Jumanne, 20 Februari 2018
Umeme wa Mashariki |Unapaswa Kutayarisha Matendo Mema ya Kutosha Kwa ajili ya Hatima Yako
By UnknownFebruari 20, 2018Neno-Laonekana-katika-Mwili, tabia-ya-Mungu, Ukombozi, Ukweli, VitabuNo comments

Umeme wa Mashariki | Unapaswa Kutayarisha Matendo Mema ya Kutosha Kwa ajili ya Hatima Yako
Mwenyezi Mungu alisema, Nimefanya kazi nyingi miongoni mwenu na, bila shaka, Nimetamka mengi pia. Hata hivyo, Nahisi kwamba maneno na kazi Yangu havijatimiza lengo la kazi Yangu ya siku za mwisho kikamilifu. Maana, katika siku za mwisho, kazi...
Jumatatu, 19 Februari 2018
Mungu na Mwanadamu Wataingia Rahani Pamoja
By UnknownFebruari 19, 2018Kiumbe-Aliyeumbwa, Muumba, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Vitabu, WokovuNo comments


Mungu na Mwanadamu Wataingia Rahani Pamoja
Mwenyezi Mungu alisema, Mwanzoni, Mungu alikuwa anapumzika. Hakukuwa na binadamu ama kitu chochote kingine duniani wakati huo, na Mungu hakuwa amefanya kazi yoyote ile. Mungu alianza tu kazi Yake ya usimamizi baada ya binadamu...
Umeme wa Mashariki | Kurejesha Maisha ya Kawaida ya Mwanadamu na Kumpeleka Kwenye Hatima ya Ajabu
By UnknownFebruari 19, 2018Hukumu-na-Kuadibu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, ukamilifu, ushindi, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Kurejesha Maisha ya Kawaida ya Mwanadamu na Kumpeleka Kwenye Hatima ya Ajabu
Mwenyezi Mungu alisema, Mwanadamu anaelewa sehemu ndogo ya kazi ya leo na kazi ya baadaye, lakini hafahamu hatima ambapo mwanadamu ataingia. Kama kiumbe, mwanadamu anapaswa...
Jumapili, 18 Februari 2018
Mungu Amekuja Mungu Ametawala | “Kwaya ya Injili ya Kichina Onyesho la 18”
By UnknownFebruari 18, 2018kumfuata-Mungu, Kwaya-za-Injili, Mungu-ndiye-Mwanzo-na-Mwisho, VideoNo comments


Mungu Amekuja Mungu Ametawala | “Kwaya ya Injili ya Kichina Onyesho la 18”
1. Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho
Mungu ndiye Mwanzo, Mungu ndiye Mwanzo, Mungu ndiye Mwanzo, na tena Mwisho, na tena Mwisho, na tena Mwisho. Mungu ndiye Mpanzi, Mungu ndiye Mpanzi, Mungu ndiye...
Mwanadamu Aliyeanguka Anahitaji Zaidi Wokovu wa Mungu Mwenye Mwili
By UnknownFebruari 18, 2018kupata-mwili, Mkristo, Neno-Laonekana-katika-Mwili, siku-za-mwisho, VitabuNo comments


Mwanadamu Aliyeanguka Anahitaji Zaidi Wokovu wa Mungu Mwenye Mwili
Mwenyezi Mungu alisema, Mungu alifanyika mwili kwa sababu lengo la kazi Yake si roho ya Shetani, au kitu chochote kisicho cha mwili, ila mwanadamu, ambaye ni wa mwili na ambaye amepotoshwa na...
Jumamosi, 17 Februari 2018
Kupata Mwili Mara Mbili Kunakamilisha Umuhimu wa Kupata Mwili
By UnknownFebruari 17, 2018Kazi-ya-Mungu, kupata-mwili, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Kupata Mwili Mara Mbili Kunakamilisha Umuhimu wa Kupata Mwili
Kila hatua ya kazi iliyofanywa na Mungu ina umuhimu wake mkubwa. Yesu alipokuja zamani, Alikuwa mwanaume, lakini Mungu anapokuja wakati huu Yeye ni mwanamke. Kutokana na hili, unaweza kuona kwamba...
Latest Swahili Gospel Movie "Wakati Wa Mabadiliko"
By UnknownFebruari 17, 2018Filamu-za-Injili, maandiko-ya-Biblia, Roho-Mtakatifu, siku-za-mwisho, VideoNo comments


Latest Swahili Gospel Movie "Wakati Wa Mabadiliko"
Su Mingyue ni mhubiri wa kanisa la nyumbani huko bara China. Kwa miaka, amekuwa mtumishi aliyejitolea wa Bwana anayesisitiza kufanya kazi ya kuhubiri kwa ajili ya Bwana na kubeba mzigo wa kazi kwa ajili ya kanisa. Anaongozwa...
Ijumaa, 16 Februari 2018
Umeme wa Mashariki | Unapaswa Kujua Namna Ambavyo Binadamu Wote Wameendelea Hadi Siku ya Leo
By UnknownFebruari 16, 2018Kazi-ya-Mungu, kumfuata-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, ushindi, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Unapaswa Kujua Namna Ambavyo Binadamu Wote Wameendelea Hadi Siku ya Leo
Mwenyezi Mungu alisema, Ukamilifu wa kazi ya miaka 6,000 yote umebadilika kwa utaratibu kuambatana na nyakati. Mabadiliko katika kazi hii yamefanyika kulingana na hali za...
Umeme wa Mashariki | Hakuna Aliye wa Mwili Anayeweza Kuepuka Siku Ya Ghadhabu
By UnknownFebruari 16, 2018kupata-mwili, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Siku-ya-Hukumu, siku-za-mwisho, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Hakuna Aliye wa Mwili Anayeweza Kuepuka Siku Ya Ghadhabu
Mwenyezi Mungu alisema, Leo, Nawaonya hivi kwa ajili ya kusalimika kwenu wenyewe, ili kazi Yangu iendelee vizuri, na ili kazi Yangu ya uzinduzi kote ulimwenguni iweze kufanyika kwa njia inayofaa...
Alhamisi, 15 Februari 2018
Nitampenda Mungu Maisha Yangu Yote | "Mpendwa Wangu, Tafadhali Nisubiri" (Video Rasmi ya Muziki)

Nitampenda Mungu Maisha Yangu Yote | "Mpendwa Wangu, Tafadhali Nisubiri" (Video Rasmi ya Muziki)
Mpendwa Wangu, Tafadhali Nisubiri
Juu ya miti, nikiukwea mwezi wa amani. Kama mpendwa wangu, wa haki na mzuri.
Ee mpendwa wangu, Uko wapi? Sasa mimi nina machozi....
Namna Petro Alivyopata Kumjua Yesu
By UnknownFebruari 15, 2018Hukumu-na-Kuadibu, Kumjua-Mungu, Maombi, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Namna Petro Alivyopata Kumjua Yesu
Mwenyezi Mungu alisema, Katika kipindi kile ambacho Petro alikuwa na Yesu, aliona sifa nyingi za kupendeza ndani ya Yesu, hali nyingi zenye za kustahili kuigwa, na nyingi ambazo zilimkimu. Ingawa Petro aliona nafsi ya Mungu ndani ya...