Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Muziki wa Akapela "Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu" (Video Rasmi ya Muziki)

Hayuko katika upeo wa mbali, wala hajajificha juu mawinguni. Yuko kando yako, akiwa na mamlaka juu ya kila kitu chako, Yeye ni kila kitu ulicho nacho, na Yeye ni kitu pekee ulicho nacho.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Jumanne, 27 Machi 2018

Tabia ya Mungu ni Haki na, Hata Zaidi, Upendo

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Injili

5. Tabia ya Mungu ni Haki na, Hata Zaidi, Upendo

Fang Xin, Beijing
Agosti 15, mwaka wa 2012
Tangu mwaka wa 2007, nilipoikubali kazi ya Mwenyezi Mungu ya siku za mwisho, ingawa nimeonekana juu juu kuwa na kazi nyingi sana kutekeleza majukumu yangu, sijaupa moyo wangu kwa Mungu, na mara nyingi nimehisi kufungwa kiasi cha msongo wa pumzi na masuala madogo ya familia.

Umeme wa Mashariki | Wengi Wameitwa, Lakini Wachache Wamechaguliwa

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Umeme wa Mashariki | Wengi Wameitwa, Lakini Wachache Wamechaguliwa

Mwenyezi Mungu alisema, Nimewatafuta wengi duniani wawe wafuasi Wangu. Kati yao ni wale wanaohudumu kama makuhani, wanaoongoza, wanaojumuisha wana, wanaojumuisha watu, na wale wanaotoa huduma. Ninaweka migawo hii kulingana na uaminifu alionao mwanadamu Kwangu.

Jumatatu, 26 Machi 2018

Umeme wa Mashariki | Ufafanuzi wa Tamko la Tano

Umeme wa Mashariki | Ufafanuzi wa Tamko la Tano

Mwenyezi Mungu alisema, Mungu anapoweka mahitaji kwa wanadamu ambayo ni magumu kwao kueleza, na maneno Yake yanapogonga moja kwa moja katika moyo wa mwanadamu na watu wanatoa mioyo ya dhati ili Afurahie, basi Mungu huwapa watu nafasi ya kutafakari, kufanya uamuzi, na kutafuta njia ya kutenda.

Umeme wa Mashariki | Kwa Nini Nimetembea Njia ya Mafarisay

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, hukumu

Umeme wa Mashariki | Kwa Nini Nimetembea Njia ya Mafarisay

Suxing Mkoa wa Shanxi

Mimi ni mtu mwenye kiburi na majivuno, na cheo kimekuwa udhaifu wangu. Kwa miaka mingi, nimefungwa na sifa na cheo na sijaweza kujiweka huru kutoka kwazo. Mara kwa mara nimepandishwa cheo na kubadilishwa na mtu mwingine; nimekuwa na vizuizi vingi katika cheo changu na nimekumbwa na matuta mengi njiani.

Jumapili, 25 Machi 2018

Umeme wa Mashariki | Hatimaye Naishi kwa Kudhihirisha Kiasi Kama Mwanadamu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, hukumu

Umeme wa Mashariki | Hatimaye Naishi kwa Kudhihirisha Kiasi Kama Mwanadamu

Xiangwang Mkoa wa Sichuan

Ninahisi kuadibiwa sana moyoni mwangu kila mara ninapoona kwamba maneno ya Mungu yanasema: “Wanadamu dhalimu, wakatili! Kufumba macho na kula njama, kusukumana, kung’ang’ania sifa na mali, kuuana—haya yote yataisha lini? Mungu amezungumza maelfu na mamia ya maneno, ilhali hakuna hata mmoja ambaye amejifahamu.

