Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Muziki wa Akapela "Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu" (Video Rasmi ya Muziki)

Hayuko katika upeo wa mbali, wala hajajificha juu mawinguni. Yuko kando yako, akiwa na mamlaka juu ya kila kitu chako, Yeye ni kila kitu ulicho nacho, na Yeye ni kitu pekee ulicho nacho.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Jumamosi, 31 Machi 2018

Upendo wa Mungu ni wa Kweli Kabisa

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Injili

Upendo wa Mungu ni wa Kweli Kabisa

Wenzhong , Beijing
Agosti 11, mwaka wa 2012
Usiku wa Julai 21, mwaka wa 2012, tulikuwa na mafuriko makubwa hapa, ambayo hutokea kwa nadra. Ningependa kumwambia kila mtu aliye na kiu ya Mungu kile nilichokipitia kwa kweli na kukiona wakati huo.

Ijumaa, 30 Machi 2018

Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe I

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Biblia


Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe I

3) Mungu Atumia Upinde wa Mvua Kama Ishara ya Agano Lake na mwanadamu.

Mwa 9:11-13 Na nitaweka agano langu na ninyi, wala miili yote haitaondolewa tena na maji ya gharika; wala hakutakuwa na gharika tena kuiharibu dunia. Naye Mungu akasema, Hii ni alama ya agano ambayo naifanya kati ya Mimi na ninyi na viumbe vyote vyenye uhai vilivyo nanyi, kwa vizazi vya kudumu: naweka upinde wangu mawinguni, na utakuwa alama ya agano kati ya Mimi na dunia.
Kisha, hebu tuangalie sehemu hii ya maandiko kuhusu namna Mungu alivyounda upinde wa mvua kama ishara ya Agano lake na binadamu.

Christian Video Swahili "Uaminifu ni wa Thamani Mno" | Wokovu wa Bwana

Christian Video Swahili "Uaminifu ni wa Thamani Mno" | Wokovu wa Bwana

Utambulisho
Zhen Cheng alikuwa mmiliki wa duka la urekebishaji wa vifaa vya stima. Alikuwa mkarimu, mwaminifu, na alifanya biashara inavyopasa kufanywa. Hangejaribu kumdanganya mtu, lakini alikuwa anachuma tu pesa za kutosha angalau kuimudu tu famillia yake. Baada ya muda, mmoja wa jamaa yake na mfanya biashara mwenza alimhimiza atende kulingana na sheria zisizoandikwa za biashara, na Zhen Cheng alianza kuamini katika misemo inayowakilisha falsafa ya kama vile: "Mwanaume bila kipato cha pili hawezi kamwe kuwa tajiri kama tu jinsi farasi aliyenyimwa nyasi kavu usiku hawezi kamwe kuongeza uzani,” “Wajasiri hufa kwa ajili ya tamaa; waoga hufa kwa njaa," "Pesa si kila kitu, lakini bila pesa, huwezi kufanya chochote," na "Pesa kwanza."
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, hukumu
Zhen Cheng alipoteza dhamiri yake nzuri iliyokuwa imemwelekeza awali na akaanza kutumia mbinu za kisirisiri kupata pesa zaidi. Hata ingawa alipata pesa zaidi kuliko vile alivyopata awali, na hali ya maisha yake iliimarika, Zhen Cheng hata hivyo alihisi asiye na furaha na hali ya utupu ilimsumbua; maisha yalikuwa matupu na yaliyojaa mateso. Baada ya Zhen Chen kuikubali kazi ya Mwenyezi Mungu ya siku za mwisho, alikuja kuelewa kupitia neno la Mungu kwamba Mungu anawapenda watu waaminifu na Anawachukia walio wadanganyifu. Zhen Cheng pia alikuja kuelewa kwamba kuwa mtu mwaminifu ndiyo njia ya pekee ya kutenda kama mtu wa kweli na njia ya pekee ya kufanikisha sifa ya Mungu, na hivyo akaapa kuwa mtu mwaminifu. Hata hivyo, kuwa mtu mwaminifu katika maisha halisi kulidhihirika kuwa kugumu: Pamoja na ndugu kanisani, angeweza kuwa mnyoofu alivyopaswa kuwa, lakini angefanya hivyo katika ulimwengu wa biashara, angeweza kupata pesa? Hangeweza tu kwa matarajio ya kupata pesa chache zaidi, angeweza pia kupitia hasara kubwa na alikuwa katika hatari ya kupoteza duka lake. … Usoni pa mapambano kama hayo, je, Zhen Chen angeweza kuendesha biashara yake kwa uaminifu? Ni mabonde na milima ya aina gani yasiyotarajiwa yatatokea njiani? Thawabu yake kubwa itakuwa nini?…

Kujua zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Alhamisi, 29 Machi 2018

Mwanadamu Anaweza Kuokolewa Tu Katikati ya Usimamizi wa Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Mwanadamu Anaweza Kuokolewa Tu Katikati ya Usimamizi wa Mungu

Mwenyezi Mungu alisema, Kila mtu anahisi kuwa usimamizi wa Mungu ni wa ajabu, kwa sababu watu wanafikiri kuwa usimamizi wa Mungu hauna uhusiano wowote na mwanadamu. Wanafikiri kuwa usimamizi wa Mungu ni kazi ya Mungu pekee, shughuli za Mungu, na hivyo wanadamu hawajali kuhusu usimamizi wa Mungu. Kwa njia hii, kuokolewa kwa wanadamu kumekuwa kusiko yakini na kusiko dhahiri, na kumebaki tu maneno matupu.

Umeme wa Mashariki | Kuhusu Desturi ya Sala

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, maombi

Umeme wa Mashariki | Kuhusu Desturi ya Sala

Nyinyi hamtilii maanani sala katika maisha yenu ya kila siku. Watu daima wamepuuza sala. Katika sala zao hapo awali walikuwa wakifanya tu mambo kwa namna isiyo ya dhati na kufanya mchezo tu, na hakuna mtu aliyeupeana moyo wake kwa ukamilifu mbele ya Mungu na kumwomba Mungu kweli.

Jumatano, 28 Machi 2018

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee I

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee I

Mamlaka ya Mungu (I)

Vikao vyangu mbalimbali vya ushirika vilivyopita vilikuwa vinahusu kazi ya Mungu, tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe. Baada ya kuvisikiliza vikao hivi vya ushirika, je, unahisi kuwa umefaidi na kupata ufahamu na maarifa kuhusu tabia ya Mungu? Ufahamu wako na maarifa ni mkubwa kiwango gani? Je, unaweza kuweka nambari katika kiwango hicho? Je, vikao hivi vya ushirika vilikupa ufahamu wa kina kuhusu Mungu?

Ukweli wa Ndani wa Kazi ya Kushinda (2)

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Ukweli wa Ndani wa Kazi ya Kushinda (2)

Mlikuwa mnatafuta kutawala kama wafalme, na leo bado hamjaacha kabisa suala hili; bado mnatamani kutawala kama wafalme, kushikilia mbingu na kuhimili dunia. Sasa, fikiria kuhusu hilo: Je, unazo sifa kama hizo? Je, huoni unakuwa mtu mpumbavu?

Jumanne, 27 Machi 2018

Tabia ya Mungu ni Haki na, Hata Zaidi, Upendo

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Injili

5. Tabia ya Mungu ni Haki na, Hata Zaidi, Upendo

Fang Xin, Beijing
Agosti 15, mwaka wa 2012
Tangu mwaka wa 2007, nilipoikubali kazi ya Mwenyezi Mungu ya siku za mwisho, ingawa nimeonekana juu juu kuwa na kazi nyingi sana kutekeleza majukumu yangu, sijaupa moyo wangu kwa Mungu, na mara nyingi nimehisi kufungwa kiasi cha msongo wa pumzi na masuala madogo ya familia.

Umeme wa Mashariki | Wengi Wameitwa, Lakini Wachache Wamechaguliwa

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Umeme wa Mashariki | Wengi Wameitwa, Lakini Wachache Wamechaguliwa

Mwenyezi Mungu alisema, Nimewatafuta wengi duniani wawe wafuasi Wangu. Kati yao ni wale wanaohudumu kama makuhani, wanaoongoza, wanaojumuisha wana, wanaojumuisha watu, na wale wanaotoa huduma. Ninaweka migawo hii kulingana na uaminifu alionao mwanadamu Kwangu.

Jumatatu, 26 Machi 2018

Umeme wa Mashariki | Ufafanuzi wa Tamko la Tano

Umeme wa Mashariki | Ufafanuzi wa Tamko la Tano

Mwenyezi Mungu alisema, Mungu anapoweka mahitaji kwa wanadamu ambayo ni magumu kwao kueleza, na maneno Yake yanapogonga moja kwa moja katika moyo wa mwanadamu na watu wanatoa mioyo ya dhati ili Afurahie, basi Mungu huwapa watu nafasi ya kutafakari, kufanya uamuzi, na kutafuta njia ya kutenda.

Umeme wa Mashariki | Kwa Nini Nimetembea Njia ya Mafarisay

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, hukumu

Umeme wa Mashariki | Kwa Nini Nimetembea Njia ya Mafarisay

Suxing Mkoa wa Shanxi

Mimi ni mtu mwenye kiburi na majivuno, na cheo kimekuwa udhaifu wangu. Kwa miaka mingi, nimefungwa na sifa na cheo na sijaweza kujiweka huru kutoka kwazo. Mara kwa mara nimepandishwa cheo na kubadilishwa na mtu mwingine; nimekuwa na vizuizi vingi katika cheo changu na nimekumbwa na matuta mengi njiani.

Jumapili, 25 Machi 2018

Umeme wa Mashariki | Hatimaye Naishi kwa Kudhihirisha Kiasi Kama Mwanadamu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, hukumu

Umeme wa Mashariki | Hatimaye Naishi kwa Kudhihirisha Kiasi Kama Mwanadamu

Xiangwang Mkoa wa Sichuan

Ninahisi kuadibiwa sana moyoni mwangu kila mara ninapoona kwamba maneno ya Mungu yanasema: “Wanadamu dhalimu, wakatili! Kufumba macho na kula njama, kusukumana, kung’ang’ania sifa na mali, kuuana—haya yote yataisha lini? Mungu amezungumza maelfu na mamia ya maneno, ilhali hakuna hata mmoja ambaye amejifahamu.

