Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Ijumaa, 25 Januari 2019

Wimbo wa Maneno ya Mungu Viumbe Wote Lazima Waje Chini ya Utawala wa Mungu

Wimbo wa Maneno ya Mungu Viumbe Wote Lazima Waje Chini ya Utawala wa Mungu I Mungu aliumba vitu vyote, na hivyo Yeye hufanya viumbe vyote kuja chini ya amri Yake, na kutii utawala Wake. Anaamuru vitu vyote, akividhibiti katika mikono Yake. Vitu hai, milima, mito na mwanadamu lazima vyote vije chini ya amri Yak...

Alhamisi, 24 Januari 2019

Ushuhuda wa Washindi | 2. Nguvu ya Maisha Ambayo Haiwezi Kuzimwa Kamwe

Ushuhuda wa Washindi | 2. Nguvu ya Maisha Ambayo Haiwezi Kuzimwa Kamwe Dong Mei, Mkoa wa Henan Mimi ni mtu wa kawaida. Niliishi maisha ya kawaida. Kama wengi wanaotamani sana mwanga, nilijaribu njia nyingi kutafuta maana ya kweli ya uwepo wa wanadamu, nikijaribu kuyapa...

Jumatano, 23 Januari 2019

Ushuhuda wa Washindi | 1. Upendo wa Mungu Ulikuwa Nami Katika Gereza la Giza la Ibilisi

Ushuhuda wa Washindi | 1. Upendo wa Mungu Ulikuwa Nami Katika Gereza la Giza la Ibilisi Yang Yi, Mkoa wa Jiangsu Mimi ni Mkristo wa Kanisa la Mwenyezi Mungu. Nimekuwa mfuasi wa Mwenyezi Mungu kwa zaidi ya miaka kumi. Katika wakati huu, kitu kimoja ambacho...

Jumanne, 22 Januari 2019

uzoefu wa maisha | 8. Kutambua Kuwa Nimekuwa Nikiitembea Njia ya Mafarisayo

uzoefu wa maisha | 8. Kutambua Kuwa Nimekuwa Nikiitembea Njia ya Mafarisayo Wuxin Mji wa Taiyuan, Mkoa wa Shanxi Kitu ambacho tumezungumzia mara kwa mara katika ushirikiano wa awali ni njia ambazo zilitembewa na Petro na Paulo. Inasemekana kwamba Petro alizingatia...

Jumapili, 20 Januari 2019

2. Kuona Uhalisi Wangu Kwa Dhahiri

 2. Kuona Uhalisi Wangu Kwa Dhahiri Xiaoxiao Jijini Xuzhou, Mkoani Jiangsu Kwa sababu ya mahitaji ya kazi ya kanisa, nilihamishwa mpaka mahali pengine ili kutimiza wajibu wangu. Wakati huo, kazi ya injili mahali pale ilikuwa katika hali duni, na hali ya akina...

Jumamosi, 19 Januari 2019

Matamshi ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima - Tamko la Ishirini na Tano

 Matamshi ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima - Tamko la Ishirini na Tano Muda unapita, na kufumba na kufumbua leo imefika. Chini ya uongozi wa Roho Wangu, watu wote wanaishi katikati ya mwanga Wangu, na hakuna anayefikiria yaliyopita ama kuiwekea jana maanani. Nani...

Ijumaa, 18 Januari 2019

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee I Mamlaka ya Mungu (I) (Sehemu ya Tatu)

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Mamlaka ya Mungu (I) Sehemu ya Tatu 2. Mungu Hutumia Matamshi Yake Kuanzisha Agano na Binadamu. Mwa 9:11-13 Na nitaweka agano langu na ninyi, wala miili yote haitaondolewa tena na maji ya gharika; wala hakutakuwa na gharika tena...

Alhamisi, 17 Januari 2019

Wakristo Ushuhuda | Mungu Aliilinda Familia Yetu Wakati wa Maafa

Wakristo Ushuhuda | 8. Mungu Aliilinda Familia Yetu Wakati wa Maafa Wang Lan, Beijing Agosti 6, Mwaka wa 2012 Mnamo Julai 21, mwaka wa 2012, mafuriko makubwa zaidi tangu miaka sitini yalipitia kijijini mwetu kwa nguvu mno. Maafa yalianguka kutoka mbinguni, maji ya mafuriko yalichanganya matope na mawe na kuharibu kijiji chote....

Jumatano, 16 Januari 2019

6. Kwa nini husemwa kuwa wanadamu wapotovu wanahitaji zaidi wokovu wa Mungu aliyepata mwili?

6. Kwa nini husemwa kuwa wanadamu wapotovu wanahitaji zaidi wokovu wa Mungu aliyepata mwili?        (Fungu Lililochaguliwa la Neno la Mungu)      Mwanadamu Aliyeanguka Anahitaji Zaidi Wokovu wa Mungu Mwenye Mwili     Mungu alifanyika...

Jumanne, 15 Januari 2019

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | 5. Ni zipi tofauti muhimu kati ya Mungu mwenye mwili na hao watu ambao hutumiwa na Mungu?

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | 5. Ni zipi tofauti muhimu kati ya Mungu mwenye mwili na hao watu ambao hutumiwa na Mungu? Aya za Biblia za Kurejelea: “Mimi nawabatiza na maji ili mtubu. Lakini yule ajaye baada ya mimi ni mwenye nguvu zaidi kuliko mimi, ambaye sistahili...

Jumatatu, 14 Januari 2019

4. Kwa nini Mungu hamtumii mwanadamu kufanya kazi Yake ya hukumu katika siku za mwisho lakini badala yake Yeye ni lazima apate mwili na kuifanya Mwenyewe?

Aya za Biblia za Kurejelea: “Kwa kuwa Baba hamhukumu mwanadamu yeyote, ila amekabidhi hukumu yote kwa Mwana” (YN. 5:22). “Na yeye amempa mamlaka ya kuhukumu pia, kwa kuwa yeye ni Mwana wa Adamu” (YN. 5:27). Maneno Husika ya Mungu: Kazi mzima ya mpangilio wa usimamizi...

Jumapili, 13 Januari 2019

Maonyesho ya Mungu | "Mungu Ndiye Chanzo cha Uhai wa Mwanadamu"

Maonyesho ya Mungu | "Mungu Ndiye Chanzo cha Uhai wa Mwanadamu" Mwenyezi Mungu anasema, "chanzo cha uhai hutoka kwa Mungu, kwa viumbe vyote, haijalishi tofauti katika maumbile au muundo. Hata uwe kiumbe hai cha aina gani, huwezi kwenda kinyume na njia ya maisha ambayo Mungu ameweka. Katika hali yoyote, kile Napenda ni kuwa mwanadamu aelewe kwamba...