Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Muziki wa Akapela "Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu" (Video Rasmi ya Muziki)

Hayuko katika upeo wa mbali, wala hajajificha juu mawinguni. Yuko kando yako, akiwa na mamlaka juu ya kila kitu chako, Yeye ni kila kitu ulicho nacho, na Yeye ni kitu pekee ulicho nacho.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Ijumaa, 4 Mei 2018

64. Huku Ni Kuweka Ukweli Katika Vitendo

Kanisa la Mwenyezi Mungu, ushuhuda, Umeme wa Mashariki

64. Huku Ni Kuweka Ukweli Katika Vitendo

Fan Xing    Mji wa Zhumadian, Mkoa wa Henan
Katika siku za nyuma, nilikuwa nimeunganishwa na dada mmoja kufanya kazi kwa wajibu fulani. Kwa sababu nilikuwa na majisifu na mwenye kiburi na sikutafuta ukweli, nilikuwa na mawazo kiasi ya kabla kuhusu dada huyu ambayo niliweka moyoni mwangu daima na sikuzungumza waziwazi naye. Tulipotengana, sikuwa nimeingia katika ukweli wa uhusiano wa kufanya kazi wenye kuridhisha. Baadaye, kanisa lilinipangia kufanya kazi na dada mwingine nami nikaweka azimio mbele ya Mungu: Kuanzia sasa kuendelea, sitatembea katika njia za kufeli. Nimejifunza mafundisho yangu na hivyo kwa sasa wakati huu bila shaka nitakuwa na mawasiliano ya wazi zaidi na dada huyu na kufikia uhusiano wa kufanya kazi wenye kuridhisha.
Kila wakati kulikuwa na mgongano au pengo kati yetu tulipokuwa tukifanya wajibu wetu pamoja, ningechukua fursa ya kwanza kuwasiliana na dada na kuzungumza kwa dhati. Ningemwuliza ni vipengele vipi nilikuwa nikifanya kwa njia isiyofaa. Dada huyo kisha angeonyesha kuwa nilikuwa na kiburi na mwenye majisifu na kwamba siku zote ningekataa mitazamo yake katika mawasiliano yetu. Alisema wakati mwingine ningeonyesha hali zake na kumpachika jina bila haki, na kwamba wakati wa mikusanyiko, nilifanya maamuzi yote kuhusu kusoma neno la Mungu. Nilikubali kwa kichwa mambo haya yote dada alisema juu yangu. Nilidhani: "Kwa kuwa unasema mimi nina kiburi, basi nitazungumza kwa unyenyekevu zaidi kuanzia sasa na kuendelea na kuzingatia kwa makini hasa kuzungumza kwa hekima na busara. Ikiwa nitatambua matatizo yoyote unayo, basi nitayadunisha wakati ninapoyataja. Ikiwa hutayatambua, basi sitayazungumzia. Wakati wa mikusanyiko, nitakula na kunywa chochote utakachoniambia nikule na ninywe, na nitasikia kila kitu unachosema. Si hili litatatua kila suala?" Baada ya haya, nilianza kuweka hili katika vitendo. Kabla ya kuzungumza, ningefikiri vile ningeweza kuepuka kukana wazo la dada. Wakati mitazamo yetu hayakulingana pamoja, ningekubali kushindwa na mtazamo wake na kutekeleza wazo lake. Nilipomwona dada akifanya jambo kwa njia isiyo sahihi, singemfafanulia kwa waziwazi. Lakini baada ya kipindi cha muda cha kutenda kwa namna hii, niligundua kuwa itikadi yangu ya "nyima mwili na weka ukweli katika matendo" haikuwa imebadilisha uhusiano wetu hata kidogo. Badala yake, iliimarisha mawazo yake yaliyotungwa kabla kunihusu. Kwa kuona matokeo hayo, nilihisi nimekosewa. Niliwaza: "Tayari nimejitahidi kadri niwezavyo kuweka ukweli katika matendo, mbona haifanyi kazi? Dada huyu si rahisi kupatana na yeye, hana wepesi wa kuhisi hata kidogo. "Kwa hiyo, nilizama katika uhasi na moyo wangu ukahuzunika sana.
