
Ijumaa, 10 Mei 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 4
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 10, 2019hukumu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho- Mtakatifu, VitabuNo comments


Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 4
Daima tutakuwa tukiangalia na kusubiri, kuwa na utulivu katika roho na kutafuta kwa moyo safi. Chochote kitakachotufikia, tusishiriki kwa upofu. Twahitajika tu kuwa kimya mbele ya Mungu na daima kushiriki naye, na kisha nia Yake...
Alhamisi, 9 Mei 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 3
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 09, 2019hukumu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukombozi, utukufu, VitabuNo comments


Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 3
Mfalme wa ushindi hukaa juu ya kiti Chake cha enzi cha utukufu. Yeye Ametimiza ukombozi na kuongoza watu Wake wote kuonekana katika utukufu. Yeye hushikilia ulimwengu mikononi Mwake kwa hekima Yake ya uungu na uweza Yeye Amejenga...
Jumatano, 8 Mei 2019
Maneno ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima | Sura ya 2
By ye.fengMei 08, 2019kanisa, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, VitabuNo comments

Mwenyezi Mungu anasema, Kufuata kuanza kazi kwa mtazamo mpya, kutakuwa na hatua mpya katika kazi Yangu. Kama ilivyo katika ufalme, Nitafanya mambo moja kwa moja kupitia kwa uungu, Nikiongoza kila hatua ya njia, sahihi hadi kwa maelezo madogo, na bila kutiwa najisi na nia za binadamu hata kidogo. Yafuatayo yanaeleza kwa muhtasari namna ya utekelezaji...
Jumanne, 7 Mei 2019
Maneno ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima | Sura ya 1
By ye.fengMei 07, 2019maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ufalme, Ujenzi-wa-kanisa, VitabuNo comments


Maneno ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima | Sura ya 1
Je, wale wanaoshuhudia maneno Yangu huyakubali kwa kweli? Je, mnanijua kwa kweli? Mmejifunza utiifu kweli? Ninyi hutumia rasilimali kwa ajili Yangu kwa uaminifu? Mmekuwa na ushuhuda thabiti, usiokubali kushindwa Kwangu...
Jumatatu, 6 Mei 2019
Ufafanuzi wa Mafumbo ya Maneno ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima | Kuhusu Maisha ya Petro
By ye.fengMei 06, 2019Enzi-ya-Neema, kazi-ya-Roho-Mtakatifu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Vitabu, YesuNo comments

Ufafanuzi wa Mafumbo ya Maneno ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima | Kuhusu Maisha ya Petro
Petro ni mfano ambao Mungu aliutambulisha kwa wanadamu, na yeye ni mtu mashuhuri anayejulikana vizuri. Kwa nini mtu mnyonge kama huyo aliwekwa mahala kama mfano na Mungu na amesifiwa na vizazi vya baadaye? Bila shaka, ni wazi kwamba hili halitenganishwi na maonyesho...
Jumapili, 5 Mei 2019
Maneno ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima | Wimbo wa Ufalme
Maneno ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima | Wimbo wa Ufalme
Watu wanishangilia Mimi, watu wananisifu Mimi; midomo yote inataja Mungu mmoja wa kweli, watu wote wainua macho yao kutazama matendo Yangu. Ufalme washuka duniani, nafsi Yangu ni tajiri na yenye wingi. Ni nani hangesherehekea haya? Nani hangecheza kwa furaha kwa ajili ya haya? Ee, Sayuni! Inua...
Jumamosi, 4 Mei 2019
Umeme wa Mashariki | Utangulizi
By ye.fengMei 04, 2019Kazi-ya-Mungu, maneno-ya-Mungu, Matamshi-ya-Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


"Matamshi ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima" ni kundi la pili la matamshi yanayoonyeshwa na Kristo. Ndani yake, Kristo Anatumia utambulisho wa Mungu Mwenyewe. Yanajumlisha kipindi cha kuanzia Februari 20, 1992 hadi Juni 1, 1992, na yana jumla ya matamshi arobaini na saba. Namna,...
Ijumaa, 3 Mei 2019
Neno la Mwenyezi Mungu | Tatizo Zito Sana: Usaliti (2)
By ye.fengMei 03, 2019baraka, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukweli, VitabuNo comments


Neno la Mwenyezi Mungu | Tatizo Zito Sana: Usaliti (2)
Asili ya mwanadamu ni tofauti kabisa na kiini Changu; hii ni kwa kuwa asili potovu ya mwanadamu inatokana kabisa na Shetani na asili ya mwanadamu imemilikiwa na kupotoshwa na Shetani. Yaani, mwanadamu anaishi chini...
Alhamisi, 2 Mei 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Asili na Utambulisho wa Mwanadamu
By ye.fengMei 02, 2019maneno-ya-Mungu, msalaba, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukombozi, Vitabu, wokovu-wa-MunguNo comments


Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Asili na Utambulisho wa Mwanadamu
Kwa kweli, hawajasikitika, na wamekuwa wakitazama kile ambacho kimefanywa kwa miaka elfu sita iliyopita mpaka leo, kwa kuwa Sikuwaacha. Badala yake, kwa sababu mababu zao walikula tunda kutoka kwa mti...
Jumatano, 1 Mei 2019
Kuendeleza Ubora wa Tabia ni Kwa Ajili ya Kupokea Wokovu wa Mungu
By ye.fengMei 01, 2019maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, ushuhuda, Vitabu, wokovu-wa-MunguNo comments


Kuendeleza Ubora wa Tabia ni Kwa Ajili ya Kupokea Wokovu wa Mungu
Kuendeleza ubora wa tabia ya watu kunahitaji kwamba muendeleze uwezo wenu wa kupokea. Hitaji la msingi kabisa kwenu ni kwamba myapokee waziwazi maneno yanayonenwa kwenu. Je, siyo imani iliyovurugika ikiwa...
Jumanne, 30 Aprili 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 68
By ye.fengAprili 30, 2019hukumu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, ushuhuda, VitabuNo comments

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 68
Neno Langu linatekelezwa katika kila nchi, mahali, taifa na kikundi, na neno Langu linakamilishwa katika kila pembe wakati wowote. Maafa yanayotokea kila mahali si vita kati ya watu, wala si mapigano na silaha. Hakutakuwa na vita tena baadaye. Wote wako katika mfumbato Wangu. Wote watakabili hukumu...
Jumatatu, 29 Aprili 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 98
By Chris ZhouAprili 29, 2019Kristo-wa-siku-za-mwisho, makusudi-ya-Mungu, Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 98
Mambo yote yatakuja juu ya kila mmoja wenu, na yatawawezesha kujua zaidi juu Yangu na kuwa na uhakika zaidi juu Yangu. Yatawawezesha kunijua, Mungu mmoja Mwenyewe, kunijua Mimi Mwenye uweza, kunijua Mimi Mungu Mwenyewe mwenye mwili. Baadaye, Nitatoka katika mwili, Nirudi Sayuni, Nirudi katika nchi nzuri ya...