
Alhamisi, 31 Januari 2019
Kanisa la Mwenyezi Mung|7. Roho Ya Majivuno Kabla ya Kuanguka

Kanisa la Mwenyezi Mung | 7. Roho Ya Majivuno Kabla ya Kuanguka
Baixue Mji wa Shenyang
Kwa sababu ya mahitaji ya kazi, nilihamishiwa hadi sehemu nyingine ya kazi. Wakati huo, nilikuwa na shukurani sana kwa Mungu. Nilihisi kwamba nilikuwa ninapungukiwa sana, lakini...
Jumatano, 30 Januari 2019
2018 Gospel Music "Mungu Kuutawala Mwanzo na Mustakabali wa Wanadamu" (Swahili Subtitles)
2018 Gospel Music "Mungu Kuutawala Mwanzo na Mustakabali wa Wanadamu" (Swahili Subtitles)
Kutoka wakati tunapoingia ulimwenguni tukilia kwa huzuni, sisi huanza kutekeleza majukumu tofauti katika maisha. Sisi husogea kutoka kuzaliwa hadi ugonjwa hadi uzee hadi kifo; sisi huenda kati ya furaha na huzuni…. Wnadamu hasa hutoka wapi, na kwa kweli...
Jumanne, 29 Januari 2019
Filamu za Injili | "Wimbo wa Ushindi" (5) - Kwa nini Bwana Anarudi Kufanya Kazi ya Hukumu katika Siku za Mwisho
Filamu za lnjili | "Wimbo wa Ushindi" (5) - Kwa nini Bwana Anarudi Kufanya Kazi ya Hukumu katika Siku za Mwisho
Watu wengi wanaamini kwamba tayari dhambi zetu zimesamehewa na kupata wokovu kwa sababu tulitangaza imani yetu kwa Bwana, basi kwa nini Bwana anakuja kutuchukua moja kwa moja hadi kwenye ufalme wa mbinguni?...
Jumatatu, 28 Januari 2019
nyimbo za kuabudu 2019 | "Mungu Anashuka na Hukumu" | Christ of the Last Days Has Appeared
Nyimbo za Kuabudu 2019 | "Mungu Anashuka na Hukumu" | Christ of the Last Days Has Appeared
Anapokuja chini katika taifa la joka kuu jekundu,
Mungu anageuka kuutazama ulimwengu na unaanza kutingika.
Je, kuna mahali popote ambapo hapatapata hukumu Yake?
Ama kuishi katika janga Analotoa?
Kila mahali Aendapo anamwaga mbegu ya janga,
lakini kupitia...
Jumapili, 27 Januari 2019
Nyimbo za Dini | Ni kwa Kufanya Kazi Katika Mwili Pekee Ndiyo Mungu Anaweza Kumpata Binadamu
Nyimbo za Dini | Ni kwa Kufanya Kazi Katika Mwili Pekee Ndiyo Mungu Anaweza Kumpata Binadamu
I
Kupitia neno la Mungu la utendaji,
unyonge wa mwanadamu na uasi
yanahukumiwa na kufichuliwa.
Kisha wanadamu wanapokea wanachohitaji
Wanaona kuwa Mungu amekuja
katika ulimwengu huu wa binadam...
Jumamosi, 26 Januari 2019
Nyimbo za Dini | Umuhumi wa Maombi
Nyimbo za Dini | Umuhumi wa Maombi
I
Maombi ni njia moja ya mwanadamu kushirikiana na Mungu,
kuita Roho Wake na kuguswa na Mungu.
Kadiri unavyoomba zaidi, ndivyo utakavyoguswa zaidi,
kuangaziwa na kuwa mwenye nguvu-nia.
Watu kama hao wanaweza kufanywa kamili hivi karibuni.
Kadiri unavyoomba zaidi, ndivyo utakavyoguswa zaidi,
kuangaziwa...
Ijumaa, 25 Januari 2019
Wimbo wa Maneno ya Mungu Viumbe Wote Lazima Waje Chini ya Utawala wa Mungu
Wimbo wa Maneno ya Mungu Viumbe Wote Lazima Waje Chini ya Utawala wa Mungu
I
Mungu aliumba vitu vyote,
na hivyo Yeye hufanya viumbe vyote
kuja chini ya amri Yake, na kutii utawala Wake.
Anaamuru vitu vyote, akividhibiti katika mikono Yake.
Vitu hai, milima, mito na mwanadamu
lazima vyote vije chini ya amri Yak...
Alhamisi, 24 Januari 2019
Ushuhuda wa Washindi | 2. Nguvu ya Maisha Ambayo Haiwezi Kuzimwa Kamwe
By UnknownJanuari 24, 2019CCP, imani-ya-kidini, Maombi, Mateso, Ushuhuda-wa-Washindi, Vitabu, Wakristo-ushuhudaNo comments


