Jumanne, 31 Julai 2018
Wimbo wa Injili 2018 | "Matendo Ya Mungu Yanajaza Ulimwengu Mzima Tupu" Sifa kwa matendo ya Mungu ya ajabu
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJulai 31, 2018Injili, Msifuni-Mwenyezi-Mungu, Nyimbo-ya-Msifuni, Nyimbo-za-wokovuNo comments

Wimbo wa Injili 2018 | "Matendo Ya Mungu Yanajaza Ulimwengu Mzima Tupu" Sifa kwa matendo ya Mungu ya ajabu
I
Mungu anatazama chini juu ya vitu vyote kutoka juu,
na Anatawala vitu vyote kutoka juu.
Wakati huo huo, Mungu ametuma wokovu Wake juu ya dunia.
Mungu anaangalia kutoka mahali Pake pa siri kila...
Jumapili, 29 Julai 2018
Ufafanuzi wa Tamko la Kumi na Tisa
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJulai 29, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Mwenyezi Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments


Ufafanuzi wa Tamko la Kumi na Tisa
Inaonekana kwamba katika mawazo ya watu, Mungu ni wa fahari sana naye Haeleweki. Ni kana kwamba Mungu haishi miongoni mwa wanadamu, kana kwamba anawadharau watu kwa sababu Yeye ni wa fahari sana....
Jumamosi, 28 Julai 2018
Wimbo wa Maneno ya Mungu | "Jinsi Mungu Anavyotawala Vitu Vyote"
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJulai 28, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Mungu-hutawala-juu-ya-vitu-vyote, Nyimbo, VideoNo comments

Wimbo wa Maneno ya Mungu | "Jinsi Mungu Anavyotawala Vitu Vyote"
I
Kutoka unapoingia katika dunia hii ukilia,
unaanza kutenda wajibu wako.
Katika mpango na utaratibu wa Mungu, unachukua nafasi yako,
na unaanza safari ya maisha.
Vyovyote vilivyo msingi wako ama safari iliyo mbele yako,
hakuna anayeweza kuepuka utaratibu na...
Ijumaa, 27 Julai 2018
Ufafanuzi wa Tamko la Kumi na Saba
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJulai 27, 2018Biblia, hukumu, Matamshi-ya-Mwenyezi-Mungu, UkweliNo comments


Ufafanuzi wa Tamko la Kumi na Saba
Kwa kweli, maneno yote kutoka katika kinywa cha Mungu ni mambo ambayo wanadamu hawayajui; yote ni lugha ambayo watu hawajasikia, kwa hiyo inaweza kusemwa hivi: Maneno ya Mungu yenyewe ni siri...
Alhamisi, 26 Julai 2018
Wimbo wa Injili | Mungu Hutumaini Mtu Anaweza Kumjua na Kumwelewa | Mahitaji ya Mungu kwa Wanadamu
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJulai 26, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Nyimbo-za-injili, Video, ya-Mwenyezi-MunguNo comments

Wimbo wa Injili | Mungu Hutumaini Mtu Anaweza Kumjua na Kumwelewa | Mahitaji ya Mungu kwa Wanadamu
I
Tangu uhusiano wa kwanza wa Mungu na mwanadamu,
Amekuwa akifichua kwao
Kiini Chake na vile Alivyo na Alicho nacho, bila kukoma, kila wakati.
Kama watu katika enzi wanaweza kuona au kuelewa,
Mungu huzungumza na kufanya kazi...
Jumatano, 25 Julai 2018
Mabadiliko ya Mtu Aliyeanguka
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJulai 25, 2018kanisa, Umeme-wa-Mashariki, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Tong Xin Mkoa wa Fujian
Nilizaliwa vijijini. Nilitoka kwa nasaba ya wakulima wanyenyekevu na zaidi ya hayo familia yetu ilikuwa na watu wachache, kwa hiyo mara nyingi tulikuwa tunadhulumiw...
Jumanne, 24 Julai 2018
Kupitia kwa Majonzi Makuu, Nimevuna Faida Kubwa
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJulai 24, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Kupitia-kwa-Majonzi, Umeme-wa-Mashariki, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Rongguang Mji wa Zhengzhou, Mkoa wa Henan
Baada ya kumfuata Mwenyezi Mungu, niliwekwa katika jela kwa sababu mimi niliamini katika Mungu. Wakati huo nilikuwa muumini mpya na Mungu alikuwa amenipa nguvu ili niweze shikilia msimamo katika ushahidi...
Jumatatu, 23 Julai 2018
Wimbo za wokovu | “Kwa Kuwa Mungu Anamwokoa Mwanadamu, Atamwokoa Kabisa” | Wema wa Mungu
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJulai 23, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Nyimbo-za-wokovu, Umeme-wa-Mashariki, wimbo-wa-KikristoNo comments

