kutodhibitika kabisa. Umeme katika jengo lote ukazima.Kutoka ghorofa ya kwanza hadi ya nne, lifti zilikuwa mbovu, na mlango wa kuingia uliofungwa kwenye ghorofa ya kwanza haungefunguka. Moshi mweusi ulitapakaa jengo zima, cheche ziliruka hadi kwa anga. Ndimi kubwa za moto ziliruka kutoka kila dirisha, moshi ulifunika wilaya, hewa iliwasonga watu koo kwa mita mia kadhaa. Wakati huo watu wengi walionaswa juu ya ghorofa ya tatu waliamua kutoroka kwa kuruka kutoka kwa jengo, na wengine walikufa walikoanguka, shani ya kuogofya hiyo.
Jumapili, 17 Juni 2018
Sura ya 94. Wale Ambao Hawawezi Kuishi Mbele Ya Mungu Daima Ni Wasioamini
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJuni 17, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, kuishi-mbele-ya-Mungu, Kumbukumbu-za-Maongezi-ya-Kristo, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments
Sura ya 94. Wale Ambao Hawawezi Kuishi Mbele Ya Mungu Daima Ni Wasioamini
Nguzo inapopandishwa kidogo, mnaweza kupiga hatua kidogo. Si jambo baya kuwa na mahitaji ya juu kutoka kwenu na wala si jambo baya kuwauliza maswali magumu. Lengo ni kuwafanya muwe na ufahamu zaidi juu ya elimu na maarifa ya kawaida ya kipengele cha weledi cha wajibu wenu.[a] Huenda labda nyinyi bado hulalamika katika nyoyo zenu, mkisema: "Tumejifunza mambo mengi mazuri lakini Mungu huwa hayataji kamwe au kuturuhusu kuyatumia.
Jumamosi, 16 Juni 2018
Mwenyezi Mungu alisema | Sura ya 92. Njia ya Utendaji katika Kusuluhisha Ukaidi
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJuni 16, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Kumbukumbu-za-Maongezi-ya-Kristo, kuomba, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments
Mwenyezi Mungu alisema | Sura ya 92. Njia ya Utendaji katika Kusuluhisha Ukaidi
Mtu huwa na tatizo lipi anapopenda kupeana visingizio? Ni nini kiini chake? Yeye ni mkaidi. Watu wakaidi hawakubali ukweli kwa urahisi; sio watiifu, na wanaposababishwa na tabia potovu ya mwanadamu, lakini mwishowe, utapata ikiwa vigumu kuupata ukweli. Mambo ambayo watu hulazimika kuishi kwa kudhihirisha na kwa kawaida kufichua kwa asili yao, hali na silika zao—yale ambayo huwa wanafanya, yale ambayo huwa wanafikiri, mtazamo ambao wao huwa nao na hali zao zilivyo, mambo ambayo kwa kawaida yamefunuliwa—yote ni kinyume cha ukweli. Yaani, hawataki kuukubali ukweli, hawatilii maanani usahihi au makosa ya ukweli, na mambo ambayo huwa wanafikiri kuyahusu na kufanya hayana uhusiano wowote na ukweli. Wanataka kufanya mambo kila wakati kulingana na dhana na tamaa zao wenyewe, na kulingana na wanayopenda.
Ijumaa, 15 Juni 2018
Kanisa la Mwenyezi Mungu | Sura ya 91. Kupitia Aina Tofauti Za Mazingira Kuna Manufaa Kwa ukuaji Wa Maisha Ya Binadamu
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJuni 15, 2018Kumbukumbu-za-Maongezi-ya-Kristo, Kwa-ukuaji-Wa-Maisha-Ya-Binadamu, Mwenyezi-Mungu, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments
Kanisa la Mwenyezi Mungu | Sura ya 91. Kupitia Aina Tofauti Za Mazingira Kuna Manufaa Kwa ukuaji Wa Maisha Ya Binadamu
Ni vyema kupitia mazingira ya aina tofauti. Mungu hakupangii mazingira haya bila sababu. Yeye hakuongozi popote pale bila makusudi, bali Yeye huandaa mazingira fulani spesheli kwa kila mmoja—mazingira ya kifamilia, mazingira ya kimaisha, mazingira uliyokulia, na mazingira unatekeleza majukumu yako punde utakapo mwamini. Yeye hutayarisha hali au mazingira fulani spesheli kwako wewe kuzipitia.
