Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Muziki wa Akapela "Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu" (Video Rasmi ya Muziki)

Hayuko katika upeo wa mbali, wala hajajificha juu mawinguni. Yuko kando yako, akiwa na mamlaka juu ya kila kitu chako, Yeye ni kila kitu ulicho nacho, na Yeye ni kitu pekee ulicho nacho.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Jumapili, 18 Machi 2018

Upendo wa Mungu | "Kama Nisingeokolewa na Mungu" | Swahili Gospel Music Video

Upendo wa Mungu | "Kama Nisingeokolewa na Mungu" | Swahili Gospel Music Video

Kama nisingeokolewa na Mungu, ningekuwa bado nazurura ulimwenguni humu,
nikipambana kwa bidii na maumivu katika dhambi; kila siku huwa ya taabu isiyo na tarajio.
Kama nisingeokolewa na Mungu, bado ningekuwa nimepondwa chini ya miguu ya shetani,
kama nimenaswa katika dhambi na starehe zake, bila kujua maisha yangu yangekuwaje.
Kama nisingeokolewa na Mungu, nisingekuwa na baraka zangu leo,
wala kujua kwa nini sisi tuendelee kuishi ama maana ya maisha yetu.
Kama nisingeokolewa na Mungu, bado ningekuwa nimechanganywa kuhusu imani yangu,
nikiwa ningali katika nafasi tupu nikisukuma siku, bila kujua imani yangu iwe kwa nani.
Hatimaye nimeelewa mikono ya upendo ya Mungu imeshika yangu safarini.
Sitaweza kwenda na kupotea njia kwa sababu niko kwa mwendo huu mwangavu kukaa.
Hatimaye nimeelewa dhamira ya Mungu, yenye ari kwa mtu.
Fikra danganyifu kuondolewa kabisa, nitampa Mungu mwili wangu na roho yangu.
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Kanisa
Kama nisingeokolewa na Mungu, nisingekuwa na baraka zangu hapa leo,
wala kujua kwa nini sisi tuendelee kuishi ama maana ya maisha yetu.
Kama nisingeokolewa na Mungu, bado ningekuwa nimechanganywa kuhusu imani yangu,
nikiwa ningali katika nafasi tupu nikisukuma siku, bila kujua imani yangu iwe kwa nani.
Hatimaye nimeelewa mkono wa upendo wa Mungu umeushika wangu safarini.
Sitaweza kwenda na kupotea njia kwa sababu niko kwa mwendo huu mwangavu kukaa.
Hatimaye nimeelewa dhamira ya Mungu, yenye ari kwa mtu.
Fikra danganyifu kuondolewa kabisa, nitampa Mungu mwili wangu na roho yangu.

kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
Utukufu wote Uwe kwa Mwenyezi Mungu!

Jumamosi, 17 Machi 2018

Umeme wa Mashariki | Tafuteni Maana ya Maisha - "Kwa Ajili ya Nani Mtu Aishi" (Video Rasmi ya Muziki)

Umeme wa Mashariki | Tafuteni Maana ya Maisha - "Kwa Ajili ya Nani Mtu Aishi" (Video Rasmi ya Muziki)

Kwa Ajili ya Nani Mtu Aishi
Haikuwa wazi ni kwa ajili ya nani mtu anapaswa kuishi. Sasa nina jibu kwa hilo.
Nilikuwa naishi tu kwa ajili yangu mwenyewe, kutafuta hadhi tu na umaarufu.
Maombi kwa Mungu yaliyojaa maneno mema, lakini nikishikilia njia zangu mwenyewe katika maisha halisi.Imani juu ya msingi wa kesho na majaliwa, sina ukweli au uhalisi.
Mila na sheria, zikifungia imani yangu; sikubaki na kitu ila utupu.
Kushindwa kuishi kama binadamu, sistahili upendo wa Mungu kwa ajili yangu.

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, hukumu
Moyo wangu umeamshwa sasa, ukiniambia ni lazima nilipe upendo wa Mungu.
Najichukia kwa kuwa sikuwa na dhamira, kutomtii Mungu na kuvunja moyo wake.
Kamwe sijawahi kuutunza moyo wa Mungu; kamwe sikuwahi kujishughulisha na maneno Yake.Bila dhamiri, kutokuwa na hisi, ni jinsi gani naweza kuorodheshwa kama mtu?
Hukumu ya Mungu hunifanya nione, nilikuwa nimepotoshwa na Shetani kabisa.
Maovu, dunia hii, iliyojaa mitego, Ukweli ndio muumini lazima achague.
Ee Mungu mpenzi, Unanipenda sana, kufanya kila Unaloweza kunifanya niokolewe.
Kile Ulichonifanyia, nitakiweka kwa kumbukumbu! Kamwe sitasahau milele.
Utunzaji wa moyo wa Mungu, hayo ni mapenzi yangu yote. Nina kusudio la kufuata ukweli.
Najishughulisha kugharimia rasilmali kwa ajili ya Mungu, kujitoa mwenyewe kulipa upendo wake,kujitoa mwenyewe kulipa upendo wake.
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
Utukufu wote Uwe kwa Mwenyezi Mungu!

Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe II

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe II

Mwenyezi Mungu alisema, Kwenye mkutano  mwisho tuliweza kuzungumzia mada muhimu sana. Je, wakumbuka mada hiyo ilikuwa kuhusu nini? Hebu Niirudie. Mada ya ushirika wetu wa mwisho ilikuwa: Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe. Je, mada hii ni muhimu kwako? Ni sehemu gani katika mada hii ni muhimu kwako? Kazi ya Mungu, tabia ya Mungu, au Mungu Mwenyewe? Ni sehemu ipi inakuvutia zaidi? Ni sehemu ipi unayotaka kusikiliza kuhusu zaidi? Najua ni vigumu kwako wewe kulijibu swali hilo, kwa sababu tabia ya Mungu inaweza kuonekana katika kila kipengele cha kazi Yake, na tabia Yake inafichuliwa katika kazi Yake siku zote na pahali pote, na, kutokana na hayo, inawakilisha Mungu Mwenyewe; kwenye mpango wa usimamizi wa ujumla wa Mungu, kazi ya Mungu, tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe vyote hivi haviwezi kutenganishwa.
Maudhui ya ushirika wetu wa mwisho kuhusu kazi ya Mungu yaliweza kuangazia mambo yaliyofanyika kitambo kwenye Biblia. Maudhui hayo yote yalikuwa hadithi kuhusu binadamu na Mungu, na yalimfanyikia binadamu na wakati huohuo yakahusisha kushiriki na maonyesho ya Mungu, hivyo basi hadithi hizi zinashikilia thamani na umuhimu mkubwa katika kujua Mungu. Baada tu ya kuumba ubinadamu, Mungu Alianza kujihusisha na binadamu na kuzungumza na binadamu, na tabia yake ikaanza kuonyeshwa kwa binadamu. Kwa maneno mengine, tangu Mungu alipojihusisha kwanza na mwanadamu, Alianza kuujuza umma kuhusu binadamu, bila kusita, kiini Chake halisi na kile Anacho na alicho. Licha ya kama watu wa awali au watu wa leo wanaweza kuona au kuelewa kiini hicho, kwa ufupi Mungu anamzungumzia mwanadamu na kufanya kazi miongoni mwa binadamu, Akifichua tabia Yake na Akionyesha kiini Chake —jambo ambalo ni ukweli, na lisilopingika na mtu yeyote. Hii inamaanisha pia kwamba tabia ya Mungu, kiini cha Mungu, na kile Anacho na alicho vyote vinatolewa daima na kufichuliwa huku naye Akifanya kazi na kujihusisha na binadamu. Hajawahi kusetiri au kumfichia binadamu chochote, lakini badala yake anatangaza kwa umma na kuachilia tabia Yake binafsi bila ya kuficha chochote. Hivyo basi, Mungu anatumai kwamba binadamu anaweza kumjua Yeye na kuielewa tabia Yake na kiini chake. Hapendi binadamu kuchukulia tabia Yake na kiini Chake kuwa mafumbo ya milele, wala Hataki mwanadamu kumchukulia Mungu kama fumbo lisiloweza kutatuliwa. Mpaka tu pale ambapo mwanadamu atakapomjua Mungu ndipo binadamu atakapojua njia ya kufuata na kuweza kuukubali mwongozo wa Mungu, na mwanadamu tu kama huyu ndiye anayeweza kuishi kwa kweli katika utawala wa Mungu, na kuishi katika mwangaza, na kuishi katikati ya baraka za Mungu.
Maneno na tabia iliyowasilishwa mbele na kufichuliwa na Mungu inawakilisha mapenzi Yake, na pia inawakilisha kiini Chake halisi. Wakati Mungu anapojihusisha na binadamu, haijalishi ni nini Anachosema au kufanya, au tabia gani Anayofichua, na haijalishi ni nini binadamu anaona kuhusu kiini cha Mungu na kile Anacho na alicho, vyote vinawasilisha mapenzi ya Mungu kwa binadamu. Licha ya kiwango ambacho binadamu anaweza kutambua, kufahamu, au kuelewa, vyote hivi vinawakilisha mapenzi ya Mungu—mapenzi ya Mungu kwa binadamu. Hii ni zaidi ya shaka! Mapenzi ya Mungu kwa binadamu ni vile Anavyohitaji watu kuwa, kile Anachohitaji wao kufanya, namna Anavyohitaji wao kuishi, na vile Anavyowahitaji kuweza kukamilisha kutimia kwa mapenzi ya Mungu. Je, mambo haya hayawezi kutenganishwa na kiini cha Mungu? Kwa maneno mengine, Mungu huwasilisha mbele tabia Yake na vyote Alivyo navyo na kile ambacho Mungu ni wakati huohuo Akimtolea madai binadamu. Hakuna uongo, hakuna kusingizia, hakuna ufichaji, na wala hakuna kupiga chuku. Ilhali kwa nini binadamu hawezi kujua na kwa nini hajawahi kuweza kutambua waziwazi tabia ya Mungu? Na kwa nini hajawahi kutambua mapenzi ya Mungu? Kile ambacho kimefichuliwa na kuwasilishwa mbele na Mungu ndicho kile Mungu anacho Mwenyewe na maana yake , na kinaonyesha kila kipengele cha tabia Yake ya kweli—hivyo kwa nini binadamu hawezi kuona? Kwa nini binadamu hana uwezo wa kuwa na maarifa ya kina? Kunayo sababu muhimu ya haya. Na sababu yenyewe ni ipi? Tangu wakati wa uumbaji, binadamu hajawahi kumchukulia Mungu kama Mungu. Kwenye nyakati zile za mwanzo kabisa, haikujalisha ni nini Mungu alifanya kuhusiana na binadamu, yule binadamu ambaye ndiye tu alikuwa ameumbwa, binadamu alimchukulia yeye kuwa mwandani wake tu na wala si zaidi ya hapo, kama mtu wa kutegemewa, na hakuwa na maarifa yoyote wala uelewa wa Mungu. Hivi ni kusema, hakujua kwamba kile kilichowasilishwa mbele na Kiumbe huyu—Kiumbe huyu ambaye yeye alitegemea na kumwona kuwa mwandani wake—alikuwa kiini cha Mungu, na wala hakujua kwamba Kiumbe huyu ndiye anayetawala viumbe wote. Nikisema kwa urahisi, watu wa wakati huo hawakuwa na maarifa hata kidogo kumhusu Mungu. Hawakujua kwamba mbingu na nchi na mambo yote yalikuwa yameumbwa na Yeye na wala hawakujua ni wapi Alipotokea, na, zaidi hawakujua Yeye Alikuwa nani. Bila shaka, wakati huo Mungu hakumhitaji binadamu kumjua Yeye au kumfahamu Yeye au kuelewa kila kitu Alichofanya, au kufahamishwa kuhusu mapenzi Yake, kwani hizi zilikuwa nyakati za mapema zaidi baada ya uumbwaji wa mwanadamu. Wakati Mungu alipoanza matayarisho ya kazi ya Enzi ya Sheria, Mungu alifanya mambo fulani kwa binadamu na pia Akaanza kutolea binadamu madai fulani, Akimwambia namna ya kutolea Mungu sadaka na namna ya kumwabudu. Ni wakati huo ndipo binadamu alipopata mawazo machache mepesi kuhusu Mungu, ni hapo tu ndipo alipojua tofauti kati ya binadamu na Mungu na kwamba Mungu Ndiye aliyewaumba wanadamu. Wakati binadamu alipojua kwamba Mungu alikuwa Mungu na binadamu alikuwa binadamu kukawa umbali fulani kati ya Yeye na Mungu , bado Mungu hakuhitaji kwamba binadamu awe na maarifa makuu au uelewa wa kina kumhusu Yeye. Hivyo basi, Mungu anayatoa mahitaji tofauti kwa binadamu kutokana na awamu na hali za kazi Yake. Unaona nini katika haya? Ni kipengele kipi cha tabia ya Mungu unayoitambua? Je, Mungu ni wa kweli? Yale mahitaji ambayo Mungu anampa binadamu yanastahili? Kwenye nyakati za mapema kabisa kufuatia uumbaji wa wanadamu na Mungu, wakati ambao Mungu alikuwa bado hajatekeleza kazi ya ushindi na utimilifu wa binadamu, na Alikuwa hata bado hajaongea yale maneno mengi sana kwake, Alihitaji kidogo sana kutoka kwa binadamu. Licha ya kile ambacho binadamu alifanya na namna alivyotenda—hata kama alifanya mambo fulani yaliyomkosea Mungu—Mungu alimsamehe hayo yote, na akayapuuza. Kwa sababu Mungu Alijua kile Alichokuwa Amempa binadamu, na Alijua kile kilichokuwa ndani ya binadamu, basi Alijua kiwango cha mahitaji ambayo anafaa kudai kutoka kwa binadamu. Ingawaje kiwango cha mahitaji Yake kilikuwa cha chini sana wakati huo, hii haimaanishi kwamba tabia Yake haikuwa kuu, au kwamba hekima na uweza Wake yalikuwa si yoyote ila maneno matupu. Kwa binadamu, kunayo njia moja tu ya kujua tabia ya Mungu na Mungu Mwenyewe: kwa kufuata hatua za kazi ya usimamizi ya Mungu na wokovu wa mwanadamu, na kuyakubali maneno ambayo Mungu anaongea akiyaelekeza kwa mwanadamu. Kujua kile Mungu anacho na alicho, na kujua tabia ya Mungu, bado binadamu angemuuliza Mungu kumwonyesha ubinafsi Wake halisi? Binadamu hatafanya hivyo, na hathubutu kufanya hivyo, kwa kuweza kuifahamu tabia ya Mungu na kile Anacho na alicho, tayari binadamu atakuwa amemwona Mungu Mwenyewe wa kweli, na atakuwa tayari ameona ubinafsi Wake halisi. Haya ndiyo matokeo yasiyoepukika.
