Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu. Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.

Muziki wa Akapela "Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu" (Video Rasmi ya Muziki)

Hayuko katika upeo wa mbali, wala hajajificha juu mawinguni. Yuko kando yako, akiwa na mamlaka juu ya kila kitu chako, Yeye ni kila kitu ulicho nacho, na Yeye ni kitu pekee ulicho nacho.

Mwabudu Mungu kwa Roho na Ukweli | “Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa” (Video za Kikristo)

Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Mimi ni vumbi lakini ninaweza kuona uso Wako. Ninawezaje kukosa kukuabudu?

Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho | Kwaya ya Injili

Mungu ndiye Mwanzo (Mungu ndiye Mwanzo) na Mwisho (na Mwisho); ni Yeye Mwenyewe Anayetekeleza kazi Yake na hivyo lazima iwe Yeye Mwenyewe Anayemaliza enzi ya kale. Huo ndio ushahidi kuwa Yeye humshinda Shetani (humshinda Shetani) na huishinda dunia, ushahidi kuwa Yeye huishinda dunia.

Nampenda Mungu kwa Moyo Wangu Wote | "Nitampenda Mungu Milele" Video Rasmi ya Muziki

Nitakupa Wewe upendo wa kweli, na sitakuacha Usubiri. Mimi nitakupa Wewe upendo safi, na tafadhali furahia upendo wangu. Nitakupa Wewe upendo wangu wote, na kukuacha upate upendo wangu. Nitakupenda Wewe kwa wakati wote; kukuridhisha Wewe ni matamanio yangu.

Jumapili, 30 Septemba 2018

Wimbo wa Injili | "Kusudi la Kazi ya Usimamizi ya Mungu ni Kumwokoa Binadamu" | Wema wa Mungu


Wimbo wa Injili | "Kusudi la Kazi ya Usimamizi ya Mungu ni Kumwokoa Binadamu" | Wema wa Mungu

Upendo na huruma za Mungu

hupenyeza kazi Yake

ya usimamizi kwa utondoti.


I

Ikiwa mwanadamu ahisi mapenzi Yake ya huruma au la,

Yeye hachoki kufuatilia kazi Anayohitaji kufanya.

Ikiwa mwanadamu aelewa usimamizi Wake au la,

kazi Yake huleta usaidizi na utoaji unaoweza kuhisiwa na wote.

Upendo na huruma za Mungu

hupenyeza kazi Yake

ya usimamizi kwa utondoti.


II

Pengine leo huhisi upendo na uzima Mungu anaokupa,

mradi tu huondoki katika upande Wake,

wala kuachilia mapenzi yako ya kutafuta ukweli,

hakika siku moja utaiona tabasamu ya Mungu.

Sababu kusudi la Mungu katika kazi Yake ya usimamizi

ni kumpokonya mwanadamu kutoka milki ya shetani

na sio kuwaacha waliopotoshwa na Shetani,

na kupinga mapenzi Yake.

Upendo na huruma za Mungu

hupenyeza kazi Yake

ya usimamizi kwa utondoti.


kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili

    Tufuate : Kanisa la Mwenyezi Mungu, Neno la Mwenyezi mungu

Jumamosi, 29 Septemba 2018

Ulimwengu wote ni Mpya Kabisa katika Utukufu wa Mungu

Ulimwengu wote ni Mpya Kabisa katika Utukufu wa Mungu

wimbo wa Kikristo, nyimbo za dini mpya, Matamshi ya Mungu kwa

Katika ufalme Wake, maneno ya Mungu hutoka.
Naye hutembea kila mahali duniani.
Naye amefanikiwa juu ya maeneo yote ya duniani,
juu ya nchi yote iliyo najisi na yenye uchafu.
Sio mbingu tu bali dunia inabadilika.
Na hivi karibuni dunia itafanywa upya.
Ulimwengu wote ni Mpya Kabisa katika Utukufu wa Mungu.
Ni ajabu iliyoje kwa kila mtu kuona.
Inaonekana kama mmwanadamu anaishi mbinguni ambako mwanadamu anafikiria,
huru kutoka kwa mfumbato wa Shetani na mashambulizi ya maadui.
Juu kabisa ya ulimwengu, nyota nyingi
zinachukua nafasi yao mbinguni kwa amri ya Mungu,
zikiangaza mwanga wao kupitia maeneo ya mbinguni
ili kufikia ulimwengu katika masaa ya giza.
Hakuna yeyote anayethubutu kuweka mawazo ya kutotii.
Ulimwengu wote ni Mpya Kabisa katika Utukufu wa Mungu.
Ni ajabu iliyoje kwa kila mtu kuona.
Inaonekana kama mmwanadamu anaishi mbinguni ambako mwanadamu anafikiria,
huru kutoka kwa mfumbato wa Shetani na mashambulizi ya maadui.
Kwa amri takatifu ya Mungu, ulimwengu una utaratibu kamili.
Hakuna kinachothubutu kuvuruga; umoja ambao haujawahi kuvunjwa.
Kwa amri takatifu ya Mungu, ulimwengu una utaratibu kamili.
Hakuna kinachothubutu kuvuruga; umoja ambao haujawahi kuvunjwa.
Ulimwengu wote ni Mpya Kabisa katika Utukufu wa Mungu.
Ni ajabu iliyoje kwa kila mtu kuona.
Inaonekana kama mmwanadamu anaishi mbinguni ambako mwanadamu anafikiria,
huru kutoka kwa mfumbato wa Shetani na mashambulizi ya maadui.
Ulimwengu wote ni Mpya Kabisa katika Utukufu wa Mungu.
Ni ajabu iliyoje kwa kila mtu kuona.
Inaonekana kama mmwanadamu anaishi mbinguni ambako mwanadamu anafikiria,
huru kutoka kwa mfumbato wa Shetani na mashambulizi ya maadui.
Ulimwengu wote ni Mpya Kabisa katika Utukufu wa Mungu.

kutoka kwa "Tamko la Kumi na Tano" la Matamshi ya Mungu kwa 

Ulimwengu Mzima katika Neno Laonekana katika Mwili

Ijumaa, 28 Septemba 2018

Mchezo Mfupi wa Kuchekesha "Kukusanyika katika Zizi la Ng'ombe" | A Horrible Experience in a Meeting


Mchezo Mfupi wa Kuchekesha "Kukusanyika katika Zizi la Ng'ombe" | A Horrible Experience in a Meeting

Kwa sasa, mateso ya Wakristo ya serikali inayomkana Mungu ya CCP yanaongezeka kila siku. Waumini wanakabiliwa na kizuizi kwa kutenda imani yao mara kwa mara; hata hawawezi kupata pahali pa kukutana kwa amani. Bila chaguo jingine, Liu Xiumin anaweza tu kutayarisha mkutano na ndugu katika zizi lake la ng'ombe. Lakini wakati wanapokutana, makada wa kijiji wanakuja mmoja baada ya mwingine kuangalia kila pahali, wakitoa visingizio mbalimbali, na kisha hata kuwaleta polisi wa CCP ndani.... Je, Liu Xiumin na ndugu zake wataweza kufanikiwa kufanya mkutano wao? Je, watagunduliwa? Je, watakamatwa? Mchezo huu mfupi wa kuchekesha Kukusanyika katika Zizi la Ng'ombe unakufichulia jinsi Wakristo katika China wanaweza kushikilia katika imani yao chini ya mateso ya serikali ya CCP.

    Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Alhamisi, 27 Septemba 2018

Kuuonja Upendo wa Mungu Katikati ya Dhiki

Kuuonja Upendo wa Mungu Katikati ya Dhiki

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Upendo wa Mungu

Chen Lu Wilaya ya Tonglu, Mkoa wa Zhejiang

    Nilizaliwa miaka ya 1980 katika kijiji—tulikuwa tumekuwa familia ya wakulima kwa vizazi vingi. Nilijiingiza katika masomo yangu ili niweze kuhitimu kuingia katika chuo na kuepuka maisha ya kijijini ya umasikini na hali ya kuwa nyuma.

Jumatano, 26 Septemba 2018

Swahili Christian Song "Matendo ya Mungu Yanajaza Ulimwengu Mzima Tupu" | Praise the Great Power of God


Swahili Christian Song "Matendo ya Mungu Yanajaza Ulimwengu Mzima Tupu" | Praise the Great Power of God

Mungu anatazama chini juu ya vitu vyote kutoka juu, na Anatawala vitu vyote kutoka juu.

Wakati huo huo, Mungu ametuma wokovu Wake juu ya dunia.

Mungu anaangalia kutoka mahali Pake pa siri kila wakati,

kila hatua ya mwanadamu, kila kitu anachosema na kufanya.

Mungu anamjua mwanadamu kama kiganja cha mkono Wake.

Mahali pa siri ni makao ya Mungu, anga ndicho kitanda Mungu akilaliacho.

Nguvu ya Shetani haiwezi kumfikia Mungu, kwani Yeye amejawa na utukufu, haki, na hukumu.



Mungu amekanyaga vitu vyote na miguu Yake, Yeye ananyosha mtazamo Wake juu ya ulimwengu.

Na Mungu ametembea kati ya wanadamu,

ameonja utamu na uchungu, ladha zote za dunia ya mwanadamu;

lakini wanadamu, kamwe hawakumtambua Mungu kweli, wala hawakumwona Mungu alipokuwa akitembea ughaibuni.

Kwa sababu Mungu alikuwa kimya, na hakufanya matendo yasiyo ya kawaida,

hivyo, hakuna aliyemwona kweli.

Vitu haviko vilivyokuwa awali:

Mungu anaenda kufanya vitu ambavyo, katika enzi zote, ulimwengu haujawahi kuona,

Mungu anaenda kunena maneno ambayo, katika enzi zote, wanadamu hawajawahi kusikia,

kwa sababu Yeye anawataka binadamu wote waje kumjua Mungu katika mwili.

kwa sababu Yeye anawataka binadamu wote waje kumjua Mungu katika mwili.

kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili


    Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Jumanne, 25 Septemba 2018

Worship and Praise Dance | "Wale Wanaompenda Mungu kwa Dhati Wote ni Watu Waaminifu" | The Kingdom of Christ Is Paradise for the Honest (Swahili Subtitles)


Worship and Praise Dance | "Wale Wanaompenda Mungu kwa Dhati Wote ni Watu Waaminifu" | The Kingdom of Christ Is Paradise for the Honest (Swahili Subtitles)

Safi na mwaminifu kama mtoto, asiye na hatia na mchangamfu, aliyejawa na nguvu za ujana,

wao ni kama malaika wanaokuja ulimwenguni.

Hakuna uongo, udanganyifu au hadaa, na moyo ulio wazi na mwaminifu, wanaishi na heshima.

Wanaitoa mioyo yao kwa Mungu, Mungu anawaamini, na wao ni watu waaminifu ambao Mungu anapenda.

Wale wanaopenda ukweli wote wana mioyo ya uaminifu.

Watu waaminifu hufurahia kutenda ukweli, na kwa kumtii Mungu mioyo yao ina amani.

Wanamcha Mungu, wanaepuka maovu na wanaishi kulingana na maneno ya Mungu.

Wanaishi katika maneno ya Mungu na wamewekwa huru na kuachiliwa.

Wanakubali uchunguzi wa Mungu na kuishi mbele Yake. Kumpenda Mungu ni kuwa na furaha na mwenye shangwe.

Ndugu, tumemwamini Mungu tangu tulipokuwa wadogo. Je, tuna furaha?

Ndiyo, tuna furaha!

Nina furaha pia!


Ninapompenda Mungu, moyo wangu una utulivu na una furaha,

na ninaishi kwa urahisi ninapotenda kulingana na maneno ya Mungu.

Moyoni mwangu kuna Mungu tu, kuna ukweli tu, maneno ya Mungu yamekuwa maisha yangu.

Nikiishi chini ya uongozi wa maneno ya Mungu kila siku, ninabarikiwa na Mungu na Roho Mtakatifu ananiongoza.

Wanakubali uchunguzi wa Mungu na kuishi mbele Yake. Kumpenda Mungu ni kuwa na furaha na mwenye shangwe.

Nikiishi chini ya uongozi wa maneno ya Mungu kila siku, ninabarikiwa na Mungu na Roho Mtakatifu ananiongoza.

Ufalme wa Kristo ni mbinguni kwa watu waaminifu,

na ni makao yao ya kupendeza.

kutoka kwa Mfuate Mwanakondoo na Imba Nyimbo Mpya


    Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Jumatatu, 24 Septemba 2018

Mchezo Mfupi wa Kuchekesha | "Njama za Polisi" (Swahili Subtitles)


Mchezo Mfupi wa Kuchekesha | "Njama za Polisi" (Swahili Subtitles)

Ili kuondoa imani za dini, serikali ya CCP ambayo inakana Mungu mara kwa mara inatumia mikakati ya kuchunguza Wakristo kama vile kuendesha uchunguzi wa siri na kufuatilia ili kuwafutilia mbali wote. Kichekesho cha Njama za Polisi kinahusu ushirikiano wa maafisa waovu wa CCP katika sura fiche na ofisa msaidizi, punda anayevaa ngozi ya simba, anayeendesha ufuatiliaji wa siri wa kuwatia mbaroni Wakristo wanaokusanyika kwenye nyumba ya Zhao Yuzhi. Je, Zhao Yuzhi na familia yake watashughulikiaje njama ovu za polisi wa Kichina? Je, ni shida gani zitakazowakumba wao?

    Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Jumapili, 23 Septemba 2018

Utajiri wa Maisha

Utajiri wa Maisha

Utajiri wa Maisha, Kanisa la Mwenyezi Mungu, Kanisa

Wang Jun Mkoa wa Shandong

Kwa miaka mingi tangu kukubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho, mke wangu na mimi tumepitia hili pamoja chini ya ukandamizaji wa joka kubwa jekundu. Katika wakati huu, ingawa nimekuwa na udhaifu, maumivu, na machozi, nahisi kwamba nimenufaika pakubwa kutoka kwa uzoefu wa ukandamizaji huu.

Jumamosi, 22 Septemba 2018

Swahili Praise Song "Upendo wa Mungu Unauzingira Moyo Wangu" Thank and Praise the Lord for His Grace


Swahili Praise Song "Upendo wa Mungu Unauzingira Moyo Wangu" Thank and Praise the Lord for His Grace

Jua la haki linainuka Mashariki.

Ee Mungu! Utukufu Wako unajaza mbingu na dunia.

Mpendwa wangu, upendo Wako unauzunguka moyo wangu.

Wale wanaotafuta ukweli—wanampenda Mungu, kila mmoja.

Asubuhi na mapema, ingawa naamka peke yangu,

furaha iko moyoni mwangu ninavyoyatafakari maneno ya Mungu.


Maneno Yake ya upole, kama yale ya mama mwenye upendo; Maneno Yake ya hukumu, makali kama kukaripia kwa baba.