Alhamisi, 14 Juni 2018
Mwenyezi Mungu | Kujua Hatua Tatu za Kazi ya Mungu Ndiyo Njia ya Kumjua Mungu
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJuni 14, 2018Hatua-Tatu-za-Kazi-ya-Mungu, Kujua-Mungu, Kumbukumbu-za-Maongezi-ya-Kristo, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments
Mwenyezi Mungu | Kujua Hatua Tatu za Kazi ya Mungu Ndiyo Njia ya Kumjua Mungu
Kazi ya kumsimamia mwanadamu imegawanywa katika hatua tatu, na ina maana kuwa kazi ya kumwokoa mwanadamu imegawanywa katika hatua tatu. Hatua hizi tatu hazihusishi kazi ya kuuumba ulimwengu, ila ni hatua tatu za kazi ya Enzi ya Sheria, Enzi ya Neema, na Enzi ya Ufalme. Kazi ya kuiumba dunia ilikuwa kazi ya kusababisha uwepo wa wanadamu wote. Haikuwa kazi ya kumwokoa mwanadamu, na haina uhusiano na kazi ya kumwokoa mwanadamu, kwa kuwa dunia ilipoumbwa mwanadamu hakuwa amepotoshwa na Shetani, na hivyo hakukuwa na haja ya kutekeleza kazi ya kumwokoa mwanadamu.
Jumatano, 13 Juni 2018
Tofauti Muhimu Kati ya Mungu Aliyepata Mwili na Wanadamu Wanaotumiwa na Mungu
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJuni 13, 2018Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Vitabu, Wanadamu-Wanaotumiwa-na -MunguNo comments
Tofauti Muhimu Kati ya Mungu Aliyepata Mwili na Wanadamu Wanaotumiwa na Mungu
Kwa miaka mingi Roho wa Mungu
Amekuwa akitafuta bila kikomo Akifanya kazi duniani. Kwa enzi nyingi
Mungu Ametumia wanadamu wengi kufanya kazi Yake. Hata hivyo Roho wa
Mungu bado hana mahali pazuri pa kupumzika. Kwa hivyo Mungu hupitia
wanadamu mbalimbali kufanya kazi Yake na kwa kiasi kikubwa hutumia
wanadamu kufanya hivyo. Yaani, katika miaka hii yote mingi, kazi ya
Mungu haijawahi kusimama. Inaendelezwa mbele kupitia mwanadamu, bila
kikomo mpaka siku ya leo. Ingawa Mungu Amesema na Ametenda mengi,
mwanadamu bado hamjui Mungu, hii ni kwa sababu Mungu hajawahi
kuonekana na mwanadamu na Yeye Hana umbo.
Jumanne, 12 Juni 2018
New Swahili Gospel Worship Song "Mpenzi Wangu, Tafadhali Nisubiri" | Kukaa katika Upendo wa Bwana
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJuni 12, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Umeme-wa-Mashariki, Upendo-wa-Mungu, Video-za-Injili, Worship-Gospel-SongsNo comments
New Swahili Gospel Worship Song "Mpenzi Wangu, Tafadhali Nisubiri" | Kukaa katika Upendo wa Bwana
Ee
Bwana, kanisa limekuwa la ukiwa.
Siwezi
kuhisi kuwepo Kwako. Uko Wapi?
New
Swahili Worship Gospel Songs "Mpenzi Wangu, Tafadhali Nisubiri"
| Kukaa katika Upendo wa Bwana
I
Juu
ya miti, ukipanda mwezi mtulivu.
Kama
mpenzi wangu, mwenye haki na mzuri.
Ee
mpenzi wangu, uko wapi Wewe?
Sasa
ninalia. Je unanisikia nikilia?
Wewe
ndiye Unayenipa upendo.
Wewe
ndiye Unayenijali.
