Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Muziki wa Akapela "Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu" (Video Rasmi ya Muziki)

Hayuko katika upeo wa mbali, wala hajajificha juu mawinguni. Yuko kando yako, akiwa na mamlaka juu ya kila kitu chako, Yeye ni kila kitu ulicho nacho, na Yeye ni kitu pekee ulicho nacho.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Jumatatu, 12 Machi 2018

Umeme wa Mashariki | Kuhusu Biblia (2)

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Umeme wa Mashariki | Kuhusu Biblia (2)

Mwenyezi Mungu alisema, Biblia pia huitwa Agano la Kale na Agano Jipya. Je, mnajua “agano” linarejelea nini? “Agano” katika Agano la Kale linatokana na makubaliano ya Yehova na watu wa Israeli Alipowaua Wamisri na kuwaokoa Waisraeli kutoka kwa Farao.

Umeme wa Mashariki | Njia... (8)

Umeme wa Mashariki | Njia... (8) 

 Mwenyezi Mungu alisema, Wakati ambapo Mungu anakuja duniani kuchanganyika na wanadamu, kuishi nao, sio tu kwa siku moja au mbili. Labda kwa wakati huu wote watu wamemjua Mungu kwa kiwango fulani, na labda wamepata utambuzi muhimu wa kumhudumia Mungu, na wamepata uzoefu sana katika imani yao katika Mungu. Hata iweje, watu wanaelewa vizuri sana tabia ya Mungu, na maonyesha ya kila aina ya tabia za binadamu yanatofautiana kwa kweli.

Jumapili, 11 Machi 2018

Umeme wa Mashariki | Njia… (7)

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Umeme wa Mashariki | Njia… (7)

Mwenyezi Mungu alisema, Sote tunaweza kuona katika uzoefu wetu wa utendaji kwamba kuna nyakati nyingi ambazo Mungu binafsi ametufungulia njia ili tuwe tunakanyaga njia iliyo imara zaidi, ya kweli zaidi. Hii ni kwa sababu hii ndiyo njia ambayo Mungu alitufungulia tangu mwanzo wa wakati na imepitishwa kwa kizazi chetu baada ya makumi ya maelfu ya miaka.

Jumamosi, 10 Machi 2018

Umeme wa Mashariki | Njia... (6)

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Umeme wa Mashariki | Njia... (6)

Mwenyezi Mungu alisema, Ni kwa sababu ya kazi ya Mungu ndio tumeletwa katika siku hii. Kwa hiyo, sisi sote ni wasaliaji katika mpango wa usimamizi wa Mungu, na kwamba tunaweza kubakizwa mpaka siku hii ni kutiwa moyo kwa hali ya juu kutoka kwa Mungu.

Umeme wa Mashariki | Njia… (5)

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Umeme wa Mashariki | Njia… (5)

