
Jumanne, 27 Machi 2018
Tabia ya Mungu ni Haki na, Hata Zaidi, Upendo
By UnknownMachi 27, 2018Injili, tabia-ya-Mungu, Ukweli, Usafishaji, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


5. Tabia ya Mungu ni Haki na, Hata Zaidi, Upendo
Fang Xin, Beijing
Agosti 15, mwaka wa 2012
Tangu mwaka wa 2007, nilipoikubali kazi ya Mwenyezi Mungu ya siku za mwisho, ingawa nimeonekana juu juu kuwa na kazi nyingi sana kutekeleza majukumu yangu, sijaupa moyo wangu...
Umeme wa Mashariki | Wengi Wameitwa, Lakini Wachache Wamechaguliwa
By UnknownMachi 27, 2018kukamilishwa-na-Mungu, kumfuata-Mungu, kumpenda-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukweli, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Wengi Wameitwa, Lakini Wachache Wamechaguliwa
Mwenyezi Mungu alisema, Nimewatafuta wengi duniani wawe wafuasi Wangu. Kati yao ni wale wanaohudumu kama makuhani, wanaoongoza, wanaojumuisha wana, wanaojumuisha watu, na wale wanaotoa huduma. Ninaweka migawo...
Jumatatu, 26 Machi 2018
Umeme wa Mashariki | Ufafanuzi wa Tamko la Tano
By UnknownMachi 26, 2018makusudi-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, ushuhuda, Vitabu, WokovuNo comments


Umeme wa Mashariki | Ufafanuzi wa Tamko la Tano
Mwenyezi Mungu alisema, Mungu anapoweka mahitaji kwa wanadamu ambayo ni magumu kwao kueleza, na maneno Yake yanapogonga moja kwa moja katika moyo wa mwanadamu na watu wanatoa mioyo ya dhati ili Afurahie, basi Mungu huwapa...
Umeme wa Mashariki | Kwa Nini Nimetembea Njia ya Mafarisay
By UnknownMachi 26, 2018hukumu, Kiumbe-Aliyeumbwa, Ukweli, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Kwa Nini Nimetembea Njia ya Mafarisay
Suxing Mkoa wa Shanxi
Mimi ni mtu mwenye kiburi na majivuno, na cheo kimekuwa udhaifu wangu. Kwa miaka mingi, nimefungwa na sifa na cheo na sijaweza kujiweka huru kutoka kwazo. Mara kwa mara nimepandishwa cheo...
Jumapili, 25 Machi 2018
Umeme wa Mashariki | Hatimaye Naishi kwa Kudhihirisha Kiasi Kama Mwanadamu
By UnknownMachi 25, 2018hukumu, siku-za-mwisho, Ukweli, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Hatimaye Naishi kwa Kudhihirisha Kiasi Kama Mwanadamu
Xiangwang Mkoa wa Sichuan
Ninahisi kuadibiwa sana moyoni mwangu kila mara ninapoona kwamba maneno ya Mungu yanasema: “Wanadamu dhalimu, wakatili! Kufumba macho na kula njama, kusukumana, kung’ang’ania...
Jumamosi, 24 Machi 2018
"Vunja Pingu na Ukimbie" (4) - Jifungue Kutoka kwa Utumwa wa Mafarisayo wa Kidini na Kurudi Kwa Mungu
By UnknownMachi 24, 2018Biblia, jumuiya-ya-kidini, Kazi-ya-Mungu, Sehemu-za-Filamu, VideoNo comments


"Vunja Pingu na Ukimbie" (4) - Jifungue Kutoka kwa Utumwa wa Mafarisayo wa Kidini na Kurudi Kwa Mungu
Katika jumuiya ya kidini, wachungaji wanajua Biblia kwa kina na mara nyingi huelezea vifungu kutoka kwa Biblia kwa watu. Kutoka kwa macho yetu, inaonekana kuwa wote...
"Vunja Pingu na Ukimbie" (3) - Enda Nje ya Biblia: Hudhuria Karamu ya Ufalme wa Mbinguni Pamoja na Bwana

"Vunja Pingu na Ukimbie" (3) - Enda Nje ya Biblia: Hudhuria Karamu ya Ufalme wa Mbinguni Pamoja na Bwana
Watu wengi ambao wana imani katika Bwana huhisi kwamba maneno na kazi ya Mungu vyote viko katika Biblia, kwamba wokovu wa Mungu kama ulivyoelezewa katika Biblia...
Ijumaa, 23 Machi 2018
"Vunja Pingu na Ukimbie" (2) - Je, Kila Kitu Kilicho Katika Biblia ni Neno la Mungu?

"Vunja Pingu na Ukimbie" (2) - Je, Kila Kitu Kilicho Katika Biblia ni Neno la Mungu?
Kama watu wengi wa kidini wenye imani katika Bwana, Mzee Li daima amehisi kwamba "kila kitu kilicho katika Biblia kilitiwa msukumo na Mungu," "Biblia ni neno la Mungu," na "Biblia humwakilisha...
Umeme wa Mashariki | "Vunja Pingu na Ukimbie" (1) - Legeza Pingu na Ujifunze Njia ya Kweli
By UnknownMachi 23, 2018Biblia, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Sehemu-za-Filamu, Ukweli, VideoNo comments


Umeme wa Mashariki | "Vunja Pingu na Ukimbie" (1) - Legeza Pingu na Ujifunze Njia ya Kweli
Mzee wa kanisa Li, kutokana na imani pofu katika maneno ya wachungaji wa kidini, alihisi kwamba kazi na maneno yote ya Mungu yaliandikwa katika Biblia na kwamba chochote nje ya...
Alhamisi, 22 Machi 2018
Tendeni Ukweli Mara Mnapouelewa
By UnknownMachi 22, 2018makusudi-ya-Mungu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukweli, VitabuNo comments


Tendeni Ukweli Mara Mnapouelewa
Mwenyezi Mungu alisema, Kazi neno la Mungu vina maana ya kuleta mabadiliko katika tabia zenu; lengo Lake si kuwafanya tu kulielewa au kulitambua na kufanya hilo kuwa mwisho wa jambo hilo. Kama mmoja wa uwezo wa kupokea, hampaswi kuwa na...
Jumatano, 21 Machi 2018
Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VII
By UnknownMachi 21, 2018Mamlaka-ya-Mungu, Mungu-Mwenyewe, Mwendelezo-wa-Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VII
Hadithi ya 2. Mlima Mkubwa, Kijito Kidogo, Upepo Mkali, na Wimbi Kubwa
Mwenyezi Mungu alisema, Kulikuwa na kijito kidogo kilichotiririka kwa kuzungukazunguka, hatimaye kikawasili chini ya mlima mkubwa. Mlima ulikuwa unazuia njia ya kijito hiki, hivyo kijito kikauomba mlima kwa sauti yake dhaifu...
Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VII
By UnknownMachi 21, 2018Mungu-ni-Chanzo-cha-Uhai-kwa-Vitu-Vyote, Mwendelezo-wa-Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VII
Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote (I)
Mwenyezi Mungu alisema, Leo Nitashiriki nawe mada mpya. Mada itakuwa ni nini? Kichwa cha mada kitakuwa “Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote.” Je, hii siyo mada kubwa kidogo kuweza kuijadili? Je, inaonekana kama kitu ambacho kidogo hakiwezi kufikika? Mungu kuwa...