Kazi na mpango wa Mungu ulipokuwa ukiendelea mbele bila kusia, na baada ya Mungu kuanzisha agano la upinde wa mvua na binadamu kama ishara kwamba Hangewahi tena kuuangamiza ulimwengu kwa kutumia gharika, Mungu alikuwa na tamanio lililokuwa likiongezeka na kumsukuma kuwapata wale ambao wangeweza kuwa katika akili moja na Yeye. Hivyo, pia, Alikuwa na tamanio lenye udharura zaidi wa kupata wale waliokuwa na uwezo wa kutekeleza mapenzi Yake duniani, na, isitoshe, kupata kundi la watu ambao wangeweza kuwa huru dhidi ya nguvu za giza, na kutoweza kuwa watumwa wa Shetani, na kuweza kuwa na ushuhuda kwake Yeye duniani. Kupata kundi la watu kama hawa kulikuwa ni tamanio la Mungu kwa muda mrefu, Alichokuwa akisubiria tangu wakati wa uumbaji. Hivyo basi, licha ya matumizi ya gharika na Mungu ili kuuangamiza ulimwengu, au agano Lake na binadamu, mapenzi ya Mungu, hali yake ya akili, mpango, na matumaini yote yalibakia yaleyale. Kile Alichotaka kufanya, ambacho Alikuwa ametamani kwa muda mrefu kabla ya uumbaji, kilikuwa kupata wale walio miongoni mwa wanadamu ambao Alitamani kuwapata—Kupata watu wa kundi hili ambao walioweza kufahamu na kujua tabia Yake, na kuyaelewa mapenzi Yake, kundi ambalo lingeweza kumwabudu Yeye. Watu kwenye kundi kama hili wanaweza kweli kuwa na ushuhuda kwake, na wao ndio, yaweza kusemekana, wasiri Wake.
Leo, hebu tuendelee kuzifuata nyayo za Mungu na kufuata nyayo za kazi Yake, ili tuweze kufichua fikira na mawazo ya Mungu, na kila kitu kinachomhusu Mungu, vyote ambavyo “vimehifadhiwa kwenye ghala” kwa muda mrefu. Kupitia mambo haya tutajua hatimaye tabia ya Mungu, kukielewa kiini cha Mungu, tutamruhusu Mungu kuingia kwenye mioyo yetu, na kila mmoja wetu ataweza kukaribia Mungu kwa utaratibu, na kupunguza umbali wetu na Mungu.
Sehemu ya kile tulichozungumzia wakati wa mwisho ilihusiana na kwa nini Mungu alianzisha agano na binadamu. Wakati huu, tutakuwa na ushirika kuhusu vifungo vya maandiko zilizo hapa chini. Hebu tuanze kwa kuyasoma maandiko.
Ibrahimu
1. Mungu Amwahidi Ibrahimu Mwana
(Mwa 17:15-17) Mungu akamwambia Abrahamu, na Sarai mkeo, hutamwita jina lake Sarai, kwa kuwa jina lake litakuwa Sara. Nami nitambariki, na pia nitakupa mwana kutoka kwake: naam, Nitambariki, na yeye atakuwa mama wa mataifa; na wafalme wa za watu watatoka kwake. Kisha Abrahamu akaanguka kifudifudi, akacheka, akasema moyoni, Je, mtoto atazaliwa kwa mtu wa umri aliye namiaka mia moja? Na Sara, aliye na umri wa miaka tisini, atazaa?” Kwa maneno mengine wanandoa hawa wazee walikuwa na umri mwingi sana wa kupata watoto. Naye Ibrahimu alifanya nini baada ya Mungu Kumwahidi? Aliuangukia uso wake akicheka, na kujiambia, “Je, mtoto atazaliwa kwa mtu wa umri aliye na miaka mia moja?” Ibrahimu aliamini kwamba haikuwezekana—hivi alimaanisha kwamba alisadiki ahadi ya Mungu kwake haikuwa chochote ila mzaha. Kutoka mtazamo wa binadamu, ahadi isingeweza kutimizika na binadamu, na vilevile isingeweza kutimizika na Mungu na ilikuwa haiwezekani kwa Mungu. Pengine, kwa Ibrahimu, ahadi hii ilikuwa ya kuchekesha. Mungu alimuumba binadamu, lakini yaonekana kwamba hajui kwamba mtu aliyezeeka sana hawezi kupata watoto; Anafikiria kwamba Anaweza kuniruhusu kupata mtoto, Anasema kwamba atanipa mtoto—kwa kweli hilo haliwezekani!. Na hivyo, Ibrahimu akaangukia uso wake na kucheka, akijifikiria yeye mwenyewe: Haiwezekani—Mungu anafanya mzaha na mimi, hili haliwezi kuwa kweli. Hakutilia maanani maneno yake Mungu. Hivyo, katika macho ya Mungu, Ibrahimu alikuwa binadamu wa aina gani? (Mwenye haki) Ni wapi ulipojifunza kwamba alikuwa mwenye haki? Wewe unafikiria kwamba wale wote ambao Mungu anawaita ni wenye haki, na watimilifu, na watu wanaotembea na Mungu. Wewe unashikilia mafundisho ya dini! Lazima uone waziwazi kwamba wakati Mungu anapomfasili mtu, Hafanyi hivyo kiholela. Hapa, Mungu hakusema kwamba Ibrahimu alikuwa mwenye haki. Katika moyo Wake, Mungu anavyo viwango vya kupima kila mtu. Ingawaje Mungu hakusema ni mtu wa aina gani ambaye Ibrahamu alikuwa, kwa mujibu wa mwenendo wake, Ibrahimu alikuwa na imani ya aina gani kwake Mungu? Ilikuwa ya kidhahania kidogo? Au alikuwa mwenye imani kuu? La, hakuwa! Kicheko na fikira zake zilionyesha yeye alikuwa nani, hivyo imani yako kwamba alikuwa mwenye haki ni ndoto ya kufikiria kwako, ni matumizi yasiyo na mwelekeo ya mafundisho ya dini, usiopaswa. Je, Mungu alikiona kicheko cha Ibrahimu na maonyesho yake madogo, [a] Alijua kuyahusu? Mungu alijua. Lakini Mungu angebadilisha kile Alichokuwa ameamua kufanya? La! Wakati Mungu alipopangilia na kuamua kwamba Angemchagua binadamu huyu, suala hilo lilikuwa tayari limekamilishwa. Si fikira za binadamu wala mwenendo wake ungemshawishi au kuhitilafiana na Mungu hata chembe; Mungu Asingebadilisha kiholela mpango Wake, wala Asingebadilisha au kuharibu mpango Wake kwa sababu ya mwenendo wa binadamu, hali ambayo ingekuwa ujinga. Nini, basi, kimeandikwa katika Mwanzo 17:21-22? “Lakini agano langu Nitalifanya imara na Isaka, ambaye Sara atakuzalia wakati kama huu mwaka ujao. Na akaacha kuzungumza naye, na Mungu akapanda kutoka kwa Ibrahimu.” Mungu hakutilia maanani hata chembe kile Ibrahimu alichofikiria au kusema. Na sababu ya kutotilia maanani Kwake ni gani? Kutotilia maanani kwake kulikuwa kwa sababu, wakati huo Mungu hakuhitaji kwamba mwanadamu awe mwenye imani kuu au kwamba aweze kuwa na maarifa kuu kuhusu Mungu, au, vilevile, aweze kuelewa kile kilichofanywa na kusemwa na Mungu. Hivyo, hakuhitaji kwamba binadamu aelewe kabisa kile Alichoamua kufanya, au watu Alioamua kuchagua, au kanuni za vitendo Vyake, kwani kimo cha binadamu hakikutosha tu. Wakati huo, Mungu alichukulia kile ambacho Ibrahimu alifanya na vyovyote alivyojiendesha yeye mwenyewe kuwa kawaida. Hakushutumu, au kukemea, lakini alisema tu: “Sara atakuzalia Isaka wakati huu uliopangwa mwaka ujao.” Kwa Mungu, baada Yake kuyatangaza maneno haya, suala hili hatimaye lilikuwa kweli hatua kwa hatua; katika macho ya Mungu, kile ambacho kilikuwa kikamilishwe na mpango Wake kilikuwa tayari kimetimizwa. Baada ya kuikamilisha mipangilio ya hayo, Mungu aliondoka. Kile binadamu hufanya au kufikiria, kile binadamu huelewa, mipango ya binadamu—hakuna chochote kati ya hivi vyote kinacho uhusiano wowote na Mungu. Kila kitu hufanyika kulingana na mpango wa Mungu, kikiendana na nyakati na awamu zilizowekwa na Mungu. Hivyo ndivyo kanuni ya kazi ya Mungu inavyoenda. Mungu haingilii kati chochote kile binadamu anafikiria au kujua, ilhali Haachi mpango Wake, wala kuacha kazi Yake kwa sababu binadamu hasadiki wala kuelewa. Kweli hizi hivyo basi zinakamilishwa kulingana na mpango na fikira za Mungu. Hivi ndivyo hasa tunavyoona kwenye Biblia: Mungu Alisababisha Isaka kuzaliwa wakati ule Aliokuwa amepanga. Je, kweli zinathibitisha kwamba tabia na mwenendo wa binadamu vilizuia kazi ya Mungu? Havikuzuia kazi ya Mungu! Je, imani ndogo ya binadamu kwa Mungu, na dhana zake na fikira kumhusu Mungu viliweza kuathiri kazi ya Mungu? La, havikuathiri! Hata kidogo! Mpango wa usimamizi wa Mungu hauathiriwi na binadamu, suala, au mazingira yoyote. Kila kitu Anachoamua kufanya kitakamilika na kukamilishwa kwa wakati na kulingana na mpango Wake, na kazi Yake haiwezi kutatizwa na binadamu yeyote. Mungu hatilii maanani baadhi ya ujinga na kutojua kwa binadamu, na hata Hupuuza upinzani na dhana fulani za binadamu Kwake; badala yake, Anafanya kazi ambayo lazima Afanye bila ya kusita. Hii ni tabia ya Mungu na ni onyesho la kudura Yake.

