
Alhamisi, 25 Januari 2018
Swahili Christian Movie "Maskani Yangu Yako Wapi" | Mungu ni Kimbilio la Nafsi Yangu

Wazazi wa Wenya walitengana alipokuwa na umri wa miaka miwili, na baada ya hapo aliishi na baba yake na mama wa kambo. Mamake wa kambo hakuweza kumvumilia na daima alikuwa akibishana na baba yake. Alikuwa na chaguo dogo — alilazimika kumpeleka Wenya nyumbani kwa mama...
Kuijua Kazi ya Mungu Leo
By UnknownJanuari 25, 2018kupata-mwili, kuzungumza-maneno, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Kuijua Kazi ya Mungu Leo
Mwenyezi Mungu alisema, Kuijua kazi ya Mungu katika nyakati hizi, kwa sehemu kubwa, ni kumjua Mungu katika mwili wa siku za mwisho, kile ambacho ni huduma Yake kuu, na kile ambacho Amekuja kufanya duniani. Hapo mwanzoni Nimesema katika maneno...
Jumatatu, 22 Januari 2018
Mnapaswa Kuzingatia Matendo Yenu
By UnknownJanuari 22, 2018Kiumbe-Aliyeumbwa, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Upendo-wa-Mungu, Vitabu, WatimilifuNo comments


Mnapaswa Kuzingatia Matendo Yenu
Mwenyezi Mungu alisema, Kulingana na vitendo na matendo katika maisha yenu, nyote mnahitaji kurasa za maneno ya kuwajaza na kuwajenga kila siku, kwani mko na upungufu mno, na ujuzi na maarifa yenu ya kupokea ni ya hali ya chini sana....
Mungu Ndiye Chanzo cha Uhai wa Mwanadamu
By UnknownJanuari 22, 2018Kiumbe-Aliyeumbwa, Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, uaminifu, Ukombozi, VitabuNo comments


Mungu Ndiye Chanzo cha Uhai wa Mwanadamu
Tangu unapoingia katika dunia hii ukilia, unaanza kutekeleza wajibu wako. Unachukua jukumu lako katika mpango wa Mungu na katika utaratibu wa Mungu. Unaanza safari ya maisha. Licha ya asili yako na licha ya safari iliyoko mbele...
Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee X
By UnknownJanuari 22, 2018Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, ulimwengu-wa-kiroho, Upendo, usimamizi, VitabuNo comments


Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee X
Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote (IV)
Leo, tunafanya ushirika juu ya mada maalum. Kwa kila mmoja wenu, kuna vitu viwili vikuu tu ambavyo mnapaswa kujua, kuvipitia na kuvielewa—na vitu hivi viwili ni vipi? Cha kwanza ni kuingia...
Jumamosi, 20 Januari 2018
Christian Music Video Swahili “Hadithi ya Xiaozhen” | Mungu ni upendo

Christian Music Video Swahili “Hadithi ya Xiaozhen” | Mungu ni upendo
Xiaozhen alikuwa Mkristo mwenye moyo safi, ulio na huruma, ambaye kila wakati alikuwa akiwashughulikia wenzake kwa uaminifu. Hata hivyo, ilipokuwa ni kwa manufaa yao, marafiki wake wa awali waligeuka...
Yote Yanafanikishwa Kupitia kwa Neno la Mungu
By UnknownJanuari 20, 2018hukumu, Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, siku-za-mwisho, ukamilifu, VitabuNo comments


Yote Yanafanikishwa Kupitia kwa Neno la Mungu
Mwenyezi Mungu alisema, Mungu huzungumza maneno Yake na kufanya kazi Yake kulingana na enzi tofauti, na katika enzi tofauti, Anazungumza maneno tofauti. Mungu hafuati sheria, ama kurudia kazi ya awali, ama kuhisi hali ya kumbukumbu...
Ijumaa, 19 Januari 2018
Jinsi ya Kuhudumu kwa Upatanifu na Mapenzi ya Mungu

Jinsi ya Kuhudumu kwa Upatanifu na Mapenzi ya Mungu
Mwenyezi Mungu alisema, Leo, tutawasiliana hasa jinsi watu wanavyostahili kumhudumia Mungu katika imani yao Mungu, masharti yanayopaswa kutimizwa na kinachopaswa kufahamika na watu wanaomhudumia Mungu, na mikengeuko...
Alhamisi, 18 Januari 2018
Kumpenda Mungu Tu Ndiko Kumwamini Mungu Kweli
By UnknownJanuari 18, 2018kumpenda-Mungu, Kumwamini-Mungu, kutenda-ukweli, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Kumpenda Mungu Tu Ndiko Kumwamini Mungu Kweli
Mwenyezi Mungu alisema, Mnapotaka kumpenda na kumjua Mungu leo, kwa upande mmoja ni lazima mstahimili mateso, usafishaji, na kwa ule upande mwingine, ni lazima mgharamike. Hakuna funzo lililo kubwa kuliko lile la kumpenda...
Jumatatu, 15 Januari 2018
Kumwamini Mungu Lazima Kulenge Uhalisi, Si Tamaduni za Kidini

Kumwamini Mungu Lazima Kulenge Uhalisi, Si Tamaduni za Kidini
Mwenyezi Mungu alisema, Je, ni desturi ngapi za kidini unazozizingatia? Ni mara ngapi wewe umeasi dhidi ya neno la Mungu na kwenda kwa njia yako mwenyewe?...
Jumapili, 14 Januari 2018
Ole Wao Wale Wamsulubishae Mungu Mara Nyingine Tena

5. Ole Wao Wale Wamsulubishae Mungu Mara Nyingine Tena
Katika siku za mwisho, Mungu amepata mwili katika nchi ya China kufanya kazi, na Ameonyesha mamilioni ya maneno, Akishinda na kuokoa kundi la watu kwa neno Lake na kuikaribisha enzi mpya ya hukumu ikianza na nyumba...
Jumamosi, 13 Januari 2018
Ni Tofauti Gani Iliyopo Kati Ya Ukristo na Kanisa la Mwenyezi Mungu?
By Suara TuhanJanuari 13, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Kuhusu-Sisi, Maswali-Yanayoulizwa-Mara-NyingiNo comments

Ni Tofauti Gani Iliyopo Kati Ya Ukristo na Kanisa la Mwenyezi Mungu?
Ukristo na Kanisa la Mwenyezi Mungu huamini katika Mungu huyo huyo. Watu wanaoelewa historia ya dini wanajua kwamba Uyahudi wa Israeli ulizaliwa na kazi ambayo Yehova Mungu alifanya wakati wa Enzi ya Sheria. Ukristo, Ukatoliki, na Othodoksi ya Mashariki yote yalikuwa makanisa...