Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Muziki wa Akapela "Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu" (Video Rasmi ya Muziki)

Hayuko katika upeo wa mbali, wala hajajificha juu mawinguni. Yuko kando yako, akiwa na mamlaka juu ya kila kitu chako, Yeye ni kila kitu ulicho nacho, na Yeye ni kitu pekee ulicho nacho.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Ijumaa, 16 Machi 2018

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | Muziki wa Akapela "Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu"


Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | Muziki wa Akapela "Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu"

Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu
Mpaka siku moja,
utahisi kuwa Muumba sio fumbo tena,
kwamba Muumba hajawahi kufichwa kutoka kwako,
kwamba Muumba hajawahi kuificha sura Yake kutoka kwako,
kwamba Muumba hayuko mbali na wewe hata kidogo,
kwamba Muumba siye Yule unayemtamania katika mawazo yako
lakini kwamba huwezi kumfikia na hisia zako,
kwamba Anasimama kwa kweli kama mlinzi kulia na kushoto kwako,
Akiruzuku maisha yako, na kudhibiti majaliwa yako, kudhibiti majaliwa yako.
Hayuko katika upeo wa mbali, wala hajajificha juu mawinguni.
Yuko kando yako, akiwa na mamlaka juu ya kila kitu chako,
Yeye ni kila kitu ulicho nacho, na Yeye ni kitu pekee ulicho nacho.
Mungu kama huyo Anakukubali umpende kutoka moyoni,
umshikilie, umweke karibu, umtamani,
uhofu kumpoteza,
na kutotaka kumkataa tena, kutomtii tena,
ama kumwepuka tena ama kumweka mbali.
Kile unachotaka ni kumjali tu, kumtii,
kulipia kila kitu Anachokupa, na kujisalimisha katika himaya Yake.
Hukatai tena kuongozwa,
kupewa, kuangaliwa, na kuwekwa na Yeye,
hukatai tena Anachoamuru na kukitawaza kwako,
Anachoamuru na kukitawaza kwako.
Unachotaka tu ni kumfuata, kutembea kando Yake katika kushoto ama kulia Kwake,
ni kumfuata, kutembea kando Yake katika kushoto ama kulia Kwake,
kile utakacho ni kumkubali kama Bwana wako mmoja na wa pekee,
kile utakacho ni kumkubali kama Bwana wako mmoja na wa pekee,
Mungu wako mmoja na wa pekee.
Hukatai tena
Hukatai tena
Hukatai tena
Hukatai tena
Hukatai tena kuongozwa, kupewa, kuangaliwa, na kuwekwa na Yeye,
katai tena
katai tena
katai tena
katai tena
Anachoamuru na kukitawaza kwako, Anachoamuru na kukitawaza kwako.
Unachotaka tu ni kumfuata, kutembea kando Yake katika kushoto ama kulia Kwake,
kumfuata, kutembea kando Yake katika kushoto ama kulia Kwake,
kile utakacho ni kumkubali kama Bwana wako mmoja na wa pekee,
kile utakacho ni kumkubali kama Bwana wako mmoja na wa pekee, Mungu wako mmoja na wa pekee.
Unachotaka tu ni kumfuata, kutembea kando Yake katika kushoto ama kulia Kwake,
ni kumfuata, kutembea kando Yake katika kushoto ama kulia Kwake,
kile utakacho ni kumkubali kama Bwana wako mmoja na wa pekee,
kama Bwana wako mmoja na wa pekee, Mungu wako mmoja na wa pekee.
Mungu wako mmoja na wa pekee.

Kutoka kwa Kuendeleza kwa Neno Laonekana katika Mwili
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, ukweli
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Alhamisi, 15 Machi 2018

Maisha Mapya Katika Ufalme - “Papa hapa, Hivi Sasa, Tuungane Pamoja” (Video Rasmi ya Muziki)


Umeme wa Mashariki | Maisha Mapya Katika Ufalme - “Papa hapa, Hivi Sasa, Tuungane Pamoja” (Video Rasmi ya Muziki)

Papa hapa, Hivi Sasa, Tuungane Pamoja

Kwa kupendana, sisi ni familia. Ah … ah …
Papa hapa, hivi sasa, tunaungana; kusanyiko la watu wampendao Mungu.
Bila upendeleo, tukishikizwa kwa karibu, furaha na utamu vikijaza nyoyo zetu.
Jana tuliacha majuto na hatia; leo tunaelewana, tunaishi katika upendo wa Mungu.
Pamoja, tuna furaha zaidi, huru kutoka kwa mwili. Ndugu zangu, pendaneni; sisi ni familia moja.
Bila upendeleo, tukishikizwa kwa karibu, Ah … ah …

Papa hapa, hivi sasa, tunaungana; kusanyiko la watu kote ulimwenguni.
Mwanzo tukiwa tumepotoshwa lakini tumeokolewa na Mungu. Tuna lugha moja na moyo mmoja, nia moja.
Tukishiriki hisia za tulipokuwa tumetengana; na uzoefu na maarifa tuliyonayo.
Sasa tumeshika mwendo adhimu wa maisha, mbele yetu, maisha anisi ya baadaye yaliyojaa tumaini na mng'aro.
Wakati anisi ujao, uliojaa mng'aro. Ah … ah …
Papa hapa, hivi sasa, tunaungana; lakini hivi punde tutakuwa tumetengana.
Hali tumetwishwa mizigo ya kazi na mapenzi ya Mungu, tutatengana kwa ajili ya kazi ya Mungu.
Tunapokusanyika, sisi hucheka na kuongea kwa furaha; tunapoondoka, tunatumainishana.
Upendo wa Mungu, chanzo chetu cha kuwa watiifu hadi mwisho.
Kwa maisha mazuri ya baadaye, tutafanya lolote tutakaloweza.
Kwa maisha mazuri ya baadaye, tutafanya lolote tutakaloweza.
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, neema

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.


Jumatano, 14 Machi 2018

Umeme wa Mashariki | Utendaji (1)

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Umeme wa Mashariki | Utendaji (1)

