Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Alhamisi, 31 Mei 2018

32. Kila Neno la Mungu ni Maonyesho ya Tabia Yake

32. Kila Neno la Mungu ni Maonyesho ya Tabia Yake Wakati wowote nilipoona maneno haya yaliyosemwa na Mungu, nilihisi kuwa na wasiwasi: “Kila sentensi Niliyoizungumza inaendeleza tabia ya Mungu. Mngefanya vizuri zaidi...

Umeme wa Mashariki | 38. Siri Niliyoishikilia kwa Kina Ndani ya Moyo Wangu

Umeme wa Mashariki | 38. Siri Niliyoishikilia kwa Kina Ndani ya Moyo Wangu Wuzhi    Mji wa Linyi, Mkoa wa Shandong Katika majira ya kuchipua ya mwaka wa 2006, nilinyang'anywa cheo changu kama kiongozi na nikarudishwa nilikotoka kwa sababu nilifikiriwa kuwa...

Jumatano, 30 Mei 2018

Umeme wa Mashariki | Kuna Furaha Kubwa Katika Uaminifu

Umeme wa Mashariki | Kuna Furaha Kubwa Katika Uaminifu Gan'en    Mji wa Hefei, Mkoa wa Anhui Katika maisha yangu, siku zote nimeongozwa na msemo, "Mtu hapaswi kuwa na moyo wa kuwadhuru wengine, lakini lazima awe macho ili asidhuriwe" katika uingiliano wa kijamii....

Jumanne, 29 Mei 2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | 52. Jitiishe Mwenyewe ili Kufundisha Wengine Nidhamu

Kanisa la Mwenyezi Mungu | 52. Jitiishe Mwenyewe ili Kufundisha Wengine NidhamuXiaoyan    Jiji la Xinyang, Mkoa wa Henan Nilikuwa na ubia wa kazi wa karibu na dada mmoja mzee katika masuala ya jumla. Baada ya kufanya kazi naye kwa muda fulani, nikamwona kuwa...

Jumapili, 27 Mei 2018

Ni Muhimu Sana Kuanzisha Uhusiano wa Kufaa na Mungu

Ni Muhimu Sana Kuanzisha Uhusiano wa Kufaa na Mung Watu wanaamini katika Mungu, wanampenda Mungu, na kumkidhi Mungu kwa kugusa Roho wa Mungu kwa moyo wao, hivyo kupata ridhaa ya Mungu; na wakati wanajihusisha na maneno ya Mungu kwa moyo wao, kwa hivyo wanasisimuliwa...

Umeme wa Mashariki 56. Filosofia ya Shetani Inanasa na Kuharibu

Umeme wa Mashariki 56. Filosofia ya Shetani Inanasa na Kuharibu Wu You    Mji wa Hechi, Mkoa wa Guangxi Wakati fulani uliopita, kanisa lilinipangia kuishi na familia mwenyeji kwa sababu za kazi. Wakati nilipofanya ushirika kwanza na ndugu wa kiume na wa...

Jumamosi, 26 Mei 2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | 55. Njia ya Pekee ya Kuepuka Maafa

55. Njia ya Pekee ya Kuepuka Maafa Kanisa la Mwenyezi Mungu, Biblia, neema Chaotuo    Mji wa Xiaogan, Mkoa wa Hubei Tangu tetemeko la ardhi la Sichuan, daima nimekuwa na hofu na wasiwasi kwamba siku moja huenda nikakumbwa na maafa. Hasa kwa vile...

Umeme wa Mashariki | 58. Wivu, Ugonjwa Sugu Wa Kiroho

58. Wivu, Ugonjwa Sugu Wa Kiroho Kanisa la Mwenyezi Mungu, siku za mwisho, hukumu He Jiejing    Jiji la Hezhou, Mkoa wa Guangxi Dada mmoja na mimi tuliunganishwa ili tusahihishe makala pamoja. Tulipokuwa tukikutana, nilitambua...

1. Mwenyezi Mungu Amenipa Fursa ya Pili Katika Maisha

1. Mwenyezi Mungu Amenipa Fursa ya Pili Katika Maisha Agosti 15, 2012Ndugu wawili wa kawaida, Beijing  Julai 21, mwaka wa 2012 ilikuwa siku isiyosahaulika sana kwangu, pamoja na kuwa siku muhimu zaidi ya maisha yangu.    Siku hiyo,...

