
Jumanne, 13 Machi 2018
Ukweli Wafichuliwa Kuhusu Kesi ya Zhaoyuan ya Mei 28 – CCP Ilikuwa Mwelekezi wa Siri wa Tendo Zima
By UnknownMachi 13, 2018Kufunua-Mfululizo-wa-Video-za-Ukweli, makanisa-ya-nyumbani, Ukweli-Wafichuliwa-Kuhusu, Video, Wakristo-wa-ChinaNo comments


Ukweli Wafichuliwa Kuhusu Kesi ya Zhaoyuan ya Mei 28 – CCP Ilikuwa Mwelekezi wa Siri wa Tendo Zima
Utambulisho
Katika mwaka wa 2014, CCP ilibuni bila msingi maalum Tukio la Zhaoyuan lenye sifa mbaya la mnamo 5/28 katika jimbo la Shandong ili kutunga msingi wa maoni ya...
Ngoma ya Kikristo | Swahili Worship Song "Ufalme wa Kristo Unapatikana Miongoni mwa Wanadamu"
By UnknownMachi 13, 2018kupata-mwili, siku-za-mwisho, ushindi, Video, Video-za-Nyimbo-na-Ngoma, watu-wa-MunguNo comments


Ngoma ya Kikristo | Swahili Worship Song "Ufalme wa Kristo Unapatikana Miongoni mwa Wanadamu"
Mwenyezi Mungu mwenye mwili
Anaonekana katika siku za mwisho Mashariki,
kama tu vile jua la haki likichomoza;
mwanadamu ameona mwanga wa kweli ukionekana.
Mungu wa haki na...
Jumatatu, 12 Machi 2018
Umeme wa Mashariki | Kuhusu Biblia (2)
By UnknownMachi 12, 2018Kuhusu-Biblia, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Vitabu, wateuliwa-wa-Mungu, YehovaNo comments


Umeme wa Mashariki | Kuhusu Biblia (2)
Mwenyezi Mungu alisema, Biblia pia huitwa Agano la Kale na Agano Jipya. Je, mnajua “agano” linarejelea nini? “Agano” katika Agano la Kale linatokana na makubaliano ya Yehova na watu wa Israeli Alipowaua Wamisri na kuwaokoa Waisraeli...
Umeme wa Mashariki | Njia... (8)
By UnknownMachi 12, 2018Kazi-ya-Mungu, kumfuata-Mungu, mapenzi-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, uaminifu, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Njia... (8)
Mwenyezi Mungu alisema, Wakati ambapo Mungu anakuja duniani kuchanganyika na wanadamu, kuishi nao, sio tu kwa siku moja au mbili. Labda kwa wakati huu wote watu wamemjua Mungu kwa kiwango fulani, na labda wamepata utambuzi...
Jumapili, 11 Machi 2018
Umeme wa Mashariki | Njia… (7)

Umeme wa Mashariki | Njia… (7)
Mwenyezi Mungu alisema, Sote tunaweza kuona katika uzoefu wetu wa utendaji kwamba kuna nyakati nyingi ambazo Mungu binafsi ametufungulia njia ili tuwe tunakanyaga njia iliyo imara zaidi, ya kweli zaidi. Hii ni kwa sababu hii ndiyo njia ambayo...
Jumamosi, 10 Machi 2018
Umeme wa Mashariki | Njia... (6)
By UnknownMachi 10, 2018kumtumikia-Mungu, Maombi, mpango-wa-usimamizi-wa-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Njia... (6)
Mwenyezi Mungu alisema, Ni kwa sababu ya kazi ya Mungu ndio tumeletwa katika siku hii. Kwa hiyo, sisi sote ni wasaliaji katika mpango wa usimamizi wa Mungu, na kwamba tunaweza kubakizwa mpaka siku hii ni kutiwa moyo kwa hali ya juu kutoka...
Umeme wa Mashariki | Njia… (5)
By UnknownMachi 10, 2018kukamilishwa-na-Mungu, makusudi-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Vitabu, watu-wa-MunguNo comments


Umeme wa Mashariki | Njia… (5)
Mwenyezi Mungu alisema, Ilikuwa kwamba hakuna aliyejua Roho Mtakatifu, na hasa hawakujua njia ya Roho Mtakatifu ilikuwa gani. Ndio maana watu kila mara walifanya upumbavu mbele ya Mungu. Inaweza kusemwa kwamba karibu watu wote wanaoamini...
Ijumaa, 9 Machi 2018
Umeme wa Mashariki | Njia… (4)
By UnknownMachi 09, 2018mafunzo-ya-ufalme, neema-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, utukufuNo comments


Umeme wa Mashariki | Njia… (4)
Mwenyezi Mungu alisema, Kwamba watu wanaweza kugundua kupendeza kwa Mungu, kutafuta njia ya kumpenda Mungu katika enzi hii, na kwamba wako radhi kukubali mafunzo ya ufalme wa leo—hii yote ni neema ya Mungu na hata zaidi, ni Yeye ndiye anawainua...
Umeme wa Mashariki | Njia… (3)
By UnknownMachi 09, 2018kumfuata-Mungu, kumpenda-Mungu, mapenzi-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Njia… (3)
Mwenyezi Mungu alisema, Katika maisha Yangu, Niko radhi kila mara kujitolea Mwenyewe kwa Mungu kabisa, mwili na fikra. Kwa njia hii, hakuna lawama kwa dhamiri Yangu na Naweza kupata kiasi kidogo cha amani. Mtu anayeandama uzima ni lazima...
Alhamisi, 8 Machi 2018
Umeme wa Mashariki | Njia… (2)
By UnknownMachi 08, 2018kutekeleza-Mapenzi-Yake, Mungu-ameleta-baraka, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Njia… (2)
Mwenyezi Mungu alisema, Labda ndugu na dada zetu wana muhtasari kidogo wa utaratibu, hatua, na mbinu za kazi ya Mungu katika China bara, lakini Mimi huhisi kila mara kwamba ni heri kuwa na kumbukumbu au muhtasari kidogo wa ndugu na dada...
Umeme wa Mashariki | Njia… (1)
By UnknownMachi 08, 2018kumtumikia-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, utukufu-kwa-Mungu, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Njia… (1)
Mwenyezi Mungu alisema, maisha yake, hakuna mtu anayejua ni aina gani ya vipingamizi ataenda kukutana navyo, wala hajui ni aina gani ya kusafishwa ambayo atapata mara kwa mara. Kwa wengine ni katika kazi yao, kwa wengine ni katika matazamio...
Jumatano, 7 Machi 2018
Swahili Christian Song "Ni Furaha Kuu kuwa Mtu Mwaminifu" | Mbinguni ni mahali pa mtu mwaminifu
By UnknownMachi 07, 2018Msururu-wa-MV-za-Ufalme, ndugu-na-dada, nyimbo-za-sifa, utukufu, VideoNo comments


Swahili Christian Song "Ni Furaha Kuu kuwa Mtu Mwaminifu" | Mbinguni ni mahali pa mtu mwaminifu
Kuelewa ukweli huiachilia huru roho ya mtu
na kumfanya mtu kuwa mwenye furaha.
Nimejazwa na imani katika neno la Mungu na sina shaka.
Mimi niko bila uhasi wowote,
sirudi...