Siku moja, kiongozi mmoja alitujia kukagua kazi yetu na kuuliza jinsi hali zetu zilivyokuwa wakati wa kipindi hiki. Kisha nikaeleza vile hali yangu ilivyokuwa. Baada ya kusikiliza, kiongozi huyo alisema: "Hii mbinu yako haiweki ukweli katika matendo. Wewe ni mchafu ndani. Unatenda hivi kwa madhumuni yako mwenyewe na hautendi kulingana na ukweli." Baada ya haya, tulisoma vifungu viwili vya maneno ya Mungu. Mungu alisema: “Upande wa nje, inaonekana kana kwamba unatia ukweli katika vitendo, lakini kwa kweli, hali ya matendo yako haionyeshi kwamba unatia ukweli katika vitendo. Kuna watu wengi walio na mienendo fulani ya nje, wanaoamini ‘Ninatia ukweli katika vitendo…,’ Lakini Mungu asema: ‘Sitambui kwamba unatia ukweli katika vitendo.’ Hii ni nini? Hii ni aina ya mwenendo. Kusema kweli, unaweza kuhukumiwa kwa hilo; halitasifiwa, halitakumbukwa. Hata kusema kweli zaidi, katika kulichangua hili, unafanya uovu, mwenendo wako unampinga Mungu. Kutoka nje, hukatizi, husumbui, huharibu chochote, au kukiuka ukweli wowote. Inaonekana kile ambacho unafanya ni chenye mantiki na cha maana, lakini unafanya uovu na kumpinga Mungu. Kwa hivyo unapaswa kutegemea chanzo jinsi Mungu amehitaji, kuona kama kuna badiliko katika tabia yako au kama umetia ukweli katika vitendo. Haihusu kukubali mawazo na maoni ya mwanadamu, au kwa hiari zako mwenyewe. Badala yake, ni Mungu ndiye husema kama unakubali mapenzi Yake; ni Mungu ambaye husema kama matendo yako yana ukweli na kama yanafikia viwango Vyake au la. Kujipima dhidi ya matakwa ya Mungu ndiyo njia sahihi tu” (“Unachopaswa Kujua Kuhusu Kuigeuza Tabia Yako” katika Kumbukumbu za Maongezi ya Kristo). “Mawazo ya binadamu kwa kawaida yanaonekana mazuri na sahihi kwa watu na yanaonekana kama hayakiuki ukweli kwa kiasi kikubwa. Watu wanahisi kwamba kufanya kwa jinsi hii ni kuweka kweli katika matendo, wanahisi kwamba kufanya kwa jinsi hii ni kumtii Mungu. Kwa kweli, watu hawamtafuti Mungu hakika na kumwomba Mungu kuhusu hili. Hawajitahidi kufanya vizuri kuridhisha mapenzi ya Mungu wala hawajitahidi kufanya vizuri kulingana na mahitaji Yake. Hawana hali hii ya kweli, na hawana hamu kama hiyo. Hili ndilo kosa kubwa zaidi ambalo watu hufanya katika matendo yao, kwa sababu unamwamini Mungu, lakini Mungu hayupo moyoni mwako. Hii sio dhambi vipi? Huku sio kujidanganya mwenyewe vipi? Ni athari gani kuamini jinsi hii kutakuwa nayo? Uko wapi umuhimu wa matendo ya kumwamini Mungu?” (“Kutafuta Mapenzi ya Mungu na Kuuweka Ukweli Katika Vitendo Kwa Kiasi Kikubwa Zaidi Iwezekanavyo” katika Kumbukumbu za Maongezi ya Kristo). Nilijaribu kuelewa maneno yake Mungu na kuyalinganisha na hali yangu inayodaiwa kuwa "kuweka ukweli katika matendo." Moyo wangu ulichangamka. Hivyo, njia niliyokuwa nikifanya mambo haikukusudiwa kukidhi Mungu. Ilikusudiwa kulinda hadhi yangu bure. Niliogopa kiongozi huyo angesema asili yangu ilikuwa na dosari, kwamba sikutafuta ukweli, na kuwa sikufanya kazi vyema na yeyote. Aidha, nilifikiri ilikuwa ni kisingizio cha kurahisisha uhusiano wangu na dada na kujinasua kwa aibu na uchungu uliosababishwa na mgogoro huo. Nilidhani ingekomboa ile taswira ambayo watu wengine walikuwa nayo kunihusu na kuwaruhusu kuona kuwa nilikuwa