Hakuna kingine duniani ninachopenda, kwa moyo wangu wote ninampenda Mwenyezi Mungu pekee.

Aa, we, aa we,

aa we, aa we.

Hakuna kingine duniani ninachopenda, kwa moyo wangu wote ninampenda Mwenyezi Mungu pekee.


Mapenzi ya Mungu yamefichuliwa—kuwakamilisha wale wanaompenda kweli.

Msio na hatia, mnaobubujikwa na uzima, toneni sifa zenu Kwake.

Dansi ya furaha ni nzuri, rukeni na kucheza karibu na kiti cha enzi.

Kutoka katika pembe nne za dunia, tunakuja, tukiitwa na sauti ya Mungu.

Maneno Yake ya uzima tulipewa sisi, tunatakaswa na hukumu Yake.

Upendo unakuwa wa nguvu zaidi kwa kusafishwa. Ni utamu kufurahia upendo wa Mungu.

Mwenyezi Mungu ni mzuri sana, ninampenda Yeye tu.

Aa, we, aa we,

aa we, aa we.

Mwenyezi Mungu ni mzuri sana, ninampenda Yeye tu.

Aa, we, aa.

Eeh, eeh.

kutoka kwa Mfuate Mwanakondoo na Imba Nyimbo Mpya


    Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Alhamisi, 20 Septemba 2018

Swahili Movie Clip: Rekodi ya Kazi ya Mungu ya Kuumba Ulimwengu na Kuwaongoza na Kuwakomboa Wanadamu


Swahili Movie Clip: Rekodi ya Kazi ya Mungu ya Kuumba Ulimwengu na Kuwaongoza na Kuwakomboa Wanadamu

Je, unataka kujua jinsi Mungu alivyouumba ulimwengu? Je, unataka kujua jinsi Mungu amewaongoza wanadamu hatua kwa hatua hadi leo? Sehemu hii ya ajabu kutoka kwa filamu ya Kikristo, "Yule Anayeshikilia Ukuu Juu Ya Kila Kitu", imerekodi kazi ya Mungu ya kuumba ulimwengu na kuwaongoza na kuwakomboa wanadamu. Itakufichulia majibu haya.

Jumatano, 19 Septemba 2018

Mapambano ya Kufa na Kupona

Mapambano ya Kufa na Kupona


Chang Moyang Mjini Zhengzhou, Mkoani Henan

"Unapoutelekeza mwili, bila shaka kutakuwa na mapambano ndani. Shetani anataka ufuate dhana za mwili, kulinda maslahi ya mwili. Hata hivyo, neno la Mungu bado linakupa nuru na kukuangaza ndani, linakupa msukumo kwa ndani na kufanya kazi kutoka ndani.

Jumanne, 18 Septemba 2018

Wimbo wa Maneno ya Mungu | "Kusudi la Kazi ya Mungu la Usimamizi" | The True Love of God for Man


Wimbo wa Maneno ya Mungu| "Kusudi la Kazi ya Mungu la Usimamizi" | The True Love of God for Man

Mungu ana mpango wa usimamizi wa miaka 6,000,

uliyogawanywa katika hatua tatu, kila moja inaitwa enzi.

Kwanza ni Enzi ya Sheria, kisha Enzi ya Neema, na Enzi ya Ufalme ni awamu ya mwisho.

Ingawa kazi ya Mungu ni tofauti katika kila moja,

yote inalingana na kile ambacho binadamu wanahitaji,

ama hasa inalingana na ujanja ambao Shetani anatumia, anapopigana na Yeye.

Kusudi la Kazi ya Mungu ni kumshinda Shetani,

kufunua hekima ya Mungu na ukuu,

na kufichua ujanja wote wa Shetani,

hivyo kumwokoa mwanadamu kutoka kwa utawala wake,

hivyo kumwokoa mwanadamu kutoka kwa utawala wake.

Ni ili kufunua hekima ya Mungu na ukuu,

na kufichua upotovu mbaya wa Shetani,

kufunza viumbe kutofautisha mema na mabaya,

na kumjua Mtawala wa vitu vyote ni Mungu Mwenyewe.

Kuona wazi kuwa Shetani ni adui wa mwanadamu, kuwa ni yule mwovu, mhalifu,

ili mwanadamu aweze kutofautisha mema na maovu, ukweli na uongo,

utakatifu na uchafu, na makuu kutoka kwa ya chini.

Kusudi la Kazi ya Mungu ni kumshinda Shetani,

kufunua hekima ya Mungu na ukuu,

na kufichua ujanja wote wa Shetani,

hivyo kumwokoa mwanadamu kutoka kwa utawala wake,

hivyo kumwokoa mwanadamu kutoka kwa utawala wake.

Kumfanya binadamu pumbavu kuwa na ushuhuda Kwake:

Sio Mungu ndiye Alileta upotovu wa mwanadamu,

na ni Mungu Mwenyewe pekee, Bwana wa uumbaji,

Anayeweza kuweka vitu vya kufurahia na kumletea mwanadamu wokovu.

Hii ni ili waweze kujua kuwa Mungu ni Mtawala wa vitu vyote,

kuwa Shetani ni uumbaji Wake, ambaye baadae alichagua kumgeuka.

Mpango wa Mungu wa miaka 6,000 wa usimamizi umegawanywa katika hatua tatu,

ili yafuatayo yaweze kufikiwa:

kuruhusu viumbe Wake kuwa mashahidi Wake,

kujua mapenzi Yake, na kuona kuwa ukweli ni Yeye.

Kusudi la Kazi ya Mungu ni kumshinda Shetani,

kufunua hekima ya Mungu na ukuu,

na kufichua ujanja wote wa Shetani,

hivyo kumwokoa mwanadamu kutoka kwa utawala wake,

hivyo kumwokoa mwanadamu kutoka kwa utawala wake.

kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Jumatatu, 17 Septemba 2018

Kujijua kwa Hakika kwa Kuuelewa Ukweli Tu

Kujijua kwa Hakika kwa Kuuelewa Ukweli Tu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, hukumu, maneno ya Mungu,

