
Ijumaa, 31 Agosti 2018
Maneno ya Mungu Huniongoza Kujifunza Jinsi ya Kuwafundisha Wanangu (I)
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 31, 2018Huniongoza, Kujifunza, Kuwafundisha-Wanangu, maneno-ya-Mungu, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Maneno ya Mungu Huniongoza Kujifunza Jinsi ya Kuwafundisha Wanangu (I)
Xiaoxue, Malesia
Nina wana wawili wa kiume na wameachana na mwaka mmoja. Ili kuwalea kuwa watu waliostaarabika, wenye tabia nzuri, watu wema ambao wataweza watajijengea jina katika jamii na...
Alhamisi, 30 Agosti 2018
Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (2) - Mbona Kuna Ukiwa Ulioenea Pote katika Ulimwengu wa Dini?
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 30, 2018imani-ya-kidini, Mwenyezi-Mungu, Roho-Mtakatifu, siku-za-mwishoNo comments

Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (2) - Mbona Kuna Ukiwa Ulioenea Pote katika Ulimwengu wa Dini?
Dunia nzima ya dini kwa sasa inapitia njaa kubwa, hawapo tena pamoja na kazi ya Roho Mtakatifu au uwepo wa Bwana, wanafanya mambo maovu zaidi na zaidi na imani na huruma ya waumini inadhoofika na kuwa baridi. Aidha,...
Jumanne, 28 Agosti 2018
Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (1) - Jinsi ya Kutafuta Nyayo za Kazi ya Mungu
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 28, 2018Biblia, hukumu, Maji-ya-Uzima, Nyayo-za-Kazi-ya-MunguNo comments

Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (1) - Jinsi ya Kutafuta Nyayo za Kazi ya Mungu
Tunapokabiliana na ukiwa wa makanisa na giza iliyo katika roho, tunapaswa kuanza kutafuta nyayo za Bwana vipi? Tangu nyakati za kale njia ya kweli hupatwa mara kwa mara na mateso, na kuonekana na kazi ya Mungu wa kweli siku zote...
Jumatatu, 27 Agosti 2018
Asili ya Binadamu Haiwezi Kupimwa kwa Sura
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 27, 2018Asili-ya-mtu, kanisa, Ukweli, Umeme-wa-Mashariki, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Asili ya Binadamu Haiwezi Kupimwa kwa Sura
Yang Rui Mji wa Yuci , Mkoa wa Shanxi
Siku moja, nilisikia kwa ghafla kuwa baba yangu alifukuzwa kutoka kwa kanisa. Nilishangaa kabisa wakati huo na sikuweza kuelewa. Katika moyo wangu, baba yangu alikuwa ndiye mtu mkuu mno...
Jumapili, 26 Agosti 2018
Filamu za Kikristo "Chama Hakijamaliza Kuzungumza" | Concrete Proof of the CCP Persecuting Christians
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 26, 2018imani-ya-kidini, Mateso-ya-Kidini, Mkristo, ukatili, ushuhudaNo comments

Filamu za Kikristo "Chama Hakijamaliza Kuzungumza" | Concrete Proof of the CCP Persecuting Christians
Li Ming’ai ni Mkristo nchini China Bara. Yeye ni mwanamke mwadilifu ambaye anawaheshimu wakweze, humsaidia mumewe na kumuelimisha mtoto wake, na ana familia ya furaha na patanifu. Katika China, ambako ukanaji Mungu unatawala, hata hivyo, serikali...
Jumamosi, 25 Agosti 2018
Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (3) - Ili Kuchunguza Kurudi kwa Bwana Tunapaswa Kusikiliza Sauti ya Mungu
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 25, 2018Biblia, Kusikiliza-Sauti-ya-Mungu, Mwenyezi Mungu, Roho-MtakatifuNo comments

Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (3) - Ili Kuchunguza Kurudi kwa Bwana Tunapaswa Kusikiliza Sauti ya Mungu
Kimsingi unabii wote uliotajwa katika Biblia kuhusiana na kurudi kwa Bwana tayari umetokea. Watu wengi wamehisi kwamba Bwana tayari amerudi, hivyo, tunapaswa kuchunguza vipi ili kuhakikisha kuhusu suala...
Ijumaa, 24 Agosti 2018
Maneno ya Mungu Yameniamsha
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 24, 2018hukumu, kikuu-cheupe-cha-enzi, maneno-ya-Mungu, siku-za-mwisho, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, Vitabu, wazi-ukweliNo comments