Wimbo za wokovu | “Kwa Kuwa Mungu Anamwokoa Mwanadamu, Atamwokoa Kabisa” | Wema wa Mungu
I
Kwa kuwa Mungu alimuumba mwanadamu, Atamwongoza;
kwa kuwa Anamwokoa mwanadamu, Atamwokoa na kumpata kabisa;
kwa kuwa anamwongoza mwanadamu, Atamfikisha katika hatima sahihi.
Kwa kuwa Alimuumba mwanadamu na Anamsimamia,
ni lazima awajibikie matarajio na...
Jumapili, 22 Julai 2018
Video ya Kiswahili ya Ushuhuda wa Kikristo "Mungu Ndiye Nguvu ya Maisha Yangu"
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJulai 22, 2018Filamu-za-Kikristo, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Kikristo, Umeme-wa-MasharikiNo comments

Video ya Kiswahili ya Ushuhuda wa Kikristo "Mungu Ndiye Nguvu ya Maisha Yangu" | Jinsi Wakristo Humtegemea Mungu Kushinda
Fang Jin ni Mkristo. Alikamatwa na serikali ya CCP kwenye mkusanyiko. Ili kumlazimisha kuwataja ndugu zake wa kike na kiume na kumsaliti Mungu, polisi walimnyima chakula, maji na usingizi kwa siku saba mchana na siku sita...
Jumamosi, 21 Julai 2018
Watu Wasio na Hila Sio Lazima Wawe Waaminifu
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJulai 21, 2018Kristo, Umeme-wa-Mashariki, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


Watu Wasio na Hila Sio Lazima Wawe Waaminifu
Cheng Mingjie Jiji la Xi'an, Mkoa wa Shaanxi
Mimi hujiona kuwa mtu wa aina ya kuwa wazi na mchangamfu. Mimi huzungumza na watu kwa njia ya waziwazi; chochote ninachotaka kusema, mimi husema—mimi sio...
Ijumaa, 20 Julai 2018
Ni Muhimu Sana Kutii Kazi ya Roho Mtakatifu!
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJulai 20, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Maombi, Roho-Mtakatifu, Umeme-wa-MasharikiNo comments


Ni Muhimu Sana Kutii Kazi ya Roho Mtakatifu!
Xiaowei Mji wa Shanghai
Wakati fulani kitambo, hata kama daima nilipata msukumo kiasi na fadhila wakati dada mmoja aliyeshiriki nami alishiriki nuru aliyokuwa amepata wakati alipokula na kunywa neno la Mungu,...
Alhamisi, 19 Julai 2018
Tamko la Hamsini
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJulai 19, 2018Matamsh-ya-Mwenyezi-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, VitabuNo comments


Tamko la Hamsini
Makanisa yote na watakatifu wote wanapaswa kutafakari kuhusu siku zilizopita na kutumainia siku za usoni: Ni mangapi kati ya matendo yenu ya zamani ndiyo yanayostahili, na ni mangapi kati yao yalishiriki katika ujenzi wa ufalme? Usiwe mtu mwenye kujifanya...
Jumatano, 18 Julai 2018
"Njia ya Kwenda katika Ufalme wa Mbinguni ni Yenye Hatari" (2) - Je, Kuna Msingi Katika Biblia wa Kurudi kwa Bwana Kupitia Kupata Mwili?
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJulai 18, 2018Biblia, kuja-kwa-mara-ya-pili, kupata-mwili, Sinema-za-InjiliNo comments

"Njia ya Kwenda katika Ufalme wa Mbinguni ni Yenye Hatari" (2) - Je, Kuna Msingi Katika Biblia wa Kurudi kwa Bwana Kupitia Kupata Mwili?
Watu wengi katika kukaribisha kuja kwa mara ya pili kwa Bwana wanaweka umuhimu tu katika unabii ulio katika Maandiko kwamba Bwana atashuka kutoka mawinguni kuja tena huku wakipuuza unabii kwamba kuja kwa pili...
Jumanne, 17 Julai 2018
"Njia ya Kwenda katika Ufalme wa Mbinguni ni Yenye Hatari" (1) - Umeme wa Mashariki Laitikisa Dunia ya Kidini
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJulai 17, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Sinema-za-Injili, Umeme-wa-MasharikiNo comments