Jumamosi, 24 Machi 2018

"Vunja Pingu na Ukimbie" (4) - Jifungue Kutoka kwa Utumwa wa Mafarisayo wa Kidini na Kurudi Kwa Mungu

"Vunja Pingu na Ukimbie" (4) - Jifungue Kutoka kwa Utumwa wa Mafarisayo wa Kidini na Kurudi Kwa Mungu

Katika jumuiya ya kidini, wachungaji wanajua Biblia kwa kina na mara nyingi huelezea vifungu kutoka kwa Biblia kwa watu. Kutoka kwa macho yetu, inaonekana kuwa wote wanamjua Mungu, lakini kwa nini kuna watu wengi katika ulimwengu wa kidini ambao huilaumu na kuipinga kazi ya Mungu mwenye mwili ya siku za mwisho? Mwenyezi Mungu anasema, "Wale wanaosoma Biblia kwa makanisa makubwa hukariri Biblia kila siku, lakini hakuna yeyote anayeelewa madhumuni ya kazi ya Mungu. Hakuna hata mmoja anayeweza kumwelewa Mungu; juu ya hayo, hakuna yeyote anayekubaliana na moyo wa Mungu. Wote hawana thamani, wanadamu wabovu, kila mmoja akisimama juu kumfundisha Mungu. Ingawa wanalionyesha hadharani jina la Mungu, wanampinga makusudi" (Neno Laonekana katika Mwili).


Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Kujua zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?

"Vunja Pingu na Ukimbie" (3) - Enda Nje ya Biblia: Hudhuria Karamu ya Ufalme wa Mbinguni Pamoja na Bwana

"Vunja Pingu na Ukimbie" (3) - Enda Nje ya Biblia: Hudhuria Karamu ya Ufalme wa Mbinguni Pamoja na Bwana

Watu wengi ambao wana imani katika Bwana huhisi kwamba maneno na kazi ya Mungu vyote viko katika Biblia, kwamba wokovu wa Mungu kama ulivyoelezewa katika Biblia tayari umejaa, kwamba imani katika Mungu lazima iwe kwa msingi wa Biblia na kwamba kama imani yetu kwa Mungu ni kwa msingi wa Biblia, basi kwa hakika tutanyakuliwa kuingia katika ufalme wa mbinguni. Dhana hizi za kidini hutenda kama kamba zisizoonekana ambazo huzifunga kwa uthabiti na kuzisonga fikira zetu kiasi kwamba hatuitafuti kazi ya Roho Mtakatifu na hutufanya tusiweze kuitii kazi ya sasa ya Mungu. Tunawezaje basi kuelewa uhusiano kati ya Biblia na Mungu na Biblia na kazi ya Mungu? Bwana Yesu alisema, “Na neno lake haliishi ndani yenu: kwani hammwamini yule aliyemtuma. Tafuta katika maandiko; kwa kuwa ndani yake mnadhani kuwa mna uzima wa milele: na hayo ndiyo yananishuhudia. Nanyi hamtakuja Kwangu, kwamba mpate uhai"(Yohana 5:38-40). Mwenyezi Mungu anasema, "Kristo wa siku za mwisho huleta uzima, na huleta kudumu kwa njia ya kweli na ya milele. Ukweli huu ni njia ambayo binadamu atapata uzima, na njia pekee ambayo mtu atajua Mungu na kuidhinishwa na Mungu" (Neno Laonekana katika Mwili). Ni kwa njia ya kuacha Biblia tu tunapoweza kuja mbele ya Mungu na kuukubali wokovu Wake na kuhudhuria karamu ya ufalme wa mbinguni pamoja na Yeye.

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki
Kujua zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Ijumaa, 23 Machi 2018

"Vunja Pingu na Ukimbie" (2) - Je, Kila Kitu Kilicho Katika Biblia ni Neno la Mungu?

"Vunja Pingu na Ukimbie" (2) - Je, Kila Kitu Kilicho Katika Biblia ni Neno la Mungu?

Kama watu wengi wa kidini wenye imani katika Bwana, Mzee Li daima amehisi kwamba "kila kitu kilicho katika Biblia kilitiwa msukumo na Mungu," "Biblia ni neno la Mungu," na "Biblia humwakilisha Mungu." Dhana hizi zilikuwa kwa muda mrefu zimeunda msingi wa imani yake. Zilikuwa zimekita mizizi ndani ya moyo wake na zilikuwa zimekuwa kikwazo kwa kujifunza kwake njia ya kweli na pia utumwa uliomzuia kukubali njia ya kweli. Wahubiri wa Kanisa la Mwenyezi Mungu waliposoma kwa subira kwa Mzee Li kuhusu neno la Mungu na kufanya ushirika naye kuhusu ukweli, hatimaye alielewa kuwa si Biblia yote iliyotiwa msukumo na Mungu, lakini ina maneno ya Mungu na maneno ya mwanadamu . Mzee Li sasa alikuwa huru kutoka kwa utumwa na pingu za dhana hizi za kidini.
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Biblia, Umeme wa Mashariki,
Kujua zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Umeme wa Mashariki | "Vunja Pingu na Ukimbie" (1) - Legeza Pingu na Ujifunze Njia ya Kweli

Umeme wa Mashariki | "Vunja Pingu na Ukimbie" (1) - Legeza Pingu na Ujifunze Njia ya Kweli

Mzee wa kanisa Li, kutokana na imani pofu katika maneno ya wachungaji wa kidini, alihisi kwamba kazi na maneno yote ya Mungu yaliandikwa katika Biblia na kwamba chochote nje ya Biblia hakingeweza kuwa kazi na neno la Mungu. Li alifikiri kwamba yote aliyohitaji kufanya ni kushika Biblia na wakati Bwana angekuja tena, angenyakuliwa kuingia katika ufalme wa mbinguni. Kwa hiyo, Li hakuipa fikira kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho. Wakati mmoja, Mzee Li alipata kujua kwamba mfanyakazi mwenza, Mzee Lin, alikuwa akichunguza Umeme wa Mashariki kwa zaidi ya mwaka mmoja. Kupitia kufanya ushirika na Mzee Lin, Mzee Li alikuja kuelewa ukweli wa kusikitisha kwamba alikuwa amenaswa na kufungwa na wachungaji wa kidini. Mwishowe, Mzee Li aliweza kulegeza pingu hizi na kuwaongoza wafanyakazi wenza wengine wote kutafuta na kuuchunguza Umeme wa Mashariki pamoja.

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Kujua zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi Mungu