Maneno ya Mungu Yameniamsha
Miao Xiao Mji wa Jinan, Mkoa wa Shandong
Katika siku zilizopita, nilikuwa daima nikifikiri kuwa Mungu aliposema “ni kibaraka na msaliti anayekikimbia kiti kikuu cheupe cha enzi” Alikuwa anaashiria wale wanaoikubali hatua hii ya kazi lakini...
Alhamisi, 23 Agosti 2018
Sura ya 35. Jinsi ya Kuishika Njia ya Petro
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 23, 2018kanisa, Kikristo, kufuatilia-ukweli, Njia-ya-Petro, YesuNo comments


Sura ya 35. Jinsi ya Kuishika Njia ya Petro
Kufanya muhtasari wa kuishika njia ya Petro, ni kuishika njia ya kufuatilia ukweli, ambayo pia ni njia ya kujijua na kubadilisha tabia ya mtu. Ni kwa kuishika tu njia ya Petro ndio mtu atakuwa anashika njia ya kukamilishwa...
Jumatano, 22 Agosti 2018
Swahili Gospel Choir Song "Ufalme" | New Jerusalem Has Come Down Out of Heaven
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 22, 2018mji-wa-watakatifu, Ufalme, ufalme-wa-Kristo, Umeme-unatoka-MasharikiNo comments

Swahili Gospel Choir Song "Ufalme" | New Jerusalem Has Come Down Out of Heaven
Ufalme, mji wa watakatifu, ufalme wa Kristo.
Katika ufalme, utajiri na utukufu wa Mungu hudhihirishwa.
Umeme unatoka Mashariki na kuangaza hadi Magharibi.
Mwanga wa kweli uko hapa, neno la Mungu limeonekana katika mwili.
Mwokozi amesharudi, akishuka juu ya wingu...
Jumanne, 21 Agosti 2018
Ninaona njia ya kumjua Mungu
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 21, 2018Bwana-Yesu, Kumjua-Yesu, kuwa-na-uzoefu-wa-neno-ya-Mungu, Neno-la-Mungu, neno-la-Mwenyezi-MunguNo comments


Ninaona njia ya kumjua Mungu
Xiaocao Mji wa Changzhi, Mkoa wa Shanxi
Siku moja, niliona kifungu hiki kifuatacho cha neno la Mungu kwa maandishi “Namna Petro Alivyopata Kumjua Yesu”: “Kwenye kipindi kile alichomfuata Yesu, Petro alitazama na kutia moyoni kila kitu kuhusu...
Jumatatu, 20 Agosti 2018
"Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (5) - Ni Nani Anayempa Mwanadamu Njia ya Uzima wa Milele?
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 20, 2018Bwana-Yesu, Maji-ya-Uzima, msalaba, Njia-ya-Uzima-wa-Milele, siku-za-mwishoNo comments

"Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (5) - Ni Nani Anayempa Mwanadamu Njia ya Uzima wa Milele?
Bwana Yesu alisema, "Lakini yeyote atakayekunywa maji yale nitakayompa hatahisi kiu milele; bali yale maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji yakibubujika katika uzima wa milele" (Yohana 4:14). Bwana Yesu ndiye chanzo cha maji...
Jumapili, 19 Agosti 2018
Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (6) - Tofauti Kati ya Njia ya Toba na Njia ya Uzima wa Milele
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 19, 2018hukumu, Mwenyezi-Mungu-wa-siku-za-mwisho, Njia-ya-Toba, Njia-ya-Uzima-wa-Milele, Sinema-za-InjiliNo comments

Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (6) - Tofauti Kati ya Njia ya Toba na Njia ya Uzima wa Milele
Bwana Yesu na Mwenyezi Mungu ni Mungu mmoja. Bwana Yesu hufanya kazi ya ukombozi, Yeye anahubiri njia ya toba. Mwenyezi Mungu wa siku za mwisho anafanya kazi ya hukumu ya kuwatakasa wanadamu, Yeye huleta njia ya...
Jumamosi, 18 Agosti 2018
Ufafanuzi wa Tamko la Arubaini na Sita
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 18, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Mwenyezi Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments


Ufafanuzi wa Tamko la Arubaini na Sita
Miongoni mwa maneno haya yote, hakuna yasiyoweza kusahaulika zaidi kama yale ya leo. Awali maneno ya Mungu yalifichua hali za mwanadamu au siri za mbinguni, lakini tamko hili halifanani na yale ya wakati uliopita. Halidhihaki wala...
Swahili Gospel Video "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (7) - Je, Kufanya Kazi Ngumu Kunamaanisha Tunafuata Mapenzi ya Baba wa Mbinguni?
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 18, 2018kueneza-injili-ya-Bwana,, kupata-uzima-wa-milele, mbinguni, Sinema-za-Injili, unafuata-Mapenzi-ya-Baba-wa-MbinguniNo comments

Swahili Gospel Video "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (7) - Je, Kufanya Kazi Ngumu Kunamaanisha Tunafuata Mapenzi ya Baba wa Mbinguni?
Waumini wengine wa Bwana hufikiria kwamba yote tunayohitaji kufanya ni kuteseka na kulipa gharama ya kueneza injili ya Bwana, kubeba msalaba ili kumfuata Bwana, na kutenda unyenyekevu, subira na uvumilivu,...
Ijumaa, 17 Agosti 2018
Swahili Gospel Movie clip (9) - Ushuhuda kutoka kwa Kupitia Hukumu ya
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 17, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, siku-za-mwisho, Ukweli, Umeme-wa-Mashariki, ushuhudaNo comments

Swahili Gospel Movie clip (9) - Ushuhuda kutoka kwa Kupitia Hukumu ya
Katika siku za mwisho, Mwenyezi Mungu anaonyesha ukweli nchini China na anafanya kazi ya hukumu akianza na nyumba ya Mungu. Alishinda na kuokoa kundi la watu, na wao ndio ambao wamepata njia ya uzima wa milele. Je, unataka kujua jinsi ambavyo wamepitia hukumu na kuadibiwa kwa...
Alhamisi, 16 Agosti 2018
Swahili Christian Worship Song "Upendo wa Mungu Hutuleta Karibu Zaidi Pamoja"
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 16, 2018Umeme-wa-Mashariki, Upendo-wa-Mungu, wimbo-wa-Kikristo, ya-Mwenyezi-Mungu-yanatuitaNo comments

Swahili Christian Worship Song "Upendo wa Mungu Hutuleta Karibu Zaidi Pamoja"
ngawa tumetengwa na maziwa na milima isiyohesabika,
sisi tuko pamoja, bila mipaka kati yetu,
tukiwa na rangi tofauti za ngozi na kuzungumza ndimi tofauti.
Kwa sababu maneno ya Mwenyezi Mungu yanatuita,
tunainulia juu mbele ya kiti cha enzi cha Mung...
Jumatano, 15 Agosti 2018
Wimbo wa Maneno ya Mungu "Upendo Safi Bila Dosari" | What Is It to Truly Love God?
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 15, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Upendo-Safi-Bila-Dosar, What-Is-It to-Truly-Love-God, wimbo-wa-Kikristo, Wimbo-wa-Maneno-ya-MunguNo comments

Wimbo wa Maneno ya Mungu "Upendo Safi Bila Dosari" | What Is It to Truly Love God?
I
Upendo ni hisia safi, safi bila dosari.
Tumia moyo, tumia moyo, kupenda, kuhisi, kutunza.
Upendo hauna masharti, vizuizi au kujitenga.
Tumia moyo, Tumia moyo, kupenda, kuhisi, kutunza.
Ukipenda hudanganyi, hulalamiki, hugeuki,
hutazamii kupata...
Jumanne, 14 Agosti 2018
Swahili Christian Movie | Nyendo za Mateso ya Kidini Nchini China | "Njia Ndefu ya Uhamisho"
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 14, 2018Filamu-za-Kikristo, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Mateso-ya-KidiniNo comments