Wewe
ndiye Unayefikiri kunihusu kila wakati.
Wewe
ndiye Unayehifadhi maisha yangu.
Mwezi,
rudi upande ule mwingine wa anga.
"Usimfanye
mpenzi wangu angoje sana.
Tafadhali
mwambie nimemkosa Yeye sana."
Usisahau
kwenda na upendo wangu.
II
Bata
bukini wa mwituni wawili wawili, wakipaa mbali zaidi.
Je,
watarudi na ujumbe kutoka kwa mpenzi wangu?
Ee
tafadhali, tafadhali nisaidie mabawa yako.
Naweza
kupaa kurudi nyumbani mji wangu wa nyumbani wenye joto.
Nitalipa
hangaiko la mpenzi wangu.
Nataka
kumwambia Yeye: Usiwe na huzuni!
Nitakupa
jibu linalokufurahisha. Kwa hivyo bidii uliyolipa Wewe haitakuwa
bure.
Jinsi
ninavyotamani ningekuwa mtu mzima haraka,
kuwa
huru kutoka kwa maisha ya uzururaji, ya uchungu.
Ee
mpenzi wangu, tafadhali nisubiri.
Nitapaa
mbali na raha ya hii dunia.
Nitalipa
hangaiko la mpenzi wangu.
Nataka
kumwambia Yeye: Usiwe na huzuni!
Nitakupa
jibu linalokufurahisha. Kwa hivyo bidii uliyolipa Wewe haitakuwa
bure.
Kwa
hivyo bidii uliyolipa Wewe haitakuwa bure.
Umemewa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya
kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu,
Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali
kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na
kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu
mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika
halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa
Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu,
utaona kuwa Mungu ameonekana.
Jumatatu, 11 Juni 2018
Mungu Ndiye Bwana wa Viumbe Vyote
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJuni 11, 2018Bwana-wa-Viumbe-Vyote, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments
Mungu Ndiye Bwana wa Viumbe Vyote
Hatua moja ya kazi ya enzi mbili za awali ilifanyika Israeli; nyingine ilifanyika Yudea. Kuzungumza kwa jumla, hakuna hatua ya kazi hii iliyoondoka Israeli; zilikuwa ni hatua za kazi zilizofanywa miongoni mwa wateule wa mwanzo. Hivyo, kwa mtazamo wa Waisraeli, Yehova Mungu ni Mungu wa Waisraeli pekee. Kwa sababu ya kazi ya Yesu huko Yudea, na kwa sababu ya kukamilisha Kwake kazi ya kusulubiwa, kwa mtazamo wa Wayahudi, Yesu ni Mkombozi wa watu wa Kiyahudi.
Jumapili, 10 Juni 2018
Mwenyezi Mungu | Watu! Furahini!
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJuni 10, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Vitabu, WatuNo comments
Mwenyezi Mungu | Watu! Furahini!
Katika nuru Yangu, watu wanaona nuru tena. Katika neno Langu, watu wanapata vitu vya raha. Nimekuja kutoka Mashariki nami Natoka huko. Wakati ambapo utukufu Wangu unang'aa, mataifa yote yanaangaziwa, vitu vyote vinaletwa katika nuru, hakuna kitu kinachobaki katika giza. Katika ufalme, maisha ya watu wa Mungu pamoja na Mungu ni ya furaha isiyolinganishwa. Maji yanacheza kwa ajili ya maisha ya watu yaliyobarikiwa, milima inafurahia utele Wangu pamoja na watu.
Jumamosi, 9 Juni 2018
Trela ya Filamu "Yule Anayeshikilia Ukuu Juu ya Kila Kitu" | Kuuchunguza Ulimwengu
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJuni 09, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Kutoa-Sheria, Ulimwengu, Umeme-wa-Mashariki, Video-za-InjiliNo comments
Trela ya Filamu "Yule Anayeshikilia Ukuu Juu ya Kila Kitu" | Kuuchunguza Ulimwengu
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.
Utukufu wote Uwe kwa Mwenyezi Mungu!