Alhamisi, 22 Machi 2018

Tendeni Ukweli Mara Mnapouelewa

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, ukweli

Tendeni Ukweli Mara Mnapouelewa

Mwenyezi Mungu alisema, Kazi neno la Mungu vina maana ya kuleta mabadiliko katika tabia zenu; lengo Lake si kuwafanya tu kulielewa au kulitambua na kufanya hilo kuwa mwisho wa jambo hilo. Kama mmoja wa uwezo wa kupokea, hampaswi kuwa na ugumu katika kuelewa neno la Mungu, kwa kuwa wingi wa neno la Mungu limeandikwa kwa lugha ya kibinadamu ambayo ni rahisi sana tu kuelewa. Kwa mfano, mnaweza kujua ni nini Mungu anataka muelewe na kutenda; hili ni jambo ambalo mtu wa kufaa ambaye ana uwezo wa uelewa anapaswa kuwa na uwezo wa kufanya. Maneno ya Mungu sasa ni hasa wazi na bayana, na Mungu husema mambo mengi ambayo watu hawajachukulia maanani au hali mbalimbali za mtu. Maneno yake yanajumuisha yote, angavu kama nuru ya mwezi kamili. Hivyo sasa, watu wanaelewa masuala mengi; wanachokosa ni kuweka neno Lake katika vitendo. Lazima watu wapitie vipengele vyote vya ukweli kwa kina, na kuutafiti na kuutafuta kwa undani zaidi, sio kusubiri tu kuchukua kile ambacho wamepewa bila shida; vinginevyo wanakuwa wadogo zaidi ya barakala. Wanajua neno la Mungu, lakini hawaliweki katika vitendo. Mtu wa aina hii hana upendo wa ukweli, na hatimaye ataondolewa. Kuwa na mtindo kama Petro wa miaka ya tisini inamaanisha ya kwamba kila mmoja wenu anapaswa kutenda neno la Mungu, kuwa na kuingia kwa kweli katika uzoefu wenu na kupata hata zaidi na hata nuru kubwa katika kushirikiana kwenu na Mungu, kuleta hata zaidi ya msaada Wake katika maisha yenu. Kama mmesoma sana neno la Mungu lakini mnaelewa tu maana ya maandishi na hamna maarifa ya kwanza ya neno la Mungu kupitia uzoefu wenu wa vitendo, hamtajua neno la Mungu. Ili mradi unahusika, neno la Mungu si maisha, lakini barua bila uhai. Na kama unaamini tu barua bila uhai, huwezi kufahamu kiini cha neno la Mungu, wala kuelewa mapenzi Yake. Wakati tu unapitia neno Lake katika uzoefu wako halisi ndio maana ya kiroho ya neno la Mungu itafunguka yenyewe kwako, na ni katika uzoefu tu ambapo unaweza kufahamu maana ya kiroho ya ukweli mwingi, na ni kwa kupitia tu uzoefu ndio unaweza kufungua mafumbo ya neno la Mungu. Usipoliweka katika vitendo, basi haijalishi jinsi neno Lake lilivyo wazi, jambo pekee ambalo umefahamu ukashikilia ni barua tupu na mafundisho, ambayo yamekuwa kanuni za dini kwako. Si hili ndilo Mafarisayo walifanya? Kama mtatenda na kupitia neno la Mungu, linakuwa vitendo kwenu; msipotafuta kulitenda, basi neno la Mungu kwenu ni kidogo zaidi ya hadithi ya mbingu ya tatu. Kwa kweli, mchakato wa kuamini katika Mungu ni mchakato wenu kupitia neno Lake pamoja na kupatwa na Yeye, au kuliweka wazi zaidi, kuamini katika Mungu ni kuwa na maarifa na ufahamu wa neno Lake na kupitia na kuishi kwa kudhihirisha neno Lake; huo ndio ukweli wa imani yenu katika Mungu. Kama mnaamini katika Mungu na mna matumani ya uzima wa milele bila kutafuta kutenda neno la Mungu kama kitu mlicho nacho ndani yenu, basi nyinyi ni wapumbavu; ni kama kwenda karamuni tu kuangalia yaliyo huko ya kula bila kweli kuyajaribu. Si mtu kama huyo ni mpumbavu?
Ukweli ambao mtu anahitaji kumiliki unapatikana katika neno la Mungu, ukweli ambao ni faida zaidi na manufaa kwa mtu. Ni lishe na riziki ambayo miili yenu inahitaji, kitu ambacho huwasaidia kurejesha ubinadamu wenu wa kawaida, ukweli ambao mnapaswa kujiandaa nao. Zaidi mnavyotenda neno la Mungu, kwa haraka ndivyo zaidi maisha yenu yatachanua; zaidi mnavyotenda neno la Mungu, ndio wazi ukweli unakuwa. Mnavyokua katika kimo, mtaona mambo ya ulimwengu wa kiroho wazi zaidi, na mtakuwa na nguvu zaidi ya ushindi juu ya Shetani. Sehemu kubwa ya ukweli ambao hamuelewi itakuwa wazi wakati unatenda neno la Mungu. Watu wengi wameridhika na kuelewa tu maandiko ya neno la Mungu na kuzingatia katika kujiandaa wenyewe na mafundishi bila kupitia kina chake katika vitendo; si hiyo ni njia ya Mafarisayo? Jinsi gani kirai “Neno la Mungu ni uzima” kikawa ukweli kwao, basi? Wakati tu mtu anatenda neno la Mungu ndio maisha yake yanaweza kweli kuchanua; maisha hayawezi kukua tu kwa kusoma neno Lake. Kama ni imani yako ya kwamba kuelewa neno la Mungu ni kila kinachohitajika kuwa na maisha, kuwa na kimo, basi kuelewa kwako ni potovu. Kuelea kwa kweli neno la Mungu hutokea wakati unatenda ukweli, na ni lazima uelewe ya kwamba “ni kwa kutenda tu ukweli kunaweza kueleweka siku zote.” Leo, baada ya kusoma neno la Mungu, unaweza tu kusema ya kwamba unajua neno la Mungu, lakini huwezi kusema ya kwamba unalielewa. Baadhi wanasema kuwa njia pekee ya kutenda ukweli ni kuelewa ukweli kwanza, lakini hii ni nusu tu ya haki na sio sahihi kabisa. Kabla uwe na maarifa ya ukweli, bado hujapitia ukweli huo. Kuhisi ya kwamba unaelewa unachosikia sio kitu kimoja kama kweli kuelewa. Kujiandaa mwenyewe na ukweli kama inavyoonekana katika maandishi si sawa na kuelewa maana halisi humo. Kwa sababu tu una ufahamu wa ukweli juu juu haina maana ya kwamba kweli unaelewa ukweli au kuutambu; maana halisi ya ukweli inatokana na kuwa na uzoefu wake. Ndio maana nasema ya kwamba wakati tu unapitia ukweli ndio unaweza kuuelewa, na wakati tu unapitia ukweli ndio unaweza kufahamu sehemu ya undani wake. Kuwa na uzoefu wa ukweli kwa kina ni njia pekee ya kufahamu kidokezo cha ukweli, na kuelewa kiini chake. Kwa hivyo, unaweza kwenda kila mahali na ukweli, lakini kama hakuna ukweli ndani yako, usifikirie hata kujaribu kuwashawishi watu wa kidini, kwa kiasi kidogo familia yako. Utakuwa kama kupepea kwa theluji bila ukweli, lakini kwa ukweli, unaweza kuwa na furaha na huru, ambapo hakuna awezaye kukushambulia. Haijalishi nadharia ina nguvu jinsi gani, haiwezi kushinda ukweli. Kwa ukweli, dunia yenyewe inaweza kutetemeka na milima na bahari kuhamishwa, wakati ambapo ukosefu wa ukweli unasababisha uharibifu na mabuu; huu ndio ukweli.
Cha muhimu sasa ni kujua ukweli kwanza, kisha uuweke katika vitendo, na kujiandaa wenyewe zaidi na maana halisi ya ukweli. Hilo ndio linapaswa kuwa lengo lako, sio tu watu kufanya wengine kufuata maneno yako lakini kuwafanya wafuate matendo yako, na ni katika hili tu unaweza kupata kitu cha maana. Bila kujali yanayokupata, bila kujali unayekutana naye, unaweza tu kusimama imara na ukweli. Neno la Mungu ndilo huleta maisha kwa mtu, sio kifo. Kama baada ya kusoma neno la Mungu hupati uzima, lakini bado umekufa baada ya kusoma neno Lake, basi kuna kitu kibaya na wewe. Kama baada ya muda fulani umesoma kiasi cha neno la Mungu na umesikia mahubiri mengi ya vitendo, lakini bado uko katika hali ya mauti, huu ni uthibitisho kuwa wewe si yule huthamini ukweli, wala mtu ambaye hutafuta ukweli. Kama kweli mngetafuta kumpata Mungu, hamngezingatia kujiandaa wenyewe na mafundisho ya juu na kuyatumia kuwahimiza wengine, lakini badala yake kuzingatia kupitia neno la Mungu na kuweka ukweli katika vitendo; si katika hilo ndio mnapaswa muingie ndani sasa?
Kuna muda mdogo kwa Mungu kufanya kazi Yake ndani yako, lakini kunaweza kuwa na matokeo yapi kama hushirikiani na yeye? Kwa nini daima Mungu huwataka kutenda neno Lake mara mnapolielewa? Ni kwa sababu Mungu amedhihirisha maneno Yake kwenu, na hatua yenu ifuatayo ni kweli kuyatenda, na Mungu atatekeleza kazi ya kutoa nuru na mwongozo wakati mnatenda maneno haya. Hivyo ndivyo jinsi ilivyo. Neno la Mungu linawekwa ili kuruhusu mtu kuchanuka maishani bila kusababisha kupotoka au ubaya. Unasema umesoma neno la Mungu na kulitenda, lakini hujapokea kazi yoyote ya Roho Mtakatifu—unachosema kinaweza tu kudanganya mtoto. Binadamu hajui kama nia zako ni sahihi, lakini unafikiri Mungu hawezijua? Ni jinsi gani basi wengine wanatenda neno la Mungu na wanapokea nuru ya Roho Mtakatifu, na bado kwa namna fulani unatenda neno Lake na hupokei nuru ya Roho Mtakatifu? Je, Mungu ni wa kihisia? Kama nia zako ni kweli nzuri na wewe ni mshirika, basi Roho wa Mungu atakuwa pamoja nawe. Mbona baadhi ya watu mara zote hutaka kuchukua nafasi maarufu, na bado Mungu hamruhusu kuinuka na kuongoza kanisa? Kwa nini baadhi ya watu hutimiza tu kazi yao na bila kuijua, wanapata kibali cha Mungu? Hilo linaweza kuwaje? Mungu huchunguza moyo, na watu ambao wanatafuta ukweli lazima wafanye hivyo kwa nia njema—watu ambao hawana nia njema hawawezi kusimama. Katika msingi wake, lengo lenu ni kuruhusu neno la Mungu kufanya kazi ndani yenu. Kwa maneno mengine, ni kuwa na uelewa wa kweli wa neno la Mungu katika kulitenda kwenu. Labda uwezo wenu wa kupokea neno la Mungu ni duni, lakini mnapotenda neno la Mungu, Yeye anaweza kubadilisha uwezo wenu duni kupokea, hivyo sio lazima tu mjue ukweli mingi, lakini pia ni lazima mtende huo ukweli. Hili ndilo lengo kubwa zaidi ambalo hauwezi kupuuzwa. Yesu aliteseka sana katika miaka yake 33½ kwa sababu Yeye alitenda ukweli. Kwa nini daima inasemwa katika rekodi ya kwamba Yeye aliteswa? Ni kueleza ni kiasi gani Yeye aliteseka kwa sababu Yeye alitenda ukweli na kutimiza mapenzi ya Mungu. Hangepitia mateso kama Yeye angejua ukweli bila kutenda ukweli huo. Kama Yesu angefuata mafunzo ya Wayahudi, na angefuata Mafarisayo, basi Yeye hangeteseka. Unaweza kujifunza kutoka kwa matendo ya Yesu ya kwamba ufanisi wa kazi ya Mungu juu ya mtu unatokana na ushirikiano wake, na hili ni jambo ambalo lazima mtambue. Je, Yesu angeteseka kama Yeye alivyofanya msalabani kama Yeye hangekuwa ametenda ukweli? Je, Yeye angeomba sala la huzuni kama hilo kama Yeye hangekuwa ametenda kwa mujibu wa mapenzi ya Mungu? Basi hii ina maana ya kwamba hii ndio aina ya mateso mtu anapaswa kuvumilia.
kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili
Kujua zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Jumatano, 21 Machi 2018

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VII

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VII

Hadithi ya 2. Mlima Mkubwa, Kijito Kidogo, Upepo Mkali, na Wimbi Kubwa

 Mwenyezi Mungu alisema, Kulikuwa na kijito kidogo kilichotiririka kwa kuzungukazunguka, hatimaye kikawasili chini ya mlima mkubwa. Mlima ulikuwa unazuia njia ya kijito hiki, hivyo kijito kikauomba mlima kwa sauti yake dhaifu na ndogo, “Tafadhali naomba kupita, umesimama kwenye njia yangu na umenizibia njia yangu kuendelea mbele.” Basi mlima ukauliza, “Unakwenda wapi?” Swali ambalo kijito kililijibu, “Ninatafuta makazi yangu.” Mlima ukasema, “Sawa, endelea na tiririkia juu yangu!” Lakini kwa sababu kijito kilikuwa dhaifu sana na kichanga sana, hakukuwa na namna kwake kutiririka juu ya mlima mkubwa hivyo, hivyo hakikuwa na uchaguzi bali kuendelea kutiririka chini ya mlima ...

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VII

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VII


Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote (I)


Mwenyezi Mungu alisema, Leo Nitashiriki nawe mada mpya. Mada itakuwa ni nini? Kichwa cha mada kitakuwa “Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote.” Je, hii siyo mada kubwa kidogo kuweza kuijadili? Je, inaonekana kama kitu ambacho kidogo hakiwezi kufikika? Mungu kuwa chanzo cha uhai kwa vitu vyote inaweza kuonekana ni mada ambayo watu wanahisi kutohusika nayo, lakini wote wanaomfuata Mungu wanapaswa kuielewa. Hii ni kwa sababu mada hii haihusiani kwa kuchanganulika na kila mtu anayemjua Mungu, kuweza kumridhisha na kumheshimu.