Wenwen Mji wa Changchun, Mkoa wa Jilin

Kwa maoni yangu, daima nililidhani kwamba mradi matendo ya nje yalionekana ya kufaa ambapo watu hawangeweza kuona upotovu wowote, basi lilichukuliwa kuwa mabadiliko. Kwa hiyo, nilizingatia kwa namna ya kipekee matendo ya nje katika kila kitu nilichokifanya. Nilijali tu kuhusu kama matendo yangu yalikuwa sahihi au la, na mradi tabia zangu za nje na matendo yalikuwa ya maana, nilikuwa sawa. Nilipokabiliwa na upogolewaji, nilijali tu kama kulikuwa na kitu kibaya na matendo yangu. Ningeridhishwa tu kama ningekanushwa katika matendo yangu. Singekubali mawasiliano zaidi kuhusu kutambua asili yangu potovu. Baadaye, ndugu wa kike na wa kiume waliniambia kwamba mtu anaweza tu kubadilisha tabia yake kwa kujua asili yake, na kuwa sikuwa nimejua asili yangu. Baada ya kusikiliza maneno ya ndugu wa kike na wa kiume, nilianza kujifunza kutambua asili yangu. Mtu fulani aliposema, "maonyesho haya ya kuringa yanatawaliwa na asili ya kiburi chako," kisha nikasema, "Aa, mimi si mwenye kiburi, asili yangu ni yenye kiburi!" Mtu mwingine akasema, "tabia hii isiyo ya kawaida na isiyozuiwa inatawaliwa na asili yako mbovu ya kibinadamu." Kisha nikaendelea, "Aa, asili yangu mbovu." Sikufikiri ilikuwa vigumu kujua asili yangu mradi nilirudia aina zipi za asili zinatawala tabia hizi mtawalia. Kama mtu aliniuliza, "Hii tabia inatawaliwa na asili gani?" Kisha nikasema, "Ni majisifu, uovu, ubaya, ujanja...." Aina hii ya kuuliza na kujibu ilikuwa kama kujaza nafasi zilizoachwa wazi, ambayo ilionekana rahisi sana. Ilibainika kuwa hawa ndugu wa kike na wa kiume waliniambia kuwa nilijua asili yangu kwa kiwango cha juu juu. Kwa hiyo, katika kuzungumza baadaye kuhusu kujitambua, nilisema, "Mimi ni mwenye kiburi mno, na bila mipaka. Mimi ni mwovu mno, na pia mwenye makosa mno." Nilifikiri kwamba kuongeza "mno" kwa utambuzi wangu wa awali kungeongeza ufahamu wangu. Sikuelewa juu ya maana ya mahitaji ya Mungu kwa watu kutambua asili zao, kwa hiyo, nilipofichua upotovu au wakati nilipoona maneno ya Mungu yaliyofichuliwa kuhusu asili ya binadamu, nililielewa tu kutoka kwa mtazamo wa kufuata kanuni; nilikuwa sana kama kasuku, kurudia maneno kuhusu kujitambua badala ya kweli kuelewa na kujua kutoka kwa moyo wangu. Sikujichukia, wala kuhisi jinsi ilivyokuwa hatari. Hata kwa kusikia maneno makali kutoka kwa Mungu, sikuhisi kushtuka. Badala yake, halikunisumbua, hali ambayo ilisababisha mabadiliko kidogo katika tabia yangu. Ingawa mimi ni mpumbavu, mwenye ganzi, na duni katika ubora, Mungu hanitengi, lakini badala yake, Yeye huniongoza na kuninurisha daima, akiniongoza kujijua. Hasa katika miaka ya hivi karibuni, Mungu ameniongoza na kuninurisha sana, ambalo huniruhusu kuelewa maana ya kujua asili yangu, na kuniruhusu mimi kupata njia ya kubadili tabia yangu.

Siku chache zilizopita, mimi na ndugu mmoja tulihamia kwa familia mwenyeji mpya. Tulipowasiliana baada ya kuhamia huko, dada mzee katika familia mwenyeji akataja jinsi ndugu wa kiume na wa kike aliokuwa amezoea kuwakaribisha walivyofichua upotovu; pia alizungumzia maoni yake juu yao. Baada ya kusikiliza, sikujibu au kuathiriwa na jambo hilo, na sikuwasiliana ukweli kwa dada huyu mzee. Hivi ndivyo muda ulivyopita. Baada ya siku kadhaa, ndugu wengine wawili wa kiume ambao walifanya kazi na sisi walikuja kwetu kwa malazi kwa muda wa siku kadhaa. Baada ya wao kuondoka, dada huyu mzee aliongea nasi juu ya maoni yake ya ndugu hawa wawili, na kwa wakati huo, mawazo yangu yalionyesha hisia: Mengi ya yale uliyoyasema hayaambatani na ukweli; hii yote ni shaka yako. Mungu huhitaji kwamba ndugu wa kiume na wa kike wapendane na wasaidiane. Ni lazima nitende ukweli na kupitisha ukweli wa kuwa mwaminifu na wewe. Siku mbili baada ya mawasiliano yetu, dada mzee alikuja na kuniambia sentensi gani zangu ambazo zilikuwa zimemzuia, na ni mambo gani niliyoyafanya yaliyomzuia. Alizungumzia mawazo yake yote na kulia. Kuona hili, nilifikiri: Wewe ni mwenye shaka kabisa kumhusu kila mtu. Wakati huu una shaka na mimi. Hili si sawa. Nahitaji kuwasiliana na wewe kwa dhahiri ili usiwe na dhuluma dhidi yangu. Kwa hiyo, nilikuwa na majadiliano ya wazi naye, na kulenga asili aliyoonyesha pamoja na tabia zake za tuhuma na hukumu. Yule dada mzee alionekana kulikubali, lakini yeye hakuridhishwa kwa ndani. Katika siku zilizofuata, yeye alidai kuwa na aina hii na aina ile ya ugonjwa. Kuona hili, nilifikiri: Wewe hujaridhika ndani, bali unajifanya kulikubali; si huku ni kujifanya na udanganyifu? Kuna mafundisho ya kujifunza wakati mtu ni mgonjwa. Lazima ujichungue kiasi, kwa kuwa umekuwa katika magonjwa yasiosita. Katika kuwaza hili, nilipokea "mzigo" mwingine, jambo lililonielekeza kuwasiliana na huyo dada mzee tena. Nilimwambia kwamba ugonjwa huu ulitokana na uasi na upotovu, na nilimwambia ajichungue kiasi na kujijua mwenyewe. Hata hivyo, katika mawasiliano haya, huyu dada mzee hakuonekana mzima. Hata hakujifanya kukubali hilo. Nilipigwa na bumbuazi, na kufikiri: nimekuwa mwangalizi sana katika kukusaidia na nimewasiliana nawe tena na tena, lakini hulikubali na hata umekuwa mwenye shaka nami. Wewe ni mtu asiye mwaminifu! Kama hukubali ukweli, ni nani mwingine angeweza kukusaidia? Lisahau hilo, siwezi kufanya lolote, ni juu yako. Nilisukuma lawama zote na wajibu kwa dada mzee nikifikiri kwamba alikuwa mjanja mno; niliamini kuwa nilikuwa ndugu mzuri ambaye alitenda ukweli, ambaye alikuwa na nia ya kuwasaidia ndugu zangu wa kiume na wa kike na ambaye aliyajali mapenzi ya Mungu. Kwa njia hii, nilikuwa nimejawa na dhana za dada mzee, na yeye hangenisikiliza tena.

