
Ijumaa, 31 Mei 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 21
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 31, 2019kazi-ya-Roho-Mtakatifu, maneno-ya-Mungu, Maombi, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Maneno ya Mungu | Sura ya 21
Kazi ya Roho Mtakatifu sasa imewaleta katika mbingu mpya na dunia mpya. Kila kitu kinaendelea kufanywa upya, kila kitu ki mikononi Mwangu, kinarudi ulingoni! Kwa dhana zao, watu wanashindwa kulifikiria kwa makini, na kwao haina maana,...
Alhamisi, 30 Mei 2019
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 30, 2019maneno-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya, Upendo-wa-Mungu, Video, Wimbo-wa-KuabuduNo comments

Wimbo wa Kuabudu | "Sifa kwa Maisha Mapya katika Ufalme" | Watu wa Mungu Humsifu na Kumwabudu Mungu
Tumesikia sauti ya Mungu na kurudi nyumbani Kwake.
Mikutanoni tunakula na kunywa maneno ya Mungu, tunahudhuria karamu.
Sisi tunaaga huzuni na vifungo vyetu, tunaishi maisha mapya.
Maneno ya Mungu yako nasi kila siku, tunastarehe ndani...
Jumatano, 29 Mei 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 20
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 29, 2019kanisa, kazi-ya-Roho-Mtakatifu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukweli, VitabuNo comments


Maneno ya Mungu | Sura ya 20
Kazi ya Roho Mtakatifu hushina mbele, ikiwaleta nyinyi ndani ya eneo mpya kabisa, ambayo ni kwamba hali halisi ya maisha ya ufalme imejitokeza mbele yako. Maneno ambayo yamesemwa na Roho Mtakatifu moja kwa moja yamefichua ukina ulio ndani...
Jumanne, 28 Mei 2019
Matamshi ya Kristo | Sura ya 19
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 28, 2019hukumu, kanisa, kazi-ya-Roho-Mtakatifu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Matamshi ya Kristo | Sura ya 19
Kazi ya Roho Mtakatifu inapoendelea mbele, Mungu kwa mara nyingine tena ametuingiza katika mbinu mpya ya kazi ya Roho Mtakatifu. Matokeo yake, haiepukiki kwamba baadhi ya watu wamenielewa Mimi vibaya na kufanya malalamiko Kwangu. Wengine...
Jumatatu, 27 Mei 2019
Sauti ya Mungu | Sura ya 18
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 27, 2019kanisa, kazi-ya-Roho-Mtakatifu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, sauti-ya-Mungu, VitabuNo comments


Sauti ya Mungu | Sura ya 18
Kujenga kanisa si kitu rahisi cha kufanya! Niliweka moyo Wangu wote katika kulijenga na Shetani angefanya kila kitu ingeweza kuibomoa. Kama unataka kujengwa lazima uwe na maono; lazima uishi maisha kwa Mimi, kuwa shahidi wa Kristo, shikilia...
Jumapili, 26 Mei 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 17
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 26, 2019kanisa, kazi-ya-Roho-Mtakatifu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 17
Kanisa linajengwa na Shetani anajaribu kwa uwezo wake kulibomoa. Anataka kubomoa ujenzi Wangu kwa njia yoyote iwezekanayo, kwa hivyo, lazima kanisa litakaswe kwa haraka. Lazima kusiwe na makapi au mabaki yoyote maovu; lazima litakaswe...
Jumamosi, 25 Mei 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 16
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 25, 2019kazi-ya-Roho- Mtakatifu, maneno-ya-Mungu, Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Maneno ya Mungu | Sura ya 16
Baada ya ushuhudiaji wa Mwana wa Adamu, Mwenyezi Mungu alijifichua kwetu hadharani kama Jua la haki. Haya ndiyo mabadiliko mlimani! Sasa inakuwa halisi zaidi na zaidi, na zaidi kuwa jambo la uhalisi. Tumeona utaratibu wa kazi ya Roho Mtakatifu,...
Ijumaa, 24 Mei 2019
Wimbo wa Injili | "Toa Akili na Mwili ili Kutimiza Agizo la Mungu" | The Great Mission of Christians
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 24, 2019mapenzi-ya-Mungu, Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo Mpya, Nyimbo, Wimbo-wa-Injili, wimbo-wa-KikristoNo comments