Kazi ya Usimamizi wa Mungu na Wokovu wa Mwanadamu Yaanza kwa Sadaka ya Isaka ilivyotolewa na Ibrahimu

Baada ya kumpa mtoto Ibrahimu, maneno ambayo Mungu alikuwa ametamka kwa Ibrahimu yakawa yametimizwa. Hii haimaanishi kwamba mpango wa Mungu ulifikia mwisho hapa; kinyume cha mambo ni kwamba, mpango wa ajabu wa Mungu wa usimamizi na wokovu wa mwanadamu ndipo ulikuwa tu umeanza, na baraka Yake ya mwana kwa Ibrahimu ilikuwa tu ni utangulizi wa mpango wa usimamizi Wake kwa ujumla. Wakati huo, ni nani aliyejua kwamba vita vya Mungu na Shetani vilikuwa vimeanza kimya kimya wakati Ibrahimu alipomtoa Isaka?

Mungu Hajali Kama Binadamu Ni Mjinga—Anahitaji Tu Binadamu Awe Mkweli

Kisha, hebu tuangalie kile Mungu alimfanyia Ibrahimu. Ukiangalia Mwanzo 22:2, Mungu alimtolea Ibrahimu amri ifuatayo: “Naye akasema, Umchukue mwanao, mwanao wa pekee, umpendaye, Isaka, uende mpaka nchi ya Moria; na huko umtoe sadaka ya kuteketezwa huko juu ya mlima mmojawapo Nitakaokuambia.” Maana ya Mungu ilikuwa wazi: Alikuwa akimwambia Ibrahimu amtoe mtoto wake wa pekee Isaka, ambaye alimpenda, kwa minajili ya sadaka ya kuteketezwa. Tukiiangalia amri ya Mungu leo, je ingali inakinzana na dhana za binadamu? Ndiyo! Kile alichokifanya Mungu wakati huo ni kinyume sana na dhana za binadamu na hakieleweki kwa binadamu. Katika dhana zao, watu husadiki yafuatayo: Wakati binadamu hakusadiki, na akafikiria ni jambo lisilowezekana, Mungu Alimpa mwana, na baada ya kupata mtoto, Mungu alimwomba amtoe mwana wake—haiwezekani! Mungu kwa hakika alinuia kufanya nini? Kusudio halisi la Mungu lilikuwa nini? Alimpa Ibrahimu mtoto bila masharti yoyote, ilhali pia Alimwomba Ibrahimu aweze kutoa bila masharti. Maji yalikuwa yamezidi unga? Katika mtazamo wa mtu wa pembeni, hapa maji hayakuwa tu yamezidi unga lakini pia ilikuwa kwa kiasi fulani hali ya “kuunda tatizo pasipo na tatizo” Lakini Ibrahimu mwenyewe hakusadiki kwamba Mungu alikuwa akihitaji mengi sana. Ingawaje alikuwa na wasiwasi fulani, na alimshuku kidogo Mungu, alikuwa tayari bado kumtoa mtoto wake. Wakati huu, ni nini unachoona ambacho kinathibitisha kuwa Ibrahimu alikuwa radhi kumtoa mtoto wake? Ni nini kinazungumzwa kwenye sentensi hizi? Maandishi asilia yanaelezea yafuatayo: “Abrahamu akaondoka alfajiri, akatandika punda wake, akachukua vijana wawili pamoja naye, na Isaka mwanawe, akachanja kuni kwa ajili ya hiyo sadaka ya kuteketezwa, akaondoka, akaenda hadi mahali alipoambiwa na Mungu.” (Mwa 22:3). “Wakafika mahali pale alipoambiwa na Mungu; Abrahamu akajenga madhabahu huko, akazipanga kuni tayari, na akamfunga Isaka mwanawe, na akamweka juu ya madhabahu juu ya zile kuni. Abrahamu akanyosha mkono wake, akakichukua kisu ili amchinje mwanawe.” (Mwa 22:9-10). Wakati Ibrahimu alipounyosha mkono wake, na kukichukua kisu ili kumwua mtoto wake, Mungu aliviona vitendo vyake? Naam aliviona. Mchakato wote—kuanzia mwanzo, wakati Mungu alipomwomba Ibrahimu kumtoa Isaka, hadi pale ambapo Ibrahimu alikiinua kisu chake ili kumwua mtoto wake—hilo lilionyesha Mungu moyo wa Ibrahimu, na haijalishi kuhusu ujinga wake wa awali, kutojua kwake, na kutomwelewa Mungu kwake, wakati huo moyo wa Ibrahimu kwa Mungu ulikuwa kweli, na wenye uaminifu, na kwa kweli alikuwa akienda kumrudisha Isaka, mtoto aliyepewa yeye na Mungu, ili arudi kwa Mungu. Ndani yake, Mungu aliuona utiifu—utiifu uleule ambao Yeye Alitamani.
Kwa binadamu, Mungu hufanya mengi yasiyoeleweka na yaliyo ya ajabu. Wakati Mungu anapotaka kupangilia mtu, mpango huu mara nyingi unakinzana na dhana za binadamu, na huwa haueleweki kwa binadamu huyo, ilhali ni ukosefu wa mwafaka huu na kutofahamu ndiyo majaribio ya Mungu na mtihani wake kwa binadamu. Ibrahimu, huku haya yakiendelea, aliweza kuonyesha utiifu kwa Mungu uliokuwa ndani yake, jambo ambalo ndilo lililokuwa sharti muhimu zaidi la yeye kuweza kushibisha mahitaji ya Mungu. Hapo tu, wakati Ibrahimu alipoweza kutii mahitaji ya Mungu, alipomtoa Isaka ndipo Mungu Alipohisi kwa kweli utulivu na kukubaliwa na Mungu—kwa Ibrahimu, ambaye Alikuwa amemchagua. Hapo tu ndipo Mungu alipokuwa na hakika kwamba mtu huyu Aliyekuwa amemchagua Yeye alikuwa kiongozi muhimu ambaye angetekeleza ahadi Yake na mpango Wake wa usimamizi wa baadaye. Ingawaje lilikuwa tu jaribio na mtihani, Mungu alihisi furaha, Alihisi upendo wa binadamu kwake Yeye, na Alihisi akiwa ametulizwa na binadamu kwa mara ya kwanza. Wakati huu ambao Ibrahimu alipokiinua kisu chake ili kumwua Isaka, Mungu alimsimamisha? Mungu hakumruhusu Ibrahimu kumpa Isaka, kwani Mungu hakuwa na nia yoyote ya kumtoa uhai Isaka. Hivyo, Mungu alimsimamisha Ibrahimu kwa wakati mwafaka. Kwake Mungu, utiifu wa Ibrahimu ulikuwa tayari umepita mtihani, kile alichofanya kilitosha, naye Mungu tayari alikuwa ameona matokeo ya kile Alichokuwa amenuia kufanya. Je, matokeo haya yalimtosheleza Mungu? Yaweza kusemekana kwamba matokeo haya yalimtosheleza Mungu na kwamba ndiyo ambayo Mungu alitaka, na ndiyo ambayo Mungu alikuwa ametamani kuyaona. Je, hili ni kweli? Ingawaje, katika miktadha tofauti, Mungu anatumia njia tofauti za kupima kila mtu. Kwa Ibrahimu Mungu aliona kile Alichotaka, Aliona kwamba moyo wa Ibrahimu ulikuwa wa kweli, na kwamba utiifu wake haukuwa na masharti na ilikuwa hali hii hasa ya “kutokuwa na masharti” ambayo Mungu alitamani. Watu mara nyingi husema, tayari nimetoa hii, tayari nimeachana na ile—kwa nini bado Mungu hajatosheka na mimi? Kwa nini Anaendelea kuniweka katika majaribio? Kwa nini Anaendelea kunijaribu? Hii yaonyesha ukweli mmoja: Mungu bado hajauona moyo wako, na bado hajapata moyo wako. Hivi ni kusema, Hajauona uaminifu kama wakati ule ambao Ibrahimu aliweza kukiinua kisu chake ili kumuua mtoto wake kwa mkono wake mwenyewe na kumtoa kwa Mungu. Bado Hajauona utiifu wako usio na masharti, na hajatulizwa na wewe. Ni jambo la kiasili, hivyo basi, kwamba Mungu anaendelea kukujaribu. Je, haya si kweli? Tutaachia hapa kwa mada hii. Halafu, tutasoma “Ahadi ya Mungu kwa Ibrahimu.”
3. Ahadi ya Mungu kwa Ibrahimu
(Mwa 22:16-18) … Nimeapa kwa nafsi yangu, akasema BWANA, kwa kuwa umetenda jambo hili, wala hukunizuilia mwanao, mwanao wa pekee: Kwamba katika kubariki Nitakubariki, na katika kuzidisha Nitauzidisha uzao wako kama nyota za mbinguni, na kama mchanga ulio kwenye ukanda wa pwani; na uzao wako utamiliki mlango wa adui zao; na katika uzao wako mataifa yote ya dunia watabarikiwa; kwa sababu umeitii sauti yangu.
Huu ni ukamilifu wa maelezo ya baraka za Mungu kwa Ibrahimu. Ingawaje ni fupi, maudhui yake ni mengi: Yanajumuisha sababu ya, na usuli wa, zawadi ya Mungu kwa Ibrahimu, na kile ambacho Alimpa Ibrahimu. Unao pia mhemko wa furaha na msisimko Aliotumia Mungu kutamka maneno haya, , pamoja na udharura wa tamanio Lake la kupata wale wanaoweza kusikiliza maneno Yake. Katika haya, tunaona upendo wa Mungu kwa, na wema Wake kwa, wale wanaotii maneno Yake na kufuata amri Zake. Hivyo, pia, tunaiona gharama Anayolipia ili kupata watu, na utunzaji na fikira Anazotumia kuweza kuwapata. Zaidi ya hayo, kifungu hicho, kilicho na maneno “Nimeapa kwa nafsi yangu,” kinatupa hali ya nguvu ya machungu na maumivu Aliyoyapitia Mungu, na Mungu pekee, usiri wa kazi hii ya mpango wa usimamizi. Ni kifungu cha kuchokonoa fikira, na kile ambacho kilikuwa na umuhimu maalum kwa, na ilikuwa na athari nyingi ajabu kwa wale waliokuja baadaye.
kutoka kwa Mwendelezo wa Neno Laonekana katika Mwili 