Jumanne, 20 Machi 2018

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee X

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee X

Jinsi Mungu Anavyotawala na Kuongoza Ulimwengu wa Kiroho

Mwenyezi Mungu alisema, Kwa ulimwengu yakinifu, watu wakikosa kuelewa vitu au jambo fulani, wanaweza kutafuta taarifa mwafaka, vinginevyo wanaweza kutumia njia mbalimbali kubaini asili ya habari kuvihusu. Lakini inapokuja kwa ulimwengu huu mwingine ambao tunauzungumzia leo—ulimwengu wa kiroho ulio nje ya ulimwengu yakinifu—watu hawana hasa mbinu au njia za kujifunzia chochote kuuhusu. Mbona Ninasema hivi? Kwa sababu, katika ulimwengu wa mwanadamu, kila kitu cha ulimwengu yakinifu hakijitengi na uwepo wa kimwili wa mwanadamu, na kwa sababu watu wanahisi kwamba kila kitu katika ulimwengu yakinifu hakitenganishwi na maisha yao ya kimwili na uhai wao wa kimwili, watu wengi wanafahamu tu kuhusu, au kuona, vitu yakinifu mbele ya macho yao, vitu vinavyoonekana kwao.

Jumatatu, 19 Machi 2018

Sura ya 88. Kulipa Gharama ili Kupata Ukweli ni Muhimu Sana

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Sura ya 88. Kulipa Gharama ili Kupata Ukweli ni Muhimu Sana

