Jumanne, 30 Aprili 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 68
By ye.fengAprili 30, 2019hukumu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, ushuhuda, VitabuNo comments

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 68
Neno Langu linatekelezwa katika kila nchi, mahali, taifa na kikundi, na neno Langu linakamilishwa katika kila pembe wakati wowote. Maafa yanayotokea kila mahali si vita kati ya watu, wala si mapigano na silaha. Hakutakuwa na vita tena baadaye. Wote wako katika mfumbato Wangu. Wote watakabili hukumu...
Jumatatu, 29 Aprili 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 98
By Chris ZhouAprili 29, 2019Kristo-wa-siku-za-mwisho, makusudi-ya-Mungu, Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 98
Mambo yote yatakuja juu ya kila mmoja wenu, na yatawawezesha kujua zaidi juu Yangu na kuwa na uhakika zaidi juu Yangu. Yatawawezesha kunijua, Mungu mmoja Mwenyewe, kunijua Mimi Mwenye uweza, kunijua Mimi Mungu Mwenyewe mwenye mwili. Baadaye, Nitatoka katika mwili, Nirudi Sayuni, Nirudi katika nchi nzuri ya...
Jumapili, 28 Aprili 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 104
By Chris ZhouAprili 28, 2019Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Siku-ya-Hukumu, siku-za-mwisho, VitabuNo comments

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 104
Watu, matukio na vitu vyote nje Yangu vitakufa na kuwakatika hali ya kutokuwepo, ilhali watu, matukio na vitu vyote vilivyo ndani Yangu vitapata kila kitu kutoka Kwangu na kuingia katika utukufu pamoja na Mimi, kuingia katika Mlima Wangu Sayuni, makazi Yangu, na kuishi pamoja kwa amani nami milele....
Jumamosi, 27 Aprili 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 65
By Chris ZhouAprili 27, 2019Hukumu-ya-Siku-za-Mwisho, makusudi-ya-Mungu, Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 65
Maneno Yangu daima yanaendeleza barabara, yaani yanaonyesha udhaifu wenu wa jaala, vinginevyo bado mgekuwa mnakokota visigino vyenyu, bila wazo la muda gani ulioko sasa. Fahamu hili! Mimi Hutumia njia ya upendo ili kuwaokoa. Bila kujali jinsi nyinyi mlivyo, bila shaka Nitakamilisha mambo ambayo Nimekubali...
Ijumaa, 26 Aprili 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 97
By Chris ZhouAprili 26, 2019Hukumu-na-Kuadibu, Kazi-ya-Mungu, Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Tafuta-Ufalme-wa-Mungu-Kwanza, VitabuNo comments

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 97
Nitafanya kila mtu aone matendo Yangu ya ajabu na kusikia maneno Yangu ya hekima. Ni lazima iwe kila mtu na ni lazima iwe juu ya kila suala. Hii ni amri Yangu ya utawala na ni ghadhabu Yangu. Nitahusisha kila mtu na kila jambo ili watu wote kutoka mwisho mmoja wa ulimwengu hadi mwingine wataona kwa macho yao...
Alhamisi, 25 Aprili 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 100
By Chris ZhouAprili 25, 2019Hukumu-ya-Siku-za-Mwisho, Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, siku-za-mwisho, tabia-ya-Mungu, VitabuNo comments

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 100
Ninawachukia wale wote ambao hawajajaaliwa na kuchaguliwa na Mimi. Kwa hiyo ni lazima Niwafukuze watu hawa kutoka katika nyumba Yangu mmoja baada ya mwingine, hivyo hekalu Langu litakuwa takatifu na bila doa, nyumba Yangu itakuwa mpya daima na haitakuwa nzee kamwe, jina Langu takatifu litaenezwa milele na...
Jumatano, 24 Aprili 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 120
By Chris ZhouAprili 24, 2019Kazi-ya-Mungu, Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, tabia-ya-Mungu, VitabuNo comments