nimebadilika. Inaweza kuonekana kuwa kile kilichodaiwa kuwa "kuweka ukweli katika matendo" kwangu kilikuwa kwa madhumuni yangu mwenyewe. Yote yalitendwa mbele ya wengine na hayakuanzishwa kwa msingi wa kutafuta kumridhisha Mungu. Sikujidharau na kwa kweli kuunyima mwili kwa sababu sikuwa na ufahamu wa asili yangu ya majisifu na kiburi. Katika kutafakari juu ya kufanya kazi na dada, ni kwa sababu sikutambua asili yangu ya kujisifu na kiburi, na kwa sababu nilijiheshimu na nilikuwa nafikiri kila wakati kuwa nilikuwa bora zaidi kuliko wengine nilipozungumza, bila kujua nilikuwa nimesimama kwenye kiweko nikidunisha wengine. Wakati wa kushughulikia mambo, nilipenda kuwa msimamizi; nilifanya mambo kwa njia yangu mwenyewe, na kamwe sikuwahi kutafuta maoni ya watu wengine. Wakati dada alipoonyesha haya matatizo niliyokuwa nayo, sikutafuta ukweli uliofanana ili kuchambua na kuelewa hali ya asili yangu. Hata zaidi, sikutafuta jinsi ninapaswa kuiweka katika vitendo kulingana na mahitaji ya Mungu na kwa mujibu wa ukweli. Nilibadili tu matendo machache ya nje, nikifikiria kuwa kwa kuwa niliacha kufanya mambo ambayo yalikuwa mabaya, nilikuwa nikiweka ukweli katika matendo. Kwa kweli, kila kitu nilichokuwa nikifanya kilikuwa ukweli kulingana na mawazo yangu mwenyewe. Vyote vilikuwa ni vitendo vya nje na havikuwa na chochote kuhusu neno la Mungu. Mungu hangetambua kuwa nilikuwa nikiweka ukweli katika matendo. Kwa sababu sikuwa natenda kulingana na mahitaji ya Mungu na sikuwa natenda kwa mujibu wa ukweli, na kila kitu nilichofanya kilifanyika ili kukidhi tamaa zangu za kibinafsi na kufikia malengo yangu mwenyewe, kwa hiyo matendo yangu yalikuwa mabaya machoni pa Mungu; ilikuwa kumpinga Mungu.
Baada ya kutambua hili, niliunganisha neno la Mungu kwa makusudi ili nipate kuelewa asili yangu potovu katika maisha. Wakati nilionyesha upotovu wangu au nilipotambua kuwa hali yangu haikuwa sahihi, nilifichua waziwazi nafasi yangu na nikaichunguza na kutafuta chanzo kulingana na neno la Mungu. Nilipofanya hili, kunena kwangu na matendo yangu yakawa ya kawaida, na nilijua nafasi ambao nilipaswa kusimama. Nikawa na heshima kwa watu na kutii kwa uvumilivu. Kuunyima mwili kukawa sio kugumu sana na tukaweza kuwa mawasiliano ya dhati. Ushirikiano wetu ulikuwa umekuwa wa kuridhisha tena zaidi kuliko siku za nyuma.
Kupitia uzoefu huu, nimepata kuelewa kwamba kuweka ukweli katika vitendo lazima kuwekwe kwa msingi wa neno la Mungu na lazima kuanzishwe kwa kanuni za kweli. Mtu akiacha neno la Mungu, basi kila kitu kinakuwa kitendo cha nje, yaani, kuweka ukweli wa mawazo yao wenyewe katika matendo. Hata ikiwa ningefanya mambo vizuri na kwa usahihi, bado haingechukuliwa kama kuweka ukweli katika vitendo, na hata zaidi haingeleta mabadiliko kwa tabia ya maisha yangu. Kuanzia sasa kuendelea, bila kujali ni nini ninachofanya, nataka maneno ya Mungu kuwa kanuni za matendo yangu na kuweka neno la Mungu kikamilifu katika vitendo ili mwenendo wangu utalingana na ukweli na mapenzi ya Mungu na kupata kuridhika kwa Mungu. Utukufu wote Uwe kwa Mwenyezi Mungu!
kutoka kwa Ushuhuda wa Kuipitia Hukumu ya Kristo
Kujua zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Alhamisi, 3 Mei 2018