Mwenyezi Mungu alisema, kulikuwa na kupotoka kwingi katika jinsi watu walipata uzoefu, na kungeweza hata kuwa kwa ajabu. Kwa sababu tu hawakuelewa viwango vya mahitaji ya Mungu, kulikuwa na maeneo mengi ambayo uzoefu wa watu ulienda kombo. Sharti la Mungu kwa mtu ni kwao kuwa na uwezo wa kuishi kwa kudhihirisha ubinadamu wa kawaida. Njia za mtu wa kisasa kuhusiana na chakula na mavazi, kwa mfano. Wanaweza kuvaa suti na tai na wanaweza kujifunza kiasi kuhusu sanaa ya kisasa, na katika muda wao wa ziada wanaweza kuwa na kiasi fulani cha fasihi na maisha ya burudani. Wanaweza kuchukua baadhi ya picha za kumbukumbu na wanaweza kusoma na kupata kiasi cha elimu, na kuwa na mazingira mazuri kiasi ya kuishi. Haya ndiyo maisha ambayo yanastahili ubinadamu wa kawaida, ilhali watu wanayaona kama kitu kinachochukiwa na Mungu. Utendaji wao tu ni wao kufuata kanuni chache, na hii huwasababisha kuishi maisha yanayochosha sana, bila maana yoyote. Katika hali halisi, Mungu hajawahi kumhitaji mtu kufanya hivyo. Watu wanataka kukatiza tabia zao wenyewe, wakiomba bila kukoma katika roho zao ili wawe karibu na Mungu, mawazo yao daima yakiwa yamemilikiwa na kufikiria kuhusu mambo ya kimungu, macho yao mara kwa mara yakiangalia huku na kule, wakiangalia suala hili na suala lile, wakihofia kwa kiasi kikubwa kwamba uhusiano wao kwa Mungu utatengwa kwa namna fulani. Haya ni mambo yote ambayo mtu amejijumlishia mwenyewe; ni sheria ambazo zimewekwa kwa ajili ya mtu na mtu wenyewe. Usipoelewa kiini chako mwenyewe au kile kiwango ambacho mwenyewe unaweza kufikia, basi hutakuwa na namna yoyote ya kufahamu hasa viwango ni vipi ambavyo Mungu anahitaji kwa ajili ya mtu, na basi hutakuwa na namna yoyote ya kupata matendo ambayo yanatekelezwa katika hatua mwafaka. Akili yako daima inageuka upande huu na ule, unafikiria kila namna iwezekanayo kujifunza na kuhisi njia yako jinsi gani unaweza kusisimuliwa na kupata nuru kwa Roho Mtakatifu na matokeo kwamba unaweka muhtasari seti za njia za kutenda ambazo unadhani zitakusaidia kupata kuingia. Unapotenda kwa njia hii, hujui nini hasa ambacho Mungu anataka kutoka kwako; unatenda tu kwa njia yako mwenyewe, ukihisi starehe kabisa, bila kujali kuhusu matokeo wala kujali hata kidogo kuhusu iwapo kupotoka na makosa yapo. unapoendelea kwa njia hii, kutenda kwako kunakosa mambo mengi makubwa, kama vile pongezi ya Mungu, uthibitisho na Roho Mtakatifu na matokeo yanayopatikana kwa matakwa ya Mungu. Hata inakosa ubinadamu wowote wa kawaida au hisia za kawaida za mtu za mantiki. Kutenda kwako ni kufuata sheria tu, au kwamba uendelee kuongeza mzigo wako kimakusudi ili ujizuie, ili ujidhibiti. Na hata unafikiri kuwa kutenda kwako kuko sahihi, bila kujua kwamba sehemu kubwa ya kile unachotenda ni mchakato au utunzaji ambao si lazima. Kuna wengi ambao wanatenda hivi kwa miaka mingi bila mabadiliko kimsingi katika tabia zao, bila ufahamu mpya, na bila kuingia kupya. Wanazitekeleza kwa kutojua asili zao za kinyama, hata hadi hatua ambapo kuna mara nyingi wakati wanafanya mambo bila busara, mambo ya kinyama na mara nyingi wakifanya mambo ambayo huwapa watu kusita na ambayo hayaeleweki. Je, si aina hii ya mtu ni mtu ambaye amebadilika?
Sasa, kuzungumza kwa kiasi, watu huomba kidogo sasa ikilinganishwa na mbeleni kwa kuwa sasa si enzi ya kutafuta na kuhisi njia ya mtu ya kufuata. Sasa ni enzi ya ufunuo, Enzi ya Ufalme, ni maisha ya ufahamu ambapo vitu vyote vinaelezwa waziwazi kwa mtu, na mtu haachwi tena kuihisi njia katika maisha. Kuhusu masuala ya ndoa, mambo ya kidunia, maisha, chakula, mavazi na malazi, mahusiano kati ya watu, jinsi mtu anaweza kuhudumu katika njia ambayo inayakidhi mapenzi ya Mungu, jinsi mtu anavyoweza kuuacha mwili..., yepi kati ya haya hayajaambiwa kwenu? Je, bado mnahitaji kwenda kutafuta? Je, bado mnahitaji kuomba? Haina haja kweli! Kama bado unafanya vitu hivi, si unaongeza safu nyingine ya urasmi? Si lazima! Muhimu ni kama una azimio au la. Baadhi ya watu wanatenda kosa kwa kujua, na wanajua wazi kwamba kutembea njia ya dunia si vizuri, kwamba huleta hasara kwa maisha ya mtu na kuchelewesha maendeleo yao ya maisha, lakini wanasisitiza kulifanya, nao wanafanya hivyo baada ya kuomba na kutafuta. Je, si hii ni kutenda kosa kwa kujua? Kama wale wanaotamani sana anasa za mwili na kushikilia utajiri, ambaye baadaye anamwomba Mungu akisema: “Mungu! Je, Unaniruhusu nishikilie anasa za mwili na kushikilia utajiri? Je, ni mapenzi Yako nipate fedha kwa njia hii?” Je, hii ni njia ya kufaa kuomba? Ikiwa wanajua vizuri kabisa kwamba Mungu hafurahii mambo haya basi yanapaswa kuachiliwa, lakini mambo haya yameimarishwa katika mioyo nao wanaomba na kutafuta ili kumlazimisha Mungu kuwakubalia na kumfanya Mungu awape jibu. Kisha kuna wale ambao huwaleta ndugu wa kanisa upande wao na kuanzisha falme huru zao wenyewe. Unajua vizuri sana kwamba matendo haya yanamwasi Mungu, lakini bado unaenda kumtafuta na kumwomba Mungu. Wewe ni sugu na, ukifanya mambo hivi, bado unaweza kuonekana ukimwomba Mungu kwa ujasiri mkubwa na utulivu. Kweli huna aibu! Kuhusu kutembea njia ya dunia, hili limehubiriwa kwa muda mrefu mbeleni. Linachukiwa sana na Mungu, lakini bado unaomba, ukisema: “Ee Mungu! Unaniruhusu kutembea njia ya kidunia? Naweza kuyakidhi mapenzi Yako kwa njia hii? Kwa kweli, nia zangu ni sahihi. Sifanyi hivi kwa ajili ya mwili; nafanya hivi ili jina Lako lisitiwe aibu, nafanya hivyo kwa utukufu Wako, ili watu wa kidunia waweze kuona utukufu Wako ndani yangu. “Je, si njia hii ya kuomba ni upuuzi? Huoni aibu? Na si wewe unakuwa mjinga zaidi kufikiri kwamba hiki ni kitu cha thamani cha kufanya? Huna nia ya kupata uzoefu wa maisha ya mwanga, badala yake unakwenda kwa makusudi kuyaonja yale maisha katika giza na kuteseka. Hivyo si wewe unatafuta tu kuteseka? Umeambiwa jinsi ya kuishi maisha ya kiroho, maisha ya ubinadamu wa kawaida na umeambiwa kuhusu masuala yote ya ukweli. Kama huelewi kitu basi kiangalie moja kwa moja. Je, bado unahitaji kuyafunga macho yako na kuomba? Kama bado unaenda kutafuta kwa kuyaelekeza macho yako mbinguni, si bado unamwamini Mungu wa mashaka? Awali uliona matokeo kutokana na kutafuta kwako na kuomba na Roho Mtakatifu Aliisisimua roho yako kwa kiasi fulani kwa sababu wakati huo alikuwa Enzi ya Neema. Hukuweza kumwona Mungu hivyo hukuwa na chaguo lakini unaihisi njia yako mbele na kwenda kutafuta hivyo. Sasa Mungu Amekuja kati ya mtu na Neno limeonekana katika mwili. Sasa unaweza kumwona Mungu, na hivyo Roho Mtakatifu Hafanyi kazi tena kama Alivyofanya mbeleni. Enzi imebadilika na pia namna ambavyo Roho Mtakatifu hufanya kazi. Ingawa maombi yanaweza kutekelezwa kidogo zaidi kuliko awali, kwa sababu Mungu yuko duniani mtu sasa anayo nafasi ya kumpenda Mungu. Wanadamu wameingia katika enzi ya kumpenda Mungu nao wanayo ndani yao ukaribu sahihi kwa Mungu: “Ee Mungu! Hakika Wewe ni mzuri, nami niko tayari kukupenda!” Maneno machache tu ya wazi na rahisi hutoa sauti kwa upendo wa Mungu ndani ya moyo wako na ni kuimarisha tu upendo kati yako na Mungu. Wakati mwingine unaweza kujiona ukionyesha uasi kiasi, ukisema: “Ee Mungu! Mbona mimi ni mwovu sana?” Kweli unataka kujipiga, na machozi machoni mwako. Kwa wakati huu, moyo wako unahisi kujuta na kuwa na dhiki lakini huna namna ya kuionyesha. Hii ni kazi ya sasa ya Roho Mtakatifu, lakini hili ni jambo tu ambalo wale wanaotafuta maisha wanaweza kufikia. Unahisi kwamba Mungu anao upendo mkubwa kwako nawe unahodhi hisia maalum, lakini huna maneno ya kuomba kwa uwazi. Daima unahisi, hata hivyo, kwamba upendo wa Mungu ni kama kina cha bahari lakini huna namna ya kuonyesha hali hii, daima ukiuhisi katika moyo wako lakini kamwe huna maneno sahihi ya kuuonyesha. Hii ni hali ambayo mara nyingi hutokea katika roho. Aina hii ya maombi na ushirika ndani ya moyo wako kwamba inalenga kuwa karibu na Mungu ni ya kawaida.