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 120
Sayuni! Salamu! Sayuni! Ita kwa sauti! Nimerudi kwa ushindi, Nimerudi nikiwa mshindi! Watu wote! Harakisheni mpange foleni kwa utaratibu! Vitu vyote! Mtakuja kusimama kabisa, kwa sababu nafsi Yangu inaukabili ulimwengu mzima na nafsi Yangu inaonekana katika Mashariki ya dunia! Nani anayethubutu kutopiga magoti...
Jumanne, 23 Aprili 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 114
By Chris ZhouAprili 23, 2019Kazi-ya-Mungu, Kiumbe-Aliyeumbwa, Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 114
Niliumba ulimwengu dunia; Nilitengeneza milima, mito, na vitu vyote; Niliunda miisho ya mifumo ya sayari; Niliwaongoza wana Wangu na watu Wangu; Niliamuru vitu na mambo yote. Sasa, Nitawaongoza wazaliwa Wangu wa kwanza warudi kwenye Mlima Wangu Sayuni, kurudi mahali ambapo Naishi, ambayo itakuwa hatua ya...
Jumatatu, 22 Aprili 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 14
By Chris ZhouAprili 22, 2019Kazi-ya-Mungu, kuja-kwa-mara-ya-pili, Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 14
Katika enzi zote, hakuna mwanadamu ameingia katika ufalme na hivyo hakuna aliyefurahia neema ya Enzi ya Ufalme, hakuna aliyeona Mfalme wa ufalme. Ingawa chini ya nuru ya Roho Wangu watu wengi wametabiri uzuri wa ufalme, wanajua tu nje ya ufalme, sio umuhimu wa ndani. Leo, ufalme ujapo kuwepo rasmi duniani,...
Jumapili, 21 Aprili 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 35
By Chris ZhouAprili 21, 2019Hukumu-na-Kuadibu, Kazi-ya-Mungu, Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, siku-za-mwisho, VitabuNo comments

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 35
Nimeanza kutenda kazi Yangu kati ya wanadamu, kuwakubalia kuishi mkondo mmoja Nami. Nitakamilisha kazi Yangu nikiwa kati yao, maana wao ni vyombo Ninavyosimamia katika mpango Wangu wote wa usimamizi—na ni mapenzi Langu ili waweze kuwa watawala wa vitu vyote. Hivyo basi Naendelea kutembea kati ya wanadamu....
Jumamosi, 20 Aprili 2019
Wimbo wa Kuabudu | "Tabia ya Haki ya Mungu ni ya Pekee" | How to Know God
By Chris ZhouAprili 20, 2019Asili-ya-mtu, Kumcha-Mungu, Kumjua-Mungu, nyimbo-za-kikristo, tabia-ya-Mungu, Video, Video-za-Nyimbo-za-DiniNo comments

Wimbo wa Kuabudu | "Tabia ya Haki ya Mungu ni ya Pekee" | How to Know God
Mungu huonyesha tabia Yake ya haki kupitia mbinu na kanuni za kipekee,
haidhibitiwi na watu, matukio au vitu.
au kumshawishi Ajaribu njia tofauti.
Na hakuna awezaye kubadili dhana au mawazo Yake,
Mungu huhuku matendo na mawazo yote ya viumbe kwa tabia Yake...
Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee III Mamlaka ya Mungu II” Sehemi ya Tatu
By Chris ZhouAprili 20, 2019Kiumbe-Aliyeumbwa, Neno-la-Mungu, Usomaji-wa-Maneno-ya-Mwenyezi-Mungu, uzima, VideoNo comments

Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee III Mamlaka ya Mungu II” Sehemi ya Tatu
Mwenyezi Mungu alisema, "Baada ya mtu kupita utoto na wakati wake wa kubaleghe na kwa utaratibu bila kuzuilika kufikia ukomavu, hatua inayofuata ni kwake yeye kuuaga kabisa ule ujana wake, kuwaaga wazazi wake, na kukabiliana na barabara iliyo mbele yake...