Mwenyezi Mungu alisema, Ilikuwa kwamba hakuna aliyejua Roho Mtakatifu, na hasa hawakujua njia ya Roho Mtakatifu ilikuwa gani. Ndio maana watu kila mara walifanya upumbavu mbele ya Mungu. Inaweza kusemwa kwamba karibu watu wote wanaoamini katika Mungu hawamjui Roho, lakini tu wana aina ya imani iliyochanganyikiwa.Ni wazi kutokana na hili kwamba watu hawamfahamu Mungu, na hata ingawa wanasema wanaamini katika Yeye, kuhusu kiini chake, kulingana na matendo yao wanaamini katika wao wenyewe, sio Mungu. Kutokana na uzoefu Wangu binafsi wa kweli, Naweza kuona kwamba Mungu humshuhudia Mungu katika mwili, na kutoka nje, watu wote hulazimishwa kukubali ushahidi Wake, na inaweza tu kusemwa kwa shida kuwa wanaamini kwamba Roho wa Mungu hana kosa kabisa. Hata hivyo, Nasema kwamba kile ambacho watu wanaamini si mtu huyu na hasa si Roho wa Mungu, lakini wanaamini katika hisia zao wenyewe. Je, huko si kuamini tu katika wao wenyewe? Maneno haya Nisemayo yote ni ya kweli. Huko si kupachika watu majina, lakini nahitaji kueleza wazi kitu kimoja—kwamba watu wanaweza kuletwa katika siku hii, wawe wana uwazi au wamechanganyikiwa, hii yote inafanywa na Roho Mtakatifu na si kitu ambacho wanadamu wanaweza kuamuru. Huu ni mfano wa kile ambacho Nimetaja awali kuhusu Roho Mtakatifu kulazimisha imani ya watu. Hivi ndivyo Roho Mtakatifu hufanya kazi, na ni njia moja ambayo Roho Mtakatifu hufuata. Haijalishi yule ambaye watu huamini kwa asili, Roho Mtakatifu kwa nguvu huwapa watu aina fulani ya hisia ili waamini katika Mungu ndani ya mioyo yao. Hii siyo aina ya imani uliyo nayo? Je, huhisi kwamba imani yako katika Mungu ni kitu cha ajabu? Je, hudhani kwamba ni kitu cha ajabu kwamba huwezi kuepuka kutoka kwa mkondo huu? Hujaweka juhudi yoyote kulitafakari hili? Hii siyo ishara na ajabu kuu zaidi? Hata kama umekuwa na hamu kubwa ya kutoroka mara nyingi, huwa kila mara kuna nguvu ya maisha kuu inayokuvutia na kukufanya usite kuondoka. Na kila mara unapokabiliwa na hili unasongwa roho na kuwa na kikweukweu, na hujui la kufanya. Na kuna watu wengine ambao hujaribu kuondoka. Lakini unapojaribu kwenda, ni kama kisu kwa moyo wako, na ni kama kwamba nafsi yako imetolewa ndani yako na zimwi juu ya dunia ili moyo wako uwe na wahaka na ukose amani. Baada ya hilo, huwezi kufanya lolote bali kujitayarisha kukutana na jambo gumu na kurudi kwa Mungu…. Hujawahi kuwa na tukio hili? Naamini kwamba ndugu wadogo ambao wanaweza kuifungua mioyo yao watasema: “Ndio! Nimekuwa na matukio mengi sana kama haya; Ninaona aibu sana kuyafikiria!” Katika maisha Yangu ya kila siku Mimi huwa na furaha kila mara kuwaona ndugu Zangu wadogo kama wandani Wangu kwa sababu wamejawa na umaasumu—wao ni safi na wa kupendeka. Ni kama kwamba wao ni wenzi Wangu. Hii ndio maana kila mara Mimi hutafuta nafasi ya kuwaleta wandani Wangu wote pamoja, kuzungumza juu ya maadili yetu na mipango yetu. Mapenzi ya Mungu yatekelezwe ndani yetu ili sote tuwe kama mwili na damu, bila vizuizi na bila umbali. Hebu sote tuombe kwa Mungu: “Ee Mungu! Ikiwa ni mapenzi Yako, tunakusihi utupe mazingira yanayofaa ili sote tutambue matamanio yaliyo ndani ya mioyo yetu. Utuonee huruma sisi ambao ni wadogo na wanaokosa akili, ili tutumie kila tone la nguvu ndani ya mioyo yetu!” Naamini kwamba haya lazima yawe ni mapenzi ya Mungu kwa sababu zamani sana, Nilisema ombi hili mbele ya Mungu: “Baba! Sisi tulio duniani hukuita wakati wote, na kutarajia kwamba mapenzi Yako yatatimizwa hivi karibuni duniani. Niko radhi kutafuta mapenzi Yako. Fanya Unalotaka kufanya, na timiza kile Ulichonikabidhi Mimi mapema iwezekanavyo. Maadamu mapenzi Yako yanaweza kutimizwa mapema iwezekanavyo, Niko radhi