Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Muziki wa Akapela "Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu" (Video Rasmi ya Muziki)

Hayuko katika upeo wa mbali, wala hajajificha juu mawinguni. Yuko kando yako, akiwa na mamlaka juu ya kila kitu chako, Yeye ni kila kitu ulicho nacho, na Yeye ni kitu pekee ulicho nacho.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Jumamosi, 15 Septemba 2018

Ni Upendo wa Mungu Tu Ulio Halisi

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Kumfuata Mungu, ushuhuda

Ni Upendo wa Mungu Tu Ulio Halisi

Xiaodong Mkoa wa Sichuan

Mungu alisema, “Taifa la China ambalo limepotoshwa kwa miaka elfu nyingi limeendelea mpaka leo. Kila aina ya virusi vinaendelea kutanuka na vinasambaa kila mahali kama tauni;

Ijumaa, 14 Septemba 2018

Have You Been Rapturned? | "Kutamani Sana" | Swahili Christian Movie


Have You Been Rapturned? | "Kutamani Sana" | Swahili Christian Movie

Miaka elfu mbili iliyopita, Bwana Yesu aliwaahidi wafuasi Wake: "Naenda kuwatayarishia mahali. Na nikienda kuwatayarishia mahali, nitarudi tena na kuwapokea kwangu; ili mahali nipo, muweze kuwa pia" (Yohana 14:2-3).

Alhamisi, 13 Septemba 2018

Swahili Christian Skit | "Polisi Waenda kwa Ziara ya Mwaka Mpya" (Kichekesho)


Swahili Christian Skit | "Polisi Waenda kwa Ziara ya Mwaka Mpya" (Kichekesho)

Zheng Xinming, mwanamume mzee wa karibu miaka sabini, ni Mkristo wa dhati. Kwa sababu ya imani yake katika Bwana, aliwekwa kizuizini na kufungwa gerezani, na kuhukumiwa miaka nane. Alipoachiliwa, bado alikuwa ameorodheshwa na Polisi wa Kikomunisti wa China kama mlengwa wa ufuatiliaji wa kuzingatiwa. Hasa, baada ya mzee huyo kukubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho, polisi walikuja karibu kila siku kumtisha, kumuogofya na kumsumbua. Hakukuwa na njia ya Zheng Xinming kusoma neno la Mungu nyumbani kwa kawaida, na hata familia yake ilishiriki hali yake ya wasiwasi. Sasa ni Mkesha wa Mwaka Mpya na mzee yuko nyumbani akisoma neno la Mungu, bila kujua nini kinaweza kutokea …

    Soma Zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Jumatano, 12 Septemba 2018

Expert Urges European Countries to Show Solicitude for the Persecution of The Church of Almighty God


Expert Urges European Countries to Show Solicitude for the Persecution of The Church of Almighty God

On December 14, 2017, a news conference was held in the Chamber of Deputies, the Parliament of Italy in Rome, over the issue of Religious Freedom Violations in China—a Case Study of Persecution Against Christian Minorities. An internationally renowned research expert on new religions, Professor Massimo Introvigne, spoke at the conference and introduced his findings on The Church of Almighty God, confirming that the Zhaoyuan McDonald's homicide case of 2014 in Shandong Province had nothing to do with The Church of Almighty God, that the CCP's coverage of the case was false news fabricated by the CCP to persecute and suppress The Church of Almighty God. At the same time, he presented a study jointly completed with Mr. Willy Fautré, chairman of the Human Rights Without Frontiers. The report shows that despite having the largest number of people arrested in China, and more members seeking refuge in Italy and Europe than any other areas, the passing rate for the asylum applications of The Church of Almighty God's members in Italy is merely 10%, while there have been several cases of repatriation in Switzerland. He indicated that this represented a grave violation of the International Refugee Convention, thereby expressing his strong condemnation. He called on all European countries to show solicitude for the persecution against Christians of The Church of Almighty God and the status quo of their applications for asylum as refugees.

Jumanne, 11 Septemba 2018

Wimbo wa Maneno ya Mungu "Mamlaka na Nguvu Anayoonyesha Mungu Anapopata Mwili"


Wimbo wa Maneno ya Mungu "Mamlaka na Nguvu Anayoonyesha Mungu Anapopata Mwili"

I

Mungu alikuja duniani hasa kutimiza ukweli wa "Neno kuwa mwili."

(tofauti na Agano la Kale, katika siku za Musa,

Mungu alizingumza moja kwa moja kutoka mbinguni).