Ijumaa, 25 Mei 2018

4. Bila Ya Wokovu wa Mungu, Singeweza Kuwa Hapa Leo

4. Bila Ya Wokovu wa Mungu, Singeweza Kuwa Hapa Leo Zhang Jin, Beijing Agosti 16, 2012    Mimi ni dada mzee mwenye miguu miwili yenye kasoro. Hata wakati hali ya hewa ni nzuri nje, nina shida kutembea, lakini wakati maji ya mafuriko yalipokuwa karibu kunimeza, Mungu aliniruhusu...

Alhamisi, 24 Mei 2018

Trela ya Filamu "Yule Anayeshikilia Ukuu Juu ya Kila Kitu" | Kuchunguza Mafumbo ya Maisha

Trela ya Filamu "Yule Anayeshikilia Ukuu Juu ya Kila Kitu" | Kuchunguza Mafumbo ya Maisha Utambulisho Mtu Atarudi Kule Alikotoka. Hakuna yeyote anayeweza kushinda ugonjwa na kifo. Hakuna yeyote anayeweza kubadilisha sheria za uzee na udhaifu wa mwili au akili. ……………………………… "Kwa...

Jumatano, 23 Mei 2018

Umeme wa Mashariki | 61. Si Rahisi Kuwa Mtu Mwaminifu

Umeme wa Mashariki | 61. Si Rahisi Kuwa Mtu Mwaminifu Zixin    Jiji la Wuhan, Mkoa wa Hubei Kupitia kula na kunywa neno la Mungu na kusikiliza mahubiri, nilikuja kuelewa umuhimu wa kuwa mtu mwaminifu na hivyo nikaanza kufanya mazoezi kuwa mtu mwaminifu. Baada...

Umeme wa Mashariki | Trela ya Filamu "Yule Anayeshikilia Ukuu Juu ya Kila Kitu" | Mawazo Juu ya Maafa

Umeme wa Mashariki | Trela ya Filamu "Yule Anayeshikilia Ukuu Juu ya Kila Kitu" | Mawazo Juu ya Maafa Watu wengi hufikiri kuwa jaala yao iko mikononi mwao wenyewe. Lakini wakati maafa yanapokuja, yote tunayohisi ni hali ya kutojiweza, woga, na kitisho, na tunahisi kutokuwa...

Jumanne, 22 Mei 2018

Umeme wa Mashariki | 66. Ubia wa Kweli

Umeme wa Mashariki | 66. Ubia wa Kweli Fang Li    Jiji la Anyang, Mkoa wa Henan Hivi karibuni nilidhani nilikuwa nimeingia katika ubia wenye kuridhisha. Mshirika wangu na mimi tuliweza kujadili kitu chochote, wakati mwingine hata nikamwomba aonyeshe dosari...

Jumatatu, 21 Mei 2018

Maigizo Yaliyosimuliwa ya Hadithi za Kweli "Upendo wa Kweli wa Mungu" (Swahili Subtitles)

Maigizo Yaliyosimuliwa ya Hadithi za Kweli "Upendo wa Kweli wa Mungu" (Swahili Subtitles) Ili kujitengenezea nafasi yake mwenyewe duniani, mhusika mkuu alilazimika kufuata mwenendo wa duniani humu, akihangaika na kufanya kazi kwa bidii kwa ajili ya umaarufu na hadhi. Maisha...

Jumapili, 20 Mei 2018

70. Kazi ya Mungu ni Ya Hekima Sana!

70. Kazi ya Mungu ni Ya Hekima Sana! Shiji    Jiji la Ma’anshan , Mkoa wa Anhui Wakati wa kufanya kazi kwangu kama kiongozi katika kanisa, kiongozi wangu mara nyingi angeshirikiana mifano ya kushindwa kwa wengine ili kutumikia kama somo kwetu. Kwa mfano: Viongozi...

Jumamosi, 19 Mei 2018

67. Zawadi ya Kupendeza Zaidi Ambayo Mungu Amenipa

67. Zawadi ya Kupendeza Zaidi Ambayo Mungu Amenipa Yixin    Jiji la Shijiazhuang, Mkoa wa Hebei Kabla, ningewasikia mara kwa mara ndugu zangu wa kiume na wa kike wakisema, "Kila kitu ambacho Mungu hufanya ni kwa ajili ya matokeo mazuri; ndiyo yote wanayohitaji...

Umeme wa Mashariki | Vitabu vya Shetani Vinaweza Kutulisha Sumu

Umeme wa Mashariki |  Vitabu vya Shetani Vinaweza Kutulisha Sumu Peihe    Jiji la Xianning, Mkoa wa Hubei Daima niliamini kwamba mimi na mume wangu tulipitia maisha yetu "na nyuso zetu kwa mchanga na migongo yetu kwa jua" kwa sababu hatukusoma vya kutosha...