Juni 13, 2014

Ijumaa, 16 Machi 2018

Umeme wa Mashariki | Ufafanuzi wa Tamko la Kwanza

Umeme wa Mashariki | Ufafanuzi wa Tamko la Kwanza

Mwenyezi Mungu alisema, Kama tu Mungu alivyosema, “Hakuna anayeweza kuelewa mzizi wa maneno Yangu, wala kusudi la maneno haya.” Kama Isingekuwa uongozi wa Roho wa Mungu, kama isingekuwa kwa majilio ya maneno Yake, wote wangeangamia chini ya kuadibu Kwake. Ni kwa nini Mungu humjaribu mwanadamu kwa muda mrefu hivyo? Na kwa muda mrefu kama miezi mitano? Hili ndilo wazo la kulenga la ushirika wetu na vilevile wazo kuu katika hekima ya Mungu.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | Muziki wa Akapela "Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu"


Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | Muziki wa Akapela "Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu"

Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu
Mpaka siku moja,
utahisi kuwa Muumba sio fumbo tena,
kwamba Muumba hajawahi kufichwa kutoka kwako,
kwamba Muumba hajawahi kuificha sura Yake kutoka kwako,
kwamba Muumba hayuko mbali na wewe hata kidogo,
kwamba Muumba siye Yule unayemtamania katika mawazo yako
lakini kwamba huwezi kumfikia na hisia zako,
kwamba Anasimama kwa kweli kama mlinzi kulia na kushoto kwako,
Akiruzuku maisha yako, na kudhibiti majaliwa yako, kudhibiti majaliwa yako.
Hayuko katika upeo wa mbali, wala hajajificha juu mawinguni.
Yuko kando yako, akiwa na mamlaka juu ya kila kitu chako,
Yeye ni kila kitu ulicho nacho, na Yeye ni kitu pekee ulicho nacho.
Mungu kama huyo Anakukubali umpende kutoka moyoni,
umshikilie, umweke karibu, umtamani,
uhofu kumpoteza,
na kutotaka kumkataa tena, kutomtii tena,
ama kumwepuka tena ama kumweka mbali.
Kile unachotaka ni kumjali tu, kumtii,
kulipia kila kitu Anachokupa, na kujisalimisha katika himaya Yake.
Hukatai tena kuongozwa,
kupewa, kuangaliwa, na kuwekwa na Yeye,
hukatai tena Anachoamuru na kukitawaza kwako,
Anachoamuru na kukitawaza kwako.
Unachotaka tu ni kumfuata, kutembea kando Yake katika kushoto ama kulia Kwake,
ni kumfuata, kutembea kando Yake katika kushoto ama kulia Kwake,
kile utakacho ni kumkubali kama Bwana wako mmoja na wa pekee,
kile utakacho ni kumkubali kama Bwana wako mmoja na wa pekee,
Mungu wako mmoja na wa pekee.
Hukatai tena
Hukatai tena
Hukatai tena
Hukatai tena
Hukatai tena kuongozwa, kupewa, kuangaliwa, na kuwekwa na Yeye,
katai tena
katai tena
katai tena
katai tena
Anachoamuru na kukitawaza kwako, Anachoamuru na kukitawaza kwako.
Unachotaka tu ni kumfuata, kutembea kando Yake katika kushoto ama kulia Kwake,
kumfuata, kutembea kando Yake katika kushoto ama kulia Kwake,
kile utakacho ni kumkubali kama Bwana wako mmoja na wa pekee,
kile utakacho ni kumkubali kama Bwana wako mmoja na wa pekee, Mungu wako mmoja na wa pekee.
Unachotaka tu ni kumfuata, kutembea kando Yake katika kushoto ama kulia Kwake,
ni kumfuata, kutembea kando Yake katika kushoto ama kulia Kwake,
kile utakacho ni kumkubali kama Bwana wako mmoja na wa pekee,
kama Bwana wako mmoja na wa pekee, Mungu wako mmoja na wa pekee.
Mungu wako mmoja na wa pekee.

Kutoka kwa Kuendeleza kwa Neno Laonekana katika Mwili
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, ukweli
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Alhamisi, 15 Machi 2018

Maisha Mapya Katika Ufalme - “Papa hapa, Hivi Sasa, Tuungane Pamoja” (Video Rasmi ya Muziki)


Umeme wa Mashariki | Maisha Mapya Katika Ufalme - “Papa hapa, Hivi Sasa, Tuungane Pamoja” (Video Rasmi ya Muziki)

Papa hapa, Hivi Sasa, Tuungane Pamoja

Kwa kupendana, sisi ni familia. Ah … ah …
Papa hapa, hivi sasa, tunaungana; kusanyiko la watu wampendao Mungu.
Bila upendeleo, tukishikizwa kwa karibu, furaha na utamu vikijaza nyoyo zetu.
Jana tuliacha majuto na hatia; leo tunaelewana, tunaishi katika upendo wa Mungu.
Pamoja, tuna furaha zaidi, huru kutoka kwa mwili. Ndugu zangu, pendaneni; sisi ni familia moja.
Bila upendeleo, tukishikizwa kwa karibu, Ah … ah …

Papa hapa, hivi sasa, tunaungana; kusanyiko la watu kote ulimwenguni.
Mwanzo tukiwa tumepotoshwa lakini tumeokolewa na Mungu. Tuna lugha moja na moyo mmoja, nia moja.
Tukishiriki hisia za tulipokuwa tumetengana; na uzoefu na maarifa tuliyonayo.
Sasa tumeshika mwendo adhimu wa maisha, mbele yetu, maisha anisi ya baadaye yaliyojaa tumaini na mng'aro.
Wakati anisi ujao, uliojaa mng'aro. Ah … ah …
Papa hapa, hivi sasa, tunaungana; lakini hivi punde tutakuwa tumetengana.
Hali tumetwishwa mizigo ya kazi na mapenzi ya Mungu, tutatengana kwa ajili ya kazi ya Mungu.
Tunapokusanyika, sisi hucheka na kuongea kwa furaha; tunapoondoka, tunatumainishana.
Upendo wa Mungu, chanzo chetu cha kuwa watiifu hadi mwisho.
Kwa maisha mazuri ya baadaye, tutafanya lolote tutakaloweza.
Kwa maisha mazuri ya baadaye, tutafanya lolote tutakaloweza.
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, neema

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.