Kisha, yote yatatimizwa katika enzi ya Ufalme wa Milenia

kuwa ukweli ambao watu wanaweza kuona,

ili watu waweze kuona utimizaji hasa kwa macho yao wenyewe.

Hii ni maana ya kina ya Mungu kuwa mwili.

Yaani, kazi ya Roho imekamilika kupitia kwa mwili na neno.

Hii ni maana ya kweli ya "Neno kuwa mwili, Neno kuonekana katika mwili."



II

Ni Mungu tu Anayeweza kuzungumza mawazo ya Roho,

na ni Mungu tu katika mwili anayeweza kuzungumza kwa niaba ya Roho.

Neno la Mungu linaonekana katika Mungu aliyepata mwili.

Mtu yeyote yule ataongozwa na hili,

hakuna anayeweza kuzidi hili na kila mtu anaishi ndani ya mipaka hii.

Kutokana na tamko hili watu watapata ufahamu;

isipokuwa kupitia haya matamshi hakuna atakayeota kuhusu kupokea

tamko kutoka mbinguni.

Haya ni mamlaka ambayo yameonyeshwa na Mungu kuwa mwili,

ili kila mtu ashawishike.

kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili

    Tufuate : Kanisa la Mwenyezi Mungu, Neno la Mwenyezi mungu

Jumatatu, 10 Septemba 2018

Swahili Christian Variety Show | "Mwelekeo Mbaya" (Kusemezana) | Nearly Miss the Return of the Lord


Swahili Christian Variety Show | "Mwelekeo Mbaya" (Kusemezana) | Nearly Miss the Return of the Lord

Wakati Zhao Xun anasikia maneno yaliyonenwa na Bwana aliyerudi, anahisi kwamba maneno haya yote ni ukweli. Hata hivyo, anahofia kwamba kimo chake ni kidogo sana na hana uwezo wa kutambua, hivyo anataka kumtafuta mchungaji wake awe kama mlinda lango. Bila kutarajia, akiwa njiani kuelekea kwake, anakutana na Dada Zheng Lu. Kupitia ushirika wa Dada Zheng kuhusu ukweli, Zhao anaishia kuwa na utambuzi na kufahamu kwamba kukaribisha kurudi kwa Bwana, anapaswa kuzingatia kuisikia sauti ya Mungu, hiyo ndiyo njia pekee ya kufuata nyayo Zake. Kufuata na kuwaabudu wachungaji na wazee bila kufikiria hakika ni kuchukua mwelekeo mbaya.

    Soma Zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Jumapili, 9 Septemba 2018

Mabadiliko ya Kweli Humaanisha Nini?

Mabadiliko ya Kweli Humaanisha Nini?


Jinru    Mji wa Nanyang, Mkoa wa Henan

Wakati ndugu wa kiume au wa kike alipoonyesha dosari zangu au hakusikiza kauli yangu ama sikuhisi kushawishika au nilibishana nao. Nilijutia vitendo vyangu baadaye, lakini nilipokabiliwa na mambo haya, sikuweza kujizuia mwenyewe kuifichua tabia yangu potovu.

Jumamosi, 8 Septemba 2018

The Words the Holy Spirit Says to the Churches | "Sauti Nzuri Ajabu" | Filamu za Injili


The Words the Holy Spirit Says to the Churches | "Sauti Nzuri Ajabu" | Filamu za Injili

Dong Jingxin ni mhubiri katika kanisa la nyumba nchini Uchina. Amemsadiki Bwana kwa miaka thelathini, na anapenda ukweli, mara kwa mara yeye husoma maneno ya Bwana na yanamsisimua. Anajitumia kwa ajili ya Bwana kwa shauku kubwa.

Ijumaa, 7 Septemba 2018

Maneno ya Mungu Huniongoza Kujifunza Jinsi ya Kufundisha Watoto Wangu (II)

Huniongoza, Kujifunza, Kuwafundisha Wanangu,

Xiaoxue, Malesia

    Siku moja baada ya mlo mkuu wa siku, nilimfundisha mwanangu mvulana mkubwa jinsi ya kusoma Kichina—maneno rahisi tu, “Mbinguni, dunia, watu, na, dunia, baba, mama….” Nilimfundisha mara chache hasa, lakini bado hakuweza kuandika. Angeandika neno la kwanza na kisha kusahau lililofuata. Hasira ndani yangu ilipanda, na kunyakua rula iliyokuwa juu ya meza na kumgonga mara kadhaa.

Alhamisi, 6 Septemba 2018

Best Swahili Christian Music Video 2018 "Upendo kwa Mungu" | The Love of God Never Leaves Us


Best Swahili Christian Music Video 2018 "Upendo kwa Mungu" | The Love of God Never Leaves Us

I

Ee Bwana,

Nimefurahia nyingi ya neema Yako.