hata Wewe ufungue njia mpya miongoni mwetu. Tarajio Langu pekee ni kwamba kazi Yako iweze kutimizwa hivi punde. Naamini kwamba hakuna sheria zinazoweza kuichelewesha kazi Yako! ”Hii ni kazi ambayo Mungu anafanya sasa. Hujaona njia ambayo Roho Mtakatifu anapitia? Ninapokutana na ndugu wazee, huwa kuna hisia ya ukandamizaji ambayo Siwezi kutambua kiini chake. Ni wakati Ninapokuwa nao tu ndio Ninaweza kuona kwamba wana uvundo mbaya wa jamii, na fikira zao za kidini, uzoefu wa kushughulikia mambo, njia zao za kuzungumza, maneno wayatumiayo, n.k., yote yanaudhi. Ni kama kwamba wamejawa na hekima na Mimi kila mara hukaa mbali nao kwa sababu Kwangu binafsi, falsafa Yangu ya maisha imepungukiwa sana. Nikiwa nao kila mara Mimi huhisi kuchoshwa na kulemewa, na wakati mwingine hilo huwa baya sana, la kukandamiza sana mpaka siwezi hata kupumua. Kwa hiyo katika nyakati hizi za hatari, Mungu hunipa Mimi njia bora ya kuepuka. Labda ni kuelewa Kwangu visivyo. Ninajali tu kuhusu kinachomfaidi Mungu; kutekeleza mapenzi ya Mungu ni muhimu zaidi. Mimi hukaa mbali sana na watu hawa, na ikiwa Mungu ananihitaji Nijihusishe nao, basi Mimi hutii. Katu sio kwamba wao ni wenye makuruhu, lakini ni kwamba “hekima,” fikira, na falsafa zao za maisha zinakera sana. Niko hapa kutimiza kile ambacho Mungu amenikabidhi Mimi, sio kujifunza kutoka kwa uzoefu wao namna ya kushughulikia mambo. Nakumbuka kwamba wakati mmoja Mungu aliniambia yafuatayo: “Hapa duniani, tafuta mapenzi ya Baba na utimize kile Alichokukabidhi. Mengine yote ni yasiyokuhusu Wewe.” Ninapofikiria juu ya hili Mimi huhisi amani kidogo. Hii ni kwa sababu Mimi huhisi kila mara kwamba mambo ya dunia ni yenye utata sana na kwamba Siwezi kuyafahamu hayo—huwa Sijui la kufanya. Kwa hiyo sijui ni mara ngapi Nimekuwa mwenye wasiwasi sana kuhusu hili na Nimechukia wanadamu—mbona watu ni wenye utata sana? Kuna tatizo gani na kuwa wa kawaida kidogo? Kujaribu kuwa mwerevu—ya nini kujisumbua? Ninapojihusisha na watu kwa kiwango kikubwa ni kwa msingi wa agizo la Mungu Kwangu, na hata kama kumekuwa na nyakati chache ambazo hali haikuwa hiyo, nani anaweza kujua labda ni nini kimejificha katika moyo Wangu?
Kuna nyakati nyingi ambapo Nimewashauri ndugu walio nami kwamba wanapaswa kuamini katika Mungu kutoka ndani ya mioyo yao wenyewe na sio kuhifadhi mambo wayapendayo wenyewe, kwamba wanapaswa kujali mapenzi Yake. Nimelia kwa uchungu mbele ya Mungu mara nyingi—kwa nini watu hawajali mapenzi ya Mungu? Je, yawezekana kwamba kazi ya Mungu ingepotea tu bila dalili bila sababu yoyote kabisa? Sijui ni kwa nini, na inaonekana kwamba kimekuwa kitendawili katika moyo Wangu. Kwa nini watu huwa hawatambui njia ya Roho Mtakatifu, lakini kila mara wao huwa wanadumisha mahusiano yasiyofaa kati ya watu wawili?Mimi huchafuka moyo Ninapowaona watu hivi. Wao hawaoni njia ya Roho Mtakatifu, lakini huzingatia tu kile ambacho watu hufanya. Moyo wa Mungu unaweza kuridhishwa kwa njia hii? Mimi huhuzunishwa mara kwa mara na hili. Inaonekana kwamba huu umekuwa mzigo Wangu kubeba. Roho Mtakatifu pia anasikitishwa kuhusu hili—je, huhisi lawama yoyote ndani ya moyo wako? Mungu na Afungue macho yetu ya kiroho. Kama yule Anayewaongoza watu kuingia katika roho, Nimeomba mbele ya Mungu mara nyingi: “Ee Baba! Naomba Nifanye mapenzi Yako kiini na kutafuta mapenzi Yako. Niwe mwaminifu kwa kile Ulichonikabidhi Mimi ili Wewe uweze kulipata kundi hili la watu. Utulete katika ulimwengu huru ili sote tuweze kukutana na Wewe na roho zetu. Amsha hisia za kiroho ndani ya mioyo yetu! ”Natarajia kwamba mapenzi ya Mungu yatatimizwa, kwa hiyo Ninamwomba bila kukoma ili Roho wa Mungu aendelee kutupa sisi nuru na