"Njia ya Kwenda katika Ufalme wa Mbinguni ni Yenye Hatari" (1) - Umeme wa Mashariki Laitikisa Dunia ya Kidini
Umeme Mashariki—kuonekana na kazi ya Mungu katika siku za mwisho limetikisa makundi na madhehebu yote, na kila aina ya wanadamu wamefichuliwa. Kondoo wengi wazuri katika kanisa wangependelea kuteseka kukamatwa kusikodhibitiwa na kuteswa...
Jumapili, 15 Julai 2018
Tamko la Kwanza
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJulai 15, 2018Neno-la-Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, TamkoNo comments


Tamko la Kwanza
Sifa zimekuja Uyahudi na makazi ya Mungu yameonekana. Jina tukufu takatifu linasifiwa na watu wote, na linaenea. Ah, Mwenyezi Mungu! Mkuu wa ulimwengu, Kristo wa siku za mwisho—Yeye ni Jua linalong’aa, na Ameinuka juu ya Mlima Sayuni...
Jumamosi, 14 Julai 2018
Kwa Kuwa Mungu Anamwokoa Mwanadamu, Atamwokoa Kabisa | Mwenyezi Mungu

Kwa Kuwa Mungu Anamwokoa Mwanadamu, Atamwokoa Kabisa | Mwenyezi Mungu
I
Kwa kuwa Mungu alimuumba mwanadamu, Atamwongoza;
kwa kuwa Anamwokoa mwanadamu,
Atamwokoa na kumpata kabisa;
kwa kuwa anamwongoza mwanadamu,
Atamfikisha katika hatima sahihi.
Kwa...
Ijumaa, 13 Julai 2018
Tamko la Thelathini na Saba
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJulai 13, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Mwenyezi Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments


Tamko la Thelathini na Saba
Kotekote katika enzi, kazi yote Niliyoifanya—kila hatua ya kazi hiyo—imekuwa na mbinu Zangu zinazofaa za kazi. Ni kwa sababu ya hili ndio watu Wangu wapendwa wamekuwa watakatifu zaidi na zaidi, na wa kufaa zaidi na zaidi kwa matumizi Yangu....
Alhamisi, 12 Julai 2018
New Swahili Christian Video "Kufufuka" | Hukumu ya Mungu katika Siku za Mwisho Iliniokoa
New Swahili Christian Video "Kufufuka" | Hukumu ya Mungu katika Siku za Mwisho Iliniokoa
Utambulisho
lake ni Zheng Lu, na tangu utotoni, alikuwa hasa ovyo. Kwa sababu ya ushawishi wa kijamii na elimu ya utamaduni wa kidesturi wa Kichina, alisoma bila kuchoka, akitumai kufikia chuo kikuu na kufanikisha ndoto yake ya kuwapiku marika wake...
Jumatano, 11 Julai 2018
Ufafanuzi wa Tamko la Kumi na Moja
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJulai 11, 2018Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Mwenyezi Mungu, Neno-Laonekana-katika-Mwili, Umeme-wa-Mashariki, VitabuNo comments


Kwa macho ya mwanadamu, inaonekana hakuna badiliko katika matamshi ya Mungu wakati wa kipindi hiki, ambalo ni kwa sababu watu hawawezi kuelewa sheria ambazo kwazo Mungu hunena, na hawafahamu muktadha wa maneno Yake...
Jumatatu, 9 Julai 2018
Swahili Gospel Full Movie "Fichua Siri Kuhusu Biblia" | Kufichua Hadithi ya Kweli ya Biblia
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJulai 09, 2018Fichua-Siri-Kuhusu-Biblia, Kanisa-la-Mwenyezi-Mungu, Umeme-wa-MasharikiNo comments

Swahili Gospel Full Movie "Fichua Siri Kuhusu Biblia" | Kufichua Hadithi ya Kweli ya Biblia
Feng Jiahui na wazazi wake waliamini katika Bwana tangu alipokuwa mdogo. Alipokuwa na umri wa miaka 18 aliingia katika shule ya seminari, na katika miaka yake ya 30 akawa mhubiri katika kanisa la nyumba huko Shanxi, Uchina. Kwa miaka mingi,...
Jumapili, 8 Julai 2018
Utangulizi