Ushuhuda wa Washindi | 2. Nguvu ya Maisha Ambayo Haiwezi Kuzimwa Kamwe
Dong Mei, Mkoa wa Henan
Mimi ni mtu wa kawaida. Niliishi maisha ya kawaida. Kama wengi wanaotamani sana mwanga, nilijaribu njia nyingi kutafuta maana ya kweli ya uwepo wa wanadamu, nikijaribu kuyapa...
Jumatano, 23 Januari 2019
Ushuhuda wa Washindi | 1. Upendo wa Mungu Ulikuwa Nami Katika Gereza la Giza la Ibilisi
By UnknownJanuari 23, 2019Kutoroka-Kutoka-kwa-Ushawishi-wa-Shetani, mtegemee-Mungu, Ushahidi-wa-Wokovu, Ushuhuda-wa-Washindi, Vitabu, WashindiNo comments


Ushuhuda wa Washindi | 1. Upendo wa Mungu Ulikuwa Nami Katika Gereza la Giza la Ibilisi
Yang Yi, Mkoa wa Jiangsu
Mimi ni Mkristo wa Kanisa la Mwenyezi Mungu. Nimekuwa mfuasi wa Mwenyezi Mungu kwa zaidi ya miaka kumi. Katika wakati huu, kitu kimoja ambacho...
Jumanne, 22 Januari 2019
uzoefu wa maisha | 8. Kutambua Kuwa Nimekuwa Nikiitembea Njia ya Mafarisayo
By UnknownJanuari 22, 2019Maombi, Neno-la-Mungu, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, VitabuNo comments


uzoefu wa maisha | 8. Kutambua Kuwa Nimekuwa Nikiitembea Njia ya Mafarisayo
Wuxin Mji wa Taiyuan, Mkoa wa Shanxi
Kitu ambacho tumezungumzia mara kwa mara katika ushirikiano wa awali ni njia ambazo zilitembewa na Petro na Paulo. Inasemekana kwamba Petro alizingatia...
Jumapili, 20 Januari 2019
2. Kuona Uhalisi Wangu Kwa Dhahiri
By UnknownJanuari 20, 2019Hukumu-na-Kuadibu, maneno-ya-Mungu, Ukweli, Ushuhuda-wa-Kuipitia-Hukumu-ya-Kristo, Vitabu, wokovu-wa-MunguNo comments


2. Kuona Uhalisi Wangu Kwa Dhahiri
Xiaoxiao Jijini Xuzhou, Mkoani Jiangsu
Kwa sababu ya mahitaji ya kazi ya kanisa, nilihamishwa mpaka mahali pengine ili kutimiza wajibu wangu. Wakati huo, kazi ya injili mahali pale ilikuwa katika hali duni, na hali ya akina...
Jumamosi, 19 Januari 2019
Matamshi ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima - Tamko la Ishirini na Tano
By UnknownJanuari 19, 2019Matamshi-ya-Kristo-wa-Siku-za-Mwisho-(Chaguzi), Neno-la-Mungu, Tafuta-Ufalme-wa-Mungu-KwanzaNo comments


Matamshi ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima - Tamko la Ishirini na Tano
Muda unapita, na kufumba na kufumbua leo imefika. Chini ya uongozi wa Roho Wangu, watu wote wanaishi katikati ya mwanga Wangu, na hakuna anayefikiria yaliyopita ama kuiwekea jana maanani. Nani...
Ijumaa, 18 Januari 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee I Mamlaka ya Mungu (I) (Sehemu ya Tatu)

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Mamlaka ya Mungu (I) Sehemu ya Tatu
2. Mungu Hutumia Matamshi Yake Kuanzisha Agano na Binadamu.
Mwa 9:11-13 Na nitaweka agano langu na ninyi, wala miili yote haitaondolewa tena na maji ya gharika; wala hakutakuwa na gharika tena...
Alhamisi, 17 Januari 2019
Wakristo Ushuhuda | Mungu Aliilinda Familia Yetu Wakati wa Maafa
By UnknownJanuari 17, 2019Maswali-na-Majibu-Mia-Moja-Kuhusu-Kuichunguza-Njia-ya-Kweli, tegemea-Mungu, ulinzi-wa-Mungu, Ushuhuda-wa-Injili, Utambuzi-wa-Maisha, VitabuNo comments