Wimbo wa Injili | "Toa Akili na Mwili ili Kutimiza Agizo la Mungu" | The Great Mission of Christians
I
Kama washiriki wa jamii ya wanadamu,
kama wafuasi wa Kristo wa dhati,
ni wajibu wetu, ni jukumu letu
kutoa akili zetu na miili yetu
kwa kutimiza agizo la Mungu.
Kwa maana asili yetu yote ilitoka kwa Mungu,
na twaishi, kwa ajili ya...
Alhamisi, 23 Mei 2019
Sauti ya Mungu | Sura ya 15
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 23, 2019hukumu, Kristo, Neno-Laonekana-katika-Mwili, sauti-ya-Mungu, VitabuNo comments


Sauti ya Mungu | Sura ya 15
Kuonekana kwa Mungu tayari kumetokea katika makanisa yote. Roho ndiyo anayeongea, Yeye ni moto mkali, Yeye hubeba uadhama na Anahukumu; Yeye ni Mwana wa Adamu, liyevaa vazi lililofika kwa miguu, na kufungwa mshipi kwenye matiti na ukanda...
Jumatano, 22 Mei 2019
Matamshi ya Kristo | Sura ya 14
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 22, 2019kazi-ya-Roho-Mtakatifu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukweli, VitabuNo comments


Matamshi ya Kristo | Sura ya 14
Hapana muda wa kupoteza sasa. Roho Mtakatifu hutumia njia nyingi tofauti za kutuongoza katika maneno ya Mungu na kututayarisha na ukweli wote, kutakaswa, kuwa na undani wa kweli na ushirikiano na Mimi; huruhusiwi nafasi yoyote ya kuchagua....
Jumanne, 21 Mei 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 13
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 21, 2019kazi-ya-Roho-Mtakatifu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukweli, ushuhuda, VitabuNo comments


Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 13
Katika hali yenu ya sasa nyinyi hushika dhana ya "kibinafsi"zaidi kupindukia, na madakizo ya dini ni mazito kiasi. Mmeshindwa kutenda katika roho, hamuwezi kufahamu kazi ya Roho Mtakatifu, na mmekataa mwanga mpya. Huoni jua wakati...
Jumatatu, 20 Mei 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 12
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 20, 2019hukumu, kazi-ya-Roho-Mtakatifu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Upendo-wa-Mungu, VitabuNo comments


Maneno ya Mungu | Sura ya 12
Ikiwa una tabia ambayo si thabiti, nyepesi kuhamaki kama upepo au mvua, kama huwezi kuendelea kusonga mbele, basi fimbo Yangu haitakuwa mbali na wewe. Unaposhughulikiwa, kadiri hali ilivyo mbaya zaidi, na kadiri unavyoteswa zaidi, ndivyo...
Jumapili, 19 Mei 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 11
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 19, 2019hukumu, Kazi-ya- Roho-Mtakatifu, Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 11
Je, Mimi ni Mungu wako? Je, Mimi ni Mfalme wako? Je, kweli umeniruhusu Mimi kutawala kama Mfalme ndani yako? Unapaswa kutafakari kujihusu kabisa. Je, hukuchunguza na kukataa mwanga mpya na hata kuthubutu kuacha kuufuata ulipokuwa...
Jumamosi, 18 Mei 2019
Neno la Mungu | “Mwanadamu Mpotovu Hawezi Kumwakilisha Mungu”
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 18, 2019Kumjua-Mungu, Neno-la-Mungu, Roho-Mtakatifu, Usomaji-wa-Maneno-ya-Mwenyezi-Mungu, VideoNo comments

Neno la Mungu | “Mwanadamu Mpotovu Hawezi Kumwakilisha Mungu”
Mwenyezi Mungu anasema, “Vitendo vyote na matendo ya Shetani vinaonyeshwa kupitia kwa binadamu. Sasa vitendo vyote na matendo yote ya binadamu ni maonyesho ya Shetani na hivyo basi haviwezi kumwakilisha Mungu. Binadamu ni mfano halisi wa Shetani, na tabia ya mwanadamu haiwezi kuiwakilisha...
Ijumaa, 17 Mei 2019
Sauti ya Mungu | Sura ya 10
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 17, 2019Hekima, Kristo, Neno-Laonekana-katika-Mwili, sauti-ya-Mungu, VitabuNo comments


Sauti ya Mungu | Sura ya 10
Haupaswi kuwa na hofu ya hili na lile. Haidhuru wingi wa matatizo na hatari unazokabili, utabaki thabiti mbele Yangu; usizuiliwe na kitu chochote, ili mapenzi Yangu yaweze kufanyika. Huu utakuwa ni wajibu wako, vinginevyo utakabiliana na...
Alhamisi, 16 Mei 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 9
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 16, 2019maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, Ukweli, VitabuNo comments