Jumamosi, 24 Machi 2018

"Vunja Pingu na Ukimbie" (4) - Jifungue Kutoka kwa Utumwa wa Mafarisayo wa Kidini na Kurudi Kwa Mungu

"Vunja Pingu na Ukimbie" (4) - Jifungue Kutoka kwa Utumwa wa Mafarisayo wa Kidini na Kurudi Kwa Mungu

Katika jumuiya ya kidini, wachungaji wanajua Biblia kwa kina na mara nyingi huelezea vifungu kutoka kwa Biblia kwa watu. Kutoka kwa macho yetu, inaonekana kuwa wote wanamjua Mungu, lakini kwa nini kuna watu wengi katika ulimwengu wa kidini ambao huilaumu na kuipinga kazi ya Mungu mwenye mwili ya siku za mwisho? Mwenyezi Mungu anasema, "Wale wanaosoma Biblia kwa makanisa makubwa hukariri Biblia kila siku, lakini hakuna yeyote anayeelewa madhumuni ya kazi ya Mungu. Hakuna hata mmoja anayeweza kumwelewa Mungu; juu ya hayo, hakuna yeyote anayekubaliana na moyo wa Mungu. Wote hawana thamani, wanadamu wabovu, kila mmoja akisimama juu kumfundisha Mungu. Ingawa wanalionyesha hadharani jina la Mungu, wanampinga makusudi" (Neno Laonekana katika Mwili).


Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Kujua zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?

"Vunja Pingu na Ukimbie" (3) - Enda Nje ya Biblia: Hudhuria Karamu ya Ufalme wa Mbinguni Pamoja na Bwana

"Vunja Pingu na Ukimbie" (3) - Enda Nje ya Biblia: Hudhuria Karamu ya Ufalme wa Mbinguni Pamoja na Bwana

Watu wengi ambao wana imani katika Bwana huhisi kwamba maneno na kazi ya Mungu vyote viko katika Biblia, kwamba wokovu wa Mungu kama ulivyoelezewa katika Biblia tayari umejaa, kwamba imani katika Mungu lazima iwe kwa msingi wa Biblia na kwamba kama imani yetu kwa Mungu ni kwa msingi wa Biblia, basi kwa hakika tutanyakuliwa kuingia katika ufalme wa mbinguni. Dhana hizi za kidini hutenda kama kamba zisizoonekana ambazo huzifunga kwa uthabiti na kuzisonga fikira zetu kiasi kwamba hatuitafuti kazi ya Roho Mtakatifu na hutufanya tusiweze kuitii kazi ya sasa ya Mungu. Tunawezaje basi kuelewa uhusiano kati ya Biblia na Mungu na Biblia na kazi ya Mungu? Bwana Yesu alisema, “Na neno lake haliishi ndani yenu: kwani hammwamini yule aliyemtuma. Tafuta katika maandiko; kwa kuwa ndani yake mnadhani kuwa mna uzima wa milele: na hayo ndiyo yananishuhudia. Nanyi hamtakuja Kwangu, kwamba mpate uhai"(Yohana 5:38-40). Mwenyezi Mungu anasema, "Kristo wa siku za mwisho huleta uzima, na huleta kudumu kwa njia ya kweli na ya milele. Ukweli huu ni njia ambayo binadamu atapata uzima, na njia pekee ambayo mtu atajua Mungu na kuidhinishwa na Mungu" (Neno Laonekana katika Mwili). Ni kwa njia ya kuacha Biblia tu tunapoweza kuja mbele ya Mungu na kuukubali wokovu Wake na kuhudhuria karamu ya ufalme wa mbinguni pamoja na Yeye.

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki
Kujua zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Ijumaa, 23 Machi 2018

"Vunja Pingu na Ukimbie" (2) - Je, Kila Kitu Kilicho Katika Biblia ni Neno la Mungu?

"Vunja Pingu na Ukimbie" (2) - Je, Kila Kitu Kilicho Katika Biblia ni Neno la Mungu?

Kama watu wengi wa kidini wenye imani katika Bwana, Mzee Li daima amehisi kwamba "kila kitu kilicho katika Biblia kilitiwa msukumo na Mungu," "Biblia ni neno la Mungu," na "Biblia humwakilisha Mungu." Dhana hizi zilikuwa kwa muda mrefu zimeunda msingi wa imani yake. Zilikuwa zimekita mizizi ndani ya moyo wake na zilikuwa zimekuwa kikwazo kwa kujifunza kwake njia ya kweli na pia utumwa uliomzuia kukubali njia ya kweli. Wahubiri wa Kanisa la Mwenyezi Mungu waliposoma kwa subira kwa Mzee Li kuhusu neno la Mungu na kufanya ushirika naye kuhusu ukweli, hatimaye alielewa kuwa si Biblia yote iliyotiwa msukumo na Mungu, lakini ina maneno ya Mungu na maneno ya mwanadamu . Mzee Li sasa alikuwa huru kutoka kwa utumwa na pingu za dhana hizi za kidini.
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Biblia, Umeme wa Mashariki,
Kujua zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Umeme wa Mashariki | "Vunja Pingu na Ukimbie" (1) - Legeza Pingu na Ujifunze Njia ya Kweli