Kwa nini mimi daima huhisi tupu ndani?

Je, sijapata ukweli na uzima?


II

Kusoma maneno haya kunaweza kuyajibu maswali yako.

"Kristo wa siku za mwisho huleta uzima,

na huleta kudumu kwa njia ya kweli na ya milele.

Ukweli huu ni njia ambayo binadamu atapata uzima,

na njia pekee ambayo

mtu atajua Mungu na kuidhinishwa na Mungu.

Kama hutatafuta njia ya maisha inayotolewa na

Kristo wa siku za mwisho,

basi kamwe hutapata kibali cha Yesu,

na kamwe hutahitimu kuingia lango la ufalme wa mbinguni,

kwa ajili nyote ni makaragosi

na wafungwa wa historia" (Kitabu Chafunguliwa na Mwanakondoo).

Mwenyezi Mungu, Kristo wa siku za mwisho, ameonyesha ukweli wote

kutakasa, kuwaokoa wanadamu,

kumletea mwanadamu njia ya uzima wa milele.

Kwa kukubali na kutii kazi ya Mungu, kutenda na kupitia maneno Yake,

mwanadamu anaweza kuelewa ukweli na kupata uzima.


III

Mungu alinichagua kutoka katika bahari kubwa ya watu, na kupanga kwa njia ya kimiujiza kwamba nije upande Kwake.

Maneno Yake yenye fadhili yameupa moyo wangu upendo. Nikiwa na ukweli, naishi katika furaha isiyo na mwisho.

Sauti hiyo ya kawaida, sura hiyo nzuri havijabadilika tangu mwanzo.

Katika familia ya Mungu ninaonja utamu wa upendo Wake. Ninaegemea karibu na Yeye na sitaki kuondoka tena.

Bila Mungu, siku zilikuwa ngumu kustahimili.

Niliyumbayumba pamoja na kila hatua iliyojaa machungu.

Ni kwa ulinzi wa siri wa Mungu tu kwamba nilifikia leo.

Na sasa nikiwa na maneno ya Mungu upande wangu mimi nimeridhika.


IV

Muda unapopita yanakuja mabadiliko makubwa. Lakini hakuna chochote kitakachofuta moyoni mwangu upendo wangu kwa Mungu.

Ahadi ya maelfu ya miaka, kiapo kisichobadilika.

Baada ya mizunguko mingi ya maisha na kifo ninarudi upande wa Mungu.

Amepanda maisha moyoni mwangu. Maneno Yake yananilisha na kuninyunyizia maji.

Kupitia mateso na taabu maisha yangu yanazidi kuwa yenye nguvu.

Barabara mbaya na kushindwa ni misingi ya mafunzo kwangu.

Mungu hajawahi kuondoka upande wangu.

Kwa kimya, anajitolea kwa ajili ya binadamu kamwe bila neno la malalamiko.

Nitatupilia mbali tabia yangu potovu na nitatakaswa.

Kisha ninaweza kuandamana na Mungu milele.

Mungu hajawahi kuondoka upande wangu.

Kwa kimya, anajitolea kwa ajili ya binadamu kamwe bila neno la malalamiko.

Nitatupilia mbali tabia yangu potovu na nitatakaswa.

Kisha ninaweza kuandamana na Mungu milele.


kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

    Tufuate : Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki

Jumatano, 5 Septemba 2018

FALSE DEMONSTRATIONS AGAINST REFUGEES CONTINUE IN KOREA, HACKERS TRY TO STOP BITTER WINTER


FALSE DEMONSTRATIONS AGAINST REFUGEES CONTINUE IN KOREA, HACKERS TRY TO STOP BITTER WINTER


While Chinese agents, hired thugs and anti-cultists stage false “spontaneous demonstrations” and abuse refugees, hackers launch a massive attack against the Web site of Bitter Winter, obviously trying to prevent its reporting of the events in Korea. 

Jumanne, 4 Septemba 2018

Kwaheri kwa Zile Siku za Kushindana na Majaliwa

Kwaheri kwa Zile Siku za Kushindana na Majaliwa

Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Kupata-Furaha, ukweli,

Yixin

Kijiji cha kishamba kilichojikokota kimaendeleo, wazazi wangu waliochoka kwa sababu ya kazi zao, maisha ya shida za kifedha … kumbukumbu hizi za huzuni zilitia alama kwa mawazo yangu machanga, zilikuwa ni hisia yangu ya kwanza ya “majaliwa.”