
Jumamosi, 27 Januari 2018
27. Ni Nini Husababisha Uongo | Ushuhuda wa Kuipitia Hukumu ya Kristo
By UnknownJanuari 27, 2018ndugu-na-dada, Ukweli, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, Vitabu, waaminifuNo comments


27. Ni Nini Husababisha Uongo
Xiaojing Jijini Heze, Mkoani Shandong
Kila mara nilipoona neno la Mungu likituomba kuwa watu waaminifu na kuzungumza kwa usahihi, niliwaza, “Sina tatizo na kuzungumza kwa usahihi. Si ni kusema tu kitu jinsi kilivyo na kusema mambo jinsi...
Kuhusu Maisha ya Petro | Umeme wa Mashariki
By UnknownJanuari 27, 2018kumpenda-Mungu, msalaba, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, VitabuNo comments


Kuhusu Maisha ya Petro
Mwenyezi Mungu alisema, Petro ni mfano ambao Mungu aliutambulisha kwa wanadamu, na yeye ni mtu mashuhuri anayejulikana vizuri. Kwa nini mtu mnyonge kama huyo aliwekwa mahala kama mfano na Mungu na amesifiwa na vizazi vya baadaye? Bila shaka, ni...
Ijumaa, 26 Januari 2018
Kanisa la Mwenyezi Mungu | Wewe U Mwaminifu kwa Nani?
By UnknownJanuari 26, 2018hatima, kutenda-ukweli, Neno-Laonekana-katika-Mwili, ushahidi, VitabuNo comments


Kanisa la Mwenyezi Mungu | Wewe U Mwaminifu kwa Nani?
Mwenyezi Mungu alisema, Kila siku unayoiishi sasa ni ya maana sana na muhimu sana kwa hatima yako na majaliwa yako, kwa hivyo unapaswa kufurahia kila ulicho nacho na kila dakika inayopita. Unapaswa kutumia muda wako...
Alhamisi, 25 Januari 2018
Je, Umekuwa Hai Tena? | Umeme wa Mashariki
By UnknownJanuari 25, 2018hukumu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukweli, ushindi, Vitabu, WatimilifuNo comments


Je, Umekuwa Hai Tena?
Mwenyezi Mungu alisema, Baada ya kutimiza kuishi kulingana na ubinadamu wa kawaida, na umefanywa mkamilifu, ingawa utakuwa huwezi kunena unabii, wala siri zozote, utakuwa unaishi kulingana na kufichua taswira ya mwanadamu. Mungu alimuumba mwanadamu,...
Swahili Christian Movie "Maskani Yangu Yako Wapi" | Mungu ni Kimbilio la Nafsi Yangu

Wazazi wa Wenya walitengana alipokuwa na umri wa miaka miwili, na baada ya hapo aliishi na baba yake na mama wa kambo. Mamake wa kambo hakuweza kumvumilia na daima alikuwa akibishana na baba yake. Alikuwa na chaguo dogo — alilazimika kumpeleka Wenya nyumbani kwa mama...
Kuijua Kazi ya Mungu Leo
By UnknownJanuari 25, 2018kupata-mwili, kuzungumza-maneno, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Kuijua Kazi ya Mungu Leo
Mwenyezi Mungu alisema, Kuijua kazi ya Mungu katika nyakati hizi, kwa sehemu kubwa, ni kumjua Mungu katika mwili wa siku za mwisho, kile ambacho ni huduma Yake kuu, na kile ambacho Amekuja kufanya duniani. Hapo mwanzoni Nimesema katika maneno...
Jumatatu, 22 Januari 2018
Mnapaswa Kuzingatia Matendo Yenu
By UnknownJanuari 22, 2018Kiumbe-Aliyeumbwa, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Upendo-wa-Mungu, Vitabu, WatimilifuNo comments


Mnapaswa Kuzingatia Matendo Yenu
Mwenyezi Mungu alisema, Kulingana na vitendo na matendo katika maisha yenu, nyote mnahitaji kurasa za maneno ya kuwajaza na kuwajenga kila siku, kwani mko na upungufu mno, na ujuzi na maarifa yenu ya kupokea ni ya hali ya chini sana....
Mungu Ndiye Chanzo cha Uhai wa Mwanadamu
By UnknownJanuari 22, 2018Kiumbe-Aliyeumbwa, Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, uaminifu, Ukombozi, VitabuNo comments


Mungu Ndiye Chanzo cha Uhai wa Mwanadamu
Tangu unapoingia katika dunia hii ukilia, unaanza kutekeleza wajibu wako. Unachukua jukumu lako katika mpango wa Mungu na katika utaratibu wa Mungu. Unaanza safari ya maisha. Licha ya asili yako na licha ya safari iliyoko mbele...
Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee X
By UnknownJanuari 22, 2018Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, ulimwengu-wa-kiroho, Upendo, usimamizi, VitabuNo comments


Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee X
Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote (IV)
Leo, tunafanya ushirika juu ya mada maalum. Kwa kila mmoja wenu, kuna vitu viwili vikuu tu ambavyo mnapaswa kujua, kuvipitia na kuvielewa—na vitu hivi viwili ni vipi? Cha kwanza ni kuingia...
Jumamosi, 20 Januari 2018
Christian Music Video Swahili “Hadithi ya Xiaozhen” | Mungu ni upendo

Christian Music Video Swahili “Hadithi ya Xiaozhen” | Mungu ni upendo
Xiaozhen alikuwa Mkristo mwenye moyo safi, ulio na huruma, ambaye kila wakati alikuwa akiwashughulikia wenzake kwa uaminifu. Hata hivyo, ilipokuwa ni kwa manufaa yao, marafiki wake wa awali waligeuka...
Yote Yanafanikishwa Kupitia kwa Neno la Mungu
By UnknownJanuari 20, 2018hukumu, Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, siku-za-mwisho, ukamilifu, VitabuNo comments


Yote Yanafanikishwa Kupitia kwa Neno la Mungu
Mwenyezi Mungu alisema, Mungu huzungumza maneno Yake na kufanya kazi Yake kulingana na enzi tofauti, na katika enzi tofauti, Anazungumza maneno tofauti. Mungu hafuati sheria, ama kurudia kazi ya awali, ama kuhisi hali ya kumbukumbu...
Ijumaa, 19 Januari 2018
Jinsi ya Kuhudumu kwa Upatanifu na Mapenzi ya Mungu

Jinsi ya Kuhudumu kwa Upatanifu na Mapenzi ya Mungu
Mwenyezi Mungu alisema, Leo, tutawasiliana hasa jinsi watu wanavyostahili kumhudumia Mungu katika imani yao Mungu, masharti yanayopaswa kutimizwa na kinachopaswa kufahamika na watu wanaomhudumia Mungu, na mikengeuko...