Mwenyezi Mungu alisema, rahisi kwa vijana kuendeleza kazi; wengi wao hawadumishi mwendo. Ni lazima moyo wako uwe mtulivu, lazima uweze kudumisha mwendo na uwe tayari kutumia muda kwake. Wengine hujiburudisha au kuwachezea wengine, lakini wewe unasema, "Siwezi, sina wakati. Biashara yangu ina shughuli sana. Nendeni mkajiburudishe.Ni lazima niipange biashara yangu.” Unaweza tu kufaulu kwa kushughulika na kujitolea kwa biashara yako. Kwa kweli, hukosi nguvu sasa, wala hukosi ujuzi wa kitaalamu. Ili kuboresha hali yako ya kitaaluma, unaweza kufanya baadhi ya utafiti na ujifunze. Ni yapi zaidi, una msingi huu, akili hii, ujuzi huu maalum; unachokosa kwa kweli ni kutumia wakati na nguvu. Vijana hujifunza kidogo kuhusu mambo ya kitaalamu na huelewa baadhi ya ujuzi, hivyo ni rahisi zaidi kwao kufaulu kuliko ilivyo kwa watu wazima? Nchi zinapomchagua raisi, kuna yeyote wa umri wa miaka 20 au 30 ambaye huchaguliwa? (La.) Mbona hivyo? Hawajahitimu vya kutosha katika uwanja wowote. Hawana tajriba ya kutosha, akili zao hazijakomaa, hawaoni mambo kwa upana; mambo kama ujasiri, umaizi, hekima au uwezo bado hayajakomaa. Zaidi ya hayo, kuna sababu kuu kwa nini mambo yako hivyo, watu wakiwa vijana, huwa na msukumo kuhusu mambo mengi. Na sababu nyingine ni kuwa, watu wakiwa vijana, kuna mambo mengi ulimwenguni ambayo bado hawajapitia au kukumbana nayo hapo awali, kwa hivyo mambo mengi yatakuwa yanawatia majaribuni na kuwavutia. Hilo ni kusema, ni vigumu sana kwa vijana kufaulu katika jambo lolote. Haijalishi kile ambacho umesoma, au kile ulichotaalimikia, ni vigumu kufaulu kwa chochote kizuri au muhimu, kuendeleza kazi, na majaribu ni mengi sana. Kwa jumla, watu katika umri wao wa miaka ya 50, 60, 70 au 80 huwa na tajriba nyingi sana za mambo ya ulimwengu na, kwa jumla, mtazamo wao wa ulimwengu uko imara. Wamepitia mambo katika ulimwengu wa nje kama vile ndoa, kushindwa na vikwazo, na aina zote za majaribu na vivutio, na wameyafaulu. Kwa watu wa umri wenu, karibu umri wa miaka 20, kuna mambo mengi sana katika ulimwengu wa nje ambayo ni maajabu kwenu; mnataka kupitia kila kitu, mnahisi kila kitu kikiwa kipya kwenu na mnapenda sana kujua kila kitu. Huna tajriba yake, hivyo daima iko katika akili yako, unahisi kwamba ulimwengu wa nje katika kupumbaza kwake kote sio lazima uwe mbaya hivyo, na sio lazima uwe wa kutisha sana. Hasa, ndani ya mazingira haya katika jamii, watu katika kikundi cha umri wenu hawana uwezo wa kutambua sawasawa mambo wanayosikia na kuona, na hawajui ni mambo yapi ambayo ni majaribu, au ni mambo yapi yatawaletea huzuni au kuwapotoza. Hivyo, kusema kiasi, vijana ni dhaifu sana kuliko watu wazima na wako katika hatari kuu sana. Kuna mambo machache ambayo watu katika kikundi hiki cha umri hufahamu katika mawazo yao, mambo machache ambayo mioyo yao huelewa na ambayo mioyo yao imejiandaa kwayo, na mambo mengi katika ulimwengu huu yako katika kiwango kisichojulikana na hayajulikani kwao, hivyo kuna mambo mengi ambayo kamwe hawawezi kuelewa kabla wawe na tajriba ya au wakumbane nayo, na kamwe hawawezi kujua mambo haya kwa hakika yanahusu nini. Hivyo, iwapo vijana wako katika mazingira ya kawaida, basi wataona ikiwa vigumu sana kusimama imara. Iwapo umeshawishika kwa miaka kadhaa kanisani, katika mazingira haya yaliyo na ukweli, kwa angalau miaka 8 au 10, basi moyo wako utakuwa umetulia na utakuwa umekita mizizi katika familia ya Mungu. Iwapo hutaweza kutuliza moyo wako katika aina hii ya mazingira, hata hivyo, basi utajipata katika shida na hatari kuu.
Kumwamini Mungu na kutekeleza wajibu wako ndiyo njia sahihi katika maisha, ndiyo sahihi kuchagua na, kwa huruma za Mungu, watu wana fursa hii ya kutekeleza wajibu wa binadamu aliyeumbwa. Kwa watu katika umri mchanga kama nyinyi ambao, inaweza kusemwa, mko katika upeo wa ujana wenu, ili kuweza kutekeleza wajibu wenu ni huruma za Mungu, na pia mnajaribu kushirikiana katika kufanya hivi. Lakini iwapo utadhibitiwa na kuzuiliwa kimakosa na baadhi ya masuala madogo, iwapo huwezi kuendelea kutekeleza wajibu wako na suala hili dogo liathiri wajibu wako, au labda lisumbue wajibu wako au hata kuutamatisha wajibu wako—hii haitakuwa aibu? Hii itakuwa sikitiko, aibu. Hivyo, ni lazima muombe pamoja mara kwa mara na mara nyingi kutulia; msifikirie kuhusu matatizo hayo ambayo hayawahusu au yale ambayo hampaswi kuwa mnafikiri kuyahusu sasa, na mfunge vipengele hivyo vya mioyo yenu. Mngali wachanga na wa miaka michache, kwa hivyo msiwe na wasiwasi sana wa kufikiri kuhusu mambo haya. Mambo makubwa maishani sio ndoa tu, kazi na matarajio ya siku sijazo, au kutulia na kuishi kwa amani. Wala kutokuwa na uvumilivu wa kupata nafasi yako katika jamii sio jambo la pekee. Haya sio mambo ya muhimu zaidi. Mambo muhimu zaidi ni yapi? Hapo awali, ndoa na mazishi yalikuwa mambo makubwa; mambo haya ndiyo makubwa sasa? (La.) Mambo makubwa zaidi ni yapi? (Kwanza, muiheshimu imani ya Mungu ndani yetu, na mtekeleze wajibu na shughuli ambazo binadamu aliyeumbwa anapaswa kutekeleza.) Hili ndilo azimio mnalopaswa kuwa nalo. Sasa mnamwamini Mungu na mnatekeleza wajibu wenu, hivyo maisha yenu yameanza kwa mwelekeo ulio sahihi. Hili ni kuu, na ni sahihi. Hivyo,ni nini mnachopaswa kufanya baada ya hili? Je, mnafahamu? (Weka msingi kwa njia ya kuingia katika maisha.) Hili ni sahihi. Weka misingi yako katika njia ya kutafuta ukweli, hakikisha lengo na mwelekeo wa maisha yako, uruhusu ukweli kuweka msingi katika moyo wako na, kwa njia hii, kwa hakika utakuwa mtu ambaye Mungu huchagua, mtu ambaye Mungu amejalia. Ni lazima kwanza muweke misingi. Misingi yenu sasa bado sio imara. Kamwe msijali kuhusu dhoruba, mpulizo kidogo wa upepo unaweza kuwatingisha wakati wowote, hivyo inaweza kusemwa kuwa bado hamjaweka misingi, na hii ni hatari sana. Wekeni lengo lenu la maisha, wekeni mwelekeo ambao mnatafuta, na muweke njia ambayo ni lazima muifuate katika maisha haya. Wekeni lengo hili na jambo kubwa katika maisha, tulieni kwa miaka, na mfanye kazi kwa bidii, tumieni, fanyeni juhudi na mlipe gharama ya suala husika na kwa lengo hili; msifikiri sasa kuhusu jambo lingine lolote. Mbona hampaswi kufikiri kuhusu jambo lingine lolote? Iwapo utaendelea kufikiri kuhusu mambo hayo mengine, basi suala husika halitakuwa jambo lako kuu, badala yake litakuwa la baadaye. Iwapo bado utaendelea kufikiri kuhusu kupata kazi, kupata pesa nyingi, kutajirika, kupata mahali thabiti pa usalama katika jamii, kupata nafasi yako mwenyewe, na pia kufikiri kuhusu kuolewa na kupata mume au mke, haya ni mambo makubwa mangapi? Na kisha unataka kufikiri kuhusu kupata ujuzi na uwezo katika siku sijazo, jinsi ya kuwa mtu aliyejitokeza, na unataka kusaidia na kukuza jamii katika siku zijazo na kuwapa wazazi wako maisha mazuri. Hutakuwa umechoka? Moyo wako ni mkubwa kiasi kipi? Je, mtu huwa na kiwango kipi cha nguvu katika maisha? Watu huwa na nguvu nyingi zaidi katika miaka yao mingapi, na ni miaka mingapi ambayo inaweza kuchukuliwa kuwa miaka yao bora zaidi? Katika maisha mazima ya mtu, wakati rahisi zaidi, wakati ambao nguvu yao husitawi zaidi, ni wakati ambapo wako katika miaka yao ya 20, na zaidi kabisa hadi umri wa miaka 40. Katika wakati huu, ni lazima mfahamu ukweli mnaopaswa kuelewa katika imani yenu kwa Mungu, na kisha muingie katika uhakika wa ukweli, mkubali hukumu na kuadibu kwa Mungu na mkubali kusafishwa na Mungu na majaribu—ni nini ambacho lazima mtimize kwa kufanya hivi? Hamtamkana Mungu hata hali iweje—hili ni la muhimu zaidi; kando na hili, haijalishi kitakachowavuta au kuwaburuta, au iwapo baadaye mtaolewa na kupata mume au mke, hamtakata tamaa kuhusu wajibu wenu na kukata tamaa kuhusu vitu ambavyo mwanadamu aliyeumbwa anapaswa kufanya; na zaidi ya hayo, iwapo wakati fulani katika siku sijazo Mungu hatawataka, bado mtaweza kuutafuta ukweli na kutafuta kutembea kwa njia ya kumcha Mungu na kuepuka uovu. Ni lazima mtie bidii kwa vipengele hivi; iwapo mtafanya hivyo, basi hamtaishi miaka hii bure.