Maneno ya Mungu | Sura ya 9
Nataka kukukumbusha kwamba huwezi kuwa na wasiwasi hata kidogo juu ya neno Langu na kutokujali kwa aina yoyote hakukubaliki. Unapaswa kulisikiliza na kulitii na kutenda mambo kulingana na nia Zangu. Daima lazima uwe macho na kamwe usiwe...
Jumatano, 15 Mei 2019
Sauti ya Mungu | Sura ya 8
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 15, 2019kazi-ya-Roho- Mtakatifu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, sauti-ya-Mungu, Ukweli, VitabuNo comments


Sauti ya Mungu | Sura ya 8
Kwa kuwa Mwenyezi Mungu—Mfalme wa ufalme—ameshuhudiwa, mawanda ya usimamizi wa Mungu yamejitokeza kabisa katika ulimwengu wote. Sio tu kwamba kuonekana kwa Mungu kumeshuhudiwa nchini China, lakini jina la Mwenyezi Mungu limeshuhudiwa katika...
Jumanne, 14 Mei 2019
Sauti ya Mungu | Sura ya 7
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 14, 2019Kazi-ya- Roho-Mtakatifu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukweli, VitabuNo comments


Sauti ya Mungu | Sura ya 7
Kuinuka kwa mazingira pande zetu zote huharakisha kurudi nyuma kwetu katika roho. Usitende kwa moyo mgumu, usipuuze kwa vyovyote vile kama Roho Mtakatifu Ana wasiwasi, usijaribu kuwa mjanja na usiwe na ridhaa kupita kiasi na kuridhika kibinafsi...
Jumatatu, 13 Mei 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 6
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 13, 2019Kristo, Neema, Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Maneno ya Mungu | Sura ya 6
Mwenyezi Mungu, Mkuu wa vitu vyote, hushika madaraka Yake ya kifalme kutoka kwa kiti Chake cha enzi. Yeye hutawala ulimwengu na vitu vyote Naye Anatuongoza katika dunia yote. Mara kwa mara tutakuwa karibu Naye, na kuja mbele Zake kwa utulivu;...
Jumapili, 12 Mei 2019
Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee IX Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote (III)” Sehemu ya Pili
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 12, 2019maisha, Neno-la-Mungu, siku-za-mwisho, Usomaji-wa-Maneno-ya Mwenyezi-Mungu, VideoNo comments

Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee IX Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote (III)” Sehemu ya Pili
Mwenyezi Mungu anasema, “Vitu vyote haviwezi kutenganishwa na kanuni ya Mungu, na hakuna mtu hata mmoja ambaye anaweza kujitenganisha kwenye kanuni Yake. Kupoteza kanuni Yake na kupoteza uangalizi wake...
Jumamosi, 11 Mei 2019
Maneno ya Mungu | Sura ya 5
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 11, 2019imani, Neema, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, VitabuNo comments


Maneno ya Mungu | Sura ya 5
Milima na mito huenda ikibadilika, vijito hutiririka mbele, na maisha ya mwanadamu ni yenye uvumilivu mdogo kuliko ardhi na anga. Mwenyezi Mungu pekee ndiye maisha ya milele yaliyofufuka milele, katika vizazi hai milele! Vitu vyote na...
Ijumaa, 10 Mei 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 4
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 10, 2019hukumu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho- Mtakatifu, VitabuNo comments


Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 4
Daima tutakuwa tukiangalia na kusubiri, kuwa na utulivu katika roho na kutafuta kwa moyo safi. Chochote kitakachotufikia, tusishiriki kwa upofu. Twahitajika tu kuwa kimya mbele ya Mungu na daima kushiriki naye, na kisha nia Yake...
Alhamisi, 9 Mei 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 3
By Mwenyezi Mungu ni Mchungaji WanguMei 09, 2019hukumu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukombozi, utukufu, VitabuNo comments


Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Sura ya 3
Mfalme wa ushindi hukaa juu ya kiti Chake cha enzi cha utukufu. Yeye Ametimiza ukombozi na kuongoza watu Wake wote kuonekana katika utukufu. Yeye hushikilia ulimwengu mikononi Mwake kwa hekima Yake ya uungu na uweza Yeye Amejenga...
Jumatano, 8 Mei 2019
Maneno ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima | Sura ya 2
By ye.fengMei 08, 2019kanisa, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Roho-Mtakatifu, VitabuNo comments