Ingawa sasa maisha ya kuhisi njia ya mtu ya kwenda mbele na kutafuta yameisha, hii si kusema kwamba watu wasiombe kamwe, wala si kusema kwamba watu hawahitaji kuyasubiri mapenzi ya Mungu kujifunua kabla ya kuendelea na kazi; hizi ni baadhi tu ya mawazo ya mtu kabla ya kuona. Mungu amekuja miongoni mwa mtu kuishi naye na kuwa mwanga wa mtu, maisha ya mtu na njia ya mtu, na huu ni ukweli. Bila shaka, katika kuja kwa Mungu duniani ni muhimu Kwake kumletea mtu njia ya vitendo ambayo inafaa vimo vyao na maisha kwao kufurahia—Hajaja kuharibu njia zote za matendo ya mtu. Mtu haishi tena kwa kuihisi njia yake kwenda mbele na kutafuta kwa sababu hii imebadilishwa na kuja kwa Mungu duniani kufanya kazi na kunena Neno Lake. Amekuja kumweka huru mtu kutoka katika maisha ya giza na kumpa maisha ya mwanga. Kazi ya sasa ni kuonyesha mambo kwa uwazi, kusema kwa uwazi, kumwambia mtu moja kwa moja na kufafanua mambo waziwazi, ili mtu aweze kuweka mambo haya katika matendo. Kama vile Yehova alivyowaongoza watu wa Israeli, akiwaambia jinsi ya kutoa sadaka na jinsi ya kujenga hekalu, hivyo huna haja tena ya kuishi maisha ya kutafuta kama ulivyofanya Bwana Yesu alipoondoka. Je, ni muhimu kwenu kuihisi njia yenu kwa ajili ya kazi ya baadaye ya kueneza injili? Je, ni muhimu kwenu kuihisi njia yenu ili mjue jinsi mnavyopaswa kuishi? Je, ni muhimu kwenu kuihisi njia yenu ili mjue jinsi mnavyopaswa kutekeleza majukumu yenu? Je, ni muhimu kwenu kujisujudu ardhini na kwenda kutafuta ili mjue jinsi mnapaswa kutoa ushahidi? Je, ni muhimu kwenu kufunga na kuomba ili mjue jinsi mnapaswa kuvaa au kuishi? Je, ni muhimu kwenu kustahimili katika maombi yenu kwa Mungu mbinguni ili mjue jinsi mnapaswa kukubali kushindwa? Je, ni muhimu kwenu kuomba bila kukoma siku nzima na usiku kucha ili mjue jinsi mnapaswa kutii? Kuna wengi miongoni mwenu wanaosema kwamba hamwezi kutenda kwa sababu hamwelewi. Watu kweli hawaizingatii kazi ya leo! Mengi ya mambo haya nimeyasema muda mrefu uliopita, ni kwamba tu hamkuzingatia, hivyo si ajabu hamjui. Bila shaka, katika enzi ya leo Roho Mtakatifu bado Hajawasisimua watu ili kuwaruhusu kuhisi starehe, Naye anaishi pamoja na mtu. Hizi ni baadhi ya hisia maalum na zenye kuanisi ambazo mara nyingi hutokea katika maisha yako. Kila mara moja kwa wakati siku inakuja ambapo unahisi kwamba Mungu ni wa kupendeka sana nawe huwezi kutenda lingine ila kumwomba Mungu: “Ee Mungu! Upendo wako ni mzuri sana na picha Yako ni kubwa sana. Natamani kukupenda kwa undani zaidi. Natamani kutoa yote niliyo ili kuyatumia maisha yangu yote. Mradi ni kwa ajili Yako, natamani kutoa kila kitu kwako, ili tu kwamba iweze kukupenda Wewe....” Hii ni hisia ya furaha uliyopewa na Roho Mtakatifu. Si kupata nuru, wala mwangaza, ni kuchochea. Aina hii ya uzoefu itatokea mara kwa mara, kama vile ukielekea kazini. Utaomba na kujihisi karibu na Mungu, kiasi kwamba machozi yataulowesha uso wako, utaongozwa kiasi kwamba huwezi kujizuia nawe utakuwa na wasiwasi wa kupata mazingira ya kufaa ambapo unaweza kuonyesha hamasa zote moyoni mwako.... Wakati mwingine utakuwa katika shughuli ya umma nawe utahisi kwamba upendo unaofurahia ni mwingi mno, na kwamba bahati yako si ya kawaida, na zaidi utahisi kwamba wewe ni bora zaidi kuliko mwingine yeyote. Utajua kwa undani kwamba Mungu anakuinua, kwamba huu ni upendo mkuu wa Mungu kwa ajili yako. Katika maficho ya ndani kabisa ya moyo wako utahisi kuwa kuna aina ya upendo kuhusu Mungu usioelezeka na usiosomeka; ni kama unaujua lakini huna namna ya kuuonyesha, siku zote ukikufanya ufikirie kwa makini lakini ukikuacha usiweze kuuonyesha kabisa. Wakati kama huu, hata utasahau ulipo, hadi pale ambapo utazungumza: “Ee Mungu! Ni vigumu sana kukuelewa, lakini Wewe unapendwa sana! “Wakati mwingine unaweza hata kufanya baadhi ya vitendo vya ajabu na vya kipkee ambavyo watu kuviona visivyoelezeka, na haya ni mambo yote ambayo yanaweza kutokea mara nyingi .... Aina hii ya maisha ni magumu mno katika uzoefu wenu na mambo haya ni maisha ambayo Roho Mtakatifu amekupa leo, na maisha ambayo unapaswa kuishi sasa. Si kukufanya uache kuishi maisha, bali kwamba namna unavyoishi inabadilika. Ni hisia ambazo haziwezi kuelezeka au kuonyeshwa. Pia ni hisia ya kweli ya mtu na hata zaidi ni kazi ya Roho Mtakatifu. Inakufanya uelewe katika moyo wako, lakini huna namna ya kuionyesha wazi kwa mtu yeyote hata kidogo. Si kwa sababu wewe si mwepesi wa kusema au kwamba wewe ni kigugumizi, lakini kwa sababu ni aina ya hisia ambayo haiwezi kuelezwa katika maneno. Anakuruhusu kufurahia mambo haya leo kwa sababu haya ni maisha unayopaswa kuishi. Bila shaka, maisha yako mengine si matupu, kwamba tu kusisimuliwa kwa njia hii kunakuwa aina ya furaha katika maisha yako ambayo yanakufanya kutaka kufurahia misisimko ya Roho Mtakatifu siku zote. Lakini unapaswa kujua kwamba kuhamasishwa kwa namna hii sio kwamba uweze kujitenga kutoka kwenye mwili na kwenda mbingu ya tatu, au kusafiri duniani, bali ni kuwa uweze kupata uzoefu wa upendo wa Mungu leo, upate uzoefu wa umuhimu wa kazi ya Mungu leo, kumbukia utunzaji na ulinzi wa Mungu. Mambo haya yote ni kwa ajili yako kuwa na maarifa zaidi ya kazi ya Mungu hufanya leo na kuwa na uwezo wa kuhisi na kupata uzoefu zaidi wa upendo wa Mungu ambao unaufurahia leo—hili ni lengo la kazi hii.
Maisha ya kutafuta na kuihisi njia ya mtu yalikuwa wakati Mungu alikuwa bado hajakuwa mwili. Wakati huo watu hawangeweza kumwona Mungu na hivyo hawakuwa na chaguo lakini kutafuta na kuihisi njia yake kuendelea. Leo unaweza kumwona Mungu naye Anakwambia moja kwa moja jinsi unapaswa kutenda ili usihitaji tena kuihisi njia yako hapa na pale au kutafuta tena. Njia inayooongozwa naye ni njia ya ukweli na yale Anayomwelezea mtu, kile mtu anachokipata ni maisha na ukweli. Unaweza kuwa na njia nau kweli wa maisha, hivyo haja gani ipo kwenda kutafuta mahali popote? Roho Mtakatifu hawezi kufanya hatua mbili za kazi kwa pamoja. Kama, wakati Nimemaliza kuzungumza neno Langu, watu bado wanahitaji kuomba na kutafuta, hiyo haitamaanisha kwamba hatua hii ya kazi Ninayoifanya inafanywa bure? Ingawa Naweza kuwa nimemaliza kunena neno Langu, watu bado hawaelewi kabisa, na hii ni kwa sababu wanakosa ubora. Tatizo hili linaweza kutatuliwa kwa njia ya maisha ya kanisa na kupitia kushiriki mmoja kwa mwingine. Mbeleni, Mungu aliyekuwa mwili hakuanza kazi, hivyo Roho Mtakatifu alifanya kazi kwa njia hiyo wakati huo na kuidumisha kazi. Wakati huo Roho Mtakatifu aliifanya kazi, lakini sasa ni Mungu aliyekuwa mwili Mwenyewe ambaye anaifanya, baada ya kuchukua nafasi ya kazi ya Roho Mtakatifu. Wakati watu waliomba mbeleni, walipata amani, furaha, lawama na nidhamu na hii yote ilikuwa ya kazi ya Roho Mtakatifu. Sasa hali hizi ni chache na nadra. Mbona wakati Petro aliomba hakuwa na hisia za amani au za lawama, na kwa nini Paulo na wengine pia walihisi hivyo walipoomba? Hii ilikuwa kwa sababu ulikuwa ni wakati ambao kuonekana kwa Mungu hakukuwa kumeonekana, na zaidi ya hayo ulikuwa wakati wa Enzi ya Neema wakati Mungu alifanya kazi tofauti. Roho Mtakatifu anaweza tu kufanya aina moja ya kazi katika enzi yoyote ile. Kama Angefanya aina mbili za kazi wakati huo huo, mwili ukifanya aina moja na Roho Mtakatifu Akifanya aina nyingine ndani ya watu, na kama kile mwili ulisema haikuwa halali na kile Roho Alifany kilikuwa, basi Kristo asingekuwa na ukweli wowote, njia au maisha ya kuyataja. Huku kungekuwa kujipinga, na kungekuwa makosa katika chanzo hasa.