Utangulizi
Sehemu hii ya maneno ya Mungu ina jumla ya vifungu vinne; vilionyeshwa na Kristo kati ya mwishoni mwa mwaka wa 1992 na 2005. Mengi ya maneno hayo yanategemezwa kwa rekodi kutoka kwa mahubiri na ushirika Wake wakati Alitembea katika makanisa. Maandiko haya...
Jumamosi, 7 Julai 2018
Swahili Worship Song "Unapoufungua Moyo Wako kwa Mungu" | Seeing the Love of God
Swahili Worship Song "Unapoufungua Moyo Wako kwa Mungu" | Seeing the Love of God
Wakati hamumwelewi Mungu na hamjui asili Yake,
mioyo yenu haiwezi kamwe kufunguka, kufunguka kwa Mungu.
Mara utakapomwelewa Mungu wako,
utaelewa kile kilicho moyoni Mwake,
na kufurahia kile kilicho ndani Yake
kwa imani na usikivu wako wote.
Unapofurahia kile kilicho...
Ijumaa, 6 Julai 2018
Ni Mateso ya Aina Gani Ambayo Waumini wa Mungu Lazima Wastahimili na Maana ya Kuteseka.

Ni Mateso ya Aina Gani Ambayo Waumini wa Mungu Lazima Wastahimili na Maana ya Kuteseka.
Maneno Husika ya Mungu:
Leo, watu wengi sana hawana ufahamu huo. Wao huamini kwamba mateso hayana thamani, wao hukanwa na ulimwengu, maisha yao ya nyumbani yamesumbuliwa,...
Alhamisi, 5 Julai 2018
Sura ya 9. Kutafuta Mapenzi ya Mungu na Kuuweka Ukweli Katika Vitendo Kwa Kiasi Kikubwa Zaidi Iwezekanavyo
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJulai 05, 2018Kutafuta-Mapenzi-ya-Mungu, kutenda-ukweli, Neno-la-MunguNo comments


Sura ya 9. Kutafuta Mapenzi ya Mungu na Kuuweka Ukweli Katika Vitendo Kwa Kiasi Kikubwa Zaidi Iwezekanavyo
Punde tu watu wanapokuwa na haraka wakati wakiutumiza wajibu wao, hawajui jinsi ya kuuzoea; punde tu wanaposhughulika na mambo, hali yao ya kiroho inakuwa na matatizo;...
Jumatano, 4 Julai 2018
Best Swahili Worship Song "Nitampenda Mungu Milele" | Kusogea Mbele na Upendo wa Mungu
Best Swahili Worship Song"Nitampenda Mungu Milele" | Kusogea Mbele na Upendo wa Mungu
I
Ee Mungu! Maneno Yako yameniongoza kukurudia Wewe.
Nakubali kufundishwa katika ufalme Wako mchana na usiku.
Majaribu mengi na uchungu, dhiki nyingi sana.
Mara nyingi nilitoa machozi na kuhuzunika sana,
mara nyingi nimeanguka katika mtego wa Shetani.
Lakini...
Jumatatu, 2 Julai 2018
20. Ni Nani Anayejua Moyo wa Kutunza wa Mungu?
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJulai 02, 2018Kumjua-Mungu, mapenzi-ya-Mungu, Mungu-ni-mwenye-hakiNo comments


20. Ni Nani Anayejua Moyo wa Kutunza wa Mungu?
Qingxin Mji wa Zhengzhou, Mkoa wa Henan
Kuhusu kipengele cha ukweli cha "Mungu ni mwenye haki ", siku zote nilikuwa na ufahamu wa upuuzi kwa kiasi fulani. Nilidhani kuwa almradi mtu fulani hufichua upotovu...
Jumapili, 1 Julai 2018
Swahili Christian Movie | Nyendo za Mateso ya Kidini | "Kukaribia Hatari na Kurudi"
By Kuhusu Umeme wa MasharikiJulai 01, 2018imani-ya-kidini, Mateso-ya-Kidini, Nyendo, ukatili, ushahidiNo comments


Swahili Christian Movie | Nyendo za Mateso ya Kidini | "Kukaribia Hatari na Kurudi"
Tangu kilipokuja mamlakani katika China Bara mnamo mwaka wa 1949, Chama Cha Kikomunisti cha China kimekuwa hakikomi katika mateso yake kwa imani ya kidini. Kwa wayowayo kimewashika...