Jumatano, 24 Aprili 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 120
By Chris ZhouAprili 24, 2019Kazi-ya-Mungu, Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, tabia-ya-Mungu, VitabuNo comments

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 120
Sayuni! Salamu! Sayuni! Ita kwa sauti! Nimerudi kwa ushindi, Nimerudi nikiwa mshindi! Watu wote! Harakisheni mpange foleni kwa utaratibu! Vitu vyote! Mtakuja kusimama kabisa, kwa sababu nafsi Yangu inaukabili ulimwengu mzima na nafsi Yangu inaonekana katika Mashariki ya dunia! Nani anayethubutu kutopiga magoti...
Jumanne, 23 Aprili 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 114
By Chris ZhouAprili 23, 2019Kazi-ya-Mungu, Kiumbe-Aliyeumbwa, Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 114
Niliumba ulimwengu dunia; Nilitengeneza milima, mito, na vitu vyote; Niliunda miisho ya mifumo ya sayari; Niliwaongoza wana Wangu na watu Wangu; Niliamuru vitu na mambo yote. Sasa, Nitawaongoza wazaliwa Wangu wa kwanza warudi kwenye Mlima Wangu Sayuni, kurudi mahali ambapo Naishi, ambayo itakuwa hatua ya...
Jumatatu, 22 Aprili 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 14
By Chris ZhouAprili 22, 2019Kazi-ya-Mungu, kuja-kwa-mara-ya-pili, Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 14
Katika enzi zote, hakuna mwanadamu ameingia katika ufalme na hivyo hakuna aliyefurahia neema ya Enzi ya Ufalme, hakuna aliyeona Mfalme wa ufalme. Ingawa chini ya nuru ya Roho Wangu watu wengi wametabiri uzuri wa ufalme, wanajua tu nje ya ufalme, sio umuhimu wa ndani. Leo, ufalme ujapo kuwepo rasmi duniani,...
Jumapili, 21 Aprili 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 35
By Chris ZhouAprili 21, 2019Hukumu-na-Kuadibu, Kazi-ya-Mungu, Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, siku-za-mwisho, VitabuNo comments

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 35
Nimeanza kutenda kazi Yangu kati ya wanadamu, kuwakubalia kuishi mkondo mmoja Nami. Nitakamilisha kazi Yangu nikiwa kati yao, maana wao ni vyombo Ninavyosimamia katika mpango Wangu wote wa usimamizi—na ni mapenzi Langu ili waweze kuwa watawala wa vitu vyote. Hivyo basi Naendelea kutembea kati ya wanadamu....
Jumamosi, 20 Aprili 2019
Wimbo wa Kuabudu | "Tabia ya Haki ya Mungu ni ya Pekee" | How to Know God
By Chris ZhouAprili 20, 2019Asili-ya-mtu, Kumcha-Mungu, Kumjua-Mungu, nyimbo-za-kikristo, tabia-ya-Mungu, Video, Video-za-Nyimbo-za-DiniNo comments

Wimbo wa Kuabudu | "Tabia ya Haki ya Mungu ni ya Pekee" | How to Know God
Mungu huonyesha tabia Yake ya haki kupitia mbinu na kanuni za kipekee,
haidhibitiwi na watu, matukio au vitu.
au kumshawishi Ajaribu njia tofauti.
Na hakuna awezaye kubadili dhana au mawazo Yake,
Mungu huhuku matendo na mawazo yote ya viumbe kwa tabia Yake...
Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee III Mamlaka ya Mungu II” Sehemi ya Tatu
By Chris ZhouAprili 20, 2019Kiumbe-Aliyeumbwa, Neno-la-Mungu, Usomaji-wa-Maneno-ya-Mwenyezi-Mungu, uzima, VideoNo comments

Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee III Mamlaka ya Mungu II” Sehemi ya Tatu
Mwenyezi Mungu alisema, "Baada ya mtu kupita utoto na wakati wake wa kubaleghe na kwa utaratibu bila kuzuilika kufikia ukomavu, hatua inayofuata ni kwake yeye kuuaga kabisa ule ujana wake, kuwaaga wazazi wake, na kukabiliana na barabara iliyo mbele yake...
Ijumaa, 19 Aprili 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Ngurumo Saba Zatoa Sauti—Zikitabiri Kuwa Injili ya Ufalme Itaenea Kote Ulimwenguni
By Chris ZhouAprili 19, 2019Kazi-ya-Mungu, Neno-la-Mungu, siku-za-mwisho, Usomaji-wa-Maneno-ya-Mwenyezi-Mungu, VitabuNo comments