kuturuhusu sote kufuata njia inayoongozwa na Roho Mtakatifu. Hii ni kwa sababu njia Ninayotembea ni njia ya Roho Mtakatifu. Ni nani mwingine angetembea njia hiyo kwa niaba Yangu? Ni hili ndilo hufanya mzigo Wangu kuwa mzito zaidi. Nahisi kama kwamba Ninakaribia kuanguka, lakini Naamini kwamba Mungu bila shaka hatachelewesha kazi Yake. Labda wakati ambapo kile Alichonikabidhi kitatimizwa tutawachana. Kwa hiyo labda ni kwa sababu ya athari ya Roho wa Mungu ndio Nimehisi kila mara kuwa tofauti na wengine. Ni kama kwamba Mungu anataka kufanya kazi fulani, na sasa bado Sijapata ufahamu mzuri kuihusu. Hata hivyo, Naamini kwamba hakuna yeyote duniani aliye bora kuliko wandani Wangu, na Naamini kwamba wandani Wangu wataniombea mbele ya Mungu. Ikiwa hivyo, Nitashukuru kupita kiasi kuhusu hili. Natarajia kwamba ndugu Zangu watasema Nami. “Ee Mungu! Tunaomba mapenzi Yako yafichuliwe ndani yetu sisi katika enzi ya mwisho ili tubarikiwe na maisha ya roho, ili tuone matendo ya Roho wa Mungu na uso Wake wa kweli! ”Mara tuifikiapo hatua hii tutakuwa tunaishi kweli chini ya uongozi wa Roho, na ni wakati huo tu ndipo tutaweza kuuona uso wa kweli wa Mungu. Yaani, watu wataweza kufahamu maana ya kweli ya ukweli wote. Haufahamiki au kujulikana kupitia kwa fikira za wanadamu, lakini kupata nuru hufanyika kulingana na mapenzi ya Roho wa Mungu. Katika uzima wake wote, huyu ni Mungu Mwenyewe anayefanya kazi bila hata chembe kidogo ya wazo la mwanadamu ndani yake. Huu ni mpango Wake wa kazi kwa matendo Anayotaka kufichua duniani, na ni sehemu ya mwisho ya kazi Yake duniani. Uko radhi kushiriki katika kazi hii? Unataka kushiriki katika kazi hii? Una hiari ya kukamilishwa na Roho Mtakatifu na kufurahia maisha ya roho?
Kazi muhimu sana wakati huu ni kuzama ndani zaidi kutoka kwa msingi wetu wa asili. Ni lazima tuzame ndani zaidi katika hali za ukweli, maono, na maisha yetu. Kwa hali yoyote, lazima kwanza Niwakumbushe ndugu Zangu kwamba ili kuingia katika kazi hii, ni lazima uache fikira zako za awali. Yaani, ni lazima ubadilishe mwenendo wako wa maisha wa awali, ufanye mpango mpya, na kufungua ukurasa mpya. Ukiendelea kutetea kile ambacho kimekuwa cha thamani kwako katika maisha ya nyuma, Roho Mtakatifu hataweza kutembea ndani yako; Atakuwa na shida kuweza kuhimili maisha yako. Mtu asipotafuta au kuingia ndani, au kupanga, Roho Mtakatifu atamwacha kabisa. Hii inaitwa yule aliyekataliwa na enzi. Natarajia kwamba ndugu Zangu wote wataweza kuufahamu moyo Wangu, na pia Natarajia kwamba “washirika wapya” wengi zaidi wataweza kuinuka na kufanya kazi na Mungu kutimiza kazi hii pamoja. Naamini kwamba Mungu atatubariki, na pia Naamini kwamba Mungu atanipa wandani wengi zaidi ili Niweze kusafiri mpaka miisho ya dunia na tuwe hata na upendo mwingi zaidi kati yetu. Nimeridhika kabisa kwamba Mungu atapanua ufalme Wake kwa ajili ya juhudi zetu, na Natarajia kwamba kazi yetu ya bidii itafikia viwango visivyo na kifani ili Mungu apate vijana wengi zaidi. Sote tuombee hili zaidi na kumsihi Mungu bila kukoma ili maisha yetu yaendelee mbele Yake, na kwamba tuwe wandani na Mungu. Kusiwe na vizuizi vyovyote miongoni mwetu, na sote tule kiapo hiki mbele ya Mungu: “Kufanya kazi kwa umoja! Kuwa na moyo wa kuabudu mpaka mwisho! Kutotengana kamwe, kuwa pamoja kila mara!” Ndugu Zangu wekeni uamuzi huu mbele ya Mungu ili mioyo yetu isipotee na hiari yetu isiyumbeyumbe! Ili kutimiza mapenzi ya Mungu, Ningependa kusema tena: Fanya kazi kwa bidii! Ipatie kila kitu ulichonacho! Mungu atatubariki kabisa!
kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili
Kujua zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Ijumaa, 9 Machi 2018

