
Jumatatu, 9 Aprili 2018
Umeme wa Mashariki | Mwokozi Amerudi Tayari Juu ya “Wingu Jeupe”
By UnknownAprili 09, 2018Bwana-Yesu, Maswali-na-Majibu-Mia-Moja-Kuhusu-Kuichunguza-Njia-ya-Kweli, Mungu, Neema, siku-za-mwisho, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Mwokozi Amerudi Tayari Juu ya “Wingu Jeupe”
Kwa maelfu kadhaa ya miaka, mwanadamu ametamani kuweza kushuhudia kufika kwa Mwokozi. Mwanadamu ametamani kumtazama Yesu Mwokozi katika wingu jeupe Anaposhuka, yeye binafsi, kati ya wale ambao wamengoja...
Jumamosi, 7 Aprili 2018
Umeme wa Mashariki | Kubagua dhidi ya Watu wa Nje ni Uovu Sana!
By UnknownAprili 07, 2018kanisa, Mwenyezi-Mungu, Ukweli, ushuhuda, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Kubagua dhidi ya Watu wa Nje ni Uovu Sana!
Xiaojin Kaunti ya Pan’an , Mkoa wa Zhejiang
Katika mwezi wa Februari mwaka wa 2007, kanisa lilipokea mpango wa kazi uitwao "Nyunyizia na Uwape Waumini Wapya ili Kuwasaidia Kukita Mizizi Haraka Iwezekanavyo."...
Ijumaa, 6 Aprili 2018
Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe I
By UnknownAprili 06, 2018Kazi-ya-Mungu, Mwendelezo-wa-Neno-Laonekana-katika-Mwili, na-Mungu-Mwenyewe, tabia-ya-Mungu, VitabuNo comments


Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe I
Mwenyezi Mungu alisema, Kwa wakati huu, tunafaa kuunganisha mazungumzo yetu na sasa. Kama Mungu angeweza kufanya mambo haya madogo mbalimbali kwa binadamu Aliowaumba hapo mwanzo...
Kuhusu Biblia (4)
By UnknownAprili 06, 2018Biblia, imani-katika-Mungu, Neema, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Kuhusu Biblia (4)
Mwenyezi Mungu alisema, Watu wengi wanaamini kwamba kuelewa na kuwa na uwezo wa kufasiri Biblia ni sawa na kutafuta njia ya kweli—lakini, kimsingi, je, vitu ni rahisi sana? Hakuna anayejua uhalisia wa Biblia: kwamba si kitu chochote zaidi ya rekodi...
Alhamisi, 5 Aprili 2018
Tofauti Kati ya Huduma ya Mungu katika Mwili na Wajibu wa Mwanadamu
By UnknownAprili 05, 2018Kiumbe-Aliyeumbwa, kupata-mwili-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Vitabu, Yehova, YesuNo comments


Tofauti Kati ya Huduma ya Mungu katika Mwili na Wajibu wa Mwanadamu
Mwenyezi Mungu alisema, Ni lazima myafahamu maono ya kazi ya Mungu na mpate mwelekeo wa kazi Yake. Huku ni kuingia kwa njia nzuri. Punde unapong’amua ukweli wa maono kwa usahihi, kuingia kwako...
Jumatano, 4 Aprili 2018
Kuhusu Biblia (3)
By UnknownAprili 04, 2018Biblia, Bwana-Yesu, kupata-mwili, Neno-Laonekana-katika-Mwili, siku-za-mwisho, VitabuNo comments


Kuhusu Biblia (3)
Mwenyezi Mungu alisema, Sio kila kitu katika Biblia ni rekodi ya maneno aliyoyasema Mungu. Kimsingi Biblia inaandika hatua mbili za awali za kazi ya Mungu, ambapo sehemu moja ni rekodi ya utabiri wa kale wa manabii, na sehemu nyingine ni uzoefu na...
Swahili Gospel Song "Sala ya Watu wa Mungu" | Kuishi katika Upendo wa Mungu
By UnknownAprili 04, 2018baraka, Maombi, Msururu-wa-MV-za-Ufalme, Neema, Upendo-wa-Mungu, VideoNo comments


Swahili Gospel Song "Sala ya Watu wa Mungu" | Kuishi katika Upendo wa Mungu
Watu wa Mungu wanainuliwa mbele ya kiti Chake cha Enzi,
maombi mengi mioyoni mwao.
Mungu huwabariki wote wanaorejea Kwake;
wote wanaishi katika mwanga.
Omba Roho Mtakatifu alipe...
Jumanne, 3 Aprili 2018
Umeme wa Mashariki | Dibaji
By UnknownAprili 03, 2018imani-katika-Mungu, Kumjua-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Dibaji
Mwenyezi Mungu alisema, Ingawa watu wengi wanaamini katika Mungu, ni wachache wanaoelewa ni nini maana ya imani katika Mungu, na ni nini wanachopaswa kufanya ili waupendeze moyo wa Mungu. Hii ni kwa sababu, hata ingawa watu wengi wanalifahamu...
Neno la Mungu Humwongoza Mtu Kuishi Maisha Mapya | Maisha Yetu ya Kanisa Yanapendeza Sana
By UnknownAprili 03, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Msururu-wa-MV-za-Ufalme, nyimbo-za-kusifu-na-kuabudu, Ukweli, VideoNo comments


Neno la Mungu Humwongoza Mtu Kuishi Maisha Mapya | Maisha Yetu ya Kanisa Yanapendeza Sana
Maisha Yetu ya Kanisa Yanapendeza Sana
I
Mwenyezi Mungu mwenye mwili, tunaimba nyimbo za sifa kubwa Kwako.
Wewe hutuleta katika maisha ya ufalme.
Sisi watu wa...
Jumatatu, 2 Aprili 2018
Umeme wa Mashariki | Maonyo Matatu
By UnknownAprili 02, 2018imani-katika-Mungu, makusudi-ya-Mungu, mapenzi-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukweli, VitabuNo comments


Umeme wa Mashariki | Maonyo Matatu
Mwenyezi Mungu alisema, Kama muumini wa Mungu, hufai kuwa watiifu kwa yeyote mwingine isipokuwa Yeye katika mambo yote na mjilinganishe na moyo Wake katika mambo yote. Hata hivyo, ingawa wote huelewa mafundisho haya, ukweli huu wa kimsingi...
Wale Wasiopatana Na Kristo Hakika Ni Wapinzani Wa Mungu
By UnknownAprili 02, 2018hukumu, Kristo, Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukweli, VitabuNo comments


Wale Wasiopatana Na Kristo Hakika Ni Wapinzani Wa Mungu
Mwenyezi Mungu alisema, Watu wote wana tamaa ya kuona uso wa kweli wa Yesu na kutaka kuwa pamoja Naye. Naamini kuwa hakuna mmoja wa ndugu au dada anayeweza kusema kwamba yeye hana nia ya kumwona au kuwa pamoja...
Jumapili, 1 Aprili 2018
Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe III
By UnknownAprili 01, 2018Bwana-Yesu, msalaba, Mwendelezo-wa-Neno-Laonekana-katika-Mwili, Vitabu, WokovuNo comments


12. Maneno ya Yesu kwa Wanafunzi Wake Baada ya Kufufuka Kwake
(Yohana 20:26-29) Na baada ya siku nane wanafunzi wake walikuwa ndani tena, na Tomaso pamoja nao: Kisha akaja Yesu, na milango imefungwa, na akasimama katikati, kisha akasema, Amani iwe kwenu. Kisha akamwambia...