Watu walipotoka sana na walifanya makosa mengi mno katika uzoefu wao wa zamani. Awali kulikuwa na baadhi ya mambo ambayo watu wa ubinadamu wa kawaida walikuwa wamenuiwa kuwa nayo, na kunuiwa kufanya, au kulikuwa na makosa yasiyoepukika ambayo yalinuiwa kuonekana katika maisha ya binadamu, na wakati mambo hayo yalitendwa vibaya, waliliweka jukumu hilo kwa Mungu. Kulikuwa na dada ambaye alikuwa na wageni nyumbani kwake. Maandazi yake yaliyochomeka hayakuchemshwa vyema, hivyo akafikiri:: “Hii inaweza kuwa nidhamu ya Mungu. Mungu anaushughulika moyo wangu usiofaa. Mimi sifai kabisa.” Kwa kweli, alimradi njia ya kawaida ya mtu ya kufikiri inavyohusu, wageni wanapokuja unapata msisimko na kukimbia huku na kule, bila kujua nini cha kufanya kwanza na bila kuwa umepangwa unachofanya, matokeo yake ni kwamba ikiwa wali hautaishia kuungua, basi vyakula vyako vina na chumvi nyingi sana. Kwa kawaida, bila wageni uko sawa, lakini wakati ambapo watu wanakuja kila kitu kinakwenda mrama. Hali hii inasababishwa na hisia za msisimko, lakini watu huishia kudhania kuwa ni “nidhamu ya Mungu.” Kwa kweli, hii inafungamana na makosa katika maisha ya binadamu. Je, hungekumbana pia na aina hii ya kitu iwapo hukumwamini Mungu? Si aina hii ya kitu tukio la mara kwa mara? Kuna mambo mengi yanayofungamana na makosa ya watu; watu hufanya makosa, lakini hayafanywi na Roho Mtakatifu na hayamhusu Mungu. Kama unavyojiuma ulimi unapokula—yawezekana kuwa hii ni nidhamu ya Mungu? Nidhamu ya Mungu ina kanuni na kwa kawaida huonekana wakati unatenda kosa kwa kujua. Mungu humfundisha mtu nidhamu na mambo yanayohusu jina Lake, au wakati inahusu ushuhuda Wake au kazi Yake. Watu huuelewa ukweli vya kutosha sasa ili kuwa na ufahamu wa ndani wa mambo ya wanayoyafanya, kwa mfano: Je, unaweza kutohisi kitu unapozibadhiri fedha za kanisa au kuzitumia bila kujali? Utahisi kitu unapofanya hivyo. Haiwezekani kufanya kitu na kisha kuanza kuhisi kitu baadaye. Uko wazi moyoni mwako kuhusu mambo unayoyafanya ambayo yanaenda kinyume na dhamiri yako. Ingawa wanaweza kuujua ukweli kwa wazi, kwa sababu kila mtu anayo anayoyapenda, wao hujiingiza tu, hivyo baada ya wao kufanya kitu hawana hisia za wazi ya shutuma. Kama hawana nidhamu wakati wanapofanya makosa, nidhamu gani inaweza kuweko baadaye? Nidhamu gani inaweza kuweko baada ya fedha zote kubadhiriwa? Wao wana ufahamu kabisa wa nini wanachokifanya wanapofanya hivyo na kuhisi lawama. Usiposikiliza basi Mungu hatakupa usikivu. Utakapofika wakati ambapo hukumu ya haki inatokea, adhabu ataletwa juu ya kila mmoja kulingana na matendo yake. Kama mtu wa kawaida mwenye hisia ya mantiki, mtu ambaye ana dhamiri, una ufahamu wa kila kitu unachokifanya, hasa unapofanya kitu kibaya. Je, bado kuna watu wachache kanisani ambao hubadhiri fedha? Je, bado kuna watu wachache ambao hawaweki mipaka wazi kati ya wanaume na wanawake? Je, bado kuna watu wachache wanaohukumu, kupinga na kujaribu kuvunja mambo kwa siri? Kwa nini bado kila kitu kiko sawa nanyi? Nyote mnao ufahamu, hisia na aibu mioyoni mwenu na kwa sababu hii wakati mwingine mnateseka kuadibiwa na utakaso. Ni kwamba tu watu hawana aibu! Kama nidhamu kweli ingewafika, bado wangethubutu kutenda kwa njia hii? Wakati ambapo watu wa dhamiri hufanya mambo, wanahisi kufadhaika wakati dhamiri yao inachomwa kidogo tu, na kwa hiyo wana uwezo wa kuiacha miili yao. Kama wale wanaotenda dhambi kati ya wanaume na wanawake. Wanao ufahamu wa kile wanachofanya wakati huo, lakini tamaa yao ni kubwa mno na hawawezi kujidhibiti. Hata kama Roho Mtakatifu anatoa nidhamu, haitakuwa bure, hivyo Roho Mtakatifu hajishughulishi nawe tena. Wakati huo, kama Roho Mtakatifu hakukufundisha nidhamu, kukulaumu au kukifanyia chochote mwili wako, lawama gani ingeweza kutokea baadaye? Nidhamu gani inaweza kuwa baada ya tendo kufanyika? Inathibitisha tu kwamba huna aibu na unapuuzwa. Wewe ni fidhuli usiye na maana! Roho Mtakatifu hafanyi kazi bila sababu. Ikiwa unaujua ukweli vizuri sana lakini hushirikiani na una uwezo wa kufanya kitu chochote kabisa, basi unaweza kusubiri tu hadi siku ile ambayo inakuja wakati ambapoutaadhibiwa pamoja na yule mwovu. Huu ni mwisho bora kwako! Sasa Nimehubiri nikirudia kuhusu dhamira, kwa kuwa hiki ni kiwango cha chini zaidi. Bila dhamira, watu pia watapoteza nidhamu ya Roho Mtakatifu, na wanaweza kufanya chochote wanachopenda. Ikiwa kweli mtu ana dhamira, basi wakati ambapo Roho Mtakatifu anamshutumu anapitia vita vya ndani, na basi hana uwezekano wa kufanya kitu chochote kikubwa mno. Haijalishi jinsi Roho Mtakatifu anafundisha nidhamu ama kuadibu, kwa ujumla watu wote watakuwa na hisia kiasi wanapofanya kitu kibaya. Hivyo watu sasa wanaelewa kila aina ya ukweli na kama hawautendi basi hiyo ni shauri yao. Siwajibu watu kama hawa, wala sishikilii tumaini lolote kwao. Unaweza kufanya unavyopenda!
Baadhi ya watu huja pamoja na kuliweka neno la Mungu upande mmoja, daima wakizungumza kuhusu jinsi mtu huyu au mtu yule alivyo. Bila shaka ni vizuri kuwa na upambanuzi mdogo, kwa kuwa bila kujali unapokwenda hutadanganywa kwa urahisi, wala hautalaghaiwa au kupumbazwa kwa urahisi; hiki pia ni kipengele ambacho watu wanapaswa kumiliki. Lakini usilenge tu katika suala hili kwa kuwa linafungamanishwa na mambo ambayo ni hasi. Macho yasikaziwe daima kwa watu. Ufahamu wako wa jinsi Roho Mtakatifu anafanya kazi sasa ni kidogo mno, imani yako katika Mungu ni ya juujuu sana, nawe unayo mambo machache mno mazuri. Yule unayemwamini ni Mungu, Yule unayehitaji kumwelewa ni Mungu, si Shetani. Ikiwa unaelewa tu jinsi Shetani anafanya kazi na kuwa na ufahamu wa njia zote ambazo roho mbaya zinafanya kazi, lakini huna ujuzi wa Mungu kwa lolote, haya yatakuwa na maana gani? Je, si ni Mungu unayemwamini leo? Kwa nini ufahamu wako hauhusishi mambo haya mazuri? Hutilii tu maanani kipengele chanya cha kuingia na huna ufahamu wake, hivyo nini unachotaka kupata? Je, hujui jinsi unapaswa kutafuta? Unavyo vifaa vingi hasi “vya kufundishia” lakini unaambulia patupu na suala chanya la kuingia, hivyo ni jinsi gani kimo chako kitawahi kukua? Mtu akizungumza tu kuhusu vita na Shetani, ni matarajio yapi ya baadaye ya maendeleo mtu huyo atakuwa nayo? Si kuingia kwako kumepitwa na wakati sana? Mambo gani utakayoweza kupata kutokana na kazi ya sasa ukiendelea kwa njia hii? Kile ambacho ni muhimu sasa ni wewe uelewe nini Mungu anataka kufanya sasa, jinsi binadamu anapaswa kushirikiana, jinsi wanavyopaswa kumpenda Mungu, jinsi wanavyopaswa kuielewa kazi ya Roho Mtakatifu, jinsi wanavyopaswa kuingia katika maneno yote ambayo Mungu anasema leo, jinsi wanavyopaswa kuyaona, kuyaelewa na kuwa na uzoefu kwayo, jinsi yanavyopaswa kuyakidhi mapenzi ya Mungu, kushindwa kabisa na Mungu na kutii mbele za Mungu .... Unapaswa kulenga mambo haya kwa kuwa haya ni mambo yanayopaswa kuingiwa sasa. Je, unaelewa? Kuna faida gani kulenga tu juu kuhusu utambuzi wa watu? Unaweza kumtambua Shetani hapa, kuzitambua roho mbaya huko, unauweza kutambua mambo mengi, kuwa na ufahamu kamili wa roho mbaya na kuijua moja mara tu unapoiona. Lakini kama huwezi kusema chochote kuhusu kazi ya Mungu, utambuzi wako unaweza kuchukua nafasi ya ufahamu wako kuhusu Mungu? Hapo awali Nimeshiriki kuhusu maonyesho ya kazi ya roho mbaya, lakini hili