Umeme wa Mashariki | Njia… (4)

Umeme wa Mashariki | Njia… (4)

Mwenyezi Mungu alisema, Kwamba watu wanaweza kugundua kupendeza kwa Mungu, kutafuta njia ya kumpenda Mungu katika enzi hii, na kwamba wako radhi kukubali mafunzo ya ufalme wa leo—hii yote ni neema ya Mungu na hata zaidi, ni Yeye ndiye anawainua wanadamu. Kila Nifikiriapo juu ya hili Mimi huhisi kwa uthabiti kupendeza kwa Mungu.

Umeme wa Mashariki | Njia… (3)

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Umeme wa Mashariki | Njia… (3)

Mwenyezi Mungu alisema, Katika maisha Yangu, Niko radhi kila mara kujitolea Mwenyewe kwa Mungu kabisa, mwili na fikra. Kwa njia hii, hakuna lawama kwa dhamiri Yangu na Naweza kupata kiasi kidogo cha amani. Mtu anayeandama uzima ni lazima kwanza aukabidhi moyo wake wote kwa Mungu kabisa. Hili ni sharti la mwanzo.

Alhamisi, 8 Machi 2018

Umeme wa Mashariki | Njia… (2)

Umeme wa Mashariki | Njia… (2)

Mwenyezi Mungu alisema, Labda ndugu na dada zetu wana muhtasari kidogo wa utaratibu, hatua, na mbinu za kazi ya Mungu katika China bara, lakini Mimi huhisi kila mara kwamba ni heri kuwa na kumbukumbu au muhtasari kidogo wa ndugu na dada zetu. Ninatumia tu nafasi hii kusema machache ya kile kilicho moyoni Mwangu; Sizungumzi juu ya chochote nje ya kazi hii.Natarajia kwamba ndugu na dada wanaweza kuelewa hali ya moyo Wangu, na pia Naomba kwa unyenyekevu kwamba wote wanaosoma maneno

Umeme wa Mashariki | Njia… (1)

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Umeme wa Mashariki | Njia… (1)

Mwenyezi Mungu alisema, maisha yake, hakuna mtu anayejua ni aina gani ya vipingamizi ataenda kukutana navyo, wala hajui ni aina gani ya kusafishwa ambayo atapata mara kwa mara. Kwa wengine ni katika kazi yao, kwa wengine ni katika matazamio yao ya siku za baadaye, kwa wengine ni katika familia yao ya asili, na kwa wengine ni katika ndoa yao.

Jumatano, 7 Machi 2018

Swahili Christian Song "Ni Furaha Kuu kuwa Mtu Mwaminifu" | Mbinguni ni mahali pa mtu mwaminifu


Swahili Christian Song "Ni Furaha Kuu kuwa Mtu Mwaminifu" | Mbinguni ni mahali pa mtu mwaminifu