Katika kukakabili mtanziko huu, ilibidi kujichungua binafsi kiasi: Je, nina makosa? Sikuwa na makosa kwa kumsaidia dada mzee kwa huruma nilipoona dosari zake. Je, ni kwa sababu sikumtegemea Mungu? Sivyo, niliomba kila wakati kabla ya kuwasiliana na dada mzee. Sijafanya kitu kibaya katika matendo yangu, na sijakuwa katika hali nzito kama hii nikiwasaidia wengine wakati wa nyuma. Tatizo lazima liwe kwa dada mzee na ni kwa sababu yeye si maasumu. Hata hivyo, wakati nikifikiria kwa njia hii, nilijihisi kuvurugika. Nilijihisi mwenye hatia hasa wakati nikimwona dada mzee akiugua kutokana na ugonjwa wake. Nilitaka kumsaidia kwa dhati, hata hivyo, sikujua jinsi ya kushirikiana naye. Bila kuwa na uchaguzi, nilikuja kwa Mungu na kutaka msaada Wake. Nilisoma maneno ya Mungu, “Midomo yako ni miema zaidi kuliko njiwa lakini moyo wako ni mbaya zaidi kuliko nyoka ya kale, hata midomo yako ni mizuri kama mwanamke Mlebanoni, lakini moyo wako si mwema kama ule wa wanawake Walebanoni na hakika hauwezi kulinganishwa na uzuri wa Wakanaani. Moyo wako ni mdanganyifu sana” (“Tabia Yako Ni Duni Sana!” katika Neno Laonekana katika Mwili). Maneno hayo kutoka kwa Mungu mara moja yakagusa moyo wangu. Singekuwa na budi kuchungua kile nilichokuwa nimefanya siku hizo na mawazo yaliyokuwa msingi wake. Nilipokuwa nikisikia dada mzee akiongea juu ya hukumu yake kwa ndugu wengine wa kiume na wa kike, sikujibu kwa sababu nilifikiri lilikuwa halinihusu ndewe wala sikio na halingenizuia; wakati nikisikia dada mzee akizungumzia chuki yake bila sababu ya ndugu wawili wa kiume niliowajua, singesubiri kuwasiliana naye iwapo aliwaelewa visivyo; niliposikia kwamba dada mzee alikuwa na maoni juu ya kile nilichokuwa nimesema na kufanya, nilizingatia zaidi kuwasiliana naye iwapo alikuwa na maoni yoyote kunihusu. Nilidai kwamba nilikuwa nikiwasaidia ndugu zangu wa kike na wa kiume kwa ajili ya huruma kwao. Ukweli ni kwamba nilitaka kumshawishi na kuwashinda wengine na ukweli, kuifunga midomo yao, na kuzuia wengine kunihukumu na kuingilia maslahi yangu. Moyo wangu ulikuwa umejaa ubaya. Haikuwa inajali. Kungekuwaje na kiini chochote cha upendo? Kuangalia nyuma, sikuonyesha huruma yoyote kwa dada mzee kuanzia mwanzo, wala kuonyesha fikira zozote. Dada mzee alianza kuwa mwenyeji alipofika kwa familia ya Mungu. Hata alichukua fedha kutoka nyumbani kwake ili kununua nyumba na kuwakaribisha wengine ili kutimiza wajibu wake vyema; hata hakulalamika kabisa kuhusu hilo. Kwa sababu kwa kawaida alikosa kuhudhuria mikutano na kufanya ushirika, hakuwa ameongeza uketo wa uzoefu wake katika maisha. Hata hivyo, alikuwa tayari kufuatilia na kusoma maneno ya Mungu mradi alikuwa huru. Kwa vile hakuwa wazi kabisa kuhusu ukweli, alichukulia kuwahukumu ndugu wa kiume na kike bila wao kufahamu na kuzungumzia dosari zao kama mizigo kwao; alifahamu tu visivyo tuhuma zake kwa ndugu wa kiume na wa kike kama kuzungumza bila kuficha. Yeye hakuwa na habari ni ipi kati yazo iliyokuwa tuhuma na ni ipi iliyokuwa kupiga chuku, na sikumjali. Bila kujali kimo chake, mimi bila kuchagua kwa mpango nilijitetea mradi zilihusisha maslahi yangu, na nikawalazimisha wengine kukiri. Mimi si ni joka kubwa jekundu linaloishi? Ni kwa sababu gani sipaswi kuwaruhusu wengine kunihukumu? Hata kama wengine hawatoi mawazo bila woga, si kiini changu ni kiovu na chenye makosa? Si jinsi nilivyoliishi ni sawa na ya Shetani? Mungu alisema, “Mawazo na fikira zote ambazo huwajaza watu ni sumu za Shetani, tabia wanazozionyesha ni tendo la Shetani, na wakati mwingine konyezo au tendo la kuonyesha hisia huwa na kishindo cha ghafula cha kuchunguza na majaribu” (“Wale Ambao Wameipoteza Kazi ya Roho Mtakatifu Wamo Hatarini Zaidi” katika Kumbukumbu za Maongezi ya Kristo). Katika neno la Mungu, nilipata sababu ni kwa nini mawasiliano yangu hayakuwa na ufanisi. Ni kwa sababu kila kitu nilichokuwa nimekifanya kilikuwa chote ni kwa sababu yangu mwenyewe, na kilikuwa kujilinda mwenyewe. Mradi maslahi yangu hayakuwa yakiingiliwa, sikujali kuhusu watu wengine. Sikuonyesha fikira yangu kwa udhaifu wa wengine, wala kufikiria kama wengine wangeweza kuhimili mawasiliano yangu au kama mawasiliano yangu yalileta madhara yoyote hasi. Nilikuwa nimejaa ubaya wa Shetani ndani. Ilikuwa ni asili ya Shetani liliyokuwa imenitawala ndani. Jinsi nilivyoishi ilishawishiwa na tabia ya ubaya na upotovu wa Shetani. Nilichokuwa nimekileta kwa watu kilikuwa ni madhara na shambulio. Wengine wangewezaje kuuunga hili mkono? Nilichokisema na kufanya kilimfanya Mungu achukizwe, na kumfanya Roho Mtakatifu asifanye kazi kwangu. Mawasiliano yangu yangekuwaje na ufanisi?