Listen to hymns Sikiliza nyimbo FILAMU-ZA-INJILI
Ijumaa, 8 Juni 2018
Best Swahili Gospel Worship Song "Njoo Mbele Ya Mungu Mara kwa Mara" | Uso kwa uso na Mungu
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJuni 08, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Umeme-wa-Mashariki, Video-za-Nyimbo-na-Kucheza, Worship-Gospel-SongsNo comments
Best Swahili Gospel Worship Song "Njoo Mbele Ya Mungu Mara kwa Mara" | Uso kwa uso na Mungu
Chukua
fursa unapokuwa na wakati, keti kimya mbele ya Mungu. Soma neno Lake,
jua ukweli Wake, rekebisha makosa yaliyo ndani yako.
Majaribu
huja, yakabili;
ijue
nia ya Mungu na utakuwa na nguvu.
Mwambie
ni vitu gani unavyokosa, shiriki ukweli Wake kila mara. Roho yako ina
furaha unapomwabudu Yeye.
Njoo
mara kwa mara mbele ya Mungu, usipinge tena.
Kujali
kwako mwili, kunamuumiza Yeye sana.
Soma
neno Lake, elewa ukweli Wake.
Njoo
mara kwa mara mbele ya Mungu.
Njoo
mara kwa mara mbele ya Mungu.
Hivyo
ishi kama mwanadamu mtakatifu!
Haijalishi
ni jaribio lipi ama hukumu inayokuja, tutafanya kazi kumfurahisha
Yeye.
Njoo
mara kwa mara mbele ya Mungu. Njoo mara kwa mara mbele ya Mungu na
uishi ukweli Wake. Ingawa tunakosa, tunapaswa kutafuta kumpenda
Mungu.
Mradi
tunampenda Yeye, bila shaka tutapokea sifa Yake.
Lazima
tufuatilie ukweli na kumshuhudia Mungu.
Huu
ni wajibu wetu ambao lazima tuufanye.
Roho
yako ina furaha unapomwabudu Yeye.
Njoo
mara kwa mara mbele ya Mungu, usipinge tena.
Kujali
kwako mwili, kunamuumiza Yeye sana.
Soma
neno Lake, elewa ukweli Wake.
Njoo
mara kwa mara mbele ya Mungu.
Njoo
mara kwa mara mbele ya Mungu.
Hivyo
ishi kama mwanadamu mtakatifu!
Haijalishi
ni jaribio lipi ama hukumu inayokuja, tutafanya kazi kumfurahisha
Yeye.
Njoo
mara kwa mara mbele ya Mungu.
Njoo
mara kwa mara mbele ya Mungu na uishi ukweli Wake.
Hivyo
ishi kama mwanadamu mtakatifu!
Haijalishi
ni jaribio lipi ama hukumu inayokuja, tutafanya kazi kumfurahisha
Yeye.
Njoo
mara kwa mara mbele ya Mungu.
Njoo
mara kwa mara mbele ya Mungu na uishi ukweli Wake, na uishi ukweli
Wake, na uishi ukweli Wake.
Njoo
mara kwa mara mbele ya Mungu na uishi ukweli Wake.
kutoka
kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na
mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.
mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.
Alhamisi, 7 Juni 2018
Chanzo cha Mafanikio ya Umeme wa Mashariki
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJuni 07, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, Kumbukumbu-za-Maongezi-ya-Kristo, Ukweli, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments
Chanzo cha Mafanikio ya Umeme wa Mashariki
Kila wakati Umeme wa Mashariki linapotajwa, ndugu wengi katika Bwana huhisi mafadhaiko: Ni kwa nini jumuiya ya kidini kwa ujumla huzidi kuhuzunika na kupotoka, wakati kila dhehebu linazidi kuwa na hadhari na kushikilia ukale katika kushutumu na kufukuza Umeme wa Mashariki, Umeme wa Mashariki halihuzuniki tu na kudhoofika, lakini linaendelea mbele kama mawimbi yasiyoweza kusimamishwa, likienea kote China Bara? Sasa kuwa hata limepanuka hata nje ya mipaka ya China hadi nchi za kigeni na maeneo, kama linavyokubaliwa na watu zaidi na zaidi duniani kote?