si jambo kuu. Bila shaka watu wanapaswa pia kuwa na ufahamu kidogo kwa kuwa hili ni suala ambalo wale wanaomtumikia Mungu wanapaswa kumiliki ili kuepuka kufanya mambo ya kipuuzi na kuikatiza kazi ya Mungu. Lakini jambo muhimu zaidi linabaki kuwa na elimu ya kazi ya Mungu na kuelewa mapenzi ya Mungu. Ni ufahamu gani ulio nao wa hatua hii ya kazi ya Mungu? Je, unaweza kusema ni nini ambacho Mungu anafanya, mapenzi ya Mungu ni yepi, na unaweza kusema mapungufu yako ni yapi na mambo unayopaswa kujiandaa nayo? Je, unaweza kusema kuingia kwako kupya zaidi ni nini? Unapaswa kuelewa maingio yepi ya zamani yalikuwa mikengeuko na makosa, na maingio yepi yalikuwa yamepitwa na wakati. Unapaswa kupata tuzo na ufahamu katika maingio yako mapya. Usijidai kuwa ujinga; lazima ufanye juhudi katika maingio yako mapya ili uimarishe uzoefu na ufahamu wako mwenyewe, na hata zaidi lazima ufahamu sana hasa maingio yako mapya zaidi na njia sahihi zaidi ya kupata uzoefu. Lazima pia ujue jinsi ya kuzitupilia mbali mbinu zako za kutenda zilizopitwa na wakati na kuingia katika uzoefu mpya. Hata zaidi hivyo unapaswa kutambua kutenda kwako kulikopitwa na wakati kutokana na kazi mpya na kuingia. Haya ni mambo ambayo sasa unahitaji kuelewa kwa haraka na kuingia ndani yake. Lazima ufahamu tofauti na uhusiano kati ya maingizo yako ya zamani na mapya. Kama huna ufahamu wa hali ya juu wa mambo haya, basi hutakuwa njia ya yoyote ya kuendelea, kwa kuwa hutaweza kuendelea na kazi ya Roho Mtakatifu. Sehemu kubwa ya kuingia kwako kwa zamani na uzoefu iliungamanishwa na njia ya kutenda ya kupotosha na yenye makosa, na sehemu kubwa ya huku ilikuwa namna ya kupata uzoefu ambao ulikuwa wa wakati uliopita; lazima uelewe jinsi unavyopaswa kuwa na mtazamo wa vitu hivyo. Kwa njia ya kula kwa sahihi na kunywa neno la Mungu na kupitia ushirika mzuri, lazima uwe na uwezo wa kubadilisha dhana zako za kutenda za zamani na dhana zako za desturi za jadi, ili uweze kuingia katika kutenda kupya, na kuingia katika kazi mpya. Haya ni mambo unayopaswa kupata. Sasa Sikusihi kwamba ujielewe hadi kiwango kidogo zaidi; Sikusihi ulichukue hili kwa umakini sana.. Badala yake Nakusihi kuchukulia kwa umakini kuingia kwako na ufahamu wa kipengele chanya. Ingawa unaweza “kujijua,” haifuati kwa lazima kwamba hii ni kimo chako cha kweli. Lakini kama unaweza kupata uzoefu wa kutenda na kuingia kwa kazi mpya, hadi pale ambapo unaweza kufahamu na dhana zako binafsi zilikuwa nini au kutokuelewana, basi hiki ni kimo wako cha kweli nacho ni kitu unapaswa kumiliki. Haya ni mambo ambayo kila mtu kati yenu anapaswa kupata.
Kuna mambo mengi ambayo ninyi hamjui tu jinsi ya kutenda, hata zaidi kujua jinsi Roho Mtakatifu anafanya kazi. Wakati mwingine unafanya kitu ambacho kwa wazi hakimtii Roho Mtakatifu. Tayari una ufahamu wa kanuni ya kitu kupitia kula kwako na kunywa, hivyo unasumbuliwa kwa ndani na hisia ya lawama na kufadhaika na bila shaka hii ni hisia kuwa mtu ataihisi kwa misingi ya kuujua ukweli. Kutoshirikiana na kutofanya mambo kulingana na neno leo huipinga kazi ya Roho Mtakatifu na mtu lazima atahisi kufadhaika ndani mwake. Unaelewa kanuni za kipengele hiki lakini hutendi ipasavyo, hivyo unateswa na hisia ya lawama kwa ndani. Lakini kama huelewi kanuni hii, na hujala wala kunywa suala hili la ukweli, kama huijui kabisa, basi si lazima uhisi hali ya lawama katika suala hili. Kuzalisha shutuma ya Roho Mtakatifu ni kwa masharti. Unafikiri kwamba kwa sababu hujaomba, hujashirikiana na Roho Mtakatifu, hujauachilia mzigo unaoubeba ndani yako, umeichelewesha kazi ya Roho Mtakatifu. Katika hali halisi haiwezi kucheleweshwa, na kama hutasema kitu basi Roho Mtakatifu Atamchochea mtu mwingine kukisema; Roho Mtakatifu Hazuiliwi nawe. Unahisi kutubu kwa Mungu na hili ni jambo unalopaswa kuhisi. Lakini Mungu hadhanii chochote na basi ni la zamani. Kama unaweza kupata kitu chochote au la ni shauri yako. Wakati mwingine dhamiri yako inahisi kama inateswa na shutuma, lakini hii si kupata nuru au mwangaza katika Roho Mtakatifu wakati huo, wala si lawama ya Roho Mtakatifu. Badala yake ni hisia katika dhamiri yako. Kama inahusisha jina la Mungu, ushuhuda wa Mungu au kazi ya Mungu, na wewe unatenda ovyo ovyp, basi Yeye hatakuachilia. Lakini ina kikomo, na kwa mambo ambayo ni vigumu kuyataja, Hatajishughulisha nawe, Atakupuuza, na hivyo hili ni jambo ambalo unapaswa kulihisi katika dhamiri yako. Baadhi ya mambo ni yale ambayo watu wa ubinadamu wa kawaida wanapaswa kuyafanya na baadhi ni mambo ya maisha ya binadamu ya kawaida. Kwa mfano, huchemshi maandazi vyema na kusema kuwa Mungu Anakuadhibu—hii ni kitu kisicho na mantiki kabisa kusema. Kabla ya kuja kumwamini Mungu, aina hii ya kitu hakikutokea mara nyingi? Je, ilikuwa ni Shetani akikuadhibu hapo awali? Kwa kweli unapotenda zaidi kuhusu jambo hili, hutakuwa na uwezekano wa kutenda makosa, ni ubongo wako tu ambao unafanya makosa. Unahisi kwamba inaonekana kuwa nidhamu ya Roho Mtakatifu wakati kwa kweli hivi sivyo (baadhi hali za kipekee kando), kwa sababu kazi hii haifanywi kabisa na Roho Mtakatifu, lakini badala yake ni hisia tu ambazo watu wanazo. Lakini kufikiri kwa namna hii kile wale ambao wana imani sahihi katika Mungu wanapaswa kufanya. Hungeweza kufikiri hivi wakati ambapo hukumwamini Mungu. Mara ulipokuja kumwamini Mungu, moyo wako unatumia juhudi zote katika suala hili na kwa kutojua ulianza kufikiri kwa namna hii. Hii inatokana na mawazo ya kawaida ya watu na pia inafungamana na mawazo yao wenyewe. Lakini acha Nikwambie, hiki si kitu ambacho kiko chini ya eneo la kazi ya Roho Mtakatifu. Jambo hili linafungamana na mjibizo wa kawaida aliyopewa mtu na Roho Mtakatifu kwa njia ya kufikiri kwake mwenyewe; lakini lazima uelewekwamba mjibizo huu si kazi ya Roho Mtakatifu. Kuwa na aina hii ya “maarifa” haithibitishi kwamba unayo kazi ya Roho Mtakatifu. Uwlewa wako haufungamani na kupata nuru kwa Roho Mtakatifu, kiasi kidogo ni kazi ya Roho Mtakatifu. Ni mjibizo tu wa kufikiri kwa kawaida kwa watu na hauhusiani kamwe na kupata nuru au mwanga wa Roho Mtakatifu. Hayo ni mambo mawili tofauti kabisa na halifanywi kabisa na Roho Mtakatifu. Wakati Roho Mtakatifu hufanya kazi ili kuwapa watu nuru, Yeye kwa ujumla kuwapa ufahamu wa kazi ya Mungu, na ya kuingia kwao ya kweli na hali ya ukweli, na pia Huwapa azimio, huwaruhusu kuelewa kusudi la hamu la Mungu na mahitaji yake kwa ajili ya mtu leo, Huwapa azimio la kufungua njia zote. Hata wakati ambapo watu wanapitia umwagaji damu na sadaka ni lazima watende kwa ajili ya Mungu, na hata kama wanakumbana na mateso na dhiki, lazima bado wampende Mungu, na wasiwe na majuto, na lazima wawe shahidi kwa Mungu. Azimio la aina hii ni misisimko ya Roho Mtakatifu, na kazi ya Roho Mtakatifu—lakini jua kwamba hujamilikiwa na misismko kama hii kila wakati. Wakati mwingine katika mikutano unaweza kuhisi kuongozwa mno na kupata msukumo nawe unatoa sifa kubwa zaidi na unacheza. Unahisi kwamba una ufahamu usioaminika wa yale wengine wanashiriki, unahisi mpya kabisa kwa ndani, na moyo wako uko wazi kabisa bila hisia yoyote ya utupu—haya yote yanaungamanishwa na kazi ya Roho Mtakatifu. Kama wewe ni mtu ambaye huongoza, na Roho Mtakatifu anakupa nuru na mwangaza usio wa kawaida unapoenda kanisani kufanya kazi, akikufanya uwe mwenye bidii wa kushangaza, mwenye kuwajibika na kitilia maanani kazi yako, hii inafungamanisha kazo ya Roho Mtakatifu.
kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili
Kujua zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi Mungu