Wakristo Ushuhuda | 8. Mungu Aliilinda Familia Yetu Wakati wa Maafa
Wang Lan, Beijing
Agosti 6, Mwaka wa 2012
Mnamo Julai 21, mwaka wa 2012, mafuriko makubwa zaidi tangu miaka sitini yalipitia kijijini mwetu kwa nguvu mno. Maafa yalianguka kutoka mbinguni, maji ya mafuriko yalichanganya matope na mawe na kuharibu kijiji chote....
Jumatano, 16 Januari 2019
6. Kwa nini husemwa kuwa wanadamu wapotovu wanahitaji zaidi wokovu wa Mungu aliyepata mwili?
By UnknownJanuari 16, 2019Injili-ya-Ufalme-wa-Mbinguni, kupata-mwili, Mungu-Kupata-Mwili, siku-za-mwisho, vita-vya-kiroho, WokovuNo comments


6. Kwa nini husemwa kuwa wanadamu wapotovu wanahitaji zaidi wokovu wa Mungu aliyepata mwili?
(Fungu Lililochaguliwa la Neno la Mungu)
Mwanadamu Aliyeanguka Anahitaji Zaidi Wokovu wa Mungu Mwenye Mwili
Mungu alifanyika...
Jumanne, 15 Januari 2019
Matamshi ya Mwenyezi Mungu | 5. Ni zipi tofauti muhimu kati ya Mungu mwenye mwili na hao watu ambao hutumiwa na Mungu?
By UnknownJanuari 15, 2019dutu-ya-Mungu, Injili-ya-Ufalme-wa-Mbinguni, Kiumbe-Aliyeumbwa, kupata-mwili, masomo-ya-Biblia, Mungu-Kupata-Mwili, Roho-MtakatifuNo comments


Matamshi ya Mwenyezi Mungu | 5. Ni zipi tofauti muhimu kati ya Mungu mwenye mwili na hao watu ambao hutumiwa na Mungu?
Aya za Biblia za Kurejelea:
“Mimi nawabatiza na maji ili mtubu. Lakini yule ajaye baada ya mimi ni mwenye nguvu zaidi kuliko mimi, ambaye sistahili...
Jumatatu, 14 Januari 2019
4. Kwa nini Mungu hamtumii mwanadamu kufanya kazi Yake ya hukumu katika siku za mwisho lakini badala yake Yeye ni lazima apate mwili na kuifanya Mwenyewe?
By UnknownJanuari 14, 2019Injili-ya-Ufalme-wa-Mbinguni, masomo-ya-Biblia, Mungu-Kupata-Mwili, Siku-ya-Hukumu, UnabiiNo comments


Aya za Biblia za Kurejelea:
“Kwa kuwa Baba hamhukumu mwanadamu yeyote, ila amekabidhi hukumu yote kwa Mwana” (YN. 5:22).
“Na yeye amempa mamlaka ya kuhukumu pia, kwa kuwa yeye ni Mwana wa Adamu” (YN. 5:27).
Maneno Husika ya Mungu:
Kazi mzima ya mpangilio wa usimamizi...
Jumapili, 13 Januari 2019
Maonyesho ya Mungu | "Mungu Ndiye Chanzo cha Uhai wa Mwanadamu"
Maonyesho ya Mungu | "Mungu Ndiye Chanzo cha Uhai wa Mwanadamu"
Mwenyezi Mungu anasema, "chanzo cha uhai hutoka kwa Mungu, kwa viumbe vyote, haijalishi tofauti katika maumbile au muundo. Hata uwe kiumbe hai cha aina gani, huwezi kwenda kinyume na njia ya maisha ambayo Mungu ameweka. Katika hali yoyote, kile Napenda ni kuwa mwanadamu aelewe kwamba...
Jumamosi, 12 Januari 2019
nyimbo za injili | Unapaswa Kupokeaje Kurudi kwa Kristo wa Siku za Mwisho?
By UnknownJanuari 12, 2019dutu-ya-Mungu, Kristo-ndiye-ukweli, Kristo-ndiye-ukweli-njia-na-uzima, kupata-mwili, njia, Nyimbo-za-Neno-la-MunguNo comments

