Jumamosi, 1 Septemba 2018
Swahili Christian Movie "Ujinga Angamizi" | Why Can’t Foolish Virgins Enter xthe Kingdom of Heaven?
By Kuhusu Umeme wa MasharikiSeptemba 01, 2018Filamu-za-Kikristo, Foolish-Virgins, majengo-ya-kanisaNo comments

Swahili Christian Movie "Ujinga Angamizi" | Why Can’t Foolish Virgins Enter xthe Kingdom of Heaven?
Zheng Mu'en ni mfanyakazi mwenza katika kanisa la Kikristo nchini Marekani, amemwamini Bwana kwa miaka mingi, na anafanya kazi kwa bidii na humtumia Bwana. Siku moja, shangazi yake anashuhudia kwake kwamba Bwana Yesu amerudi kuonyesha ukweli na...
Ijumaa, 31 Agosti 2018
Maneno ya Mungu Huniongoza Kujifunza Jinsi ya Kuwafundisha Wanangu (I)
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 31, 2018Huniongoza, Kujifunza, Kuwafundisha-Wanangu, maneno-ya-Mungu, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Maneno ya Mungu Huniongoza Kujifunza Jinsi ya Kuwafundisha Wanangu (I)
Xiaoxue, Malesia
Nina wana wawili wa kiume na wameachana na mwaka mmoja. Ili kuwalea kuwa watu waliostaarabika, wenye tabia nzuri, watu wema ambao wataweza watajijengea jina katika jamii na...
Alhamisi, 30 Agosti 2018
Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (2) - Mbona Kuna Ukiwa Ulioenea Pote katika Ulimwengu wa Dini?
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 30, 2018imani-ya-kidini, Mwenyezi-Mungu, Roho-Mtakatifu, siku-za-mwishoNo comments

Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (2) - Mbona Kuna Ukiwa Ulioenea Pote katika Ulimwengu wa Dini?
Dunia nzima ya dini kwa sasa inapitia njaa kubwa, hawapo tena pamoja na kazi ya Roho Mtakatifu au uwepo wa Bwana, wanafanya mambo maovu zaidi na zaidi na imani na huruma ya waumini inadhoofika na kuwa baridi. Aidha,...
Jumanne, 28 Agosti 2018
Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (1) - Jinsi ya Kutafuta Nyayo za Kazi ya Mungu
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 28, 2018Biblia, hukumu, Maji-ya-Uzima, Nyayo-za-Kazi-ya-MunguNo comments

Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (1) - Jinsi ya Kutafuta Nyayo za Kazi ya Mungu
Tunapokabiliana na ukiwa wa makanisa na giza iliyo katika roho, tunapaswa kuanza kutafuta nyayo za Bwana vipi? Tangu nyakati za kale njia ya kweli hupatwa mara kwa mara na mateso, na kuonekana na kazi ya Mungu wa kweli siku zote...
Jumatatu, 27 Agosti 2018
Asili ya Binadamu Haiwezi Kupimwa kwa Sura
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 27, 2018Asili-ya-mtu, kanisa, Ukweli, Umeme-wa-Mashariki, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Asili ya Binadamu Haiwezi Kupimwa kwa Sura
Yang Rui Mji wa Yuci , Mkoa wa Shanxi
Siku moja, nilisikia kwa ghafla kuwa baba yangu alifukuzwa kutoka kwa kanisa. Nilishangaa kabisa wakati huo na sikuweza kuelewa. Katika moyo wangu, baba yangu alikuwa ndiye mtu mkuu mno...
Jumapili, 26 Agosti 2018
Filamu za Kikristo "Chama Hakijamaliza Kuzungumza" | Concrete Proof of the CCP Persecuting Christians
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 26, 2018imani-ya-kidini, Mateso-ya-Kidini, Mkristo, ukatili, ushuhudaNo comments

Filamu za Kikristo "Chama Hakijamaliza Kuzungumza" | Concrete Proof of the CCP Persecuting Christians
Li Ming’ai ni Mkristo nchini China Bara. Yeye ni mwanamke mwadilifu ambaye anawaheshimu wakweze, humsaidia mumewe na kumuelimisha mtoto wake, na ana familia ya furaha na patanifu. Katika China, ambako ukanaji Mungu unatawala, hata hivyo, serikali...
Jumamosi, 25 Agosti 2018
Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (3) - Ili Kuchunguza Kurudi kwa Bwana Tunapaswa Kusikiliza Sauti ya Mungu
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 25, 2018Biblia, Kusikiliza-Sauti-ya-Mungu, Mwenyezi Mungu, Roho-MtakatifuNo comments

Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (3) - Ili Kuchunguza Kurudi kwa Bwana Tunapaswa Kusikiliza Sauti ya Mungu
Kimsingi unabii wote uliotajwa katika Biblia kuhusiana na kurudi kwa Bwana tayari umetokea. Watu wengi wamehisi kwamba Bwana tayari amerudi, hivyo, tunapaswa kuchunguza vipi ili kuhakikisha kuhusu suala...
Ijumaa, 24 Agosti 2018
Maneno ya Mungu Yameniamsha
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 24, 2018hukumu, kikuu-cheupe-cha-enzi, maneno-ya-Mungu, siku-za-mwisho, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, Vitabu, wazi-ukweliNo comments


Maneno ya Mungu Yameniamsha
Miao Xiao Mji wa Jinan, Mkoa wa Shandong
Katika siku zilizopita, nilikuwa daima nikifikiri kuwa Mungu aliposema “ni kibaraka na msaliti anayekikimbia kiti kikuu cheupe cha enzi” Alikuwa anaashiria wale wanaoikubali hatua hii ya kazi lakini...
Alhamisi, 23 Agosti 2018
Sura ya 35. Jinsi ya Kuishika Njia ya Petro
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 23, 2018kanisa, Kikristo, kufuatilia-ukweli, Njia-ya-Petro, YesuNo comments


Sura ya 35. Jinsi ya Kuishika Njia ya Petro
Kufanya muhtasari wa kuishika njia ya Petro, ni kuishika njia ya kufuatilia ukweli, ambayo pia ni njia ya kujijua na kubadilisha tabia ya mtu. Ni kwa kuishika tu njia ya Petro ndio mtu atakuwa anashika njia ya kukamilishwa...
Jumatano, 22 Agosti 2018
Swahili Gospel Choir Song "Ufalme" | New Jerusalem Has Come Down Out of Heaven
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 22, 2018mji-wa-watakatifu, Ufalme, ufalme-wa-Kristo, Umeme-unatoka-MasharikiNo comments

Swahili Gospel Choir Song "Ufalme" | New Jerusalem Has Come Down Out of Heaven
Ufalme, mji wa watakatifu, ufalme wa Kristo.
Katika ufalme, utajiri na utukufu wa Mungu hudhihirishwa.
Umeme unatoka Mashariki na kuangaza hadi Magharibi.
Mwanga wa kweli uko hapa, neno la Mungu limeonekana katika mwili.
Mwokozi amesharudi, akishuka juu ya wingu...
Jumanne, 21 Agosti 2018
Ninaona njia ya kumjua Mungu
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 21, 2018Bwana-Yesu, Kumjua-Yesu, kuwa-na-uzoefu-wa-neno-ya-Mungu, Neno-la-Mungu, neno-la-Mwenyezi-MunguNo comments


Ninaona njia ya kumjua Mungu
Xiaocao Mji wa Changzhi, Mkoa wa Shanxi
Siku moja, niliona kifungu hiki kifuatacho cha neno la Mungu kwa maandishi “Namna Petro Alivyopata Kumjua Yesu”: “Kwenye kipindi kile alichomfuata Yesu, Petro alitazama na kutia moyoni kila kitu kuhusu...
Jumatatu, 20 Agosti 2018
"Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (5) - Ni Nani Anayempa Mwanadamu Njia ya Uzima wa Milele?
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 20, 2018Bwana-Yesu, Maji-ya-Uzima, msalaba, Njia-ya-Uzima-wa-Milele, siku-za-mwishoNo comments

"Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (5) - Ni Nani Anayempa Mwanadamu Njia ya Uzima wa Milele?
Bwana Yesu alisema, "Lakini yeyote atakayekunywa maji yale nitakayompa hatahisi kiu milele; bali yale maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji yakibubujika katika uzima wa milele" (Yohana 4:14). Bwana Yesu ndiye chanzo cha maji...