Jumanne, 13 Machi 2018

Ukweli Wafichuliwa Kuhusu Kesi ya Zhaoyuan ya Mei 28 – CCP Ilikuwa Mwelekezi wa Siri wa Tendo Zima

Ukweli Wafichuliwa Kuhusu Kesi ya Zhaoyuan ya Mei 28 – CCP Ilikuwa Mwelekezi wa Siri wa Tendo Zima

Utambulisho
Katika mwaka wa 2014, CCP ilibuni bila msingi maalum Tukio la Zhaoyuan lenye sifa mbaya la mnamo 5/28 katika jimbo la Shandong ili kutunga msingi wa maoni ya umma kwa ajili ya ukomeshaji kamili wa makanisa ya nyumba, na ikaeneza uwongo duniani kulaani na kuliharibia jina Kanisa la Mwenyezi Mungu. Kwa hivyo, baadhi ya washiriki wasiokusudiwa ambao hawakujua ukweli walidanganywa na propaganda za CCP. Katika programu hii, mashaka kadhaa makuu yanayoizunguka kesi hii yatafichuliwa ili kuchanganua uongo wa CCP mmojammoja na kukuelezea wazi ukweli, na kufichua kabisa ukweli kuhusu Tukio la Zhaoyuan la Shandong mbele ya ulimwengu.
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.


Ngoma ya Kikristo | Swahili Worship Song "Ufalme wa Kristo Unapatikana Miongoni mwa Wanadamu"

Ngoma ya Kikristo | Swahili Worship Song "Ufalme wa Kristo Unapatikana Miongoni mwa Wanadamu"

Mwenyezi Mungu mwenye mwili

Anaonekana katika siku za mwisho Mashariki,

kama tu vile jua la haki likichomoza;

mwanadamu ameona mwanga wa kweli ukionekana.

Mungu wa haki na mwenye uadhama, mwenye upendo na huruma

Anajificha kwa unyenyekevu miongoni mwa wanadamu,

Akitoa ukweli, kuzungumza na kufanya kazi.

Mwenyezi Mungu yuko uso kwa uso nasi.

Mungu uliyekuwa na kiu naye, Mungu niliyemngoja,

leo anaonekana kwetu kwa utendaji.

Tuliutafuta ukweli, tulitamani sana haki;

ukweli na haki vimekuja miongoni mwa wanadamu.

Unampenda Mungu, nampenda Mungu;

mwanadamu amejaa sana matumaini mapya.

Watu wanatii, mataifa yanamwabudu

Mungu mwenye mwili wa utendaji.
II


Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki
Mwenyezi Mungu huonyesha ukweli na kuleta hukumu,

Akifichua tabia ya Mungu yenye haki.

Kwa hukumu, kuadibu na majaribu ya maneno,

Anashinda na kukamilisha kikundi cha washindi.

Maneno ya Mungu, ya gadhabu na uadhama,

yanahukumu na kuutakasa uovu wa mwanadamu,

yakiharibu kabisa enzi ya giza.

Ukweli na haki vinatawala duniani.

Dunia yote inashangilia, watu wote wanafurahia;

Tabenakulo ya Mungu inawasili miongoni mwa wanadamu.

Ulimwengu unatikisika na mataifa yanaabudu,

Mapenzi ya Mungu yanatekelezwa duniani.

Dunia yote inashangilia, watu wote wanafurahia;

Tabenakulo ya Mungu inawasili miongoni mwa wanadamu.

Ulimwengu unatikisika na mataifa yanaabudu,

Mapenzi ya Mungu yanatekelezwa duniani.

Ufalme wa Kristo unapatikana miongoni mwa wanadamu.

Kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Jumatatu, 12 Machi 2018

Umeme wa Mashariki | Kuhusu Biblia (2)

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Umeme wa Mashariki | Kuhusu Biblia (2)

Mwenyezi Mungu alisema, Biblia pia huitwa Agano la Kale na Agano Jipya. Je, mnajua “agano” linarejelea nini? “Agano” katika Agano la Kale linatokana na makubaliano ya Yehova na watu wa Israeli Alipowaua Wamisri na kuwaokoa Waisraeli kutoka kwa Farao.