Nyimbo za Injili | Unapaswa Kupokeaje Kurudi kwa Kristo wa Siku za Mwisho?
I
Mwili wa Mungu utajumlisha
kiini cha Mungu na maonyesho Yake.
Atakapofanywa mwili,
Ataleta
matunda ya kazi Aliyopewa
ajidhihirishe na Alete Ukweli kwa wote,
awape uhai na awaonyeshe njia.
Mwili wowote usiokuwa na dutu
Yake sio Mwili wa Mung...
Ijumaa, 11 Januari 2019
Matamshi ya Mungu | "Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee III Mamlaka ya Mungu II Sehemu ya Kwanza"
By UnknownJanuari 11, 2019Kumjua-Mungu, maneno-ya-Mungu, Muumba, Utongoaji-wa-Matamshi-ya-Kristo-wa-Siku-za-Mwisho, VideoNo comments

Matamshi ya Mungu | "Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee III Mamlaka ya Mungu II Sehemu ya Kwanza"
Maneno ya Mungu katika video hii ni kutoka kitabu “Neno Laonekana katika Mwili”.
Maudhui ya video hii:
Kuelewa Mamlaka ya Mungu Kutoka kwa Mitazamo Mikubwa na Midogo
Hatima ya Binadamu na Hatima ya Ulimwengu Haviwezi Kutenganishwa na Ukuu wa Muumba Umeme...
Alhamisi, 10 Januari 2019
Umeme wa Mashariki | Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote (II) Sehemu ya Pili
By UnknownJanuari 10, 2019makusudi-ya-Mungu, Matamshi-ya-Kristo, Matamshi-ya-Mwenyezi-Mungu (Njia-ya-Kumjua-Mungu), MuumbaNo comments


Umeme wa Mashariki | Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote (II) Sehemu ya Pili
Mazingira ya Kuishi ya Msingi Ambayo Mungu Anawaumbia Wanadamu
3. Sauti
Kitu cha tatu ni nini? Ni kitu ambacho mazingira ya kuishi ya kawaida ya wanadamu yanatakiwa kuwa...
Jumatano, 9 Januari 2019
Umeme wa Mashariki | Tabia ya Haki ya Mungu Sehemu ya Tano
By UnknownJanuari 09, 2019Kumjua-Mungu, Matamshi-ya-Mwenyezi-Mungu (Njia-ya-Kumjua-Mungu), tabia-ya-Mungu, wafuasi-wa-KristoNo comments


Umeme wa Mashariki | Tabia ya Haki ya Mungu Sehemu ya Tano
Aina Tano za Watu
Kwa sasa, Nitaacha ushirika wetu kuhusu tabia ya haki ya Mungu umalizikie hapo. Kinachofuata Nitaainisha wafuasi wa Mungu katika kategoria mbalimbali, kulingana na ufahamu wao wa Mungu...
Jumanne, 8 Januari 2019
Best Swahili Christian Worship Song "Maisha Yetu Sio Bure"
Umeme wa Mashariki | Best Swahili Christian Worship Song "Maisha Yetu Sio Bure"
Maisha yetu sio bure. Maisha yetu sio bure.
Leo tunakutana na Mungu, tunapitia kazi Yake.
Tumemjua Mungu katika mwili, wa utendaji na wa hakika.
Tumeiona kazi Yake, nzuri na ya ajabu.
Kila siku ya maisha yetu sio bure.
Tunamshuhudia Kristo kama ukweli na...
Jumatatu, 7 Januari 2019
"Njia ya Kwenda katika Ufalme wa Mbinguni ni Yenye Hatari" (4) - Kwa Nini Binadamu Humwasi Mungu?
"Njia ya Kwenda katika Ufalme wa Mbinguni ni Yenye Hatari" (4) - Kwa Nini Binadamu Humwasi Mungu?
Miaka elfu mbili iliyopita, Mungu alipopata mwili kama Bwana Yesu na kuja miongoni mwa wanadamu kuwakomboa binadamu Alikataliwa katika enzi ya giza, hatimaye kusulubiwa msalabani na binadamu waovu wenye upotov...
Jumapili, 6 Januari 2019
5. Imani Katika Mungu Haipasi Kuwa kwa ajili ya Kutafuta Amani na Baraka Pekee.
By UnknownJanuari 06, 2019imani-katika-Mungu, Kondoo-wa-Mungu-Huisikia-Sauti-ya-Mungu, Maombi, Neema, Vitabu, WokovuNo comments

