Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Jumapili, 3 Juni 2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | 3. Ujana Uliotumiwa Bila Majuto

Kanisa la Mwenyezi Mungu | 3. Ujana Uliotumiwa Bila Majuto                                           Xiaowen, Chongqing "Upendo ni hisia safi, safi bila ya...

Jumamosi, 2 Juni 2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | "Kuona Ni Kuamini" Haipaswi Kuaminiwa

Kanisa la Mwenyezi Mungu | "Kuona Ni Kuamini" Haipaswi Kuaminiwa                           Mji wa Zhengzhou, Mkoa wa Henan Awali, nilipokuwa nikisikia watu wakitoa maoni juu ya...

Ijumaa, 1 Juni 2018

10. Usitafute Mbinu Mpya Unapomtumikia Mungu

10. Usitafute Mbinu Mpya Unapomtumikia Mungu Heyi   Mji wa Zhuanghe, Mkoa wa Liaoning Nilikuwa nimepandishwa cheo tu kuchukua jukumu la kiongozi wa kanisa. Lakini baada ya kipindi cha kazi ngumu, sio tu kuwa kazi ya kiinjili ilikuwa bila uhai kiasi, lakini...

Alhamisi, 31 Mei 2018

32. Kila Neno la Mungu ni Maonyesho ya Tabia Yake

32. Kila Neno la Mungu ni Maonyesho ya Tabia Yake Wakati wowote nilipoona maneno haya yaliyosemwa na Mungu, nilihisi kuwa na wasiwasi: “Kila sentensi Niliyoizungumza inaendeleza tabia ya Mungu. Mngefanya vizuri zaidi...

Umeme wa Mashariki | 38. Siri Niliyoishikilia kwa Kina Ndani ya Moyo Wangu

Umeme wa Mashariki | 38. Siri Niliyoishikilia kwa Kina Ndani ya Moyo Wangu Wuzhi    Mji wa Linyi, Mkoa wa Shandong Katika majira ya kuchipua ya mwaka wa 2006, nilinyang'anywa cheo changu kama kiongozi na nikarudishwa nilikotoka kwa sababu nilifikiriwa kuwa...

Jumatano, 30 Mei 2018

Umeme wa Mashariki | Kuna Furaha Kubwa Katika Uaminifu

Umeme wa Mashariki | Kuna Furaha Kubwa Katika Uaminifu Gan'en    Mji wa Hefei, Mkoa wa Anhui Katika maisha yangu, siku zote nimeongozwa na msemo, "Mtu hapaswi kuwa na moyo wa kuwadhuru wengine, lakini lazima awe macho ili asidhuriwe" katika uingiliano wa kijamii....

Jumanne, 29 Mei 2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | 52. Jitiishe Mwenyewe ili Kufundisha Wengine Nidhamu

Kanisa la Mwenyezi Mungu | 52. Jitiishe Mwenyewe ili Kufundisha Wengine NidhamuXiaoyan    Jiji la Xinyang, Mkoa wa Henan Nilikuwa na ubia wa kazi wa karibu na dada mmoja mzee katika masuala ya jumla. Baada ya kufanya kazi naye kwa muda fulani, nikamwona kuwa...

Jumapili, 27 Mei 2018

Ni Muhimu Sana Kuanzisha Uhusiano wa Kufaa na Mungu

Ni Muhimu Sana Kuanzisha Uhusiano wa Kufaa na Mung Watu wanaamini katika Mungu, wanampenda Mungu, na kumkidhi Mungu kwa kugusa Roho wa Mungu kwa moyo wao, hivyo kupata ridhaa ya Mungu; na wakati wanajihusisha na maneno ya Mungu kwa moyo wao, kwa hivyo wanasisimuliwa...

Umeme wa Mashariki 56. Filosofia ya Shetani Inanasa na Kuharibu

Umeme wa Mashariki 56. Filosofia ya Shetani Inanasa na Kuharibu Wu You    Mji wa Hechi, Mkoa wa Guangxi Wakati fulani uliopita, kanisa lilinipangia kuishi na familia mwenyeji kwa sababu za kazi. Wakati nilipofanya ushirika kwanza na ndugu wa kiume na wa...

Jumamosi, 26 Mei 2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | 55. Njia ya Pekee ya Kuepuka Maafa

55. Njia ya Pekee ya Kuepuka Maafa Kanisa la Mwenyezi Mungu, Biblia, neema Chaotuo    Mji wa Xiaogan, Mkoa wa Hubei Tangu tetemeko la ardhi la Sichuan, daima nimekuwa na hofu na wasiwasi kwamba siku moja huenda nikakumbwa na maafa. Hasa kwa vile...

Umeme wa Mashariki | 58. Wivu, Ugonjwa Sugu Wa Kiroho

58. Wivu, Ugonjwa Sugu Wa Kiroho Kanisa la Mwenyezi Mungu, siku za mwisho, hukumu He Jiejing    Jiji la Hezhou, Mkoa wa Guangxi Dada mmoja na mimi tuliunganishwa ili tusahihishe makala pamoja. Tulipokuwa tukikutana, nilitambua...

1. Mwenyezi Mungu Amenipa Fursa ya Pili Katika Maisha

1. Mwenyezi Mungu Amenipa Fursa ya Pili Katika Maisha Agosti 15, 2012Ndugu wawili wa kawaida, Beijing  Julai 21, mwaka wa 2012 ilikuwa siku isiyosahaulika sana kwangu, pamoja na kuwa siku muhimu zaidi ya maisha yangu.    Siku hiyo,...