Mungu alisema, “Mtu yeyote anaweza kutumia maneno na vitendo vyake wenyewe kuwakilisha tabia yake halisi. Sura hii ya kweli bila shaka ni asili yake. Kama wewe ni mtu anayeongea bila kuwa dhahiri, basi una asili mbovu. Kama asili yako ni yenye hila sana, basi namna ambayo unafanya mambo ni janja na laghai sana, nawe unafanya iwe rahisi sana kwa watu kulaghaiwa nawe. Kama asili yako ni mbovu sana, huenda maneno yako ni mazuri kusikiliza, lakini vitendo vyako haviwezi kuficha njia zako mbovu. Kama asili yako ni vivu sana, basi kila kitu unachosema vyote vinalenga kukwepa lawama na wajibu wa uzembe na uvivu wako, na vitendo vyako vitakuwa vya polepole sana na vizembe, na vizuri sana katika kuuficha ukweli. Kama asili yako ni yenye uwezo wa kuhisi maono ya wengine sana, basi maneno yako yatakuwa yenye busara na hatua zako pia zitalingana sana na ukweli. Kama asili yako ni aminifu sana, basi maneno yako lazima yawe ya dhati na namna ambayo unafanya mambo lazima iwe yenye kuhusika na mambo halisi, bila mengi ya kufanya bwana wako asikuamini. Kama asili yako ni yenye tamaa sana au ni yenye tamaa ya fedha, basi moyo wako mara nyingi utajazwa na mambo haya na utafanya baadhi ya mambo yaliyopotoka bila kukusudia, mambo maovu ambayo hufanya iwe vigumu kwa watu kusahau na zaidi ya hayo yatawaudhi” (“Tatizo Kubwa Sana: Usaliti (1)” katika Neno Laonekana katika Mwili). Kwa maneno ya Mungu, nilitambua kwamba jinsi watu wanavyojifichua na kuishi maisha yao vinatawaliwa na asili zao. Aina ya asili ndani itatarajiwa kuamua ni tabia ipi itakayofichuliwa nje. Kama kuna jambo bovu ndani, basi tabia itatawaliwa na asili mbaya, na haitaonyesha ukarimu kamwe. Wakati motisha yangu ya kuwasiliana na dada mzee ilikuwa yenye kosa, kilichonitawala ndani hakikuwa Mungu, ukweli au mambo mazuri, bali alikuwa ni Shetani. Jinsi ambavyo niliishi ilikuwa ni picha ya Shetani. Kwa hiyo, mawasiliano yangu hayangeweza kuwafaidi wengine. Kama nilikutana na kitu cha aina hii katika siku za nyuma, ningekuwa nimelenga matendo ya nje; ningefikiri kuwa sikuwa nimeongoza kanisa, kwamba sikuwa mzuri kwa kuwasiliana na watu wengine, na ningetafuta sababu nyingi za kujitoa katika lawama. Ni leo tu nilipotambua kwamba matendo ya nje hayafanyizi dhima yenye uamuzi, bali ni kama moyo ni sahihi au la. Ni muhimu kuona kiini kilicho ndani. Kwa mfano, kama mtu kweli anampenda mtu mwingine, atachunguza na kuzingatia kile anachokipenda kwa moyo wake, na hatimaye ataonyesha upendo wake kwake na kumfanya auhisi. Kama niliwapenda ndugu zangu wa kike na wa kiume kwa ndani, ningekuwa nimezingatia zaidi na kuonyesha huruma zaidi kwa matatizo yao na kuzijali hisia zao, na kisha ningechukua hatua sahihi na kutumia lugha na toni sahihi kuwasiliana nao. Hata kama sikutatua matatizo ya wengine, singekuwa nimeleta madhara kwao. Kwa sababu hakuna upendo ndani yangu, kile ninachofichua ni uovu, hata kama matendo yangu ya nje ni mazuri na sahihi. Kwa sababu Mungu anawapenda wanadamu, bila kujali kile Yeye hufanya, ni ufunuo na dhihirisho la upendo. Mungu alisema, “Kusudi la Mungu kusema mambo haya ni kuwabadilisha na kuwaokoa watu. Ni kwa kuzungumza tu kwa namna hii ndiyo Anaweza kupata matokeo mazuri kabisa. Unapaswa kuona kwamba nia njema ya Mungu ni kwa ajili ya kuwaokoa watu na kila kitu kilichomo ndani yake ni upendo wa Mungu. Bila kujali kama unauangalia kwa mtazamo wa hekima katika kazi ya Mungu, kwa mtazamo wa hatua na ruwaza katika kazi ya Mungu, au kwa mtazamo wa wakaa wa kazi au mipangilio na mipango Yake sahihi—chote kilichomo ndani yake ni upendo Wake. Kwa mfano, watu wote wana upendo kwa wana na mabinti zao na ili kuwaruhusu watoto wao kutembea katika njia sahihi, wote wanaweka jitihada kubwa. Wanapogundua udhaifu wa watoto wao, wanahofia kwamba ikiwa watazungumza kwa sauti laini, watoto wao hawatasikia na hawataweza kubadilika, na wanahofia kwamba ikiwa watazungumza kwa ukali sana, wataumiza staha ya watoto wao na watoto wao hawataweza kuvumilia. Kwa hiyo, hii yote inafanyika chini ya ushawishi wa upendo na kiwango kikubwa cha jitihada kinatumika. Nyinyi ambao ni wana na mabinti mtakuwa mmeshawahi kupata upendo wa wazazi wenu. Sio tu upole na kujali ndio upendo, lakini hata zaidi, kuadibu sana ni upendo. Mungu yupo chini ya ushawishi wa upendo kwa binadamu na chini ya sharti la mwanzo la upendo. Kwa hiyo, Anafanya kwa kadri ya uwezo Wake wote kuwaokoa wanadamu waliopotoka. Hashughuliki nao kwa kutimiza wajibu tu, badala yake anafanya mipango sahihi, kulingana na hatua. Kwa kuzingatia wakati, eneo, toni ya sauti, mbinu ya kuzungumza, na kiwango cha jitihada kilichowekwa..., mnaweza kusema kwamba yote hii inafunua upendo Wake, na inaelezea vizuri kabisa kwamba upendo Wake kwa binadamu hauna mipaka na haupimiki. Na watu wengi wanasema maneno ya uasi wanapokuwa katikati ya kujaribiwa kwa mfanya huduma na wanatoa malalamiko. Lakini Mungu hagombanigombani juu ya mambo haya, na hakika hawaadhibu watu kwa hili. Kwa sababu Anawapenda watu, Anasamehe kila kitu. Ikiwa Angekuwa na chuki tu badala ya upendo, basi Angeweza kuwahukumu watu mapema kabisa. Kwa kuwa Mungu ana upendo, Hagombanigombani, bali Anavumilia, na Anaweza kuona shida za watu. Hii kabisa ni kufanya kila kitu chini ya ushawishi wa upendo” (“Je, Unauelewa Upendo wa Mungu kwa Binadamu?” katika Kumbukumbu za Maongezi ya Kristo). Kiini cha Mungu ni upendo, hivyo dhihirisho la Mungu pia ni upendo. Upendo wa Mungu kwa binadamu hauakisiwi kwa mdomo, lakini unajumuishwa kivitendo katika kazi Yake, katika kila hatua ya kazi Yake, na kwa njia za kazi Yake. Jinsi na wakati Mungu hufanya kazi katika kila mtu, watu gani, vitu au matukio Yeye hupanga kwa ajili yake na kwa muda gani Yeye atamsafisha, yote huakisi mipango sahihi na jitihada angalifu za Mungu. Kazi yote ya vitendo ya Mungu husambaza upendo Wake safi kwa binadamu bila ubaguzi. Mungu anawapenda wanadamu kiasi kwamba bila kujali jinsi watu hupinga, kuasi, kulalamika na kutomwelewa Yeye, Yeye atastahimili hilo akiwa kimya. Haya yote hunifanya nione ukuu na uadilifu wa Mungu. Kwa kulinganisha, mimi ni mtu mbaya na duni wa kudharauliwa na wa kumilikiwa na Shetani. Katika kutambua yote haya, kwa kweli nilishirikiana mambo haya mapotofu katika moyo wangu na dada mzee. Farakano kati yetu liliondolewa pasipo sisi kujua. Namshukuru Mungu kwa moyo wangu wote. Utukufu uwe kwa Mungu.

Sikuielewa maana ya mahitaji ya Mungu ya kujua kiini changu katika siku za nyuma. Naielewa leo kutokana na uzoefu wangu. Mara mtu anapopotoshwa na Shetani, asili yake hugeuka kuwa asili ya Shetani. Bila kujali hotuba, kitendo, au mawazo, zote hutawaliwa na asili ya binadamu. Mtu anaweza kushughulika na tabia yake potovu na hatua kwa hatua kuibadilisha, ikiwa tu anaitambua asili yake. Kama hana maarifa ya asili yake, anaweza tu kupitia utawala wa asili ya Shetani na kumwasi na kumpinga Mungu pasipo kujua—bila kutaja kwamba hawezi kubadilisha tabia yake. Kuanzia sasa kuendelea, nitabadilisha mbinu mbaya nilizotumia awali za kuzingatia sana matendo ya nje. Mimi nitajaribu kutolalamika kuhusu desturi zao za nje, na sitaegemeza kujua hali yangu katika ufuataji wa sheria. Kwa kweli na kwa dhati nitachukua hukumu na kuadibu kwa Mungu, nitajua asili yangu, na kwa hakika kutambua asili yangu kwa njia ya ufunuo wa maneno ya Mungu ili kubadilisha tabia yangu mapema iwezekanavyo, na kuokolewa na Mungu.