Umeme wa Mashariki | "Vunja Pingu na Ukimbie" (1) - Legeza Pingu na Ujifunze Njia ya Kweli

Mzee wa kanisa Li, kutokana na imani pofu katika maneno ya wachungaji wa kidini, alihisi kwamba kazi na maneno yote ya Mungu yaliandikwa katika Biblia na kwamba chochote nje ya Biblia hakingeweza kuwa kazi na neno la Mungu. Li alifikiri kwamba yote aliyohitaji kufanya ni kushika Biblia na wakati Bwana angekuja tena, angenyakuliwa kuingia katika ufalme wa mbinguni. Kwa hiyo, Li hakuipa fikira kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho. Wakati mmoja, Mzee Li alipata kujua kwamba mfanyakazi mwenza, Mzee Lin, alikuwa akichunguza Umeme wa Mashariki kwa zaidi ya mwaka mmoja. Kupitia kufanya ushirika na Mzee Lin, Mzee Li alikuja kuelewa ukweli wa kusikitisha kwamba alikuwa amenaswa na kufungwa na wachungaji wa kidini. Mwishowe, Mzee Li aliweza kulegeza pingu hizi na kuwaongoza wafanyakazi wenza wengine wote kutafuta na kuuchunguza Umeme wa Mashariki pamoja.

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Kujua zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi Mungu