Swahili Christian Movie | Nyendo za Mateso ya Kidini Nchini China | "Njia Ndefu ya Uhamisho"
Tangu kilipokuja mamlakani katika China Bara mnamo mwaka wa 1949, Chama Cha Kikomunisti cha China kimekuwa hakikomi katika mateso yake kwa imani ya kidini.Kwa wayowayo kimewashika na kuwaua Wakristo, kuwafukuza na kuwadhulumu wamishonari wanaofanya kazi...
Jumatatu, 13 Agosti 2018
Unapaswa Kudumisha Ibada Yako Kwa Mungu
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 13, 2018Ibada-Kwa-Mungu, Kristo, Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments


Unapaswa Kudumisha Ibada Yako Kwa Mungu
Roho Mtakatifu Anafanya kazi vipi katika kanisa sasa? Je, una ufahamu wa hilo? Ni matatizo gani makubwa zaidi yanayowakumba ndugu na dada? Wamepungukiwa na nini zaidi? Kwa sasa, kuna watu ambao wako hasi katikati ya majaribio,...
Jumapili, 12 Agosti 2018
Maelezo ya Kweli ya Kazi Katika Enzi ya Ukombozi
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 12, 2018Bwana-Yesu, kanisa, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Mwenyezi-Mungu-alisemaNo comments


Maelezo ya Kweli ya Kazi Katika Enzi ya Ukombozi
Mpango Wangu mzima wa usimamizi, mpango ambao una urefu wa miaka elfu sita, unashirikisha hatua tatu, au enzi tatu: Enzi ya Sheria mwanzoni; Enzi ya Neema (ambayo pia ni Enzi ya Ukombozi); na katika siku za mwisho,...
Jumamosi, 11 Agosti 2018
Latest Christian Video Swahili | "Kufungulia Moyo Minyororo"
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 11, 2018Christian-Video-Swahili, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, siku-za-mwisho, UkomboziNo comments

Latest Christian Video Swahili | "Kufungulia Moyo Minyororo"
Chen Zhi alizaliwa katika familia iliyokuwa masikini. Shuleni, "Maarifa yanaweza kubadilisha majaliwa yako" na "Majaliwa ya mtu yako mikononi mwake" kama alivyofundishwa na shule ikawa wito wake....
Ijumaa, 10 Agosti 2018
Nyendo za Mateso ya Kidini Nchini China| "Ni Nani Aliyemlazimisha Kuyatamatisha Maisha Yake"
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 10, 2018Filamu-za-Kikristo, imani, Mateso-ya-Kidini, Nyendo, ukatili, Umeme-wa-MasharikiNo comments

Nyendo za Mateso ya Kidini Nchini China| "Ni Nani Aliyemlazimisha Kuyatamatisha Maisha Yake"
Tangu kilipokuja mamlakani katika China Bara mnamo mwaka wa 1949, Chama Cha Kikomunisti cha China kimekuwa hakikomi katika mateso yake kwa imani ya kidini. Kwa wayowayo kimewashika na kuwaua Wakristo, kuwafukuza na kuwadhulumu wamishonari wanaofanya...
Jumatano, 8 Agosti 2018
Swahili Christian Praise Song "Anga Hapa ni Samawati Sana" | The Kingdom of God Has Already Descended
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 08, 2018Christian-Praise-Song, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Msifuni-Mwenyezi-Mungu, The-Kingdom-of-GodNo comments

Swahili Christian Praise Song "Anga Hapa ni Samawati Sana" | The Kingdom of God Has Already Descended
I
Aa ... hii hapa anga,
oh ... anga iliyo tofauti sana!
Harufu ya kupendeza inasambazwa kote kwenye nchi, na hewa ni safi.
Mwenyezi Mungu alikuwa mwili na anaishi miongoni mwetu,
Akionyesha ukweli na kuanza hukumu ya siku za...
Jumanne, 7 Agosti 2018
Njia Yote Pamoja na Wewe
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 07, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Njia-Yote-Pamoja-na-Mungu, Nyimbo-ya-Msifuni-Mwenyezi-Mungu, Wimbo-wa-Uzoefu-wa-MaishaNo comments