Umeme wa Mashariki | Njia... (8)

Umeme wa Mashariki | Njia... (8) 

 Mwenyezi Mungu alisema, Wakati ambapo Mungu anakuja duniani kuchanganyika na wanadamu, kuishi nao, sio tu kwa siku moja au mbili. Labda kwa wakati huu wote watu wamemjua Mungu kwa kiwango fulani, na labda wamepata utambuzi muhimu wa kumhudumia Mungu, na wamepata uzoefu sana katika imani yao katika Mungu. Hata iweje, watu wanaelewa vizuri sana tabia ya Mungu, na maonyesha ya kila aina ya tabia za binadamu yanatofautiana kwa kweli.

Jumapili, 11 Machi 2018

Umeme wa Mashariki | Njia… (7)

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Umeme wa Mashariki | Njia… (7)

Mwenyezi Mungu alisema, Sote tunaweza kuona katika uzoefu wetu wa utendaji kwamba kuna nyakati nyingi ambazo Mungu binafsi ametufungulia njia ili tuwe tunakanyaga njia iliyo imara zaidi, ya kweli zaidi. Hii ni kwa sababu hii ndiyo njia ambayo Mungu alitufungulia tangu mwanzo wa wakati na imepitishwa kwa kizazi chetu baada ya makumi ya maelfu ya miaka.

Jumamosi, 10 Machi 2018

Umeme wa Mashariki | Njia... (6)

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Umeme wa Mashariki | Njia... (6)

Mwenyezi Mungu alisema, Ni kwa sababu ya kazi ya Mungu ndio tumeletwa katika siku hii. Kwa hiyo, sisi sote ni wasaliaji katika mpango wa usimamizi wa Mungu, na kwamba tunaweza kubakizwa mpaka siku hii ni kutiwa moyo kwa hali ya juu kutoka kwa Mungu.

Umeme wa Mashariki | Njia… (5)

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Umeme wa Mashariki | Njia… (5)