Alhamisi, 22 Machi 2018

Tendeni Ukweli Mara Mnapouelewa

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, ukweli

Tendeni Ukweli Mara Mnapouelewa

Mwenyezi Mungu alisema, Kazi neno la Mungu vina maana ya kuleta mabadiliko katika tabia zenu; lengo Lake si kuwafanya tu kulielewa au kulitambua na kufanya hilo kuwa mwisho wa jambo hilo. Kama mmoja wa uwezo wa kupokea, hampaswi kuwa na ugumu katika kuelewa neno la Mungu, kwa kuwa wingi wa neno la Mungu limeandikwa kwa lugha ya kibinadamu ambayo ni rahisi sana tu kuelewa. Kwa mfano, mnaweza kujua ni nini Mungu anataka muelewe na kutenda; hili ni jambo ambalo mtu wa kufaa ambaye ana uwezo wa uelewa anapaswa kuwa na uwezo wa kufanya. Maneno ya Mungu sasa ni hasa wazi na bayana, na Mungu husema mambo mengi ambayo watu hawajachukulia maanani au hali mbalimbali za mtu. Maneno yake yanajumuisha yote, angavu kama nuru ya mwezi kamili. Hivyo sasa, watu wanaelewa masuala mengi; wanachokosa ni kuweka neno Lake katika vitendo. Lazima watu wapitie vipengele vyote vya ukweli kwa kina, na kuutafiti na kuutafuta kwa undani zaidi, sio kusubiri tu kuchukua kile ambacho wamepewa bila shida; vinginevyo wanakuwa wadogo zaidi ya barakala. Wanajua neno la Mungu, lakini hawaliweki katika vitendo. Mtu wa aina hii hana upendo wa ukweli, na hatimaye ataondolewa. Kuwa na mtindo kama Petro wa miaka ya tisini inamaanisha ya kwamba kila mmoja wenu anapaswa kutenda neno la Mungu, kuwa na kuingia kwa kweli katika uzoefu wenu na kupata hata zaidi na hata nuru kubwa katika kushirikiana kwenu na Mungu, kuleta hata zaidi ya msaada Wake katika maisha yenu. Kama mmesoma sana neno la Mungu lakini mnaelewa tu maana ya maandishi na hamna maarifa ya kwanza ya neno la Mungu kupitia uzoefu wenu wa vitendo, hamtajua neno la Mungu. Ili mradi unahusika, neno la Mungu si maisha, lakini barua bila uhai. Na kama unaamini tu barua bila uhai, huwezi kufahamu kiini cha neno la Mungu, wala kuelewa mapenzi Yake. Wakati tu unapitia neno Lake katika uzoefu wako halisi ndio maana ya kiroho ya neno la Mungu itafunguka yenyewe kwako, na ni katika uzoefu tu ambapo unaweza kufahamu maana ya kiroho ya ukweli mwingi, na ni kwa kupitia tu uzoefu ndio unaweza kufungua mafumbo ya neno la Mungu. Usipoliweka katika vitendo, basi haijalishi jinsi neno Lake lilivyo wazi, jambo pekee ambalo umefahamu ukashikilia ni barua tupu na mafundisho, ambayo yamekuwa kanuni za dini kwako. Si hili ndilo Mafarisayo walifanya? Kama mtatenda na kupitia neno la Mungu, linakuwa vitendo kwenu; msipotafuta kulitenda, basi neno la Mungu kwenu ni kidogo zaidi ya hadithi ya mbingu ya tatu. Kwa kweli, mchakato wa kuamini katika Mungu ni mchakato wenu kupitia neno Lake pamoja na kupatwa na Yeye, au kuliweka wazi zaidi, kuamini katika Mungu ni kuwa na maarifa na ufahamu wa neno Lake na kupitia na kuishi kwa kudhihirisha neno Lake; huo ndio ukweli wa imani yenu katika Mungu. Kama mnaamini katika Mungu na mna matumani ya uzima wa milele bila kutafuta kutenda neno la Mungu kama kitu mlicho nacho ndani yenu, basi nyinyi ni wapumbavu; ni kama kwenda karamuni tu kuangalia yaliyo huko ya kula bila kweli kuyajaribu. Si mtu kama huyo ni mpumbavu?
Ukweli ambao mtu anahitaji kumiliki unapatikana katika neno la Mungu, ukweli ambao ni faida zaidi na manufaa kwa mtu. Ni lishe na riziki ambayo miili yenu inahitaji, kitu ambacho huwasaidia kurejesha ubinadamu wenu wa kawaida, ukweli ambao mnapaswa kujiandaa nao. Zaidi mnavyotenda neno la Mungu, kwa haraka ndivyo zaidi maisha yenu yatachanua; zaidi mnavyotenda neno la Mungu, ndio wazi ukweli unakuwa. Mnavyokua katika kimo, mtaona mambo ya ulimwengu wa kiroho wazi zaidi, na mtakuwa na nguvu zaidi ya ushindi juu ya Shetani. Sehemu kubwa ya ukweli ambao hamuelewi itakuwa wazi wakati unatenda neno la Mungu. Watu wengi wameridhika na kuelewa tu maandiko ya neno la Mungu na kuzingatia katika kujiandaa wenyewe na mafundishi bila kupitia kina chake katika vitendo; si hiyo ni njia ya Mafarisayo? Jinsi gani kirai “Neno la Mungu ni uzima” kikawa ukweli kwao, basi? Wakati tu mtu anatenda neno la Mungu ndio maisha yake yanaweza kweli kuchanua; maisha hayawezi kukua tu kwa kusoma neno Lake. Kama ni imani yako ya kwamba kuelewa neno la Mungu ni kila kinachohitajika kuwa na maisha, kuwa na kimo, basi kuelewa kwako ni potovu. Kuelea kwa kweli neno la Mungu hutokea wakati unatenda ukweli, na ni lazima uelewe ya kwamba “ni kwa kutenda tu ukweli kunaweza kueleweka siku zote.” Leo, baada ya kusoma neno la Mungu, unaweza tu kusema ya kwamba unajua neno la Mungu, lakini huwezi kusema ya kwamba unalielewa. Baadhi wanasema kuwa njia pekee ya kutenda ukweli ni kuelewa ukweli kwanza, lakini hii ni nusu tu ya haki na sio sahihi kabisa. Kabla uwe na maarifa ya ukweli, bado hujapitia ukweli huo. Kuhisi ya kwamba unaelewa unachosikia sio kitu kimoja kama kweli kuelewa. Kujiandaa mwenyewe