Kuelewa ukweli huiachilia huru roho ya mtu
na kumfanya mtu kuwa mwenye furaha.
Nimejazwa na imani katika neno la Mungu na sina shaka.
Mimi niko bila uhasi wowote,
sirudi nyuma, na kamwe sikati tamaa.
Ninauunga mkono wajibu wangu
kwa moyo wangu wote na mawazo, na siujali moyo.
Ingawa ubora wa tabia yangu ni wa chini,
nina moyo wa uaminifu.
Nimejitolea kikamilifu katika kila kitu
ili kuyaridhisha mapenzi ya Mungu.
Ninatenda ukweli, namtii Mungu,
na kujaribu kuwa mtu mwaminifu.
Mimi ni wazi na mnyoofu,
bila uongo, nikiishi kwenye mwanga.
Watu waaminifu, kuja haraka, hebu tuongee kwa dhati.
Watu wote wampendao Mungu,
njooni mkusanyike na kuungana kama marafiki wazuri.
Watu wote wenye kupenda ukweli ni ndugu.
Ee watu wenye furaha,
njooni muimbe na kucheza katika sifa kwa Mungu.

Kuelewa ukweli huiachilia huru roho ya mtu
na kumfanya mtu kuwa mwenye furaha.
Nimejazwa na imani katika neno la Mungu na sina shaka.
Mimi niko bila uhasi wowote,
sirudi nyuma, na kamwe sikati tamaa.
Ninauunga mkono wajibu wangu
kwa moyo wangu wote na mawazo, na siujali moyo.
Ingawa ubora wa tabia yangu ni wa chini,
nina moyo wa uaminifu.
Nimejitolea kikamilifu katika kila kitu
ili kuyaridhisha mapenzi ya Mungu.
Ninatenda ukweli, namtii Mungu,
na kujaribu kuwa mtu mwaminifu.
Mimi ni wazi na mnyoofu,
bila uongo, nikiishi kwenye mwanga.
Watu waaminifu, kuja haraka, hebu tuongee kwa dhati.
Watu wote wampendao Mungu,
njooni mkusanyike na kuungana kama marafiki wazuri.
Watu wote wenye kupenda ukweli ni ndugu.
Ee watu wenye furaha,
njooni muimbe na kucheza katika sifa kwa Mungu.
Watu waaminifu, kuja haraka, hebu tuongee kwa dhati.
Watu wote wampendao Mungu,
njooni mkusanyike na kuungana kama marafiki wazuri.
Watu wote wenye kupenda ukweli ni ndugu.
Ee watu wenye furaha,
njooni muimbe na kucheza katika sifa kwa Mungu.

Watu waaminifu, kuja haraka, hebu tuongee kwa dhati.
Watu wote wampendao Mungu,
njooni mkusanyike na kuungana kama marafiki wazuri.
Watu wote wenye kupenda ukweli ni ndugu.
Ee watu wenye furaha,
njooni muimbe na kucheza katika sifa kwa Mungu.
Watu waaminifu, kuja haraka, hebu tuongee kwa dhati.
Watu wote wampendao Mungu,
njooni mkusanyike na kuungana kama marafiki wazuri.
Watu wote wenye kupenda ukweli ni ndugu.
Ee watu wenye furaha,
njooni muimbe na kucheza katika sifa kwa Mungu.
Watu waaminifu, kuja haraka, hebu tuongee kwa dhati.
Watu wote wampendao Mungu,
njooni mkusanyike na kuungana kama marafiki wazuri.
Watu wote wenye kupenda ukweli ni ndugu.
Ee watu wenye furaha,
njooni muimbe na kucheza katika sifa kwa Mungu.

Kutoka kwa Fuata Mwanakondoo na Imba Nyimbo Mpya
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, upendo wa Mungu

kwa manenokwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama MchungajUmeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa i. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.


Anzeni Maisha Mapya - "Nimeuona uzuri wa Mungu" (Video Rasmi ya Muziki)

Anzeni Maisha Mapya - "Nimeuona uzuri wa Mungu" (Video Rasmi ya Muziki)