Mwenyezi Mungu anasema, Kufuata kuanza kazi kwa mtazamo mpya, kutakuwa na hatua mpya katika kazi Yangu. Kama ilivyo katika ufalme, Nitafanya mambo moja kwa moja kupitia kwa uungu, Nikiongoza kila hatua ya njia, sahihi hadi kwa maelezo madogo, na bila kutiwa najisi na nia za binadamu hata kidogo. Yafuatayo yanaeleza kwa muhtasari namna ya utekelezaji...
Jumanne, 7 Mei 2019
Maneno ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima | Sura ya 1
By ye.fengMei 07, 2019maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ufalme, Ujenzi-wa-kanisa, VitabuNo comments


Maneno ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima | Sura ya 1
Je, wale wanaoshuhudia maneno Yangu huyakubali kwa kweli? Je, mnanijua kwa kweli? Mmejifunza utiifu kweli? Ninyi hutumia rasilimali kwa ajili Yangu kwa uaminifu? Mmekuwa na ushuhuda thabiti, usiokubali kushindwa Kwangu...
Jumatatu, 6 Mei 2019
Ufafanuzi wa Mafumbo ya Maneno ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima | Kuhusu Maisha ya Petro
By ye.fengMei 06, 2019Enzi-ya-Neema, kazi-ya-Roho-Mtakatifu, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Vitabu, YesuNo comments

Ufafanuzi wa Mafumbo ya Maneno ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima | Kuhusu Maisha ya Petro
Petro ni mfano ambao Mungu aliutambulisha kwa wanadamu, na yeye ni mtu mashuhuri anayejulikana vizuri. Kwa nini mtu mnyonge kama huyo aliwekwa mahala kama mfano na Mungu na amesifiwa na vizazi vya baadaye? Bila shaka, ni wazi kwamba hili halitenganishwi na maonyesho...
Jumapili, 5 Mei 2019
Maneno ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima | Wimbo wa Ufalme
Maneno ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima | Wimbo wa Ufalme
Watu wanishangilia Mimi, watu wananisifu Mimi; midomo yote inataja Mungu mmoja wa kweli, watu wote wainua macho yao kutazama matendo Yangu. Ufalme washuka duniani, nafsi Yangu ni tajiri na yenye wingi. Ni nani hangesherehekea haya? Nani hangecheza kwa furaha kwa ajili ya haya? Ee, Sayuni! Inua...
Jumamosi, 4 Mei 2019
Umeme wa Mashariki | Utangulizi
By ye.fengMei 04, 2019Kazi-ya-Mungu, maneno-ya-Mungu, Matamshi-ya-Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


"Matamshi ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima" ni kundi la pili la matamshi yanayoonyeshwa na Kristo. Ndani yake, Kristo Anatumia utambulisho wa Mungu Mwenyewe. Yanajumlisha kipindi cha kuanzia Februari 20, 1992 hadi Juni 1, 1992, na yana jumla ya matamshi arobaini na saba. Namna,...
Ijumaa, 3 Mei 2019
Neno la Mwenyezi Mungu | Tatizo Zito Sana: Usaliti (2)
By ye.fengMei 03, 2019baraka, maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukweli, VitabuNo comments


Neno la Mwenyezi Mungu | Tatizo Zito Sana: Usaliti (2)
Asili ya mwanadamu ni tofauti kabisa na kiini Changu; hii ni kwa kuwa asili potovu ya mwanadamu inatokana kabisa na Shetani na asili ya mwanadamu imemilikiwa na kupotoshwa na Shetani. Yaani, mwanadamu anaishi chini...
Alhamisi, 2 Mei 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Asili na Utambulisho wa Mwanadamu
By ye.fengMei 02, 2019maneno-ya-Mungu, msalaba, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Ukombozi, Vitabu, wokovu-wa-MunguNo comments


Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Asili na Utambulisho wa Mwanadamu
Kwa kweli, hawajasikitika, na wamekuwa wakitazama kile ambacho kimefanywa kwa miaka elfu sita iliyopita mpaka leo, kwa kuwa Sikuwaacha. Badala yake, kwa sababu mababu zao walikula tunda kutoka kwa mti...
Jumatano, 1 Mei 2019
Kuendeleza Ubora wa Tabia ni Kwa Ajili ya Kupokea Wokovu wa Mungu
By ye.fengMei 01, 2019maneno-ya-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, ushuhuda, Vitabu, wokovu-wa-MunguNo comments


Kuendeleza Ubora wa Tabia ni Kwa Ajili ya Kupokea Wokovu wa Mungu
Kuendeleza ubora wa tabia ya watu kunahitaji kwamba muendeleze uwezo wenu wa kupokea. Hitaji la msingi kabisa kwenu ni kwamba myapokee waziwazi maneno yanayonenwa kwenu. Je, siyo imani iliyovurugika ikiwa...