na ukweli kama inavyoonekana katika maandishi si sawa na kuelewa maana halisi humo. Kwa sababu tu una ufahamu wa ukweli juu juu haina maana ya kwamba kweli unaelewa ukweli au kuutambu; maana halisi ya ukweli inatokana na kuwa na uzoefu wake. Ndio maana nasema ya kwamba wakati tu unapitia ukweli ndio unaweza kuuelewa, na wakati tu unapitia ukweli ndio unaweza kufahamu sehemu ya undani wake. Kuwa na uzoefu wa ukweli kwa kina ni njia pekee ya kufahamu kidokezo cha ukweli, na kuelewa kiini chake. Kwa hivyo, unaweza kwenda kila mahali na ukweli, lakini kama hakuna ukweli ndani yako, usifikirie hata kujaribu kuwashawishi watu wa kidini, kwa kiasi kidogo familia yako. Utakuwa kama kupepea kwa theluji bila ukweli, lakini kwa ukweli, unaweza kuwa na furaha na huru, ambapo hakuna awezaye kukushambulia. Haijalishi nadharia ina nguvu jinsi gani, haiwezi kushinda ukweli. Kwa ukweli, dunia yenyewe inaweza kutetemeka na milima na bahari kuhamishwa, wakati ambapo ukosefu wa ukweli unasababisha uharibifu na mabuu; huu ndio ukweli.
Cha muhimu sasa ni kujua ukweli kwanza, kisha uuweke katika vitendo, na kujiandaa wenyewe zaidi na maana halisi ya ukweli. Hilo ndio linapaswa kuwa lengo lako, sio tu watu kufanya wengine kufuata maneno yako lakini kuwafanya wafuate matendo yako, na ni katika hili tu unaweza kupata kitu cha maana. Bila kujali yanayokupata, bila kujali unayekutana naye, unaweza tu kusimama imara na ukweli. Neno la Mungu ndilo huleta maisha kwa mtu, sio kifo. Kama baada ya kusoma neno la Mungu hupati uzima, lakini bado umekufa baada ya kusoma neno Lake, basi kuna kitu kibaya na wewe. Kama baada ya muda fulani umesoma kiasi cha neno la Mungu na umesikia mahubiri mengi ya vitendo, lakini bado uko katika hali ya mauti, huu ni uthibitisho kuwa wewe si yule huthamini ukweli, wala mtu ambaye hutafuta ukweli. Kama kweli mngetafuta kumpata Mungu, hamngezingatia kujiandaa wenyewe na mafundisho ya juu na kuyatumia kuwahimiza wengine, lakini badala yake kuzingatia kupitia neno la Mungu na kuweka ukweli katika vitendo; si katika hilo ndio mnapaswa muingie ndani sasa?
Kuna muda mdogo kwa Mungu kufanya kazi Yake ndani yako, lakini kunaweza kuwa na matokeo yapi kama hushirikiani na yeye? Kwa nini daima Mungu huwataka kutenda neno Lake mara mnapolielewa? Ni kwa sababu Mungu amedhihirisha maneno Yake kwenu, na hatua yenu ifuatayo ni kweli kuyatenda, na Mungu atatekeleza kazi ya kutoa nuru na mwongozo wakati mnatenda maneno haya. Hivyo ndivyo jinsi ilivyo. Neno la Mungu linawekwa ili kuruhusu mtu kuchanuka maishani bila kusababisha kupotoka au ubaya. Unasema umesoma neno la Mungu na kulitenda, lakini hujapokea kazi yoyote ya Roho Mtakatifu—unachosema kinaweza tu kudanganya mtoto. Binadamu hajui kama nia zako ni sahihi, lakini unafikiri Mungu hawezijua? Ni jinsi gani basi wengine wanatenda neno la Mungu na wanapokea nuru ya Roho Mtakatifu, na bado kwa namna fulani unatenda neno Lake na hupokei nuru ya Roho Mtakatifu? Je, Mungu ni wa kihisia? Kama nia zako ni kweli nzuri na wewe ni mshirika, basi Roho wa Mungu atakuwa pamoja nawe. Mbona baadhi ya watu mara zote hutaka kuchukua nafasi maarufu, na bado Mungu hamruhusu kuinuka na kuongoza kanisa? Kwa nini baadhi ya watu hutimiza tu kazi yao na bila kuijua, wanapata kibali cha Mungu? Hilo linaweza kuwaje? Mungu huchunguza moyo, na watu ambao wanatafuta ukweli lazima wafanye hivyo kwa nia njema—watu ambao hawana nia njema hawawezi kusimama. Katika msingi wake, lengo lenu ni kuruhusu neno la Mungu kufanya kazi ndani yenu. Kwa maneno mengine, ni kuwa na uelewa wa kweli wa neno la Mungu katika kulitenda kwenu. Labda uwezo wenu wa kupokea neno la Mungu ni duni, lakini mnapotenda neno la Mungu, Yeye anaweza kubadilisha uwezo wenu duni kupokea, hivyo sio lazima tu mjue ukweli mingi, lakini pia ni lazima mtende huo ukweli. Hili ndilo lengo kubwa zaidi ambalo hauwezi kupuuzwa. Yesu aliteseka sana katika miaka yake 33½ kwa sababu Yeye alitenda ukweli. Kwa nini daima inasemwa katika rekodi ya kwamba Yeye aliteswa? Ni kueleza ni kiasi gani Yeye aliteseka kwa sababu Yeye alitenda ukweli na kutimiza mapenzi ya Mungu. Hangepitia mateso kama Yeye angejua ukweli bila kutenda ukweli huo. Kama Yesu angefuata mafunzo ya Wayahudi, na angefuata Mafarisayo, basi Yeye hangeteseka. Unaweza kujifunza kutoka kwa matendo ya Yesu ya kwamba ufanisi wa kazi ya Mungu juu ya mtu unatokana na ushirikiano wake, na hili ni jambo ambalo lazima mtambue. Je, Yesu angeteseka kama Yeye alivyofanya msalabani kama Yeye hangekuwa ametenda ukweli? Je, Yeye angeomba sala la huzuni kama hilo kama Yeye hangekuwa ametenda kwa mujibu wa mapenzi ya Mungu? Basi hii ina maana ya kwamba hii ndio aina ya mateso mtu anapaswa kuvumilia.
kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili
Kujua zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Jumatano, 21 Machi 2018