Chochote Mungu Asemacho Ndiyo Hukumu Hasa ya Mwanadamu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, hukumu

Chochote Mungu Asemacho Ndiyo Hukumu Hasa ya Mwanadamu



Xunqiu    Mji wa Nanyang, Mkoa wa Henan
Nilikuwa nikidhani kwamba Mungu alimhukumu na kumuadibu mwanadamu wakati tu Alipoufichua upotovu wa asili wa mwanadamu au alipoeleza maneno mkali ambayo yaliuhukumu mwisho wa mwanadamu. Ilikuwa ni baadaye kabisa tu ambapo tukio moja liliponiongoza kutambua kwamba hata maneno mapole ya Mungu pia yalikuwa ni hukumu na kuadibu Kwake. Niligundua kuwa kila neno Alilolisema Mungu ni hukumu Yake kwa mwanadamu.
Hivi karibuni, dada mzee wa familia ya mwenyeji alipata kuhusika na hisia za kimwili, na kwa sababu hiyo aliteseka sana. Niliwasiliana naye kwa karibu mara kadhaa, lakini ilionekana kuwa bure.

Jumatano, 2 Mei 2018

Umeme wa Mashariki | Kuvunja Pingu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, hukumu

Umeme wa Mashariki | Kuvunja Pingu

Zhenxi Jijini Zhenzhou, Mkoani Hena
Miaka kumi iliyopita, nikiendeshwa na asili yangu ya kiburi, sikuweza kamwe kutii kikamilifu mipangilio ya kanisa. Ningetii ikiwa ilinifaa, lakini iwapo haingenifaa ningechagua iwapo ningetii au la. Hili lilisababisha kukiuka sana mipangilio ya kazi wakati wa kutimiza wajibu wangu. Nilifanya jambo langu mwenyewe na kuichukiza tabia ya Mungu, na hivyo baada ya hapo nilitumwa nyumbani.

Jumanne, 1 Mei 2018

New Swahili Gospel Movie "Siri ya Utauwa" | Bwana Yesu Kristo Atarudi Vipi?


New Swahili Gospel Movie "Siri ya Utauwa" | Bwana Yesu Kristo Atarudi Vipi?

Lin Bo'en alikuwa mzee wa kanisa katika kanisa la nyumbani Uchina. Wakati wa miaka yake yote kama muumini, alihisi kwamba ameheshimiwa kuteseka kwa ajili ya Bwana, na alithamini kumfahamu na kumpata Bwana Yesu Kristo zaidi ya kitu kingine chochote duniani. Siku moja ya jaala, alienda nje kuhubiri na akasikia habari fulani za kushtua: Bwana Yesu amerudi katika mwili, na Yeye ni Kristo wa siku za mwisho—Mwenyezi Mungu! Lin Bo'en alikanganyikiwa. Wakati Bwana atarudi, Anatakiwa kushuka na mawingu, kwa hiyo angejipatiaje mwili na kufanya kazi Yake kwa siri? Ni siri gani zilifichwa katika kupata mwili kwa Mungu? Ikiwa Bwana amerudi kweli, kwa nini hatujanyakuliwa? … Mjadala mkali sana unajitokeza kati ya Lin Bo'en na wafanyakazi wenzake na wahubiri kutoka kwa Kanisa la Mwenyezi Mungu … Je, hatimaye wataweza kuelewa kwamba Mwenyezi Mungu ni kurudi kwa Bwana Yesu, kuonekana kwa Mungu katika mwili?

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki
Soma Zaidi:  Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Jumatatu, 30 Aprili 2018

Uchaguzi Kutoka katika Mafungu Manne ya Neno la Mungu Juu ya “Ukweli wa Ndani wa Kazi ya Ushindi”

Uchaguzi Kutoka katika Mafungu Manne ya Neno la Mungu Juu ya “Ukweli wa Ndani wa Kazi ya Ushindi”

1. Mwenyezi Mungu alisema, Wanadamu kwa kupotoshwa sana na Shetani, hawajui kuwa kuna Mungu na wameacha kumwabudu Mungu. Adamu na Hawa walipoumbwa mwanzoni, utukufu wa Yehova na Ushuhuda wa Yehova daima vilikuwepo. Lakini baada ya kupotoshwa, mwanadamu alipoteza utukufu na ushuhuda kwa sababu kila mtu alimwasi Mungu na kuacha kumtukuza kabisa. Kazi ya sasa ya kushinda ni kuupata ushuhuda na utukufu wote, na kuwafanya wanadamu wote wamwabudu Mungu, ili kuwepo na ushuhuda miongoni mwa viumbe wote. Hili ndilo linapaswa kufanywa katika hatua hii ya kazi. 