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Ngurumo Saba Zatoa Sauti—Zikitabiri Kuwa Injili ya Ufalme Itaenea Kote Ulimwenguni
Mimi Naeneza kazi Yangu katika nchi za Mataifa. Utukufu Wangu unamulika kotekote ulimwenguni; mapenzi Yangu yamo katika wanadamu yakitawanyika hapa na pale, wote wakiongozwa kwa mkono Wangu na kufanya kazi ambayo Nimewapa. Kuanzia...
Jumatano, 17 Aprili 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Wote Wasiomjua Mungu Ndio Wanaompinga Mungu
By Chris ZhouAprili 17, 2019Kazi-ya-Mungu, Kumjua-Mungu, Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Wote Wasiomjua Mungu Ndio Wanaompinga Mungu
Kufahamu madhumuni ya kazi ya Mungu, athari inayotimizwa kwa mwanadamu, na mapenzi ya Mungu kwa mwanadamu, hiki ndicho kitu ambacho kila mwanadamu anayemfuata Mungu anapaswa kutimiza. Sasa wanachokosa...
Jumanne, 16 Aprili 2019
“Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee X Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote (IV)” Sehemu ya Tatu
By Chris ZhouAprili 16, 2019kukamilishwa-na-Mungu, Neno-la-Mungu, siku-za-mwisho, Usomaji-wa-Maneno-ya-Mwenyezi-Mungu, Video, watu-wa-MunguNo comments

“Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee X Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote (IV)” Sehemu ya Tatu
3. Mzunguko wa Uhai na Mauti wa Watu Wanaomfuata Mungu
Baada ya hayo, hebu tuzungumzie mzunguko wa uhai na mauti wa wale wanaomfuata Mungu. Hili linawahusu, hivyo kuweni makini. Kwanza, fikiria kuhusu ni makundi gani ambamo watu wanaomfuata Mungu...
Jumatatu, 15 Aprili 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Tabia Yako Ni Duni Sana!
By Chris ZhouAprili 15, 2019Hukumu-ya-Siku-za-Mwisho, Kiumbe-Aliyeumbwa, Kumcha-Mungu, Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Tabia Yako Ni Duni Sana!
Ninyi nyote mmeketi katika viti vya kifahari, mkiwafundisha wale wa vizazi vijana ambao ni wa aina yenu, ukiwafanya waketi nawe. Je, mngekosaje kujua kwamba wale “watoto” wenu walikuwa tayari hawana pumzi,...
Jumapili, 14 Aprili 2019
Wimbo wa Kuabudu | "Sifa kwa Maisha Mapya katika Ufalme" | Watu wa Mungu Humsifu na Kumwabudu Mungu
By Chris ZhouAprili 14, 2019Bwana-asifiwe, Neno-la-Mungu, Nyimbo-za-Kuabudu, Upendo-wa-Mungu, Video, Video-za-Nyimbo-na-KuchezaNo comments

Wimbo wa Kuabudu | "Sifa kwa Maisha Mapya katika Ufalme" | Watu wa Mungu Humsifu na Kumwabudu Mungu
Tumesikia sauti ya Mungu na kurudi nyumbani Kwake.
Mikutanoni tunakula na kunywa maneno ya Mungu, tunahudhuria karamu.
Sisi tunaaga huzuni na vifungo vyetu, tunaishi maisha mapya.
Tunapofungua mioyo yetu katika ushirika wa kweli, mioyo yetu...
Ijumaa, 12 Aprili 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Umuhimu wa Kuukoa Uzao wa Moabu
By Chris ZhouAprili 12, 2019hekima-ya-Mungu, kukamilishwa-na-Mungu, Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Vitabu, wafuasi-wa-KristoNo comments

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Umuhimu wa Kuukoa Uzao wa Moabu
Katika miaka hii miwili hadi mitatu ya kazi, kile kilichopaswa kutimizwa katika kazi ya hukumu iliyofanyika juu yenu kimetimizwa kimsingi. Watu wengi wamesahau matarajio na kudura yao ya baadaye. Hata hivyo, inapotajwa kuwa ninyi ni uzao wa Moabu, wengi wenu huchukizwa sana—nyuso...