Soma Zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Jumapili, 16 Septemba 2018

Swahili Christian Movie "Kutamani Sana" (1) - Hivyo Hivi Ndivyo Bwana Anavyorudi


Swahili Christian Movie "Kutamani Sana" (1) - Hivyo Hivi Ndivyo Bwana Anavyorudi

Waumini wengi ndani ya Bwana wameusoma unabii ufuatao wa kibiblia: "Wao watamwona yule Mwana wa Adamu akifika kwa mawingu ya mbinguni akiwa na nguvu na utukufu mkubwa" (Mathayo 24:30). Wanasadiki kwamba wakati Bwana atakaporudi, ni yakini kwamba Atashuka akiwa juu ya wingu, lakini kuna unabii mwingine katika Biblia unaosema: "Tazama, mimi nakuja kama mwizi" (Ufunuo 16:15). "Na kukawa na kelele saa sita ya usiku, Tazama, anakuja bwana arusi; ondokeni nje ili kumkaribisha" (Mathayo 25:6). Ni wazi kwamba kunao unabii kwamba Bwana atakuja kwa siri mbali na ule unabii kwamba Atakuja waziwazi akiwa juu ya wingu. Hivyo ukweli ni upi kuhusu kurudi Kwake?

    Kujua zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Jumamosi, 15 Septemba 2018

Ni Upendo wa Mungu Tu Ulio Halisi

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Kumfuata Mungu, ushuhuda

Ni Upendo wa Mungu Tu Ulio Halisi

Xiaodong Mkoa wa Sichuan

Mungu alisema, “Taifa la China ambalo limepotoshwa kwa miaka elfu nyingi limeendelea mpaka leo. Kila aina ya virusi vinaendelea kutanuka na vinasambaa kila mahali kama tauni;

Ijumaa, 14 Septemba 2018

Have You Been Rapturned? | "Kutamani Sana" | Swahili Christian Movie


Have You Been Rapturned? | "Kutamani Sana" | Swahili Christian Movie

Miaka elfu mbili iliyopita, Bwana Yesu aliwaahidi wafuasi Wake: "Naenda kuwatayarishia mahali. Na nikienda kuwatayarishia mahali, nitarudi tena na kuwapokea kwangu; ili mahali nipo, muweze kuwa pia" (Yohana 14:2-3).

Alhamisi, 13 Septemba 2018

Swahili Christian Skit | "Polisi Waenda kwa Ziara ya Mwaka Mpya" (Kichekesho)


Swahili Christian Skit | "Polisi Waenda kwa Ziara ya Mwaka Mpya" (Kichekesho)

Zheng Xinming, mwanamume mzee wa karibu miaka sabini, ni Mkristo wa dhati. Kwa sababu ya imani yake katika Bwana, aliwekwa kizuizini na kufungwa gerezani, na kuhukumiwa miaka nane. Alipoachiliwa, bado alikuwa ameorodheshwa na Polisi wa Kikomunisti wa China kama mlengwa wa ufuatiliaji wa kuzingatiwa. Hasa, baada ya mzee huyo kukubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho, polisi walikuja karibu kila siku kumtisha, kumuogofya na kumsumbua. Hakukuwa na njia ya Zheng Xinming kusoma neno la Mungu nyumbani kwa kawaida, na hata familia yake ilishiriki hali yake ya wasiwasi. Sasa ni Mkesha wa Mwaka Mpya na mzee yuko nyumbani akisoma neno la Mungu, bila kujua nini kinaweza kutokea …

    Soma Zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Jumatano, 12 Septemba 2018

Expert Urges European Countries to Show Solicitude for the Persecution of The Church of Almighty God


Expert Urges European Countries to Show Solicitude for the Persecution of The Church of Almighty God

On December 14, 2017, a news conference was held in the Chamber of Deputies, the Parliament of Italy in Rome, over the issue of Religious Freedom Violations in China—a Case Study of Persecution Against Christian Minorities. An internationally renowned research expert on new religions, Professor Massimo Introvigne, spoke at the conference and introduced his findings on The Church of Almighty God, confirming that the Zhaoyuan McDonald's homicide case of 2014 in Shandong Province had nothing to do with The Church of Almighty God, that the CCP's coverage of the case was false news fabricated by the CCP to persecute and suppress The Church of Almighty God. At the same time, he presented a study jointly completed with Mr. Willy Fautré, chairman of the Human Rights Without Frontiers. The report shows that despite having the largest number of people arrested in China, and more members seeking refuge in Italy and Europe than any other areas, the passing rate for the asylum applications of The Church of Almighty God's members in Italy is merely 10%, while there have been several cases of repatriation in Switzerland. He indicated that this represented a grave violation of the International Refugee Convention, thereby expressing his strong condemnation. He called on all European countries to show solicitude for the persecution against Christians of The Church of Almighty God and the status quo of their applications for asylum as refugees.

Jumanne, 11 Septemba 2018

Wimbo wa Maneno ya Mungu "Mamlaka na Nguvu Anayoonyesha Mungu Anapopata Mwili"


Wimbo wa Maneno ya Mungu "Mamlaka na Nguvu Anayoonyesha Mungu Anapopata Mwili"

I

Mungu alikuja duniani hasa kutimiza ukweli wa "Neno kuwa mwili."

(tofauti na Agano la Kale, katika siku za Musa,

Mungu alizingumza moja kwa moja kutoka mbinguni).

Kisha, yote yatatimizwa katika enzi ya Ufalme wa Milenia

kuwa ukweli ambao watu wanaweza kuona,

ili watu waweze kuona utimizaji hasa kwa macho yao wenyewe.

Hii ni maana ya kina ya Mungu kuwa mwili.

Yaani, kazi ya Roho imekamilika kupitia kwa mwili na neno.

Hii ni maana ya kweli ya "Neno kuwa mwili, Neno kuonekana katika mwili."



II

Ni Mungu tu Anayeweza kuzungumza mawazo ya Roho,

na ni Mungu tu katika mwili anayeweza kuzungumza kwa niaba ya Roho.

Neno la Mungu linaonekana katika Mungu aliyepata mwili.

Mtu yeyote yule ataongozwa na hili,

hakuna anayeweza kuzidi hili na kila mtu anaishi ndani ya mipaka hii.

Kutokana na tamko hili watu watapata ufahamu;

isipokuwa kupitia haya matamshi hakuna atakayeota kuhusu kupokea

tamko kutoka mbinguni.

Haya ni mamlaka ambayo yameonyeshwa na Mungu kuwa mwili,

ili kila mtu ashawishike.

kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili

    Tufuate : Kanisa la Mwenyezi Mungu, Neno la Mwenyezi mungu

Jumatatu, 10 Septemba 2018

Swahili Christian Variety Show | "Mwelekeo Mbaya" (Kusemezana) | Nearly Miss the Return of the Lord


Swahili Christian Variety Show | "Mwelekeo Mbaya" (Kusemezana) | Nearly Miss the Return of the Lord

Wakati Zhao Xun anasikia maneno yaliyonenwa na Bwana aliyerudi, anahisi kwamba maneno haya yote ni ukweli. Hata hivyo, anahofia kwamba kimo chake ni kidogo sana na hana uwezo wa kutambua, hivyo anataka kumtafuta mchungaji wake awe kama mlinda lango. Bila kutarajia, akiwa njiani kuelekea kwake, anakutana na Dada Zheng Lu. Kupitia ushirika wa Dada Zheng kuhusu ukweli, Zhao anaishia kuwa na utambuzi na kufahamu kwamba kukaribisha kurudi kwa Bwana, anapaswa kuzingatia kuisikia sauti ya Mungu, hiyo ndiyo njia pekee ya kufuata nyayo Zake. Kufuata na kuwaabudu wachungaji na wazee bila kufikiria hakika ni kuchukua mwelekeo mbaya.

    Soma Zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Jumapili, 9 Septemba 2018

Mabadiliko ya Kweli Humaanisha Nini?

Mabadiliko ya Kweli Humaanisha Nini?