Jumatano, 14 Machi 2018

Umeme wa Mashariki | Utendaji (1)

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Umeme wa Mashariki | Utendaji (1)

Mwenyezi Mungu alisema, kulikuwa na kupotoka kwingi katika jinsi watu walipata uzoefu, na kungeweza hata kuwa kwa ajabu. Kwa sababu tu hawakuelewa viwango vya mahitaji ya Mungu, kulikuwa na maeneo mengi ambayo uzoefu wa watu ulienda kombo. Sharti la Mungu kwa mtu ni kwao kuwa na uwezo wa kuishi kwa kudhihirisha ubinadamu wa kawaida. Njia za mtu wa kisasa kuhusiana na chakula na mavazi, kwa mfano. Wanaweza kuvaa suti na tai na wanaweza kujifunza kiasi kuhusu sanaa ya kisasa, na katika muda wao wa ziada wanaweza kuwa na kiasi fulani cha fasihi na maisha ya burudani. Wanaweza kuchukua baadhi ya picha za kumbukumbu na wanaweza kusoma na kupata kiasi cha elimu, na kuwa na mazingira mazuri kiasi ya kuishi. Haya ndiyo maisha ambayo yanastahili ubinadamu wa kawaida, ilhali watu wanayaona kama kitu kinachochukiwa na Mungu. Utendaji wao tu ni wao kufuata kanuni chache, na hii huwasababisha kuishi maisha yanayochosha sana, bila maana yoyote. Katika hali halisi, Mungu hajawahi kumhitaji mtu kufanya hivyo. Watu wanataka kukatiza tabia zao wenyewe, wakiomba bila kukoma katika roho zao ili wawe karibu na Mungu, mawazo yao daima yakiwa yamemilikiwa na kufikiria kuhusu mambo ya kimungu, macho yao mara kwa mara yakiangalia huku na kule, wakiangalia suala hili na suala lile, wakihofia kwa kiasi kikubwa kwamba uhusiano wao kwa Mungu utatengwa kwa namna fulani. Haya ni mambo yote ambayo mtu amejijumlishia mwenyewe; ni sheria ambazo zimewekwa kwa ajili ya mtu na mtu wenyewe. Usipoelewa kiini chako mwenyewe au kile kiwango ambacho mwenyewe unaweza kufikia, basi hutakuwa na namna yoyote ya kufahamu hasa viwango ni vipi ambavyo Mungu anahitaji kwa ajili ya mtu, na basi hutakuwa na namna yoyote ya kupata matendo ambayo yanatekelezwa katika hatua mwafaka. Akili yako daima inageuka upande huu na ule, unafikiria kila namna iwezekanayo kujifunza na kuhisi njia yako jinsi gani unaweza kusisimuliwa na kupata nuru kwa Roho Mtakatifu na matokeo kwamba unaweka muhtasari seti za njia za kutenda ambazo unadhani zitakusaidia kupata kuingia. Unapotenda kwa njia hii, hujui nini hasa ambacho Mungu anataka kutoka kwako; unatenda tu kwa njia yako mwenyewe, ukihisi starehe kabisa, bila kujali kuhusu matokeo wala kujali hata kidogo kuhusu iwapo kupotoka na makosa yapo. unapoendelea kwa njia hii, kutenda kwako kunakosa mambo mengi makubwa, kama vile pongezi ya Mungu, uthibitisho na Roho Mtakatifu na matokeo yanayopatikana kwa matakwa ya Mungu. Hata inakosa ubinadamu wowote wa kawaida au hisia za kawaida za mtu za mantiki. Kutenda kwako ni kufuata sheria tu, au kwamba uendelee kuongeza mzigo wako kimakusudi ili ujizuie, ili ujidhibiti. Na hata unafikiri kuwa kutenda kwako kuko sahihi, bila kujua kwamba sehemu kubwa ya kile unachotenda ni mchakato au utunzaji ambao si lazima. Kuna wengi ambao wanatenda hivi kwa miaka mingi bila mabadiliko kimsingi katika tabia zao, bila ufahamu mpya, na bila kuingia kupya. Wanazitekeleza kwa kutojua asili zao za kinyama, hata hadi hatua ambapo kuna mara nyingi wakati wanafanya mambo bila busara, mambo ya kinyama na mara nyingi wakifanya mambo ambayo huwapa watu kusita na ambayo hayaeleweki. Je, si aina hii ya mtu ni mtu ambaye amebadilika?
Sasa, kuzungumza kwa kiasi, watu huomba kidogo sasa ikilinganishwa na mbeleni kwa kuwa sasa si enzi ya kutafuta na kuhisi njia ya mtu ya kufuata. Sasa ni enzi ya ufunuo, Enzi ya Ufalme, ni maisha ya ufahamu ambapo vitu vyote vinaelezwa waziwazi kwa mtu, na mtu haachwi tena kuihisi njia katika maisha. Kuhusu masuala ya ndoa, mambo ya kidunia, maisha, chakula, mavazi na malazi, mahusiano kati ya watu, jinsi mtu anaweza kuhudumu katika njia ambayo inayakidhi mapenzi ya Mungu, jinsi mtu anavyoweza kuuacha mwili..., yepi kati ya haya hayajaambiwa kwenu? Je, bado mnahitaji kwenda kutafuta? Je, bado mnahitaji kuomba? Haina haja kweli! Kama bado unafanya vitu hivi, si unaongeza safu nyingine ya urasmi? Si lazima! Muhimu ni kama una azimio au la. Baadhi ya watu wanatenda kosa kwa kujua, na wanajua wazi kwamba kutembea njia ya dunia si vizuri, kwamba huleta hasara kwa maisha ya mtu na kuchelewesha maendeleo yao ya maisha, lakini wanasisitiza kulifanya, nao wanafanya hivyo baada ya kuomba na kutafuta. Je, si hii ni kutenda kosa kwa kujua? Kama wale wanaotamani sana anasa za mwili na kushikilia utajiri, ambaye baadaye anamwomba Mungu akisema: “Mungu! Je, Unaniruhusu nishikilie anasa za mwili na kushikilia utajiri? Je, ni mapenzi Yako nipate fedha kwa njia hii?” Je, hii ni njia ya kufaa kuomba? Ikiwa wanajua vizuri kabisa kwamba Mungu hafurahii mambo haya basi yanapaswa kuachiliwa, lakini mambo haya yameimarishwa katika mioyo nao wanaomba na kutafuta ili kumlazimisha Mungu kuwakubalia na kumfanya Mungu awape jibu. Kisha kuna wale ambao huwaleta ndugu wa kanisa upande wao na kuanzisha falme huru zao wenyewe. Unajua vizuri sana kwamba matendo haya yanamwasi Mungu, lakini bado unaenda kumtafuta na kumwomba Mungu. Wewe ni sugu na, ukifanya mambo hivi, bado unaweza kuonekana ukimwomba Mungu kwa ujasiri mkubwa na utulivu. Kweli huna aibu! Kuhusu kutembea njia ya dunia, hili limehubiriwa kwa muda mrefu mbeleni. Linachukiwa sana na Mungu, lakini bado unaomba, ukisema: “Ee Mungu! Unaniruhusu kutembea njia ya kidunia? Naweza kuyakidhi mapenzi Yako kwa njia hii? Kwa kweli, nia zangu ni sahihi. Sifanyi hivi kwa ajili ya mwili; nafanya hivi ili jina Lako lisitiwe aibu, nafanya hivyo kwa utukufu Wako, ili watu wa kidunia waweze kuona utukufu Wako ndani yangu. “Je, si njia hii ya kuomba ni upuuzi? Huoni aibu? Na si wewe unakuwa mjinga zaidi kufikiri kwamba hiki ni kitu cha thamani cha kufanya? Huna nia ya kupata uzoefu wa maisha ya mwanga, badala yake unakwenda kwa makusudi kuyaonja yale maisha katika giza na kuteseka. Hivyo si wewe unatafuta tu kuteseka? Umeambiwa jinsi ya kuishi maisha ya kiroho, maisha ya ubinadamu wa kawaida na umeambiwa kuhusu masuala yote ya ukweli. Kama huelewi kitu basi kiangalie moja kwa moja. Je, bado unahitaji kuyafunga macho yako na kuomba? Kama bado unaenda kutafuta kwa kuyaelekeza macho yako mbinguni, si bado unamwamini Mungu wa mashaka? Awali uliona matokeo kutokana na kutafuta kwako na kuomba na Roho Mtakatifu Aliisisimua roho yako kwa kiasi fulani kwa sababu wakati huo alikuwa Enzi ya Neema. Hukuweza kumwona Mungu hivyo hukuwa na chaguo lakini unaihisi njia yako mbele na kwenda kutafuta hivyo. Sasa Mungu Amekuja kati ya mtu na Neno limeonekana katika mwili. Sasa unaweza kumwona Mungu, na hivyo Roho Mtakatifu Hafanyi kazi tena kama Alivyofanya mbeleni. Enzi imebadilika na pia namna ambavyo Roho Mtakatifu hufanya kazi. Ingawa maombi yanaweza kutekelezwa kidogo zaidi kuliko awali, kwa sababu Mungu yuko duniani mtu sasa anayo nafasi ya kumpenda Mungu. Wanadamu wameingia katika enzi ya kumpenda Mungu nao wanayo ndani yao ukaribu sahihi kwa Mungu: “Ee Mungu! Hakika Wewe ni mzuri, nami niko tayari kukupenda!” Maneno machache tu ya wazi na rahisi hutoa sauti kwa upendo wa Mungu ndani ya moyo wako na ni kuimarisha tu upendo kati yako na Mungu. Wakati mwingine unaweza kujiona ukionyesha uasi kiasi, ukisema: “Ee Mungu! Mbona mimi ni mwovu sana?” Kweli unataka kujipiga, na machozi machoni mwako. Kwa wakati huu, moyo wako unahisi kujuta na kuwa na dhiki lakini huna namna ya kuionyesha. Hii ni kazi ya sasa ya Roho Mtakatifu, lakini hili ni jambo tu ambalo wale wanaotafuta maisha wanaweza kufikia. Unahisi kwamba Mungu anao upendo mkubwa kwako nawe unahodhi hisia maalum, lakini huna maneno ya kuomba kwa uwazi. Daima unahisi, hata hivyo, kwamba upendo wa Mungu ni kama kina cha bahari lakini huna namna ya kuonyesha hali hii, daima ukiuhisi katika moyo wako lakini kamwe huna maneno sahihi ya kuuonyesha. Hii ni hali ambayo mara nyingi hutokea katika roho. Aina hii ya maombi na ushirika ndani ya moyo wako kwamba inalenga kuwa karibu na Mungu ni ya kawaida.
Ingawa sasa maisha ya kuhisi njia ya mtu ya kwenda mbele na kutafuta yameisha, hii si kusema kwamba watu wasiombe kamwe, wala si kusema kwamba watu hawahitaji kuyasubiri mapenzi ya Mungu kujifunua kabla ya kuendelea na kazi; hizi ni baadhi tu ya mawazo ya mtu kabla ya kuona. Mungu amekuja miongoni mwa mtu kuishi naye na kuwa mwanga wa mtu, maisha ya mtu na njia ya mtu, na huu ni ukweli. Bila shaka, katika kuja kwa Mungu duniani ni muhimu Kwake kumletea mtu njia ya vitendo ambayo inafaa vimo vyao na maisha kwao kufurahia—Hajaja kuharibu njia zote za matendo ya mtu. Mtu haishi tena kwa kuihisi njia yake kwenda mbele na kutafuta kwa sababu hii imebadilishwa na kuja kwa Mungu duniani kufanya kazi na kunena Neno Lake. Amekuja kumweka huru mtu kutoka katika maisha ya giza na kumpa maisha ya mwanga. Kazi ya sasa ni kuonyesha mambo kwa uwazi, kusema kwa uwazi, kumwambia mtu moja kwa moja na kufafanua mambo waziwazi, ili mtu aweze kuweka mambo haya katika matendo. Kama vile Yehova alivyowaongoza watu wa Israeli, akiwaambia jinsi ya kutoa sadaka na jinsi ya kujenga hekalu, hivyo huna haja tena ya kuishi maisha ya kutafuta kama ulivyofanya Bwana Yesu alipoondoka. Je, ni muhimu kwenu kuihisi njia yenu kwa ajili ya kazi ya baadaye ya kueneza injili? Je, ni muhimu kwenu kuihisi njia yenu ili mjue jinsi mnavyopaswa kuishi? Je, ni muhimu kwenu kuihisi njia yenu ili mjue jinsi mnavyopaswa kutekeleza majukumu yenu? Je, ni muhimu kwenu kujisujudu ardhini na kwenda kutafuta ili mjue jinsi mnapaswa kutoa ushahidi? Je, ni muhimu kwenu kufunga na kuomba ili mjue jinsi mnapaswa kuvaa au kuishi? Je, ni muhimu kwenu kustahimili katika maombi yenu kwa Mungu mbinguni ili mjue jinsi mnapaswa kukubali kushindwa? Je, ni muhimu kwenu kuomba bila kukoma siku nzima na usiku kucha ili mjue jinsi mnapaswa kutii? Kuna wengi miongoni mwenu wanaosema kwamba hamwezi kutenda kwa sababu hamwelewi. Watu kweli hawaizingatii kazi ya leo! Mengi ya mambo haya nimeyasema muda mrefu uliopita, ni kwamba tu hamkuzingatia, hivyo si ajabu hamjui. Bila shaka, katika enzi ya leo Roho Mtakatifu