Na baadhi ya watu bado wamechanganyikiwa, wakiota siku yote. Wanasema, "Bado kuna muda mwingi kabla ya kazi ya Mungu kufika mwisho. Ni kawaida kula, kunywa, kuoa na kujitolea katika ndoa, na muwe au msiwe na mimi, haileti utofauti wowote." Ni kweli kwamba haileti utofauti wowote ukiwa au usipokuwa nao. Lakini kuna wakati ambao Mungu humuokoa mwanadamu, na wakati ambao ni wa kazi ya Mungu kufikia kikomo, kuna mtu mmoja tu ambaye anaweza kuokolewa; Yeye anamchukua tu mtu huyo mmoja na kuwaharibu wengine wote—hii ni tabia ya Mungu. Mtu hawezi kuitambua na hawezi kuielewa. Ni watu wangapi walikufa wakati wa Nuhu? Nuhu alikuwa akijenga safina kwa zaidi ya miaka 100, na watu hao wote hawakuwa wametubu. Mwishowe, Mungu alimuokoa Nuhu na familia yake tu ya watu wanane, na baada ya watu hawa wanane kuingia katika safina, ni nini basi kilichotendeka kwa wale wote waliobaki? (Wote waliangamia kabisa.) Wale katika ya wanadamu ambao wameshindwa kuokolewa ni wadudu na mchwa machoni pa Mungu. Huku Mungu akimuokoa mtu, tabia Yake ni yenye huruma, ya kupenda, na ya kuvumilia; lakini kazi ya Mungu ya kumuokoa mtu inapokamilika, Havumilii tena na Yeye huondoa uvumilivu wake, na ni ghadhabu na uadhama wake tu ambayo hubaki. Nyakati hizi mnazoishi sasa kwa kweli ni nyakati nzuri sana. Katika wakati huu ambao kazi ya Mungu ni muhimu zaidi, mko tu katika umri unaofaa, mliweza kuupata na nyote mnaweza kutekeleza wajibu wenu. Haijalishi ni taaluma gani mlizosomea, kile ambacho mmemudu au ni ujuzi upi maalum mlionao, kwa njia ya taaluma zenu wenyewe maalum mumekuja katika nyumba ya Mungu kutekeleza wajibu wenu. Hii ndiyo huruma ya Mungu na ni fursa ambayo haiji kila siku. Matendo ya Mungu hayapendelei yeyote. Ni Mwenye huruma kwako na Hukuruhusu kufurahia baraka hii, sio ili uweze kutosheleza mwili wako na sio ili uweze kuishi maisha ya kutosheka na kutofanya juhudi zozote za kuendelea. Haijalishi ni aina gani ya njia Mungu atakupa, haijalishi jinsi Alivyo mwenye huruma kwako, mwishowe ana mapenzi haya tu, ambayo ni wewe kuelewa ukweli, ili uweze kuyaelewa mapenzi yake na kuelewa ukweli katika mazingira haya ambayo yanafaa kwa ukuaji wako. Maneno ya Mungu na ukweli wa Mungu huletwa kwako na yanakuwa maisha yako, na unaweza kumtii na kumuogopa Mungu. Licha ya umri wako mchanga, azimio lako ni kuu, kama yalivyo maisha yako, shauku lako na moyo wako wa kumuogopa Mungu. Basi hili ni kuu, na Mungu ameridhika. Mungu angesema kuwa huruma Zake kwako si za bure. Mungu huvuna mavuno, huzaa matunda na huona matokeo pamoja na wewe; gharama ambayo Yeye hulipa si bure. Mungu anafurahi na ana raha kuona hilo. Huu ni ukuu na mpango wa Mungu, kwa hiyo ni jambo ambalo mtu anaweza kuchagua?
Gharama ambayo Mungu hulipia kila mmoja wenu haijakuwa tu miongo iliyopita tangu mzaliwe. Haijakuwa miongo hiyo tu. Kama Mungu anavyoona, umekuja katika ulimwengu huu mara nyingi na umepata mwili tena mara nyingi. Je, ni nani anayehusika na suala hili? (Mungu.) Mungu ndiye anayehusika nalo, hivyo unafahamu nini kulihusu? Hujui chochote kulihusu. Kila unapokuja ulimwenguni, Mungu hupanga kila kitu Yeye Mwenyewe. Hupanga miaka utakayoishi, aina ya familia utakayozaliwa ndani, utakapooa na kutulia katika ndoa, utakachofanya ulimwenguni, utakachotegemea kuishi, na Mungu hukufungulia njia ili uweze kukamilisha kazi yako katika maisha haya bila tatizo. Wakati unaofuata unapopewa jukumu ulimwenguni, Mungu hutimiza mipango Yake kwa ajili ya maisha yako kulingana na mipango unayopaswa kuwa nayo na ambayo anapaswa kukutengenezea. Hivi tu, Hukupangia mambo mara nyingi sana na, mwishowe, unazaliwa katika enzi hii ya siku za mwisho na unazaliwa katika aina hii ya familia, na Mungu anakuruhusu uende sambamba na kazi yake, umsikize Akizungumza na kuisikia sauti Yake, na hivyo umeishi hadi sasa. Hujui umekuja ulimwenguni mara ngapi, ni mara ngapi ambapo umbo lako limebadilika, umeishi katika familia ngapi, ni enzi ngapi na ni koo ngapi umepitia. Mkono wa Mungu umekushikilia kila mara na Mungu amekulinda kila mara. Ni kiwango gani cha juhudi ambacho Mungu anapaswa kutumia kwa mtu! Baadhi ya watu husema, "Nina umri wa miaka 60, hivyo Mungu ametumia miaka 60 kwangu, Amenitunza na kunilinda kwa miaka 60 na kudhibiti hatima yangu kwa miaka 60.” Je, hili si jambo la ujinga kusema? Si suala la maisha ya wakati mmoja tu ndio Mungu hudhibiti hatima ya mtu na kumtunza na kumlinda. Iwapo lingekuwa suala la maisha ya wakati mmoja, la kipindi kimoja tu cha maisha, basi Mungu hangekuwa Mungu na hangekuwa na aina hii ya mamlaka au uwezo, na haingesemwa kuwa Mungu hutawalavitu vyote, kuwa hutawala kila kitu. Juhudi ambazo Mungu hufanya na gharama ambayo huwa Anakulipia sio tu kupanga vitu ambavyo unafanya katika maisha haya. Yeye hutenda kwa mwoyo na hutenda kwa kutumia maisha Yake Mwenyewe kama gharama, Akiongoza kila mmoja na kupanga maisha yote ya kila mtu. Hivyo, tukizingatia juhudi ambazo Mungu hufanya na gharama ambayo Yeye hulipa kwa niaba ya mwanadamu, na pia ukweli wote na maisha ambayo Yeye humpa mtu, iwapo watu hawatatimiza wajibu wa mtu aliyeumbwa katika nyakati hizi za mwisho na iwapo hawatamrudia Muumbaji, basi haijalishi ni maisha mangapi au ni enzi ngapi watakazoishi, si wao ndio watakuwa wamepoteza? Je, si watakuwa hawastahili gharama ambayo Mungu huwalipia? Hawastahili kabisa gharama anayowalipia Mungu. Kwa hivyo, katika maisha haya—Sizungumzi kuhusu maisha yoyote yaliyopita, lakini katika maisha haya—iwapo kwa ajili ya kazi yako mwenyewe huwezi kuacha vitu unavyopenda au iwapo huwezi kuacha vitu hivi vya nje—vitu hivi vya raha na maisha ya familia—iwapo huwezi kuacha vitu hivi kwa ajili ya gharama ambayo Mungu hukulipia au kulipa upendo wa Mungu, basi hakuna jambo lolote zuri kukuhusu kabisa! Kwa kweli kila gharama unayolipa inastahili. Ikilinganishwa na gharama ambayo Mungu hulipa kwa niaba yako, kiwango hicho kidogo unachotoa au unachotumia hufikia kiwango kipi? Kuteseka kwako hafifu hufikia kiwango kipi? Je, unajua Mungu ameteseka kwa kiwango kipi? Kuteseka hafifu ambako huwa unavumilia hakufikii kiwango chochote. Zaidi ya hayo, sasa unatimiza wajibu wako na unapata ukweli, hivyo mwishowe ni wewe utakayekuwa umebaki. Wakati huu, haijalishi iwapo utateseka au kulipa gharama, kwa hakika unashirikiana na Mungu, na unafanya chochote ambacho Yeye hukwambia ufanye kwa kuyatii maneno Yake; tenda kulingana na maneno Yake, usimkaidi Mungu, na usifanye chochote kinachomhuzunisha Yeye. Unaposhirikiana na Yeye, ni lazima uteseke kwa kiasi fulani na uache baadhi ya vitu, kuacha na kutoa baadhi ya vitu—kuacha umaarufu na faida, vyeo, mali na raha za dunia, hata ndoa, kazi na matarajio yako ya baadaye ya kilimwengu. Je, Mungu anajua unapoacha vitu hivi? Je, Anaweza kuona? (Ndio.) Na Anapoona hili, Atafanya nini? (Mungu anapendezwa. Mungu anafurahi.) Mungu hachukui tu mtazamo, Yeye huchukua hatua, la sivyo, matakwa Yake kwa mwanadamu hayangekuwa na maana. Yeye hafurahi tu, Akisema, “Gharama Niliyolipa inaonyesha matokeo. Mtu huyu yuko tayari kushirikiana na Mimi na ana azimio hili. Nimempata mtu huyu.” Kama Mungu amefurahi, Ameridhika au Anahisi kufarijika, huwa hachukui tu aina moja ya mtazamo—huwa Anachukua hatua. Huruma za Mungu kwa mwanadamu, upendo Wake kwa mwanadamu, rehema Zake kwa mwanadamu zote sio aina ya mtazamo tu; ni ukweli. Ukweli gani? Mungu huyaweka maneno Yake ndani yako ili uweze kupata nuru dani mwako, ili uweze kuona kupendeza kwa Mungu, ili uweze kuona kabisa jinsi ulimwengu ulivyo, ili moyo wako uweze kuchangamshwa na hivyo uweze kuyaelewa maneno ya Mungu na uelewe ukweli. Basi, si umepata kile ambacho unapaswa kupata? Hii sio tu aina ya mtazamo wa Mungu, ni mtazamo tu? Je, umepata nini? (Ukweli.) Umepata kile ambacho ni cha thamani zaidi. Mungu anapoona kuwa ni vyema, huwa Anachukua mtazamo fulani. Wakati huohuo wa kuchukua mtazamo, Yeye pia Huchukua hatua, kama tu vile watu husema, “Huwezi tu kuchukua mtazamo, ni lazima pia uchukue hatua fulani ya kiutendaji.” Watu husema, "Siutaki. Sitaki chochote. Sitaki chochote cha Mungu." Na Mungu husema, “Haikubaliki. Ni lazima Nikupe zawadi—hiki ndicho unachostahili.” Hivyo unapata faida. Unapata nini? Unapata ukweli, unapata maisha, unapata maarifa ya Muumbaji—basi bado ungali mtupu ndani? Je, hujatajirishwa ndani yako? Na mara unapotajirishwa ndani, basi si unaishi maisha ya thamani?