Nimeuona uzuri wa Mungu

I
Nasikia sauti ijulikanayo ikiniita mara kwa mara.
Nikaamka na kuangalia kuona, ni nani aliye pale akizungumza.
Sauti yake ni nyororo lakini kali, picha Yake nzuri!
Nateseka kupigwa na kuvumilia maumivu makubwa, nikipapaswa na mkono Wake wenye upendo.
Halafu natambua ni Mwenyezi ambaye nilipigana naye.
Najichukia mwenyewe, kwa majuto makubwa, fikiria niliyoyafanya.
Nimepotoka kwa kina, hakuna wanadamu, sasa nauona ukweli.
Pamoja na mwanzo mpya, kujiingiza katika maisha halisi, kutimiza wajibu wangu.
Kwa hali, kushindana na Mungu, mimi siheshimiki.
Mungu bado Mungu, mtu ni mtu—mimi ni mjinga sana.
Mjinga na mwenye kiburi kiasi cha kutoijua nafsi yangu halisi.
Nilikosa aibu na kutahayarika; moyo wangu umejaa majuto.
Najichukia mwenyewe, bila kujua kile ninachoishia.
Shetani alinikanyaga kwa miaka mingi sana, nikawa mdharauliwa.
Wakishapewa sumu na yule Mwovu, wanadamu wamepotea.
Kama sitabadilishwa na kuzaliwa upya, sina maisha ya kweli.

II
Tabia yangu potovu hunisumbua, huduma yangu bado i bure.
Ni mjinga wa kumjua Mungu, na kujawa na dhana; jinsi gani mimi singepinga?
Mungu hunihukumu, kwa uasi wangu, na ukosefu wa uadilifu.
Nimeuona upendo wa kweli wa kuadibu na kuhukumu.
Mungu ni mwenye haki, mimi nina hakika kabisa.Niko ana kwa ana naye.
Wokovu wa vitendo wa Mungu umenisaidia kufika uambali huu.
Uhalisi wa Mungu na uweza wake, vimefichuliwa kikamilifu kwa mtu.
Kwa kuishi katika mwanga, namjua Mungu na kuuona uzuri wake.
Nikiwa na nia ya kutimiza wajibu, Nitamtosheleza Mungu na kumpenda.

kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, hukumu
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Jumanne, 6 Machi 2018

Swahili Christian Testimony Video "Utamu katika Shida" | Mungu Ndiye Nguvu Wangu

Swahili Christian Testimony Video "Utamu katika Shida" | Mungu Ndiye Nguvu Wangu

Han Lu ni kiongozi wa Kanisa la Mwenyezi Mungu katika China bara. Ameamini katika Mungu kwa zaidi ya muongo mmoja na amepitia kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho. Anaelewa baadhi ya ukweli na anajua kwamba ni kupitia tu Kristo wa siku za mwisho, Mwenyezi Mungu, ndiyo mwanadamu ataweza kuwekwa huru kutoka dhambini na kuishi maisha yenye maana. Ametupa mbali kila kitu kumfuata Mwenyezi Mungu, na ametembea huku na huku na kushuhudia kuonekana kwa Mungu na kazi katika siku za mwisho. Hata hivyo, nchini China ambako chama cha kisiasa kikanamungu cha CCP kiko mamlakani, hakuna uhuru wa imani ya dini kwa vyovyote. Serikali ya CCP imetoa hati za siri ikipiga marufuku kabisa makanisa yote ya nyumbani, na wamewakamata kwa hasira na kuwatesa Wakristo. Han Lu na wengine walichunguzwa na kufuatwa na maafisa wa polisi wa CCP, ambayo ilisababisha kukamatwa kwao. Maafisa hao wa polisi wa CCP wamemtesa kikatili Han Lu kujaribu kuliibia kanisa mali lake na kuwashika wakuu zaidi wa kanisa, na pia wametumia uvumi na uongo kumtia kasumba, wakatumia familia yake kujaribu kumshurutisha, na njia zingine za kudharauliwa kujaribu kumtishia katika jaribio la kumshurutisha amkane Mungu na kumsaliti Mungu. … Katika uchungu na udhaifu wake, Han Lu amemtegemea Mungu na kumwomba Mungu, na chini ya uongozi wa neno la Mungu, ameweza kubaini ujanja wote wa Shetani. Ameweza kustahimili mahojiano mengi chini ya mateso na ameweza kwa nguvu kukana uvumi na uongo kadhaa wa CCP. Ndani ya mazingira machungu ya utesaji wa CCP, ushuhuda wa kupendeza na wa nguvu umefanywa …
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki,maombi

Kujua zaidi:  Umeme wa Mashariki