
Jumatano, 25 Aprili 2018
"Mji Utaangushwa" (4) - Je, Kufafanua Biblia ni Sawa na Kutukuza na Kutoa Ushuhuda kwa Mungu?
By UnknownAprili 25, 2018Biblia-na-Mungu, Bwana-Yesu, Kumjua-Mungu, Sehemu-za-Filamu, VideoNo comments


"Mji Utaangushwa" (4) - Je, Kufafanua Biblia ni Sawa na Kutukuza na Kutoa Ushuhuda kwa Mungu?
Watu wengi katika ulimwengu nzima wa dini huamini kwamba wale ambao wanaweza zaidi kueleza Biblia ni watu wanaomjua Mungu, na kwamba kama wao pia wanaweza kufafanua siri za Biblia...
Jumanne, 24 Aprili 2018
Baraka Kwa Sababu ya Ugonjwa —Insha Juu ya Upendo wa Mungu
By UnknownAprili 24, 2018umaarufu, Upendo-wa-Mungu, Ushuhuda-wa-Kurudi-kwa-Mungu, Vitabu, WokovuNo comments


Baraka Kwa Sababu ya Ugonjwa —Insha Juu ya Upendo wa Mungu
Nilizaliwa katika familia fukara katika kijiji cha mashambani. Tangu niwe mtoto, niliishi maisha magumu na nilidharauliwa na wengine. Wakati mwingine sikujua hata kama ningepata chakula changu cha kufuatia,...
Jumatatu, 23 Aprili 2018
"Mji Utaangushwa" (3) - Ni Nini Kiini cha Upinzani wa Mafarisayo kwa Mungu?
By UnknownAprili 23, 2018Mwenyezi-Mungu, Sehemu-za-Filamu, siku-za-mwisho, Upinzani-wa-Mafarisayo, VideoNo comments


"Mji Utaangushwa" (3) - Ni Nini Kiini cha Upinzani wa Mafarisayo kwa Mungu?
Kwa miaka elfu mbili, ingawa waumini wote wamejua ukweli kwamba Mafarisayo walimwasi Bwana Yesu, hakuna mtu katika ulimwengu mzima wa dini anayejua hasa mzizi wa chanzo na kiini cha uasi wa Mafarisayo...
Kuamini Uvumi ni Kupoteza Wokovu wa Mungu wa Siku za Mwisho
By UnknownAprili 23, 2018Kazi-ya-Mungu, Kuamini-Uvumi, Kuondoa-Ukungu-ili-kuona-Mwanga-wa-Kweli, siku-za-mwisho, Vitabu, WokovuNo comments


Kuamini Uvumi ni Kupoteza Wokovu wa Mungu wa Siku za Mwisho
Wakati wowote wanaposikia mtu akizungumza juu ya injili ya Mwenyezi Mungu ya siku za mwisho, ndugu wengi wa kiume na wa kike kanisani wanashindwa kusikiliza na hawathubutu kukubali kile kinachosemwa kwa kuwa wameshtushwa...
Jumamosi, 21 Aprili 2018
Umeme wa Mashariki | Ufafanuzi wa Tamko la Kumi
By UnknownAprili 21, 2018kanisa, kupata-mwili, kwamba-ujenzi-wa-ufalme, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Umeme wa Mashariki | Ufafanuzi wa Tamko la Kumi
Mwenyezi Mungu alisema, Katika wakati wa ujenzi wa kanisa, Mungu alitaja ujenzi wa kanisa kwa nadra. Hata Alipotaja, Alifanya hivyo katika lugha ya wakati wa ujenzi wa kanisa. Mara tu Enzi ya Ufalme ilipokuja, Mungu alifuta...
Umeme wa Mashariki | "Mji Utaangushwa" (2) - Mbona Dhiki Imewafika Mafarisayo Wanafiki?

Umeme wa Mashariki | "Mji Utaangushwa" (2) - Mbona Dhiki Imewafika Mafarisayo Wanafiki?
Imeandikwa katika Biblia kwamba Bwana Yesu aliwalaani Mafarisayo kwa dhiki saba. Siku hizi, njia inayotembelewa na wachungaji na wazee wa ulimwengu wa dini ni ile ya Mafarisayo na...
Ijumaa, 20 Aprili 2018
Umeme wa Mashariki | "Mji Utaangushwa" (1) - Ulimwengu wa Dini Umepotoka na kuwa Mji wa Babeli
By UnknownAprili 20, 2018Bwana-Yesu, kuwa-Mji-wa-Babeli, Sehemu-za-Filamu, Ulimwengu-wa-dini, VideoNo comments


Umeme wa Mashariki | "Mji Utaangushwa" (1) - Ulimwengu wa Dini Umepotoka na kuwa Mji wa Babeli
Viongozi wa ulimwengu wa dini wanapotea toka kwenye njia ya Bwana na kufuata mitindo ya kidunia, pia wao hushirikiana na uasi mkali wa mamlaka ya utawala na shutuma ya Umeme...
Ni Muhimu Sana Kuelewa Tabia ya Mungu
By UnknownAprili 20, 2018kutenda-ukweli, makusudi-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, tabia-ya-Mungu, VitabuNo comments


Ni Muhimu Sana Kuelewa Tabia ya Mungu
Mwenyezi Mungu alisema, Kunayo mambo mengi ambayo Ninatumai mtaweza kufikia. Hata hivyo, matendo yenu na maisha yenu yote hayawezi kutimiza kwa ujumla mahitaji Yangu, kwa hiyo lazima Nilenge suala moja kwa moja na kuwafafanulia moyo...
Alhamisi, 19 Aprili 2018
Maono ya Kazi ya Mungu (2)
By UnknownAprili 19, 2018Injili, Neema, Neno-Laonekana-katika-Mwili, siku-za-mwisho, VitabuNo comments


Maono ya Kazi ya Mungu (2)
Enzi ya Neema ilihubiri injili ya toba, na alimradi mwanadamu aliamini, basi angeokolewa. Leo, badala ya wokovu kuna majadiliano tu ya ushindi na ukamilifu. Haisemwi katu kwamba mtu mmoja akiamini, familia yake yote itabarikiwa, au kwamba...
Jumatano, 18 Aprili 2018
Umeme wa Mashariki | Vigezo vya Mtu Mwema Kwa Dhati
By UnknownAprili 18, 2018imani-katika-Mungu, mtu-mzuri, Ukweli, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo-Juzuu-ya-1, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Vigezo vya Mtu Mwema Kwa Dhati
Moran Mji wa Linyi, Mkoa wa Shandong
Tangu nilipokuwa mtoto, siku zote nilishikiza umuhimu mkubwa kwa jinsi watu wengine walivyoniona na ukadiriaji wao kwangu. Ili niweze kupata sifa kutoka kwa wengine kwa kila...
2018 Best African Worship Song "Miaka Elfu Mbili ya Kungoja" | Karibu Kurudi kwa Bwana Yesu
By UnknownAprili 18, 2018Bwana-Yesu, Msururu-wa-MV-za-Ufalme, nyimbo-za-sifa, ujio-wa-pili-wa-Yesu, VideoNo comments


2018 Best African Worship Song "Miaka Elfu Mbili ya Kungoja" | Karibu Kurudi kwa Bwana Yesu
Kwamba Mungu amekuwa mwili
hutikisa ulimwengu wa kidini,
inavuruga utaratibu wa kidini,
na inakoroga roho za wale
wanaongoja kuonekana kwa Mungu.
Nani asiyeshangazwa...
Jumanne, 17 Aprili 2018
Umeme wa Mashariki | Tamko la Tisa
By UnknownAprili 17, 2018kumtumikia-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ufalme, Vitabu, watu-wa-MunguNo comments

Umeme wa Mashariki | Tamko la Tisa
Mwenyezi Mungu alisema, Kwa sababu kwamba wewe ni mmoja wa watu nyumbani Mwangu, na kwa sababu wewe ni mwaminifu katika Ufalme wangu, kila unachofanya lazima kifikie viwango Ninavyohitaji Mimi. Sisemi kwamba uwe tu kama wingu linalofuata upepo, bali uwe kama theluji inayong’aa, na uwe na hali kama yake na hata...