bado Hajawasisimua watu ili kuwaruhusu kuhisi starehe, Naye anaishi pamoja na mtu. Hizi ni baadhi ya hisia maalum na zenye kuanisi ambazo mara nyingi hutokea katika maisha yako. Kila mara moja kwa wakati siku inakuja ambapo unahisi kwamba Mungu ni wa kupendeka sana nawe huwezi kutenda lingine ila kumwomba Mungu: “Ee Mungu! Upendo wako ni mzuri sana na picha Yako ni kubwa sana. Natamani kukupenda kwa undani zaidi. Natamani kutoa yote niliyo ili kuyatumia maisha yangu yote. Mradi ni kwa ajili Yako, natamani kutoa kila kitu kwako, ili tu kwamba iweze kukupenda Wewe....” Hii ni hisia ya furaha uliyopewa na Roho Mtakatifu. Si kupata nuru, wala mwangaza, ni kuchochea. Aina hii ya uzoefu itatokea mara kwa mara, kama vile ukielekea kazini. Utaomba na kujihisi karibu na Mungu, kiasi kwamba machozi yataulowesha uso wako, utaongozwa kiasi kwamba huwezi kujizuia nawe utakuwa na wasiwasi wa kupata mazingira ya kufaa ambapo unaweza kuonyesha hamasa zote moyoni mwako.... Wakati mwingine utakuwa katika shughuli ya umma nawe utahisi kwamba upendo unaofurahia ni mwingi mno, na kwamba bahati yako si ya kawaida, na zaidi utahisi kwamba wewe ni bora zaidi kuliko mwingine yeyote. Utajua kwa undani kwamba Mungu anakuinua, kwamba huu ni upendo mkuu wa Mungu kwa ajili yako. Katika maficho ya ndani kabisa ya moyo wako utahisi kuwa kuna aina ya upendo kuhusu Mungu usioelezeka na usiosomeka; ni kama unaujua lakini huna namna ya kuuonyesha, siku zote ukikufanya ufikirie kwa makini lakini ukikuacha usiweze kuuonyesha kabisa. Wakati kama huu, hata utasahau ulipo, hadi pale ambapo utazungumza: “Ee Mungu! Ni vigumu sana kukuelewa, lakini Wewe unapendwa sana! “Wakati mwingine unaweza hata kufanya baadhi ya vitendo vya ajabu na vya kipkee ambavyo watu kuviona visivyoelezeka, na haya ni mambo yote ambayo yanaweza kutokea mara nyingi .... Aina hii ya maisha ni magumu mno katika uzoefu wenu na mambo haya ni maisha ambayo Roho Mtakatifu amekupa leo, na maisha ambayo unapaswa kuishi sasa. Si kukufanya uache kuishi maisha, bali kwamba namna unavyoishi inabadilika. Ni hisia ambazo haziwezi kuelezeka au kuonyeshwa. Pia ni hisia ya kweli ya mtu na hata zaidi ni kazi ya Roho Mtakatifu. Inakufanya uelewe katika moyo wako, lakini huna namna ya kuionyesha wazi kwa mtu yeyote hata kidogo. Si kwa sababu wewe si mwepesi wa kusema au kwamba wewe ni kigugumizi, lakini kwa sababu ni aina ya hisia ambayo haiwezi kuelezwa katika maneno. Anakuruhusu kufurahia mambo haya leo kwa sababu haya ni maisha unayopaswa kuishi. Bila shaka, maisha yako mengine si matupu, kwamba tu kusisimuliwa kwa njia hii kunakuwa aina ya furaha katika maisha yako ambayo yanakufanya kutaka kufurahia misisimko ya Roho Mtakatifu siku zote. Lakini unapaswa kujua kwamba kuhamasishwa kwa namna hii sio kwamba uweze kujitenga kutoka kwenye mwili na kwenda mbingu ya tatu, au kusafiri duniani, bali ni kuwa uweze kupata uzoefu wa upendo wa Mungu leo, upate uzoefu wa umuhimu wa kazi ya Mungu leo, kumbukia utunzaji na ulinzi wa Mungu. Mambo haya yote ni kwa ajili yako kuwa na maarifa zaidi ya kazi ya Mungu hufanya leo na kuwa na uwezo wa kuhisi na kupata uzoefu zaidi wa upendo wa Mungu ambao unaufurahia leo—hili ni lengo la kazi hii.
Maisha ya kutafuta na kuihisi njia ya mtu yalikuwa wakati Mungu alikuwa bado hajakuwa mwili. Wakati huo watu hawangeweza kumwona Mungu na hivyo hawakuwa na chaguo lakini kutafuta na kuihisi njia yake kuendelea. Leo unaweza kumwona Mungu naye Anakwambia moja kwa moja jinsi unapaswa kutenda ili usihitaji tena kuihisi njia yako hapa na pale au kutafuta tena. Njia inayooongozwa naye ni njia ya ukweli na yale Anayomwelezea mtu, kile mtu anachokipata ni maisha na ukweli. Unaweza kuwa na njia nau kweli wa maisha, hivyo haja gani ipo kwenda kutafuta mahali popote? Roho Mtakatifu hawezi kufanya hatua mbili za kazi kwa pamoja. Kama, wakati Nimemaliza kuzungumza neno Langu, watu bado wanahitaji kuomba na kutafuta, hiyo haitamaanisha kwamba hatua hii ya kazi Ninayoifanya inafanywa bure? Ingawa Naweza kuwa nimemaliza kunena neno Langu, watu bado hawaelewi kabisa, na hii ni kwa sababu wanakosa ubora. Tatizo hili linaweza kutatuliwa kwa njia ya maisha ya kanisa na kupitia kushiriki mmoja kwa mwingine. Mbeleni, Mungu aliyekuwa mwili hakuanza kazi, hivyo Roho Mtakatifu alifanya kazi kwa njia hiyo wakati huo na kuidumisha kazi. Wakati huo Roho Mtakatifu aliifanya kazi, lakini sasa ni Mungu aliyekuwa mwili Mwenyewe ambaye anaifanya, baada ya kuchukua nafasi ya kazi ya Roho Mtakatifu. Wakati watu waliomba mbeleni, walipata amani, furaha, lawama na nidhamu na hii yote ilikuwa ya kazi ya Roho Mtakatifu. Sasa hali hizi ni chache na nadra. Mbona wakati Petro aliomba hakuwa na hisia za amani au za lawama, na kwa nini Paulo na wengine pia walihisi hivyo walipoomba? Hii ilikuwa kwa sababu ulikuwa ni wakati ambao kuonekana kwa Mungu hakukuwa kumeonekana, na zaidi ya hayo ulikuwa wakati wa Enzi ya Neema wakati Mungu alifanya kazi tofauti. Roho Mtakatifu anaweza tu kufanya aina moja ya kazi katika enzi yoyote ile. Kama Angefanya aina mbili za kazi wakati huo huo, mwili ukifanya aina moja na Roho Mtakatifu Akifanya aina nyingine ndani ya watu, na kama kile mwili ulisema haikuwa halali na kile Roho Alifany kilikuwa, basi Kristo asingekuwa na ukweli wowote, njia au maisha ya kuyataja. Huku kungekuwa kujipinga, na kungekuwa makosa katika chanzo hasa.
Watu walipotoka sana na walifanya makosa mengi mno katika uzoefu wao wa zamani. Awali kulikuwa na baadhi ya mambo ambayo watu wa ubinadamu wa kawaida walikuwa wamenuiwa kuwa nayo, na kunuiwa kufanya, au kulikuwa na makosa yasiyoepukika ambayo yalinuiwa kuonekana katika maisha ya binadamu, na wakati mambo hayo yalitendwa vibaya, waliliweka jukumu hilo kwa Mungu. Kulikuwa na dada ambaye alikuwa na wageni nyumbani kwake. Maandazi yake yaliyochomeka hayakuchemshwa vyema, hivyo akafikiri:: “Hii inaweza kuwa nidhamu ya Mungu. Mungu anaushughulika moyo wangu usiofaa. Mimi sifai kabisa.” Kwa kweli, alimradi njia ya kawaida ya mtu ya kufikiri inavyohusu, wageni wanapokuja unapata msisimko na kukimbia huku na kule, bila kujua nini cha kufanya kwanza na bila kuwa umepangwa unachofanya, matokeo yake ni kwamba ikiwa wali hautaishia kuungua, basi vyakula vyako vina na chumvi nyingi sana. Kwa kawaida, bila wageni uko sawa, lakini wakati ambapo watu wanakuja kila kitu kinakwenda mrama. Hali hii inasababishwa na hisia za msisimko, lakini watu huishia kudhania kuwa ni “nidhamu ya Mungu.” Kwa kweli, hii inafungamana na makosa katika maisha ya binadamu. Je, hungekumbana pia na aina hii ya kitu iwapo hukumwamini Mungu? Si aina hii ya kitu tukio la mara kwa mara? Kuna mambo mengi yanayofungamana na makosa ya watu; watu hufanya makosa, lakini hayafanywi na Roho Mtakatifu na hayamhusu Mungu. Kama unavyojiuma ulimi unapokula—yawezekana kuwa hii ni nidhamu ya Mungu? Nidhamu ya Mungu ina kanuni na kwa kawaida huonekana wakati unatenda kosa kwa kujua. Mungu humfundisha mtu nidhamu na mambo yanayohusu jina Lake, au wakati inahusu ushuhuda Wake au kazi Yake. Watu huuelewa ukweli vya kutosha sasa ili kuwa na ufahamu wa ndani wa mambo ya wanayoyafanya, kwa mfano: Je, unaweza kutohisi kitu unapozibadhiri fedha za kanisa au kuzitumia bila kujali? Utahisi kitu unapofanya hivyo. Haiwezekani kufanya kitu na kisha kuanza kuhisi kitu baadaye. Uko wazi moyoni mwako kuhusu mambo unayoyafanya ambayo yanaenda kinyume na dhamiri yako. Ingawa wanaweza kuujua ukweli kwa wazi, kwa sababu kila mtu anayo anayoyapenda, wao hujiingiza tu, hivyo baada ya wao kufanya kitu hawana hisia za wazi ya shutuma. Kama hawana nidhamu wakati wanapofanya makosa, nidhamu gani inaweza kuweko baadaye? Nidhamu gani inaweza kuweko baada ya fedha zote kubadhiriwa? Wao wana ufahamu kabisa wa nini wanachokifanya wanapofanya hivyo na kuhisi lawama. Usiposikiliza basi Mungu hatakupa usikivu. Utakapofika wakati ambapo hukumu ya haki inatokea, adhabu ataletwa juu ya kila mmoja kulingana na matendo yake. Kama mtu wa kawaida mwenye hisia ya mantiki, mtu ambaye ana dhamiri, una ufahamu wa kila kitu unachokifanya, hasa unapofanya kitu kibaya. Je, bado kuna watu wachache kanisani ambao hubadhiri fedha? Je, bado kuna watu wachache ambao hawaweki mipaka wazi kati ya wanaume na wanawake? Je, bado kuna watu wachache wanaohukumu, kupinga na kujaribu kuvunja mambo kwa siri? Kwa nini bado kila kitu kiko sawa nanyi? Nyote mnao ufahamu, hisia na aibu mioyoni mwenu na kwa sababu hii wakati mwingine mnateseka kuadibiwa na utakaso. Ni kwamba tu watu hawana aibu! Kama nidhamu kweli ingewafika, bado wangethubutu kutenda kwa njia hii? Wakati ambapo watu wa dhamiri hufanya mambo, wanahisi kufadhaika wakati dhamiri yao inachomwa kidogo tu, na kwa hiyo wana uwezo wa kuiacha miili yao. Kama wale wanaotenda dhambi kati ya wanaume na wanawake. Wanao ufahamu wa kile wanachofanya wakati huo, lakini tamaa yao ni kubwa mno na hawawezi kujidhibiti. Hata kama Roho Mtakatifu anatoa nidhamu, haitakuwa bure, hivyo Roho Mtakatifu hajishughulishi nawe tena. Wakati huo, kama Roho Mtakatifu hakukufundisha nidhamu, kukulaumu au kukifanyia chochote mwili wako, lawama gani ingeweza kutokea baadaye? Nidhamu gani inaweza kuwa baada ya tendo kufanyika? Inathibitisha tu kwamba huna aibu na unapuuzwa. Wewe ni fidhuli usiye na maana! Roho Mtakatifu hafanyi kazi bila sababu. Ikiwa unaujua ukweli vizuri sana lakini hushirikiani na una uwezo wa kufanya kitu chochote kabisa, basi unaweza kusubiri tu hadi siku ile ambayo inakuja wakati ambapoutaadhibiwa pamoja na yule mwovu. Huu ni mwisho bora kwako! Sasa Nimehubiri nikirudia kuhusu dhamira, kwa kuwa hiki ni kiwango cha chini zaidi. Bila dhamira, watu pia watapoteza nidhamu ya Roho Mtakatifu, na wanaweza kufanya chochote wanachopenda. Ikiwa kweli mtu ana dhamira, basi wakati ambapo Roho Mtakatifu anamshutumu anapitia vita vya ndani, na basi hana uwezekano wa kufanya kitu chochote kikubwa mno. Haijalishi jinsi Roho Mtakatifu anafundisha nidhamu ama kuadibu, kwa ujumla watu wote watakuwa na hisia kiasi wanapofanya kitu kibaya. Hivyo watu sasa wanaelewa kila aina ya ukweli na kama hawautendi basi hiyo ni shauri yao. Siwajibu watu kama hawa, wala sishikilii tumaini lolote kwao. Unaweza kufanya unavyopenda!