Mwenyezi Mungu alisema, Ilikuwa kwamba hakuna aliyejua Roho Mtakatifu, na hasa hawakujua njia ya Roho Mtakatifu ilikuwa gani. Ndio maana watu kila mara walifanya upumbavu mbele ya Mungu. Inaweza kusemwa kwamba karibu watu wote wanaoamini katika Mungu hawamjui Roho, lakini tu wana aina ya imani iliyochanganyikiwa.Ni wazi kutokana na hili kwamba watu hawamfahamu Mungu, na hata ingawa wanasema wanaamini katika Yeye, kuhusu kiini chake, kulingana na matendo yao wanaamini katika wao wenyewe, sio Mungu. Kutokana na uzoefu Wangu binafsi wa kweli, Naweza kuona kwamba Mungu humshuhudia Mungu katika mwili, na kutoka nje, watu wote hulazimishwa kukubali ushahidi Wake, na inaweza tu kusemwa kwa shida kuwa wanaamini kwamba Roho wa Mungu hana kosa kabisa. Hata hivyo, Nasema kwamba kile ambacho watu wanaamini si mtu huyu na hasa si Roho wa Mungu, lakini wanaamini katika hisia zao wenyewe. Je, huko si kuamini tu katika wao wenyewe? Maneno haya Nisemayo yote ni ya kweli. Huko si kupachika watu majina, lakini nahitaji kueleza wazi kitu kimoja—kwamba watu wanaweza kuletwa katika siku hii, wawe wana uwazi au wamechanganyikiwa, hii yote inafanywa na Roho Mtakatifu na si kitu ambacho wanadamu wanaweza kuamuru. Huu ni mfano wa kile ambacho Nimetaja awali kuhusu Roho Mtakatifu kulazimisha imani ya watu. Hivi ndivyo Roho Mtakatifu hufanya kazi, na ni njia moja ambayo Roho Mtakatifu hufuata. Haijalishi yule ambaye watu huamini kwa asili, Roho Mtakatifu kwa nguvu huwapa watu aina fulani ya hisia ili waamini katika Mungu ndani ya mioyo yao. Hii siyo aina ya imani uliyo nayo? Je, huhisi kwamba imani yako katika Mungu ni kitu cha ajabu? Je, hudhani kwamba ni kitu cha ajabu kwamba huwezi kuepuka kutoka kwa mkondo huu? Hujaweka juhudi yoyote kulitafakari hili? Hii siyo ishara na ajabu kuu zaidi? Hata kama umekuwa na hamu kubwa ya kutoroka mara nyingi, huwa kila mara kuna nguvu ya maisha kuu inayokuvutia na kukufanya usite kuondoka. Na kila mara unapokabiliwa na hili unasongwa roho na kuwa na kikweukweu, na hujui la kufanya. Na kuna watu wengine ambao hujaribu kuondoka. Lakini unapojaribu kwenda, ni kama kisu kwa moyo wako, na ni kama kwamba nafsi yako imetolewa ndani yako na zimwi juu ya dunia ili moyo wako uwe na wahaka na ukose amani. Baada ya hilo, huwezi kufanya lolote bali kujitayarisha kukutana na jambo gumu na kurudi kwa Mungu…. Hujawahi kuwa na tukio hili? Naamini kwamba ndugu wadogo ambao wanaweza kuifungua mioyo yao watasema: “Ndio! Nimekuwa na matukio mengi sana kama haya; Ninaona aibu sana kuyafikiria!” Katika maisha Yangu ya kila siku Mimi huwa na furaha kila mara kuwaona ndugu Zangu wadogo kama wandani Wangu kwa sababu wamejawa na umaasumu—wao ni safi na wa kupendeka. Ni kama kwamba wao ni wenzi Wangu. Hii ndio maana kila mara Mimi hutafuta nafasi ya kuwaleta wandani Wangu wote pamoja, kuzungumza juu ya maadili yetu na mipango yetu. Mapenzi ya Mungu yatekelezwe ndani yetu ili sote tuwe kama mwili na damu, bila vizuizi na bila umbali. Hebu sote tuombe kwa Mungu: “Ee Mungu! Ikiwa ni mapenzi Yako, tunakusihi utupe mazingira yanayofaa ili sote tutambue matamanio yaliyo ndani ya mioyo yetu. Utuonee huruma sisi ambao ni wadogo na wanaokosa akili, ili tutumie kila tone la nguvu ndani ya mioyo yetu!” Naamini kwamba haya lazima yawe ni mapenzi ya Mungu kwa sababu zamani sana, Nilisema ombi hili mbele ya Mungu: “Baba! Sisi tulio duniani hukuita wakati wote, na kutarajia kwamba mapenzi Yako yatatimizwa hivi karibuni duniani. Niko radhi kutafuta mapenzi Yako. Fanya Unalotaka kufanya, na timiza kile Ulichonikabidhi Mimi mapema iwezekanavyo. Maadamu mapenzi Yako yanaweza kutimizwa mapema iwezekanavyo, Niko radhi hata Wewe ufungue njia mpya miongoni mwetu. Tarajio Langu pekee ni kwamba kazi Yako iweze kutimizwa hivi punde. Naamini kwamba hakuna sheria zinazoweza kuichelewesha kazi Yako! ”Hii ni kazi ambayo Mungu anafanya sasa. Hujaona njia ambayo Roho Mtakatifu anapitia? Ninapokutana na ndugu wazee, huwa kuna hisia ya ukandamizaji ambayo Siwezi kutambua kiini chake. Ni wakati Ninapokuwa nao tu ndio Ninaweza kuona kwamba wana uvundo mbaya wa jamii, na fikira zao za kidini, uzoefu wa kushughulikia mambo, njia zao za kuzungumza, maneno wayatumiayo, n.k., yote yanaudhi. Ni kama kwamba wamejawa na hekima na Mimi kila mara hukaa mbali nao kwa sababu Kwangu binafsi, falsafa Yangu ya maisha imepungukiwa sana. Nikiwa nao kila mara Mimi huhisi kuchoshwa na kulemewa, na wakati mwingine hilo huwa baya sana, la kukandamiza sana mpaka siwezi hata kupumua. Kwa hiyo katika nyakati hizi za hatari, Mungu hunipa Mimi njia bora ya kuepuka. Labda ni kuelewa Kwangu visivyo. Ninajali tu kuhusu kinachomfaidi Mungu; kutekeleza mapenzi ya Mungu ni muhimu zaidi. Mimi hukaa mbali sana na watu hawa, na ikiwa Mungu ananihitaji Nijihusishe nao, basi Mimi hutii. Katu sio kwamba wao ni wenye makuruhu, lakini ni kwamba “hekima,” fikira, na falsafa zao za maisha zinakera sana. Niko hapa kutimiza kile ambacho Mungu amenikabidhi Mimi, sio kujifunza kutoka kwa uzoefu wao namna ya kushughulikia mambo. Nakumbuka kwamba wakati mmoja Mungu aliniambia yafuatayo: “Hapa duniani, tafuta mapenzi ya Baba na utimize kile Alichokukabidhi. Mengine yote ni yasiyokuhusu Wewe.” Ninapofikiria juu ya hili Mimi huhisi amani kidogo. Hii ni kwa sababu Mimi huhisi kila mara kwamba mambo ya dunia ni yenye utata sana na kwamba Siwezi kuyafahamu hayo—huwa Sijui la kufanya. Kwa hiyo sijui ni mara ngapi Nimekuwa mwenye wasiwasi sana kuhusu hili na Nimechukia wanadamu—mbona watu ni wenye utata sana? Kuna tatizo gani na kuwa wa kawaida kidogo? Kujaribu kuwa mwerevu—ya nini kujisumbua? Ninapojihusisha na watu kwa kiwango kikubwa ni kwa msingi wa agizo la Mungu Kwangu, na hata kama kumekuwa na nyakati chache ambazo hali haikuwa hiyo, nani anaweza kujua labda ni nini kimejificha katika moyo Wangu?
Kuna nyakati nyingi ambapo Nimewashauri ndugu walio nami kwamba wanapaswa kuamini katika Mungu kutoka ndani ya mioyo yao wenyewe na sio kuhifadhi mambo wayapendayo wenyewe, kwamba wanapaswa kujali mapenzi Yake. Nimelia kwa uchungu mbele ya Mungu mara nyingi—kwa nini watu hawajali mapenzi ya Mungu? Je, yawezekana kwamba kazi ya Mungu ingepotea tu bila dalili bila sababu yoyote kabisa? Sijui ni kwa nini, na inaonekana kwamba kimekuwa kitendawili katika moyo Wangu. Kwa nini watu huwa hawatambui njia ya Roho Mtakatifu, lakini kila mara wao huwa wanadumisha mahusiano yasiyofaa kati ya watu wawili?Mimi huchafuka moyo Ninapowaona watu hivi. Wao hawaoni njia ya Roho Mtakatifu, lakini huzingatia tu kile ambacho watu hufanya. Moyo wa Mungu unaweza kuridhishwa kwa njia hii? Mimi huhuzunishwa mara kwa mara na hili. Inaonekana kwamba huu umekuwa mzigo Wangu kubeba. Roho Mtakatifu pia anasikitishwa kuhusu hili—je, huhisi lawama yoyote ndani ya moyo wako? Mungu na Afungue macho yetu ya kiroho. Kama yule Anayewaongoza watu kuingia katika roho, Nimeomba mbele ya Mungu mara nyingi: “Ee Baba! Naomba Nifanye mapenzi Yako kiini na kutafuta mapenzi Yako. Niwe mwaminifu kwa kile Ulichonikabidhi Mimi ili Wewe uweze kulipata kundi hili la watu. Utulete katika ulimwengu huru ili sote tuweze kukutana na Wewe na roho zetu. Amsha hisia za kiroho ndani ya mioyo yetu! ”Natarajia kwamba mapenzi ya Mungu yatatimizwa, kwa hiyo Ninamwomba bila kukoma ili Roho wa Mungu aendelee kutupa sisi nuru na kuturuhusu sote kufuata njia inayoongozwa na Roho Mtakatifu. Hii ni kwa sababu njia Ninayotembea ni njia ya Roho Mtakatifu. Ni nani mwingine angetembea njia hiyo kwa niaba Yangu? Ni hili ndilo hufanya mzigo Wangu kuwa mzito zaidi. Nahisi kama kwamba Ninakaribia kuanguka, lakini Naamini kwamba Mungu bila shaka hatachelewesha kazi Yake. Labda wakati ambapo kile Alichonikabidhi kitatimizwa tutawachana. Kwa hiyo labda ni kwa sababu ya athari ya Roho wa Mungu ndio Nimehisi kila mara kuwa tofauti na wengine. Ni kama kwamba Mungu anataka kufanya kazi fulani, na sasa bado Sijapata ufahamu mzuri kuihusu. Hata hivyo, Naamini kwamba hakuna yeyote duniani aliye bora kuliko wandani Wangu, na Naamini kwamba wandani Wangu wataniombea mbele ya Mungu. Ikiwa hivyo, Nitashukuru kupita kiasi kuhusu hili. Natarajia kwamba ndugu Zangu watasema Nami. “Ee Mungu! Tunaomba mapenzi Yako yafichuliwe ndani yetu sisi katika enzi ya mwisho ili tubarikiwe na maisha ya roho, ili tuone matendo ya Roho wa Mungu na uso Wake wa kweli! ”Mara tuifikiapo hatua hii tutakuwa tunaishi kweli chini ya uongozi wa Roho, na ni wakati huo tu ndipo tutaweza kuuona uso wa kweli wa Mungu. Yaani, watu wataweza kufahamu maana ya kweli ya ukweli wote. Haufahamiki au kujulikana kupitia kwa fikira za wanadamu, lakini kupata nuru hufanyika kulingana na mapenzi ya Roho wa Mungu. Katika uzima wake wote, huyu ni Mungu Mwenyewe anayefanya kazi bila hata chembe kidogo ya wazo la mwanadamu ndani yake. Huu ni mpango Wake wa kazi kwa matendo Anayotaka kufichua duniani, na ni sehemu ya mwisho ya kazi Yake duniani. Uko radhi kushiriki katika kazi hii? Unataka kushiriki katika kazi hii? Una hiari ya kukamilishwa na Roho Mtakatifu na kufurahia maisha ya roho?
Kazi muhimu sana wakati huu ni kuzama ndani zaidi kutoka kwa msingi wetu wa asili. Ni lazima tuzame ndani zaidi katika hali za ukweli, maono, na maisha yetu. Kwa hali yoyote, lazima kwanza Niwakumbushe ndugu Zangu kwamba ili kuingia katika kazi hii, ni lazima uache fikira zako za awali. Yaani, ni lazima ubadilishe mwenendo wako wa maisha wa awali, ufanye mpango mpya, na kufungua ukurasa mpya. Ukiendelea kutetea kile ambacho kimekuwa cha thamani kwako katika maisha ya nyuma, Roho Mtakatifu hataweza kutembea ndani yako; Atakuwa na shida kuweza kuhimili maisha yako. Mtu asipotafuta au kuingia ndani, au kupanga, Roho Mtakatifu atamwacha kabisa. Hii inaitwa yule aliyekataliwa na enzi. Natarajia kwamba ndugu Zangu wote wataweza kuufahamu moyo Wangu, na pia Natarajia kwamba “washirika wapya” wengi zaidi wataweza kuinuka na kufanya kazi na Mungu kutimiza kazi hii pamoja. Naamini kwamba Mungu atatubariki, na pia Naamini kwamba Mungu atanipa wandani wengi zaidi ili Niweze kusafiri mpaka miisho ya dunia na tuwe hata na upendo mwingi zaidi kati yetu. Nimeridhika kabisa kwamba Mungu atapanua ufalme Wake kwa ajili ya juhudi zetu, na Natarajia kwamba kazi yetu ya bidii itafikia viwango visivyo na kifani ili Mungu apate vijana wengi zaidi. Sote tuombee hili zaidi na kumsihi Mungu bila kukoma ili maisha yetu yaendelee mbele Yake, na kwamba tuwe wandani na Mungu. Kusiwe na vizuizi vyovyote miongoni mwetu, na sote tule kiapo hiki mbele ya Mungu: “Kufanya kazi kwa umoja! Kuwa na moyo wa kuabudu mpaka mwisho! Kutotengana kamwe, kuwa pamoja kila mara!” Ndugu Zangu wekeni uamuzi huu mbele ya Mungu ili mioyo yetu isipotee na hiari yetu isiyumbeyumbe! Ili kutimiza mapenzi ya Mungu, Ningependa kusema tena: Fanya kazi kwa bidii! Ipatie kila kitu ulichonacho! Mungu atatubariki kabisa!
kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili
Kujua zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki