
Ijumaa, 30 Novemba 2018
60. Chochote Mungu Asemacho Ndiyo Hukumu Hasa ya Mwanadamu
By UnknownNovemba 30, 2018hukumu, maneno-ya-Mungu, Maombi, Nyimbo, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


60. Chochote Mungu Asemacho Ndiyo Hukumu Hasa ya Mwanadamu
Xunqiu Mji wa Nanyang, Mkoa wa Henan
Nilikuwa nikidhani kwamba Mungu alimhukumu na kumuadibu mwanadamu wakati tu Alipoufichua upotovu wa asili wa mwanadamu au alipoeleza maneno mkali ambayo yaliuhukumu...
Alhamisi, 29 Novemba 2018
Latest Swahili Christian Video "Nuru ya Kweli Yaonekana" | The Good News From God
Latest Swahili Christian Video "Nuru ya Kweli Yaonekana" | The Good News From God
Gangqiang ni Mkristo. Aliona namna upendo wa Bwana na huruma Yake kwa binadamu vilivyo vikubwa, na akaamua mara nyingi kwamba angempenda Bwana, kumridhisha Bwana, kutekeleza neno la Bwana, na kuwa na mwenendo wake binafsi kama mtu anayesifiwa na ...
Jumatano, 28 Novemba 2018
95. Kuinuka Kupitia Ukandamizaji wa Giza
By UnknownNovemba 28, 2018imani-katika-Mungu, Injili, Maombi, Mateso, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, Vitabu, YesuNo comments


Umeme wa Mashariki | 95. Kuinuka Kupitia Ukandamizaji wa Giza
Mo Zhijian Mkoa wa Guangdong
Nilizaliwa katika eneo maskini, la mbali lenye milima ambako tumefukiza na kumwabudu Budha kwa vizazi vingi. Kuna hekalu za Budha sehemu hiyo kote ambako familia zote...
Jumanne, 27 Novemba 2018
94. Majonzi Yalivutia Upendo Wangu kwa Mungu
By UnknownNovemba 27, 2018Injili, kanisa, Mateso, Upendo-wa-Mungu, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, utukufu-kwa-Mungu, VitabuNo comments


94. Majonzi Yalivutia Upendo Wangu kwa Mungu
Meng Yong Mkoa wa Shanxi
Mimi kwa asili ni mtu mwaminifu, ikiwa ndiyo maana nimekuwa nikidhulumiwa daima na watu wengine. Kwa sababu hiyo, nimeonja dharau ya ulimwengu wa mwanadamu na nilihisi maisha yangu yakiwa matupu...
Jumatatu, 26 Novemba 2018
Filamu za Injili | "Kupita Katika Mtego" | Je, Kuamini katika Biblia Kunaweza Kuwakilisha Kumwamini Mungu?
Filamu za Injili | "Kupita Katika Mtego" | Je, Kuamini katika Biblia Kunaweza Kuwakilisha Kumwamini Mungu?
Wachungaji na wazee wa ulimwengu wa dini hushikilia maneno ya Paulo katika Biblia yanayosema "Maandiko yote yametolewa kwa msukumo wa Mungu," wakiamini kwamba Biblia ni maneno ya Mungu kabisa na kufanya yote wanayoweza...
Jumapili, 25 Novemba 2018
Jumamosi, 24 Novemba 2018
Filamu za Injili | "Kupita Katika Mtego" | Kwa nini Chama cha Kikomunisti cha China Kinalitesa Kanisa la Mwenyezi Mungu
By UnknownNovemba 24, 2018Filamu-za-Injili, imani, Mateso-ya-Kidini, Ukweli, Umeme-wa-Mashariki, VideoNo comments

Filamu za Injili | "Kupita Katika Mtego" | Kwa nini Chama cha Kikomunisti cha China Kinalitesa Kanisa la Mwenyezi Mungu
Chama cha Kikomunisti cha China ni serikali ya kishetani ambayo huchukia ukweli na Mungu. Kinajua kwamba Mwenyezi Mungu peke Yake katika ulimwengu ndiye Anayeweza kuonyesha ukweli. Mwenyezi Mungu yuko katika mchakato...
Ijumaa, 23 Novemba 2018
Wimbo za Kuabudu "Niko Tayari Kutekeleza Wajibu Wangu kwa Uaminifu" | God Is My Salvation
By UnknownNovemba 23, 2018Neema, Umeme-wa-Mashariki, Upendo-wa-Mungu, Video, Wimbo-za-Kuabudu, WokovuNo comments

Umeme wa Masharik | Wimbo za Kuabudu "Niko Tayari Kutekeleza Wajibu Wangu kwa Uaminifu" | God Is My SalvationUmeme wa Masharik
Mpendwa Mwenyezi Mungu, ni Wewe ndiye Unayenipenda,
uliniinua kutoka kwa rundo la kinyesi hadi kwa mazoezi ya ufalme.
Maneno Yako yamenitakasa,
yakanifanya nianze kuishi maisha ya furaha.
Moyoni mwangu nahisi,...
Alhamisi, 22 Novemba 2018
" Gospel Movie Clip ""Kusubiri"" (7) - Mwenyezi Mungu Afichua Siri za Mpango Wake wa Usimamizi wa Miaka 6,000"
By UnknownNovemba 22, 2018Bwana-Yesu, Kazi-ya-Mungu, Mwenyezi-Mungu, Sinema-za-Injili, Siri-za-Mpango, VideoNo comments

"Gospel Movie Clip ""Kusubiri"" (7) - Mwenyezi Mungu Afichua Siri za Mpango Wake wa Usimamizi wa Miaka 6,000"
Bwana Yesu alifichua siri za ufalme wa mbinguni, na Mwenyezi Mungu alikuja kufunua siri zote za usimamizi wa wanadamu wa miaka 6,000! Je...
Jumatano, 21 Novemba 2018
Kwa nini Mungu hamtumii mwanadamu kufanya kazi Yake ya hukumu katika siku za mwisho lakini badala yake Yeye ni lazima apate mwili na kuifanya Mwenyewe?

Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Kupata Mwili kwa Mungu
4.Kwa nini Mungu hamtumii mwanadamu kufanya kazi Yake ya hukumu katika siku za mwisho lakini badala yake Yeye ni lazima apate mwili na kuifanya Mwenyewe?
Aya za Biblia za Kurejelea:
"Kwa...
Jumanne, 20 Novemba 2018
Dondoo za Filamu za Injili "Sauti Nzuri Ajabu" (2) - Tunawezaje Kuwa na Uhakika kuwa Bwana Yesu Tayari Amerudi?
By UnknownNovemba 20, 2018Filamu-za-Injili, sauti-ya-Mungu, ujio-wa-pili-wa-Yesu, Video-za-KikristoNo comments

Dondoo za Filamu za Injili "Sauti Nzuri Ajabu" (2) - Tunawezaje Kuwa na Uhakika kuwa Bwana Yesu Tayari Amerudi?
Tangu makanisa yalipoanza kukumbwa na ukiwa, ndugu wengi katika Bwana wamehisi kwa uwazi ukosefu wa kazi ya Roho Mtakatifu na uwepo wa Bwana, na wote wanatamani kurudi kwa Bwana. Lakini wakati tunaposikia habari ya kwamba...
Jumatatu, 19 Novemba 2018
Swahili Christian Variety Show | "Siri ya Jina la Mungu" (Crosstalk) | The Name of God Has Changed
By UnknownNovemba 19, 2018Christian-Variety-Show, majina-ya-Yesu, Mungu, Umeme-wa-Mashariki, Video, YesuNo comments

Umeme wa Mashariki | Swahili Christian Variety Show | "Siri ya Jina la Mungu" (Crosstalk) | The Name of God Has Changed
Kwa miaka elfu mbili, Wakristo daima wameomba katika na kuliita Jina la Bwana Yesu, wakiamini kwamba jina la Mungu litakuwa tu Yesu milele. Hata hivyo, imetabiriwa katika Kitabu cha Ufunuo, sura ya 3, mstari wa 12, kwamba...