
Ijumaa, 18 Mei 2018
Umeme wa Mashariki | Ambua Barakoa, na Uanze Maisha Upya
By UnknownMei 18, 2018Hukumu-na-Kuadibu, Roho-Mtakatifu, Upendo-wa-Mungu, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Ambua Barakoa, na Uanze Maisha Upya
Chen Dan Mkoa wa Hunan
Mwishoni mwa mwaka jana, kwa sababu sikuweza kuzindua kazi ya injili katika eneo langu, familia ya Mungu ilimhamisha ndugu mmoja wa kiume kutoka eneo jingine ili kuchukua kazi...
New Swahili Gospel Movie "Jina la Mungu Limebadilika?!" | Kufunua Siri ya Jina la Mungu
New Swahili Gospel Movie "Jina la Mungu Limebadilika?!" | Kufunua Siri ya Jina la Mungu
Utambulisho
Jina lake ni Wang Hua, na ni mhubiri wa kanisa la nyumbani Kusini mwa Uchina. Baada ya kuanza kumwamini Bwana, alipata kwenye Biblia kuwa Mungu aliitwa Yehova katika Agano la Kale, na aliitwa Yesu katika Agano Jipya. Ni kwa nini Mungu ana majina...
Alhamisi, 17 Mei 2018
Umeme wa Mashariki | 72. Nilijifunza Kufanya Kazi na Wengine
By UnknownMei 17, 2018Katika-kufanya-kazi-pamoja, makusudi-ya-Mungu, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | 72. Nilijifunza Kufanya Kazi na Wengine
Liu Heng Mkoa wa Jiangxi
Kupitia neema na kuinuliwa kwa Mungu, nilichukua jukumu la kuwa kiongozi wa kanisa. Wakati huo, nilikuwa na shauku mno na niliweka azimio mbele ya Mungu: Bila kujali kinachonikabili,...
Swahili Christian Video "Mtoto, Rudi Nyumbani" | Hakuna Wokovu Ila Kupitia Kwa Bwana
By UnknownMei 17, 2018Filamu-za-Maisha-ya-Kanisa, kumtegemea-Mungu, Maombi, Shetani-na-mateso, Video, WokovuNo comments

Swahili Christian Video "Mtoto, Rudi Nyumbani" | Hakuna Wokovu Ila Kupitia Kwa Bwana
Li Xinguang ni mwanafunzi wa shule ya upili ya ngazi ya juu. Alikuwa mvulana mwenye busara na mwenye tabia nzuri tangu alipokuwa mdogo. Wazazi wake na walimu wake walimpenda sana. Alipokuwa akienda katika shule ya kati, alipumbazwa na michezo...
Jumatano, 16 Mei 2018
"Imani katika Mungu" (6) - Imani ya Kweli katika Mungu Inamaanisha Nini?

"Imani katika Mungu" (6) - Imani ya Kweli katika Mungu Inamaanisha Nini?
Utambulisho
Watu wengi wanaamini kwamba imani katika Mungu ni imani katika Biblia, na kwamba kumfanyia Bwana kazi kwa bidii ni uhalisi wa kuamini katika Mungu. Hakuna mtu katika ulimwengu wa dini...
Jumanne, 15 Mei 2018
39. Kutumia Neno la Mungu Kama Kioo
By UnknownMei 15, 2018kubadilisha-tabia-yangu, Neno-la-Mungu, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


39. Kutumia Neno la Mungu Kama Kioo
Wu Xia Mji wa Linyi , Mkoa wa Shandong
Baada ya kuikubali kazi hii na kula na kunywa neno la Mungu, ilikuwa dhahiri kwangu kwamba ni muhimu sana kwamba mimi nijifahamu. Kwa hiyo, nilipokuwa nikila na kunywa neno la Mungu,...
"Imani katika Mungu" (5) - Je, Kufanya Kazi kwa Bidii kwa ajili ya Bwana ni Uhalisi wa Imani katika Bwana?

"Imani katika Mungu" (5) - Je, Kufanya Kazi kwa Bidii kwa ajili ya Bwana ni Uhalisi wa Imani katika Bwana?
Utambulisho
Waumini wengi huamini kwamba mradi tunalilinda jina la Bwana, kuomba mara kwa mara, kusoma Biblia na kuwa na mikutano, na mradi sisi huyaacha vitu,...
Jumatatu, 14 Mei 2018
Umeme wa Mashariki | Ufafanuzi wa Tamko la Kumi na Sita
By UnknownMei 14, 2018Kiumbe-Aliyeumbwa, kupata-mwili, Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Umeme wa Mashariki | Ufafanuzi wa Tamko la Kumi na Sita
Mwenyezi Mungu alisema, Kwa watu, Mungu ni mkuu mno, mwenye utele mno, wa ajabu mno, Asiyeeleweka mno; machoni pao, maneno ya Mungu hupaa juu, na huonekana kama kazi bora sana ya ulimwengu. Lakini kwa vile watu wana kasoro nyingi sana, na akili zao ni za kawaida san...
Jumapili, 13 Mei 2018
46. Maana halisi ya "Uasi dhidi ya Mungu"
By UnknownMei 13, 2018Asili-ya-mtu, hukumu, Mungu, Ukweli, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


46. Maana halisi ya "Uasi dhidi ya Mungu"
Zhang Jun Mji wa Shenyang, Mkoa wa Liaoning
Katika siku za nyuma, niliamini kuwa "uasi dhidi ya Mungu" ilimaanisha kumsaliti Mungu, kuacha kanisa, au kuutelekeza wajibu wa mtu. Nilidhani tabia hizi hufanyiza uasi....
"Imani katika Mungu" (4) - Je, Kuamini katika Biblia ni Sawa na Kuamini katika Bwana?
By UnknownMei 13, 2018Biblia, Kristo-ndiye-ukweli, Kristo-ndiye-ukweli-njia-na-uzima, Kuamini-katika-Bwana, njia, Sehemu-za-Filamu, VideoNo comments


"Imani katika Mungu" (4) - Je, Kuamini katika Biblia ni Sawa na Kuamini katika Bwana?
Utambulisho
Watu wengi zaidi katika ulimwengu wa dini huamini kwamba Biblia ni kanuni ya Ukristo, kwamba mtu lazima ashikilie Biblia na kuweka msingi wa imani yake katika Bwana kwenye...
Jumamosi, 12 Mei 2018
34. Kupata Ahueni kwa Njia ya Kumwamini Mungu
By UnknownMei 12, 2018Kumwamini-Mungu, mabadiliko, maneno-ya-Mungu, ushuhuda, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


34. Kupata Ahueni kwa Njia ya Kumwamini Mungu
Zhuanbian Mji wa Shanghai
Ingawa nilikuwa nikimfuata Mungu kwa miaka mingi, nilikuwa karibu sijafanya maendeleo yoyote na kuingia kwangu katika maisha, na hii ilinifanya nihisi kuwa na wasiwasi sana. Hasa wakati...
Ijumaa, 11 Mei 2018
Umeme wa Mashariki | Ni Nini Ambacho Kimeidanganya Roho Yangu?
By UnknownMei 11, 2018katika-kutafuta-ukweli, Mungu-mwenye-haki, udanganyifu-wa-Shetani, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Ni Nini Ambacho Kimeidanganya Roho Yangu?
Xu Lei Mji wa Zaozhuang, Mkoa wa Shandong
Siku moja nilipokea taarifa juu ya mkutano. Kwa kawaida hili ni tukio la kufurahisha, lakini mara tu nilipofikiria jinsi kazi yangu hivi karibuni...