Njia Yote Pamoja na Wewe
Wimbo
Njia Yote Pamoja na Wewe
I
Nilikuwa kama mashua,
ikielea baharini.
Ulinichagua,
na mahali pazuri Uliniongoza.
Sasa katika familia Yako,
nikipewa joto na upendo Wako,
nina amani kabisa.
Unanibariki,
Unatoa maneno Yako...
Jumatatu, 6 Agosti 2018
Video za Kikristo 2018 “Kuamka Kutoka kwa Ndoto” | Kufichua Fumbo la Kuingia katika Ufalme wa Mbinguni
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 06, 2018Biblia, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Ufalme-wa-Mbinguni, Video-za-KikristoNo comments

Video za Kikristo 2018 “Kuamka Kutoka kwa Ndoto” | Kufichua Fumbo la Kuingia katika Ufalme wa Mbinguni
Kama wafuasi wengi wa Bwana Yesu, Yu Fan aliangazia kuhusu kusoma Biblia, akaacha kila kitu ili kulipa gharama ya kuteseka kwa ajili ya Bwana, na akatafuta kumtumikia Bwana kwa ari....
Jumapili, 5 Agosti 2018
Filamu za Kikristo "Ni Nani Anayemsulubisha Mungu Tena"
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 05, 2018Filamu-za-Kikristo, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, msalaba, Umeme-wa-MasharikiNo comments

Filamu za Kikristo "Ni Nani Anayemsulubisha Mungu Tena"
Go Shoucheng ni mchungaji katika kanisa la nyumbani huko China. Amemwamini Bwana kwa miaka mingi, na amekuwa akishughulikia kwa mahubiri yake kwa uthabiti, na amekuwa kila mahali akihuburu injili. Amekamatwa na kutiwa jelani kwa sababu ya kuhubiri injili, na kukaa miaka kumi na miwili...
Jumamosi, 4 Agosti 2018
Tamko la Arubaini na Saba
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 04, 2018hukumu, Kristo, Kumbukumbu-za-Maongezi-ya-Kristo, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments

Tamko la Arubaini na Saba
kuwafanya wanadamu wawe wakomavu katika maisha na kuwafanya wanadamu na Mimi tuweze kutimiza matokeo katika udhanifu wetu wa pamoja, Nimewaendeka wanadamu kila mara, Nikiwakubalia kupata chakula na riziki kutoka kwa neno Langu na kupokea utele Wangu kutoka kwak...
Ijumaa, 3 Agosti 2018
Sinema za Injili "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" | Roho wa Ukweli Amekuja!
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 03, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, msalaba, Roho-Mtakatifu, Sinema-za-Injili, UkweliNo comments

Sinema za Injili "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" | Roho wa Ukweli Amekuja!
Tao Wei alikuwa mhubiri kutoka kanisa la nyumba. Kanisa lake lilipokuwa na ukiwa zaidi na zaidi siku baada ya siku, wafuasi wake wote wakawa walegevu na wenye roho dhaifu, na roho yake mwenyewe ilikuwa na giza. Yeye hakuweza tena kuhisi uwepo wa Bwana,...
Alhamisi, 2 Agosti 2018
Video ya Injili 2018 | "Kutoka Kinywani mwa Mauti" | Mungu Amenipa Fursa ya Pili Katika Maisha
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 02, 2018Filamu-za-Kikristo, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Sinema-za-Injili, Upendo-wa-MunguNo comments

Video ya Injili 2018 | "Kutoka Kinywani mwa Mauti" | Mungu Amenipa Fursa ya Pili Katika Maisha
Liu Zhen, mwenye umri wa miaka 78, ni mke wa nyumbani wa kawaida wa mashambani. Baada ya kumwamini Mungu, alihisi furaha isiyo na kisawe na kusoma maneno Yake na kuimba nyimbo za kumsifu siku zote, na mara nyingi kukusanyika pamoja na ndugu zake kushirikiana...
Jumatano, 1 Agosti 2018
Tamko la Arubaini na Sita
By Kuhusu Umeme wa MasharikiAgosti 01, 2018kanisa, Kumbukumbu-za-Maongezi-ya-Kristo, Ukweli, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments


Tamko la Arubaini na Sita
Sijui jinsi watu wanavyoendelea katika kuyafanya maneno Yangu kuwa msingi wa kuweko kwao. Nimehisi wasiwasi kila mara kwa ajili ya majaliwa ya mwanadamu, lakini watu hawaonekani kuwa na fahamu yoyote kuhusu hili—na kutokana na...