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VII

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VII

Hadithi ya 2. Mlima Mkubwa, Kijito Kidogo, Upepo Mkali, na Wimbi Kubwa

 Mwenyezi Mungu alisema, Kulikuwa na kijito kidogo kilichotiririka kwa kuzungukazunguka, hatimaye kikawasili chini ya mlima mkubwa. Mlima ulikuwa unazuia njia ya kijito hiki, hivyo kijito kikauomba mlima kwa sauti yake dhaifu na ndogo, “Tafadhali naomba kupita, umesimama kwenye njia yangu na umenizibia njia yangu kuendelea mbele.” Basi mlima ukauliza, “Unakwenda wapi?” Swali ambalo kijito kililijibu, “Ninatafuta makazi yangu.” Mlima ukasema, “Sawa, endelea na tiririkia juu yangu!” Lakini kwa sababu kijito kilikuwa dhaifu sana na kichanga sana, hakukuwa na namna kwake kutiririka juu ya mlima mkubwa hivyo, hivyo hakikuwa na uchaguzi bali kuendelea kutiririka chini ya mlima ...

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VII

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VII


Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote (I)


Mwenyezi Mungu alisema, Leo Nitashiriki nawe mada mpya. Mada itakuwa ni nini? Kichwa cha mada kitakuwa “Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote.” Je, hii siyo mada kubwa kidogo kuweza kuijadili? Je, inaonekana kama kitu ambacho kidogo hakiwezi kufikika? Mungu kuwa chanzo cha uhai kwa vitu vyote inaweza kuonekana ni mada ambayo watu wanahisi kutohusika nayo, lakini wote wanaomfuata Mungu wanapaswa kuielewa. Hii ni kwa sababu mada hii haihusiani kwa kuchanganulika na kila mtu anayemjua Mungu, kuweza kumridhisha na kumheshimu.