Sura ya 7 Vipengele Kadhaa Vingine vya Ukweli Ambao ni wa Kiwango cha Chini Ambao Unafaa Kueleweka na Waumini Wapya
5. Imani Katika Mungu Haipasi Kuwa kwa ajili ya Kutafuta Amani na Baraka Pekee.
Maneno Husika ya Mungu:
Leo, lazima uwe katika njia sahihi kwani unaamini katika Mungu wa vitendo. Kwa kuwa una imani katika Mungu, hupaswi tu...
Jumamosi, 5 Januari 2019
3. Unawezaje Kutambua Tofauti Kati ya Kristo wa Kweli na Makristo wa Uongo?
By UnknownJanuari 05, 2019Kondoo-wa-Mungu-Huisikia-Sauti-ya-Mungu, Kristo, Roho-Mtakatifu, siku-za-mwisho, Vitabu, YesuNo comments


Sura ya 6 Aina Mbalimbali za Utofautishaji Ambazo Unafaa Kumiliki katika Kusadiki Kwako kwa Mungu
3. Unawezaje Kutambua Tofauti Kati ya Kristo wa Kweli na Makristo wa Uongo?
Maneno Husika ya Mwenyezi Mungu:
Mungu aliyepata mwili Anaitwa Kristo, na hivyo Kristo...
Ijumaa, 4 Januari 2019
Swahili Christian Video "Kuzinduka" | Ni nini Maana ya Uzima?
By UnknownJanuari 04, 2019Christian-Video, Injili, Ukweli, Upendo-wa-Mungu, ushuhuda, VideoNo comments

Umeme wa Mashariki | Swahili Christian Video "Kuzinduka" | Ni nini Maana ya Uzima?
Jina lake ni Chen Xi, na tangu akiwa mtoto elimu na ushawishi wa wazazi wake na shule yake zilimfanya yeye mara zote kutaka kwa tofauti na wengine na kutafuta kuwa juu ya wengine,kwa hivyo alikuwa na bidii katika masomo yake na kutia juhudi zote. Baada ya...
Alhamisi, 3 Januari 2019
Best Swahili Gospel Worship Song "Njoo Mbele Ya Mungu Mara kwa Mara" | Uso kwa uso na Mungu
Best Swahili Gospel Worship Song "Njoo Mbele Ya Mungu Mara kwa Mara" | Uso kwa uso na Mungu
Chukua fursa unapokuwa na wakati, keti kimya mbele ya Mungu.
Soma neno Lake, jua ukweli Wake, rekebisha makosa yaliyo ndani yako.
Majaribu huja, yakabili; ijue nia ya Mungu na utakuwa na nguvu.
Mwambie ni vitu gani unavyokosa, shiriki ukweli Wake...
Jumatano, 2 Januari 2019
4. Umuhimu wa Kazi ya Mungu ya Majaribio na Utakasaji.
By UnknownJanuari 02, 2019Kondoo-wa-Mungu-Huisikia-Sauti-ya-Mungu, Mungu, Nyimbo, siku-za-mwisho, Ukweli, Usafishaji, VitabuNo comments


Sura ya 4 Lazima Mjue Ukweli wa Kazi ya Mungu ya Siku za Mwisho
4. Umuhimu wa Kazi ya Mungu ya Majaribio na Utakasaji.
Maneno Husika ya Mungu:
Majaribu haya yanailenga hali gani ya ndani ya watu? Yanalenga tabia ya uasi ndani ya watu ambayo haiwezi kumridhisha...
Jumanne, 1 Januari 2019
Neno la Mungu | "Maana ya Kuwa Mwanaadamu Halisi" (Official Video)
Neno la Mungu | "Maana ya Kuwa Mwanaadamu Halisi" (Official Video)
Mwenyezi Mungu anasema, "Hata hivyo unapaswa kujua, wanadamu Nilioumba walikuwa watu watakatifu na wenye mfano Wangu na utukufu Wangu. Hapo awali hawakuwa wa Shetani, wala hawakukabiliwa na kukanyagwa kwake, bali walikuwa tu udhihirisho Wangu, walikuwa huru kutokana...