Jinru    Mji wa Nanyang, Mkoa wa Henan

Wakati ndugu wa kiume au wa kike alipoonyesha dosari zangu au hakusikiza kauli yangu ama sikuhisi kushawishika au nilibishana nao. Nilijutia vitendo vyangu baadaye, lakini nilipokabiliwa na mambo haya, sikuweza kujizuia mwenyewe kuifichua tabia yangu potovu.

Jumamosi, 8 Septemba 2018

The Words the Holy Spirit Says to the Churches | "Sauti Nzuri Ajabu" | Filamu za Injili


The Words the Holy Spirit Says to the Churches | "Sauti Nzuri Ajabu" | Filamu za Injili

Dong Jingxin ni mhubiri katika kanisa la nyumba nchini Uchina. Amemsadiki Bwana kwa miaka thelathini, na anapenda ukweli, mara kwa mara yeye husoma maneno ya Bwana na yanamsisimua. Anajitumia kwa ajili ya Bwana kwa shauku kubwa.

Ijumaa, 7 Septemba 2018

Maneno ya Mungu Huniongoza Kujifunza Jinsi ya Kufundisha Watoto Wangu (II)

Huniongoza, Kujifunza, Kuwafundisha Wanangu,

Xiaoxue, Malesia

    Siku moja baada ya mlo mkuu wa siku, nilimfundisha mwanangu mvulana mkubwa jinsi ya kusoma Kichina—maneno rahisi tu, “Mbinguni, dunia, watu, na, dunia, baba, mama….” Nilimfundisha mara chache hasa, lakini bado hakuweza kuandika. Angeandika neno la kwanza na kisha kusahau lililofuata. Hasira ndani yangu ilipanda, na kunyakua rula iliyokuwa juu ya meza na kumgonga mara kadhaa.

Alhamisi, 6 Septemba 2018

Best Swahili Christian Music Video 2018 "Upendo kwa Mungu" | The Love of God Never Leaves Us


Best Swahili Christian Music Video 2018 "Upendo kwa Mungu" | The Love of God Never Leaves Us

I

Ee Bwana,

Nimefurahia nyingi ya neema Yako.

Kwa nini mimi daima huhisi tupu ndani?

Je, sijapata ukweli na uzima?


II

Kusoma maneno haya kunaweza kuyajibu maswali yako.

"Kristo wa siku za mwisho huleta uzima,

na huleta kudumu kwa njia ya kweli na ya milele.

Ukweli huu ni njia ambayo binadamu atapata uzima,

na njia pekee ambayo

mtu atajua Mungu na kuidhinishwa na Mungu.

Kama hutatafuta njia ya maisha inayotolewa na

Kristo wa siku za mwisho,

basi kamwe hutapata kibali cha Yesu,

na kamwe hutahitimu kuingia lango la ufalme wa mbinguni,

kwa ajili nyote ni makaragosi

na wafungwa wa historia" (Kitabu Chafunguliwa na Mwanakondoo).

Mwenyezi Mungu, Kristo wa siku za mwisho, ameonyesha ukweli wote

kutakasa, kuwaokoa wanadamu,

kumletea mwanadamu njia ya uzima wa milele.

Kwa kukubali na kutii kazi ya Mungu, kutenda na kupitia maneno Yake,

mwanadamu anaweza kuelewa ukweli na kupata uzima.


III

Mungu alinichagua kutoka katika bahari kubwa ya watu, na kupanga kwa njia ya kimiujiza kwamba nije upande Kwake.

Maneno Yake yenye fadhili yameupa moyo wangu upendo. Nikiwa na ukweli, naishi katika furaha isiyo na mwisho.

Sauti hiyo ya kawaida, sura hiyo nzuri havijabadilika tangu mwanzo.

Katika familia ya Mungu ninaonja utamu wa upendo Wake. Ninaegemea karibu na Yeye na sitaki kuondoka tena.

Bila Mungu, siku zilikuwa ngumu kustahimili.

Niliyumbayumba pamoja na kila hatua iliyojaa machungu.

Ni kwa ulinzi wa siri wa Mungu tu kwamba nilifikia leo.

Na sasa nikiwa na maneno ya Mungu upande wangu mimi nimeridhika.


IV

Muda unapopita yanakuja mabadiliko makubwa. Lakini hakuna chochote kitakachofuta moyoni mwangu upendo wangu kwa Mungu.

Ahadi ya maelfu ya miaka, kiapo kisichobadilika.

Baada ya mizunguko mingi ya maisha na kifo ninarudi upande wa Mungu.

Amepanda maisha moyoni mwangu. Maneno Yake yananilisha na kuninyunyizia maji.

Kupitia mateso na taabu maisha yangu yanazidi kuwa yenye nguvu.

Barabara mbaya na kushindwa ni misingi ya mafunzo kwangu.

Mungu hajawahi kuondoka upande wangu.

Kwa kimya, anajitolea kwa ajili ya binadamu kamwe bila neno la malalamiko.

Nitatupilia mbali tabia yangu potovu na nitatakaswa.

Kisha ninaweza kuandamana na Mungu milele.

Mungu hajawahi kuondoka upande wangu.

Kwa kimya, anajitolea kwa ajili ya binadamu kamwe bila neno la malalamiko.

Nitatupilia mbali tabia yangu potovu na nitatakaswa.

Kisha ninaweza kuandamana na Mungu milele.


kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

    Tufuate : Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki

Jumatano, 5 Septemba 2018

FALSE DEMONSTRATIONS AGAINST REFUGEES CONTINUE IN KOREA, HACKERS TRY TO STOP BITTER WINTER


FALSE DEMONSTRATIONS AGAINST REFUGEES CONTINUE IN KOREA, HACKERS TRY TO STOP BITTER WINTER


While Chinese agents, hired thugs and anti-cultists stage false “spontaneous demonstrations” and abuse refugees, hackers launch a massive attack against the Web site of Bitter Winter, obviously trying to prevent its reporting of the events in Korea. 

Jumanne, 4 Septemba 2018

Kwaheri kwa Zile Siku za Kushindana na Majaliwa

Kwaheri kwa Zile Siku za Kushindana na Majaliwa

Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Kupata-Furaha, ukweli,

Yixin

Kijiji cha kishamba kilichojikokota kimaendeleo, wazazi wangu waliochoka kwa sababu ya kazi zao, maisha ya shida za kifedha … kumbukumbu hizi za huzuni zilitia alama kwa mawazo yangu machanga, zilikuwa ni hisia yangu ya kwanza ya “majaliwa.”

Jumatatu, 3 Septemba 2018

Swahili Gospel Song Video "Shukrani na Sifa kwa Mwenyezi Mungu" | God Guided Me to a New Life


Swahili Gospel Song Video "Shukrani na Sifa kwa Mwenyezi Mungu" | God Guided Me to a New Life

I

Tumeletwa mbele ya Mungu. Maneno Yake tunakula na kunywa.

Roho Mtakatifu anatupa nuru, tunaelewa ukweli anaonena Mungu.

Mila za dini, tumezitupa, minyororo yote. Isiyozuiliwa na sheria, mioyo yetu inawekwa huru.

Jumapili, 2 Septemba 2018

FALSE DEMONSTRATIONS AGAINST THE CHURCH OF ALMIGHTY GOD REFUGEES START IN SOUTH KOREA

FALSE DEMONSTRATIONS AGAINST THE CHURCH OF ALMIGHTY GOD REFUGEES START IN SOUTH KOREA

Executing a secret plan that Bitter Winter revealed one month ago, the CCP brings to Korea relatives of asylum seekers of The Church of Almighty God and organizes false “spontaneous demonstrations” with the help of pro-Chinese anti-cult activists.