Ayubu aliomba ng'ombe na kondoo waliokuwa kote milimani, au utajiri mkubwa wa familia? (La.) Aliomba nini? Kumcha Mungu na kujiepusha na uovu. Kulingana na Mungu, Mungu alisema kwamba aliona ni vyema, na basi mwishowe Alifanya nini? Je, Alinena maneno hayo machache tu na kisha huo ukawa mwisho? Mungu alichukua hatua; Alichukua hatua gani? Mungu alimtuma Shetani kumjaribu Ayubu, na kuchukua ng'ombe na kondoo wake waliokuwa kote milimani, mali na vitu vyake, watoto wake na wafanyakazi wake, na haya yalikuwa majaribio ya Mungu kwa Ayubu. Mungu alitaka nini kwa kumfanya Ayubu kupitia majaribio haya? Mungu alitaka ushuhuda wa Ayubu. Na Mungu alimpa Ayubu nini wakati huo? Watu wanafikiri, “Mungu alimpa Ayubu nini wakati huo? Ng'ombe na kondoo wake wote walichukuliwa. Hakumpa Ayubu chochote.” Hapa kuna kitu alichopewa Ayubu, na kulikuwa na zawadi, na bado hakuna anayeweza kuona wazi zawadi ambayo Mungu alimpa Ayubu. Mungu alitaka ushuhuda wa Ayubu hivyo Mungu alimpa Ayubu zawadi ya fursa; Hii ilikuwa fursa gani? Ilikuwa Ayubu awe na ushuhuda wa Mungu mbele ya Shetani na mbele ya wanadamu wote, kuwa shahidi kwa ukweli kwamba Ayubu alimcha Mungu na kujiepusha na uovu, na kuwa shahidi kwamba Ayubu alikuwa mkamilifu na mwaminifu. Hiki ndicho Mungu alimpa Ayubu? Iwapo Mungu hakumpa Ayubu fursa hii, Shetani angethubutu kusonga dhidi yake? Hakika Shetani hangethubutu, na hii ni hakika asilimia 100. Na iwapo Shetani hangethubutu kumjaribu, bado Ayubu angekuwa na fursa hii? Hangekuwa na fursa hii. Hivyo, Mungu alimpa Ayubu aina hii ya fursa ili kuthibitisha kwa umati kuwa njia aliyoifuata Ayubu—njia ya kumcha Mungu na kujiepusha na uovu—ilikuwa njia sahihi, kwamba ilikuwa inakubalika kwa Mungu na kwamba Ayubu alikuwa mtu mwaminifu na mkamilifu. Umati uliona haya yote, Mungu aliona haya, na Ayubu alichukua fursa hii na hakumsikitisha Mungu; alikuwa shahidi wa Mungu, alimpiga Shetani, akamshinda Shetani na Mungu aliona kwamba ilikuwa vyema. Hivyo, mwishowe, Mungu alimpa Ayubu chochote kama zawadi? (Ndio.) Ni nini kilichokuwa zawadi ya pili ya Ayubu kutoka kwa Mungu? Mungu alisema kwamba Ayubu alimcha Mungu na kujiepusha na uovu na alikubaliwa na Mungu, kwamba Ayubu alikuwa shahidi wa Mungu mbele ya Shetani, na kuwa kila alichoamini kilikuwa kizuri, na Mungu alipendezwa na kufurahi, na Alichukua aina hii ya mtazamo. Je, Mungu hakuchukua hatua nyingine zaidi baada ya kuuchukua mtazamo huu? Mungu alifanya nini? Hamkifahamu sana kitabu cha Ayubu. Ni katika hali zipi ambapo Ayubu alisema, “Nimesikia habari zako kwa kusikia kwa masikio: lakini sasa macho yangu yanakuona” (Ayubu 42:5)? (Baada ya Mungu kunena na yeye.) Mungu alinena na yeye na kufichua mgongo Wake kwa Ayubu. Je, hii haikuwa zawadi ya Ayubu kutoka kwa Mungu? Kuna yeyote ambaye alikuwa amewahi kumuona Mungu kabla ya Ayubu? Hakuna aliyekuwa ameiona nafsi halisi ya Mungu hapo awali, ikijumuisha mgongo wa Mungu. Ayubu aliuona mgongo wa Mungu na kuisikia sauti yake, na hiki si kitu ambacho mtu aliyeumbwa hutamani sana kukipata? Ayubu alipata hili, hivyo mnamuonea wivu? (Ndio.) Ni vigumu kupata hili, sivyo? Hivyo ni vipi ambavyo mtu anaweza kupata fursa hii, huruma hii na zawadi hii? Ni lazima uwe na ushuhuda wa Mungu; Ni lazima uwe shahidi wa Mungu miongoni mwa majaribu ya Shetani, ni lazima utembee katika njia ya kumcha Mungu na kujiepusha na uovu na ni lazima usimame mbele za Mungu na umfanye kusema kuwa Anachoona ni chema na umfanye Apendezwe na kufurahi. Anapoona kuwa kila unachofanya ni kizuri na ushuhuda wako ni mzuri, Anaposema umekamilika, kuwa wewe ni mtu anayetafuta ukweli, basi utapata haya yote. Baada ya Ayubu kuuona mgongo wa Yehova, zawadi ya Mungu iliishia pale? Mungu alifanya nini baada ya hayo? Alimbariki Ayubu na mali nyingi zaidi kuliko aliyokuwa nayo hapo mbeleni, sivyo? Hivyo ni kusema, alikuwa mwenye mali kuliko mbeleni. Sema kwanza alikuwa kama milionea, hivyo sasa alikuwa labda zaidi ya bilionea. Unaona, kwa mtu anayemcha Mungu na kujiepusha na uovu, kuwa bilionea ni kitu rahisi kutimiza. Hizi ndizo huruma za Mungu!
Kile ambacho Mungu humpa mwanadamu huzidi kile ambacho anaomba au kutamani, lakini iwapo utapenda kupata zawadi inayozidi unachoomba au kutamani, basi lazima uifuate njia ya Mungu. Sio suala rahisi kuifuata njia ya Mungu—ni lazima ulipe gharama. Hata hivyo, gharama hii hailipwi bure—unafidiwa. Watu hufikiri kila mara kuwa Mungu huchukua tu aina ya mtazamo kwao, kuwa Hafanyi chochote, lakini Yeye tu hukaa mahali pamoja kila wakati, Akichunguza na kutazama. Hivi ndivyo ilivyo kweli? La, sivyo. Mungu ni kama mzazi kwa mwanadamu. Unawasikiliza wazazi wako, unakuwa na tabia njema, unatekeleza wajibu wako mzuri, na unateseka sana kutembea katika njia sahihi. Kwa hiyo hilo huwafanya wazazi wako kuhisi vipi? Mioyo yao huvunjika kwa upendo, na wangetoa maisha yao kwa ajili yako ili kupunguza kuteseka kwako, kukufanya ule vyema, uvae nguo nzuri na ujifurahishe. Hawataki uteseke kutokana na umaskini wowote. Huu ndio moyo walio nao wazazi wako. Na ikilinganishwa na hii, moyo wa Mungu unaweza kuwa hata mwema zaidi, wa kupendeza zaidi, mzuri zaidi. Moyo wa Mungu hauwezi kuwa chini ya hii. Kuhusu kikundi chenu cha umri, je, hamuwezi kushukuru kwa ajili ya baadhi ya vitu vingine vizuri ambavyo wazazi wenu huwafanyia? Kwa hiyo zaidi ya yote, tumia utunzaji wa wazazi wako kwako kuushukuru moyo wa Mungu. Kwa mfano wakati wewe ni mgonjwa na unalala kitandani, wazazi wako huhisi vipi? Hawahisi kwenda kazini, na iwapo huwezi kula pia wao hawawezi. Kabla ya wewe kuweza kutembea au kutambaa, walikushikilia kila usiku. Wakati ambapo hungeweza kula hata chembe cha chakula, walikulisha kutoka kwa kinywa chao wenyewe; hii ndiyo aina ya moyo walio nao. Ulipokua na kuweza kutembea, kila wakati walikuwa wakiogopa kwamba ungegongwa na vitu. Ulipofanya hivyo, mioyo yao ilivunjika kwa upendo, na wangekusugua pale ulipogongwa na kupigapiga sakafu na kukubembeleza. Iwapo ulilia, mioyo yao ilivunjika. Iwapo uliteseka kutokana na kosa lolote, wangekuwa tayari mara moja kupigana vita vyako. Unapokua na wanakuona ukiteseka, au wakuone ukiwa umechoka kutoka kazini, wako na hamu ya kukaa na wewe siku yote, bila kula au kunywa chochote wao wenyewe, kuwa karibu na wewe na kukupikia, kufua nguo zako, kukutumikia, kuwa mjakazi wako, kutuliza mateso yako, na hata kutamani kuwa wangeteseka kwa niaba yako; huu ndio moyo walio nao. Na iwapo wazazi wanaweza kuwa hivi kwa watoto wao, basi Mungu anaweza kuwa zaidi vipi kwa wanadamu? Mungu anaweza tu kuwa mkubwa zaidi, halisi zaidi. Hawezi kuwa chini ya jinsi wazazi walivyo kwa watoto wao, kwani kwa kawaida kutakuwa na vitu kwa watu ambavyo watu wengine hawawezi kuvishughulikia, ilhali Mungu hushughulikia watu kwa kila njia iwezekanayo. Wazazi wako walikuzaa na hukuchukulia kama mwili na damu yao wenyewe. Wanakupenda, wanakutunza na kukulinda sana. Kwa hiyo Niambie, mwanadamu ni nani kwa Mungu, kama mwanadamu aliumbwa kwa mikono Yake Mwenyewe? Mtu ni mwili na damu ya Mungu Mwenyewe. Ingawa si kama hali ya mtu pale ambapo watoto wameunganishwa na wazazi wao kupitia kuzaliwa kwa mwili na damu na kwamba Mungu hutumia mkono Wake kumuumba mwanadamu, ni kwamba Mungu anapumua pumzi Yake ndani ya mwanadamu, na Anaweka matarajio Yake kwa mwanadamu. Hili ni kusema, mwanadamu amepewa matumaini ya Mungu, Mungu ana matakwa kwa mwanadamu na Huweka imani Yake kwake. Sio suala rahisi sana kwa kuwa Mungu anamuumba mwanadamu na kupumua pumzi Yake ndani ya mwanadamu, na kwa hali yoyote Mungu ni Mwenye uwezo sana, kwa hiyo iwapo Hakutaka wanadamu hawa, basi Angeumba wengine tu. Baada ya kuwaumba wanadamu, Aliwaweka katika moyo Wake. Wanadamu ni nyama na damu Yake na ni wenza Wake; pia wao ndio walioaminiwa na wanaobeba matumaini yote ya Mungu katika mpango Wake wa usimamizi, na mwishowe Anataka kuona matumaini na kupata matokeo kutoka kwa wanadamu. Kwa kuzingatia dhana hii, jaribuni kuthamini matakwa na mapenzi ya Mungu, na basi hamtakuwa na kuthamini kwa kina zaidi)? Hebu tuchukue mfano. Ili kumweka mtoto wao shuleni na kujipatia sifa, mtoto wao anaposoma, wazazi wako hapo kando yake wakimfukuta, kisha kumpa shira, kisha faluda ya mayai iliyotiwa mvuke, kisha kukwaruza mwasho wake, kisha kuwakanda. Hawajui cha kufanya kwa matokeo bora. Mioyo yao huwa naye kila wakati, na ulimwengu wao humzunguka. Ulimwengu wa wazazi wako hukuzunguka, na je, hawaweki matarajio kwako na kukuamini na matumaini yao? Iwapo huwasikilizi na huwatii kila wakati, je, hawahuzuniki? Je, hawasikitiki? Hivyo basi, kwa kutumia wazo hili, fikiria kuhusu moyo wa Mungu. Mungu huona wanadamu na, haijalishi jinsi ulivyo mzee, nyote ni watoto machoni pa Mungu. Unasema una miaka 80 na Mungu anasema wewe bado ni mtoto. Unasema una miaka 20 na Mungu anasema wewe hata ni mtoto zaidi. Mungu hatofautishi kati ya umri; machoni Pake wanadamu wote ni wachanga, wote ni watoto, na hivi ndivyo Yeye huwachukulia wanadamu. Kwa hivyo, machoni pake, wewe ni mwili na damu Yake, mwenzi Wake. Kwa hiyo unawezaje kustahili kuwa mwili na damu Yake, mwenza Wake, muwe watu wanaopendeza roho Yake na kumridhisha? Je, hili si swali ambalo wanadamu wanastahili kulizingatia na kulitafakari?
Mungu huchukulia wanadamu kuwa mwili na damu Yake, kama wenza Wake, kama wanaobeba gharama iliyo na uchungu ambayo Mungu hulipa, hivyo Mungu ana moyo wa aina gani? Mungu ana hali gani ya akili na Mungu ana aina gani ya mtazamo kwa watu hawa ili Aweze kuwa na kiwango hiki cha uhusiano nao? Mungu ana moyo gani Anapokuwa na kiwango hiki cha uhusiano? Je, watu wanaweza kuuthamini kikamilifu? Mtu anaweza kusema, “Sijamuona Mungu, na siwezi nikatambua chochote ambacho Mungu amenifanyia katika maisha yangu machache yaliyopita.” Lakini unaishi sasa, kwa hiyo unaweza kutambua mwongozo wa Mungu na gharama Anayokulipia sasa? Unaweza kuelewa hili? (Ndio.) Ni sawa iwapo unaweza kuelewa hili, na hili linathibitisha kuwa wewe si mjinga. Inatosha kuweza kuyaelewa haya yote, na inastahili kabisa kuacha kila kitu na kumfuata Mungu.