Neno la Mungu "Ngurumo Saba Zatoa Sauti - Zikitabiri Kuwa Injili ya Ufalme Itaenea Kote Ulimwenguni"

Neno la Mungu "Ngurumo Saba Zatoa Sauti - Zikitabiri Kuwa Injili ya Ufalme Itaenea Kote Ulimwenguni"

Utambulisho
Mwenyezi Mungu alisema, “Wakati nuru ya Mashariki inapong’aa polepole tu ndipo giza kote duniani litaanza kugeuka na kuwa nuru, na hapo tu ndipo mwanadamu atatambua kwamba Nilishatoka Israeli zamani na Nimeanza kuchomoza upya Mashariki. Niliwahi kushuka Israeli na baadaye Niliondoka kutoka huko, Siwezi tena kuzaliwa Israeli kwa mara nyingine, kwa kuwa kazi Yangu inauongoza ulimwengu mzima na, zaidi ya hilo, umeme unamulika moja kwa moja kutoka Mashariki kwenda Magharibi. Hii ndiyo sababu Nimeshuka Mashariki na kuwaletea watu wa Mashariki Kanaani. Ningependa kuwaleta watu kutoka dunia nzima waje katika nchi ya Kanaani, na kwa hiyo Naendelea kutoa maneno Yangu katika nchi ya Kanaani ili kuudhibiti ulimwengu mzima. Kwa wakati huu, hakuna nuru katika dunia nzima isipokuwa katika Kanaani, na watu wote wamehatarishwa na njaa na baridi. Niliipa Israeli utukufu Wangu kisha Nikauchukua na baadaye Nikawaleta Waisraeli Mashariki, na vilevile ubinadamu wote Mashariki. Nimewaleta wote kwenye nuru ili waweze kuungana tena nayo, na kushirikiana na nuru, na wasilazimike kuitafuta tena.”


Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Jumapili, 29 Aprili 2018

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee III

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee III

Mamlaka ya Mungu (II)

Sehemu ya Kwanza

Mwenyezi Mungu alisema, Leo tutaendelea na ushirika wetu kuhusu mada ya “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee.” Tayari tumekuwa na ushirika mara mbili katika mada hii, wa kwanza kuhusiana na mamlaka ya Mungu na wa pili kuhusiana na tabia ya haki ya Mungu. Baada ya kusikiliza ushirika huu mara mbili, je, umepata ufahamu mpya wa utambulisho wa Mungu, hadhi, na hali halisi? Je, maono haya yamekusaidia kufikia maarifa mazito zaidi na uhakika wa ukweli kuuhusu uwepo wa Mungu? Leo Ninapanga kufafanua mada hii ya “Mamlaka ya Mungu.”

Kuelewa Mamlaka ya Mungu Kutoka kwa Mitazamo Mikubwa na Midogo

Mamlaka ya Mungu ni ya kipekee. Ndiyo maonyesho ya sifa ya, na hali halisi maalum ya, utambulisho wa Mungu Mwenyewe. Hakuna kiumbe ambacho kiliumbwa wala kile ambacho hakikuumbwa kinachomiliki maonyesho ya sifa kama hizi na hali halisi maalum; Muumba tu ndiye anayemiliki aina hii ya mamlaka.

Latest Swahili Christian Movie "Imani katika Mungu" | Hufunua Fumbo la Imani Katika Mungu

Latest Swahili Christian Movie "Imani katika Mungu" | Hufunua Fumbo la Imani Katika Mungu