Baadhi ya watu huja pamoja na kuliweka neno la Mungu upande mmoja, daima wakizungumza kuhusu jinsi mtu huyu au mtu yule alivyo. Bila shaka ni vizuri kuwa na upambanuzi mdogo, kwa kuwa bila kujali unapokwenda hutadanganywa kwa urahisi, wala hautalaghaiwa au kupumbazwa kwa urahisi; hiki pia ni kipengele ambacho watu wanapaswa kumiliki. Lakini usilenge tu katika suala hili kwa kuwa linafungamanishwa na mambo ambayo ni hasi. Macho yasikaziwe daima kwa watu. Ufahamu wako wa jinsi Roho Mtakatifu anafanya kazi sasa ni kidogo mno, imani yako katika Mungu ni ya juujuu sana, nawe unayo mambo machache mno mazuri. Yule unayemwamini ni Mungu, Yule unayehitaji kumwelewa ni Mungu, si Shetani. Ikiwa unaelewa tu jinsi Shetani anafanya kazi na kuwa na ufahamu wa njia zote ambazo roho mbaya zinafanya kazi, lakini huna ujuzi wa Mungu kwa lolote, haya yatakuwa na maana gani? Je, si ni Mungu unayemwamini leo? Kwa nini ufahamu wako hauhusishi mambo haya mazuri? Hutilii tu maanani kipengele chanya cha kuingia na huna ufahamu wake, hivyo nini unachotaka kupata? Je, hujui jinsi unapaswa kutafuta? Unavyo vifaa vingi hasi “vya kufundishia” lakini unaambulia patupu na suala chanya la kuingia, hivyo ni jinsi gani kimo chako kitawahi kukua? Mtu akizungumza tu kuhusu vita na Shetani, ni matarajio yapi ya baadaye ya maendeleo mtu huyo atakuwa nayo? Si kuingia kwako kumepitwa na wakati sana? Mambo gani utakayoweza kupata kutokana na kazi ya sasa ukiendelea kwa njia hii? Kile ambacho ni muhimu sasa ni wewe uelewe nini Mungu anataka kufanya sasa, jinsi binadamu anapaswa kushirikiana, jinsi wanavyopaswa kumpenda Mungu, jinsi wanavyopaswa kuielewa kazi ya Roho Mtakatifu, jinsi wanavyopaswa kuingia katika maneno yote ambayo Mungu anasema leo, jinsi wanavyopaswa kuyaona, kuyaelewa na kuwa na uzoefu kwayo, jinsi yanavyopaswa kuyakidhi mapenzi ya Mungu, kushindwa kabisa na Mungu na kutii mbele za Mungu .... Unapaswa kulenga mambo haya kwa kuwa haya ni mambo yanayopaswa kuingiwa sasa. Je, unaelewa? Kuna faida gani kulenga tu juu kuhusu utambuzi wa watu? Unaweza kumtambua Shetani hapa, kuzitambua roho mbaya huko, unauweza kutambua mambo mengi, kuwa na ufahamu kamili wa roho mbaya na kuijua moja mara tu unapoiona. Lakini kama huwezi kusema chochote kuhusu kazi ya Mungu, utambuzi wako unaweza kuchukua nafasi ya ufahamu wako kuhusu Mungu? Hapo awali Nimeshiriki kuhusu maonyesho ya kazi ya roho mbaya, lakini hili si jambo kuu. Bila shaka watu wanapaswa pia kuwa na ufahamu kidogo kwa kuwa hili ni suala ambalo wale wanaomtumikia Mungu wanapaswa kumiliki ili kuepuka kufanya mambo ya kipuuzi na kuikatiza kazi ya Mungu. Lakini jambo muhimu zaidi linabaki kuwa na elimu ya kazi ya Mungu na kuelewa mapenzi ya Mungu. Ni ufahamu gani ulio nao wa hatua hii ya kazi ya Mungu? Je, unaweza kusema ni nini ambacho Mungu anafanya, mapenzi ya Mungu ni yepi, na unaweza kusema mapungufu yako ni yapi na mambo unayopaswa kujiandaa nayo? Je, unaweza kusema kuingia kwako kupya zaidi ni nini? Unapaswa kuelewa maingio yepi ya zamani yalikuwa mikengeuko na makosa, na maingio yepi yalikuwa yamepitwa na wakati. Unapaswa kupata tuzo na ufahamu katika maingio yako mapya. Usijidai kuwa ujinga; lazima ufanye juhudi katika maingio yako mapya ili uimarishe uzoefu na ufahamu wako mwenyewe, na hata zaidi lazima ufahamu sana hasa maingio yako mapya zaidi na njia sahihi zaidi ya kupata uzoefu. Lazima pia ujue jinsi ya kuzitupilia mbali mbinu zako za kutenda zilizopitwa na wakati na kuingia katika uzoefu mpya. Hata zaidi hivyo unapaswa kutambua kutenda kwako kulikopitwa na wakati kutokana na kazi mpya na kuingia. Haya ni mambo ambayo sasa unahitaji kuelewa kwa haraka na kuingia ndani yake. Lazima ufahamu tofauti na uhusiano kati ya maingizo yako ya zamani na mapya. Kama huna ufahamu wa hali ya juu wa mambo haya, basi hutakuwa njia ya yoyote ya kuendelea, kwa kuwa hutaweza kuendelea na kazi ya Roho Mtakatifu. Sehemu kubwa ya kuingia kwako kwa zamani na uzoefu iliungamanishwa na njia ya kutenda ya kupotosha na yenye makosa, na sehemu kubwa ya huku ilikuwa namna ya kupata uzoefu ambao ulikuwa wa wakati uliopita; lazima uelewe jinsi unavyopaswa kuwa na mtazamo wa vitu hivyo. Kwa njia ya kula kwa sahihi na kunywa neno la Mungu na kupitia ushirika mzuri, lazima uwe na uwezo wa kubadilisha dhana zako za kutenda za zamani na dhana zako za desturi za jadi, ili uweze kuingia katika kutenda kupya, na kuingia katika kazi mpya. Haya ni mambo unayopaswa kupata. Sasa Sikusihi kwamba ujielewe hadi kiwango kidogo zaidi; Sikusihi ulichukue hili kwa umakini sana.. Badala yake Nakusihi kuchukulia kwa umakini kuingia kwako na ufahamu wa kipengele chanya. Ingawa unaweza “kujijua,” haifuati kwa lazima kwamba hii ni kimo chako cha kweli. Lakini kama unaweza kupata uzoefu wa kutenda na kuingia kwa kazi mpya, hadi pale ambapo unaweza kufahamu na dhana zako binafsi zilikuwa nini au kutokuelewana, basi hiki ni kimo wako cha kweli nacho ni kitu unapaswa kumiliki. Haya ni mambo ambayo kila mtu kati yenu anapaswa kupata.
Kuna mambo mengi ambayo ninyi hamjui tu jinsi ya kutenda, hata zaidi kujua jinsi Roho Mtakatifu anafanya kazi. Wakati mwingine unafanya kitu ambacho kwa wazi hakimtii Roho Mtakatifu. Tayari una ufahamu wa kanuni ya kitu kupitia kula kwako na kunywa, hivyo unasumbuliwa kwa ndani na hisia ya lawama na kufadhaika na bila shaka hii ni hisia kuwa mtu ataihisi kwa misingi ya kuujua ukweli. Kutoshirikiana na kutofanya mambo kulingana na neno leo huipinga kazi ya Roho Mtakatifu na mtu lazima atahisi kufadhaika ndani mwake. Unaelewa kanuni za kipengele hiki lakini hutendi ipasavyo, hivyo unateswa na hisia ya lawama kwa ndani. Lakini kama huelewi kanuni hii, na hujala wala kunywa suala hili la ukweli, kama huijui kabisa, basi si lazima uhisi hali ya lawama katika suala hili. Kuzalisha shutuma ya Roho Mtakatifu ni kwa masharti. Unafikiri kwamba kwa sababu hujaomba, hujashirikiana na Roho Mtakatifu, hujauachilia mzigo unaoubeba ndani yako, umeichelewesha kazi ya Roho Mtakatifu. Katika hali halisi haiwezi kucheleweshwa, na kama hutasema kitu basi Roho Mtakatifu Atamchochea mtu mwingine kukisema; Roho Mtakatifu Hazuiliwi nawe. Unahisi kutubu kwa Mungu na hili ni jambo unalopaswa kuhisi. Lakini Mungu hadhanii chochote na basi ni la zamani. Kama unaweza kupata kitu chochote au la ni shauri yako. Wakati mwingine dhamiri yako inahisi kama inateswa na shutuma, lakini hii si kupata nuru au mwangaza katika Roho Mtakatifu wakati huo, wala si lawama ya Roho Mtakatifu. Badala yake ni hisia katika dhamiri yako. Kama inahusisha jina la Mungu, ushuhuda wa Mungu au kazi ya Mungu, na wewe unatenda ovyo ovyp, basi Yeye hatakuachilia. Lakini ina kikomo, na kwa mambo ambayo ni vigumu kuyataja, Hatajishughulisha nawe, Atakupuuza, na hivyo hili ni jambo ambalo unapaswa kulihisi katika dhamiri yako. Baadhi ya mambo ni yale ambayo watu wa ubinadamu wa kawaida wanapaswa kuyafanya na baadhi ni mambo ya maisha ya binadamu ya kawaida. Kwa mfano, huchemshi maandazi vyema na kusema kuwa Mungu Anakuadhibu—hii ni kitu kisicho na mantiki kabisa kusema. Kabla ya kuja kumwamini Mungu, aina hii ya kitu hakikutokea mara nyingi? Je, ilikuwa ni Shetani akikuadhibu hapo awali? Kwa kweli unapotenda zaidi kuhusu jambo hili, hutakuwa na uwezekano wa kutenda makosa, ni ubongo wako tu ambao unafanya makosa. Unahisi kwamba inaonekana kuwa nidhamu ya Roho Mtakatifu wakati kwa kweli hivi sivyo (baadhi hali za kipekee kando), kwa sababu kazi hii haifanywi kabisa na Roho Mtakatifu, lakini badala yake ni hisia tu ambazo watu wanazo. Lakini kufikiri kwa namna hii kile wale ambao wana imani sahihi katika Mungu wanapaswa kufanya. Hungeweza kufikiri hivi wakati ambapo hukumwamini Mungu. Mara ulipokuja kumwamini Mungu, moyo wako unatumia juhudi zote katika suala hili na kwa kutojua ulianza kufikiri kwa namna hii. Hii inatokana na mawazo ya kawaida ya watu na pia inafungamana na mawazo yao wenyewe. Lakini acha Nikwambie, hiki si kitu ambacho kiko chini ya eneo la kazi ya Roho Mtakatifu. Jambo hili linafungamana na mjibizo wa kawaida aliyopewa mtu na Roho Mtakatifu kwa njia ya kufikiri kwake mwenyewe; lakini lazima uelewekwamba mjibizo huu si kazi ya Roho Mtakatifu. Kuwa na aina hii ya “maarifa” haithibitishi kwamba unayo kazi ya Roho Mtakatifu. Uwlewa wako haufungamani na kupata nuru kwa Roho Mtakatifu, kiasi kidogo ni kazi ya Roho Mtakatifu. Ni mjibizo tu wa kufikiri kwa kawaida kwa watu na hauhusiani kamwe na kupata nuru au mwanga wa Roho Mtakatifu. Hayo ni mambo mawili tofauti kabisa na halifanywi kabisa na Roho Mtakatifu. Wakati Roho Mtakatifu hufanya kazi ili kuwapa watu nuru, Yeye kwa ujumla kuwapa ufahamu wa kazi ya Mungu, na ya kuingia kwao ya kweli na hali ya ukweli, na pia Huwapa azimio, huwaruhusu kuelewa kusudi la hamu la Mungu na mahitaji yake kwa ajili ya mtu leo, Huwapa azimio la kufungua njia zote. Hata wakati ambapo watu wanapitia umwagaji damu na sadaka ni lazima watende kwa ajili ya Mungu, na hata kama wanakumbana na mateso na dhiki, lazima bado wampende Mungu, na wasiwe na majuto, na lazima wawe shahidi kwa Mungu. Azimio la aina hii ni misisimko ya Roho Mtakatifu, na kazi ya Roho Mtakatifu—lakini jua kwamba hujamilikiwa na misismko kama hii kila wakati. Wakati mwingine katika mikutano unaweza kuhisi kuongozwa mno na kupata msukumo nawe unatoa sifa kubwa zaidi na unacheza. Unahisi kwamba una ufahamu usioaminika wa yale wengine wanashiriki, unahisi mpya kabisa kwa ndani, na moyo wako uko wazi kabisa bila hisia yoyote ya utupu—haya yote yanaungamanishwa na kazi ya Roho Mtakatifu. Kama wewe ni mtu ambaye huongoza, na Roho Mtakatifu anakupa nuru na mwangaza usio wa kawaida unapoenda kanisani kufanya kazi, akikufanya uwe mwenye bidii wa kushangaza, mwenye kuwajibika na kitilia maanani kazi yako, hii inafungamanisha kazo ya Roho Mtakatifu.
kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili
Kujua zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi Mungu