Umeme wa Mashariki | Mwokozi Amerudi Tayari Juu ya “Wingu Jeupe”

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Umeme wa Mashariki | Mwokozi Amerudi Tayari Juu ya “Wingu Jeupe”

Kwa maelfu kadhaa ya miaka, mwanadamu ametamani kuweza kushuhudia kufika kwa Mwokozi. Mwanadamu ametamani kumtazama Yesu Mwokozi katika wingu jeupe Anaposhuka, yeye binafsi, kati ya wale ambao wamengoja na kumtamani kwa maelfu ya miaka. Mwanadamu ametamani Mwokozi arejee na kuungana na watu, yaani, ili Yesu Mwokozi Arudi kwa watu ambao wamekuwa mbali Naye kwa maelfu ya miaka. Na mwanadamu anatumaini kuwa Atatekeleza tena kazi ya ukombozi Aliyoifanya kati ya Wayahudi, Atakuwa na huruma na mwenye upendo kwa mwanadamu, Atasamehe dhambi za mwanadamu, kuchukua dhambi za mwanadamu, na hata kuchukua makosa yote ya mwanadamu na kumkomboa mwanadamu kutoka kwa dhambi. Wanatamani Yesu Mwokozi Awe Alivyokuwa hapo awali—Mwokozi Ambaye Anapendeka, wa kirafiki na heshima, Asiye na hasira kwa mwanadamu, na Asiyemrudi mwanadamu. Mwokozi huyu Anasamehe na kubeba dhambi zote za mwanadamu, na hata kufa msalabani tena kwa ajili ya mwanadamu. Tangu Yesu Aondoke, wafuasi waliomfuata, na watakatifu wote waliookolewa kwa sababu ya jina Lake, wamekuwa wakimtamani mno na kumngoja. Wale wote waliookolewa na neema ya Yesu Kristo katika Enzi ya Neema wamekuwa wakiitamani siku hiyo ya furaha katika siku za mwisho, wakati ambapo Yesu Mwokozi Anawasili juu ya wingu jeupe na kuonekana kati ya mwanadamu. Bila shaka, haya pia ni mapenzi ya wale wote wanaolikubali jina la Yesu Mwokozi leo. Ulimwenguni kote, wale wote wanaojua kuhusu wokovu wa Yesu Mwokozi wamekuwa wakingoja kwa hamu kurejea ghafla kwa Yesu Kristo, kutimiza maneno ya Yesu Akiwa duniani: “Nitarejea tu jinsi Nilivyoondoka”. Mwanadamu anaamini kuwa, kufuatia kusulubishwa na kufufuka, Yesu Alirudi mbinguni juu ya wingu jeupe, na kuchukua mahali Pake katika mkono wa kulia wa Yule Aliye Juu. Vilevile, mwanadamu anatazamia kuwa Yesu Atashuka, tena juu ya wingu jeupe (wingu hili linarejelea lile wingu ambalo Yesu Alipaa juu yake Aliporudi mbinguni), miongoni mwa wale ambao wamemtamani mno kwa maelfu ya miaka, na kuwa Atachukua mwonekano na mavazi ya Wayahudi. Baada ya kumwonekania mwanadamu, Atafadhili chakula kwa sababu yao, na kufanya maji ya uzima kuwamwagika kwa ajili yao, na Ataishi miongoni mwa wanadamu, Akiwa amejawa na neema na upendo, Akiwa hai na wa hakika. Na mengine. Ilhali Yesu Mwokozi hakufanya haya; Alitenda kinyume cha yale ambayo mwanadamu alikuwa anatazamia. Hakurejea kati ya wale ambao walikuwa wametamani kurejea Kwake, na hakutokea kwa wanadamu wote Akitumia wingu jeupe. Amerejea tayari, lakini mwanadamu hamjui, na kubaki mjinga kuhusu kurejea Kwake. Mwanadamu anamngoja tu bila mwelekeo, bila kujua kuwa ameshuka tayari juu ya wingu jeupe (wingu ambalo ni Roho Yake, maneno Yake, na tabia Yake yote na yale yote ambayo Yeye ni), na sasa yuko kati ya kikundi cha washindi ambacho Atakitengeneza katika siku za mwisho. Mwanadamu hafahamu haya: Ingawa Mwokozi Mtakatifu Yesu Amejawa na upendo na mapenzi kwa mwanadamu, Atafanya kazi vipi katika “hekalu” ambalo limejaa uchafu na roho wasio safi? Ingawa mwanadamu amekuwa akingoja kufika Kwake, Atawaonekania vipi wale wanaokula mwili wa wale wasio na haki, kunywa damu ya wasio na haki, kuvaa mavazi ya wasio na haki, wanaomwamini lakini hawamfahamu, na wanaompokonya kila wakati? Mwanadamu anajua tu kuwa Yesu Mwokozi Amejawa na upendo na huruma, na ni sadaka ya dhambi iliyojawa na ukombozi. Lakini mwanadamu hana habari kwamba Yeye pia ni Mungu Mwenyewe, ambaye Amejawa na haki, utukufu, ghadhabu, na hukumu, na kuwa na mamlaka na kujawa na hadhi. Kwa hivyo ingawa mwanadamu anayo hamu na kutamani kurudi kwa Mkombozi, na hata Mbingu inaguswa na maombi ya mwanadamu, Yesu Mwokozi hawaonekanii wale wanaomwamini ilhali hawamfahamu.
“Yehova” ni jina ambalo Nilichukua wakati wa kazi Yangu kule Uyahudi, na linamaanisha Mungu wa Wayahudi (Wateule wa Mungu) Anayeweza kumhurumia mwanadamu, kumlaani mwanadamu, na kuyaongoza maisha ya mwanadamu. Lina maana Mungu Anayemiliki nguvu kuu na Amejawa na hekima. “Yesu” ni Imanueli, na lina maana sadaka ya dhambi iliyojawa na upendo, Amejawa na huruma, na Anamkomboa mwanadamu. Alifanya kazi ya Enzi ya Neema, na Anawakilisha Enzi ya Neema, na Anaweza tu kuwakilisha sehemu moja tu ya mpango wa usimamizi. Hivyo ni kusema, Yehova pekee ndiye Mungu wa watu wa Uyahudi waliochaguliwa, Mungu wa Ibrahimu, Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, Mungu wa Musa na Mungu wa Wayahudi wote. Na sasa katika enzi hii, Wayahudi wote isipokuwa kabila la Uyahudi wanamwabudu Yehova. Wanatoa kafara Kwake kwa madhabahu, na kumtumikia wakivaa mavazi ya kikuhani hekaluni. Wanachotumainia ni kuonekana tena kwa Yehova. Yesu pekee ndiye Mkombozi wa wanadamu. Yeye ni sadaka ya dhambi ambayo ilimkomboa mwanadamu kutoka kwa dhambi. Ambayo ni kusema, jina la Yesu lilitoka katika Enzi ya Neema, na kuwepo kwa ajili ya kazi ya wokovu katika Enzi ya Neema. Jina la Yesu liliwepo ili kuwezesha watu wa Enzi ya Neema kuzaliwa upya na kuokolewa, na ni jina mahsusi la wokovu wa binadamu wote. Kwa hivyo jina Yesu linawakilisha kazi ya wokovu, na kuashiria Enzi ya Neema. Jina Yehova ni jina mahsusi la Wayahudi walioishi chini ya sheria. Katika kila enzi na kila hatua ya kazi, jina Langu haliwi bila msingi, lakini lina umuhimu wakilishi: Kila jina linawakilisha enzi moja. “Yehova” Anawakilisha Enzi ya Sheria, na ni jina la heshima kwa Mungu Aliyeabudiwa na Wayahudi. “Yesu” Anawakilisha Enzi ya Neema, na ni jina la Mungu wa wale wote waliokombolewa katika Enzi ya Neema. Iwapo mwanadamu bado anatamani kufika kwa Yesu Mwokozi katika siku za mwisho, na bado anatarajia Afike na picha Aliyokuwa nayo kule Uyahudi, basi mpango wote wa usimamizi wa miaka elfu sita ungekoma katika Enzi ya Ukombozi, na usingeweza kuendelea zaidi. Siku za mwisho, hata zaidi, zisingeweza kufika, na enzi isingefikishwa kikomo. Hii ni kwa sababu Yesu Mwokozi ni wa ukombozi na wokovu wa mwanadamu peke yake. Nilichukua jina la Yesu kwa sababu ya watenda dhambi wote katika Enzi ya Neema, na silo jina ambalo nitatumia kuleta wanadamu wote kufika kikomo. Ingawa Yehova, Yesu, na Masiha yote yanawakilisha Roho Wangu, majina haya yanaashiria wakati tofauti katika mpango Wangu wa usimamizi, na hayauwakilishi ukamilifu Wangu. Majina wanayoniita watu duniani hayawezi kueleza tabia Yangu nzima na yote Niliyo. Ni majina tu ambayo Ninaitwa katika enzi tofauti. Kwa hivyo, enzi ya mwisho—enzi ya siku za mwisho—itakapofika, jina langu litabadilika tena. Sitaitwa Yehova, au Yesu, na wala sio Masiha, lakini nitaitwa Mwenyezi Mungu Mwenyewe mwenye nguvu, na chini ya jina hili Nitaleta enzi nzima kufikia tamati. Nilijulikana kama Yehova wakati mmoja. Niliitwa pia Masiha, na watu wakaniita Yesu Mwokozi pia wakati mmoja kwa sababu walinipenda na kuniheshimu. Lakini leo Mimi sio Yehova au Yesu Ambaye watu walimfahamu nyakati zilizopita—Mimi ni Mungu Ambaye Amerejea katika siku za mwisho, Mungu Ambaye ataleta enzi kufika mwisho. Mimi ni Mungu Mwenyewe Ambaye Anainuka katika kingo za dunia, Nimejawa na tabia Yangu nzima, na Nimejawa na mamlaka, heshima na utukufu. Watu hawajawahi kushirikiana na Mimi, hawajawahi kunifahamu, na wamekosa ufahamu kuhusu tabia Yangu. Tangu uumbaji wa dunia hadi leo, hapana hata mtu mmoja ambaye Ameniona. Huyu ni Mungu Ambaye ametokea kwa mwanadamu katika siku za mwisho lakini Amejificha kati ya mwanadamu. Anaishi kati ya mwanadamu, wa kweli na halisi, kama jua iwakayo na moto unaochoma, Aliyejaa nguvu na kujawa mamlaka. Hakuna hata mtu mmoja au kitu ambacho hakitahukumiwa na maneno Yangu, wala mtu hata mmoja au kitu ambacho hakitatakaswa kupitia moto unaowaka. Hatimaye, mataifa yote yatabarikiwa kwa sababu ya maneno Yangu, na pia kupasuliwa kwa vipande kwa sababu ya maneno Yangu. Kwa njia hii, watu wote katika siku za mwisho wataona kuwa Mimi ndiye Mwokozi Aliyerejea, Mimi ndiye Mungu Mwenyezi Ambaye Ninatamalaki juu ya binadamu wote, na Nilikuwa sadaka ya dhambi kwa mwanadamu wakati mmoja, lakini katika siku za mwisho Ninakuwa pia miale ya Jua Linalochoma vitu vyote, na pia Jua la haki Linalofichua vitu vyote. Hivyo ndivyo ilivyo kazi Yangu ya siku za mwisho. Nilichukua jina hili na Ninamiliki tabia hii ili watu wote wapate kuona kuwa Mimi ni Mungu mwenye haki, na Mimi ni jua linachoma, na moto unaowaka. Ni hivyo ili watu wote waniabudu, Mungu pekee wa kweli, na ili waone uso Wangu wa kweli: Mimi sio tu Mungu wa Wayahudi, wala Mimi sio Mkombozi tu—Mimi ni Mungu wa viumbe vyote katika mbingu na dunia na bahari.
Mwokozi Atakapofika katika siku za mwisho, kama Angeitwa Yesu bado, na kuzaliwa mara nyingine Uyahudi, na kufanya kazi Yake Uyahudi, basi hii ingeonyesha kuwa Niliumba Wayahudi peke yao na kuwakomboa Wayahudi peke yao, na kuwa sina uhusiano wowote na Mataifa. Je, hii haitakuwa kinyume cha maneno Yangu kwamba “Mimi ni Bwana Aliyeumba mbingu na nchi na vitu vyote”? Nilitokea Uyahudi kufanya kazi Yangu kati ya Mataifa kwa sababu Mimi sio tu Mungu wa Wayahudi, ila Mungu wa viumbe vyote. Ninaonekana kati ya Mataifa katika siku za mwisho kwa sababu Mimi sio tu Yehova, Mungu wa Wayahudi, lakini, zaidi, kwa sababu Mimi ni Muumba wa wote Niliowachagua kati ya Mataifa. Sikuumba Uyahudi pekee, Misri, na Lebanoni, bali Niliumba pia Mataifa yote mbali na Israeli. Na kwa sababu ya hii, Mimi ni Bwana wa viumbe vyote. Nilitumia tu Uyahudi kama hatua ya kwanza ya kazi Yangu, Nikatumia Uyahudi na Galilaya kama ngome ya kazi Yangu ya ukombozi, na kutumia Mataifa kama msingi ambao Nitaleta enzi nzima kufika mwisho. Nilifanya hatua mbili za kazi kule Uyahudi (hatua mbili za kazi za Enzi ya Sheria na Enzi ya Neema), na Nimekuwa Nikitekeleza zaidi hatua mbili za kazi (Enzi ya Neema na Enzi ya Ufalme) katika nchi nyingine nje ya Uyahudi. Kati ya Mataifa Nitafanya kazi ya kutamalaki, na hivyo kukamilisha enzi. Mwanadamu Akiniita Yesu Kristo kila wakati, lakini hajui kuwa nimeanza enzi mpya katika siku za mwisho na Nimeanza kazi mpya, na mwanadamu akingoja kwa hamu kufika kwa Yesu Mwokozi, basi Nitawaita watu kama hao watu wasioniamini. Ni watu ambao hawanijui, na imani yao Kwangu ni bandia. Watu hao wanaweza kushuhudia kufika kwa Yesu Mwokozi kutoka mbinguni? Wanachongoja sio kufika Kwangu, bali ni kufika kwa Mfalme wa Wayahudi. Hawatamani maangamizo Yangu ya dunia hii nzee yenye uchafu, badala yake, wanatamani kurudi kwa Yesu mara ya pili, ambapo watakombolewa; wanamtazamia Yesu kumkomboa binadamu mara nyingine kutoka kwa hii dunia iliyochafuliwa na isiyo na haki. Watu hao watakuwa vipi wale wanaokamilisha kazi Yangu katika siku za mwisho? Tamaa ya mwanadamu haina uwezo wa kufikia matakwa Yangu ama kutimiza kazi Yangu, kwani mwanadamu hutamani tu au kuenzi kazi ambayo Nimefanya hapo awali, na hawajui kuwa Mimi ni Mungu Mwenyewe ambaye ni mpya kila siku na hawi mzee. Mwanadamu anajua tu kuwa Mimi ni Yehova, na Yesu, na hana ufahamu kuwa Mimi ni Mwisho, Yule Ambaye Ataleta binadamu kufika mwisho. Yale ambayo mwanadamu anatamani na kujua ni ya dhana yake mwenyewe, na ni yale tu ambayo anaweza kuyaona na macho yake mwenyewe. Hayako sambamba na kazi Ninayofanya, bali kwa mvurugano nayo. Kama kazi Yangu ingefanywa kulingana na mawazo ya mwanadamu, basi ingefika mwisho lini? Mwanadamu angeingia mapumziko lini? Na Ningewezaje kuingia katika siku ya saba, siku ya Sabato? Nafanya kazi kulingana na mpango Wangu, kulingana na lengo Langu, na sio kulingana na nia ya mwanadamu.
wa Mashariki
kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili
Kujua zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi Mungu