Utambulisho
Yu Congguang huhubiri injili kwa niaba ya Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wakati wa kuhubiri injili, aliandamwa na serikali ya Kikomunisti ya China. Alikimbia milimani, ambapo alipokea msaada kutoka kwa Zheng Xun, mfanyakazi mwenza wa kanisa la nyumba la mahali pale. Walipokutana mara ya kwanza, walihisi kama tayari walikuwa wamejuana kwa muda mrefu. Zheng Xun alimpeleka Yu Congguang kwenye kibanda cha makuti ambapo yeye na wafanyakazi wenzake walikusanyika. Huko, mjadala ulijitokeza miongoni mwa Zheng Xun na wafanyakazi wenzake kuhusu kama muumini katika Mungu anapaswa kutii wale walio madarakani au la. Yu Congguang alitoa ushirika kwa kuzingatia suala hili na kuondoa kuchanganyikiwa kwao. Ushirika wa Yu Congguang ulikuwa wa manufaa sana kwao, na wote wakaanza kutafuta na kujifunza kazi ya Mwenyezi Mungu ya siku za mwisho. Hata hivyo, Mzee Sun kutoka kanisa la mahali pale alipopata habari kwamba Yu Congguang alikuwa shahidi kutoka Kanisa la Mwenyezi Mungu, alifanya kila kitu ambacho angeweza kulizuia kanisa na kuwazuia wafuasi kutafuta njia ya kweli. Sun alikwenda katika nyumba moja hadi nyingine kumtafuta Yu Congguang, na hata kuwahamasisha wafuasi kumripoti Yu kwa polisi na kumkamata …
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Injili

Soma Zaidi:  Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Jumamosi, 28 Aprili 2018

Umeme wa Mashariki | Kuona Uhalisi Wangu Kwa Dhahiri

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, hukumu

Umeme wa Mashariki | Kuona Uhalisi Wangu Kwa Dhahiri

Xiaoxiao Jijini Xuzhou, Mkoani Jiangsu
Kwa sababu ya mahitaji ya kazi ya kanisa, nilihamishwa mpaka mahali pengine ili kutimiza wajibu wangu. Wakati huo, kazi ya injili mahali pale ilikuwa katika hali duni, na hali ya akina kaka na dada kwa kawaida haikuwa nzuri. 

"Mji Utaangushwa" (5) - Mji mkuu wa dini wa Babeli Umekusudiwa Kuangamia Chini ya Ghadhabu ya Mungu!

"Mji Utaangushwa" (5) - Mji mkuu wa dini wa Babeli Umekusudiwa Kuangamia Chini ya Ghadhabu ya Mungu!

Utambulisho
Ulimwengu wa dini humkaidi na kumlaani Mwenyezi Mungu, ukitenda matendo maovu yasiyohesabika, na wamekuwa kambi ya Shetani ambayo humpinga Mungu vikali. Mji mkuu wa dini wa Babeli umekusudiwa kuangamia chini ya ghadhabu ya Mungu! Ufunuo unatabiri, "Ole, ole ule mji mkuu Babeli, ule mji ulio na uwezo! kwani hukumu yako imekuja katika saa moja" (Ufunuo 18:10). Mwenyezi Mungu asema, "Tunaamini hakuna nchi ama nguvu inayoweza kuzuia yale anayotaka kutimiza Mungu. Wale wanaozuia kazi ya Mungu, wanaopinga neno la Mungu, kuvuruga na kudhoofisha mpango wa Mungu hatimaye wataadhibiwa na Mungu. Anayeasi kazi ya Mungu atatumwa kuzimu; nchi yoyote inayoasi kazi ya Mungu itaangamizwa; taifa lolote linaloinuka kupinga kazi ya Mungu litafutwa kutoka dunia hii, na litakoma kuwepo" (Neno Laonekana katika Mwili).



Soma Zaidi: Kujua Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Ijumaa, 27 Aprili 2018

Umeme wa Mashariki | Kupotea Njia na Kupata Njia

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, maombi

Umeme wa Mashariki | Kupotea Njia na Kupata Njia

Xiaobing Jijini Xuanzhou, Mkoani Anhui
Kile ambacho unafurahia leo ndicho kilekile ambacho kinaharibu mustakabali wako, huku yale maumivu unayopitia leo ndiyo yaleyale ambayo yanakulinda. Lazima ufahamu waziwazi kuhusu jambo hilo ili ukuwe mbali namtego wa majaribio na kukuepushwa kuingia kwenye ukungu mzito unaozuia jua katika maisha yako.

Ulinzi Bora Zaidi wa Mungu kwa Wanadamu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, maombi

Ulinzi Bora Zaidi wa Mungu kwa Wanadamu




Mji wa Kuiqian Rizhao, Mkoa wa Shandong
Kituo changu katika maisha, au hadhi, kilikuwa kitu ambacho sikuweza kamwe kukiachilia, na wakati Mungu alitengeneza mazingira yaliyonifichua, nilikuwa hasi, nikilalamika, na kukata tamaa tu.